Huwa sicomment lkn leo waaa loveness n kelvin mnanibamba sana yni leo ana macho kma mwizi wkti kule ulikesha kuliwa n mbuu aki nawapenda bure kazi zenu n nzuri mnoo❤🎉🎉🎉
Kuna kitu chakujifunza hapa ndoa nyingi zinakua na kesi sababu nikutokuelewa maana halisi ya ndoa sababu kubwa ya mke ama mme kutoka inje ya ndoa nikutotenga mda dhidi ya mwana ndoa mwenzako hongereni Sana Kwa tamthilia hii nzuri❤❤❤❤🎉
@@jumamario-vr1mw inategemeana na mtu ulomchagua kama anapenda ivo mpe tu sasa ulimuoa wa nn kama hupendi 🤔afu wengi wenu anajifanya kwako hapendi kumbe ana plan B hilo ni tatizo
Titles haijakaa vizuri make haikufaa iitwe mke msaliti maana hajamsaliti mumewe na badala yake mume kaelimishwa kajua umuhimu wa mke ndani Nafikiri mngeipa jina lingine ili iendane na kilichomo ndani yake Ahsanten
Wow loveness unamauwa yako,,,like kwa lovenes jmn😂😅
Wow love movie wapi likes za team strong 💪
Hoyeeee
Loveness na kelvin mkiwa ndani bana move inanoga sana nawapenda sana ❤️❤️❤️❤️
Kwell
Kaka kelvin mungu hakupi vyote atakupa uzuri atakunyima shepu atakupa shepu atakunyima tabia atakupa sura mbovu lkn tabia nzuri hivo ndivo tulivo sisi binadamu maua yako kaka unafunza 🎉🎉🎉🎉❤❤
Maali love na Kevin wako lazima niwe
Naomba likes love from 🇰🇪
Tuache utan lov na kev wanapendeza sana wana macho ya uhaba san mauwa yenu jaman 🎉
Huwa sicomment lkn leo waaa loveness n kelvin mnanibamba sana yni leo ana macho kma mwizi wkti kule ulikesha kuliwa n mbuu aki nawapenda bure kazi zenu n nzuri mnoo❤🎉🎉🎉
Haki love na Kevin Leo mwanifurahisha sijawazowea mkigombana wp like zangu Kwa team strong
Nawapenda pia Kelvin na laveness ❤❤❤ yani donta tv yote Nawapenda saaana🎉🎉🎉🎉
Loveness na kelvin bila nyinyi kuwaona move hainibambi❤❤❤😍
Kwamba ana macho kama mwizi wakati kule unamfatilia mpaka auli😅😅😅😅😅😅😅
Nakwambia dear 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Naombeni like kwa wanaompenda loveness
Huyu. Jamaa Hana hisia
Naanyi wanawake atakama mumeo akutii mizi usijizaaliishe kwashemegi yako wanaume wapo tele njee
Napenda sana movie akiwepo love na keivin
Asante sana Kevin...au ni julius huku😅😅umefanya penzi kuwa kitamu kwa mara nyingine tena...wueh...Be blessed you teach more with these love series.
Pia mmi nape nda sana movie kelvin na loveness wakiweko,nko kenya ❤❤
Changamkia fursaa ww 😂😂😂 loveness unakiti chako mbinguni 😅😅😂😂😂❤❤❤from Kenya 🇰🇪
Julia's hilo jina alijkupndeza unge2mia 2 kelvin wanaokubaliana na mim gonga like
Kelvin hapo ulitupiga we umepewa mzigo ,alafu the end una disappoint shem cjapenda😂😂😂😂😂
Naomba like love from 🇸🇦🇸🇦🥰
Asante kelvin kwaku hakikisha una chunga ndoa ya Kaka Yako kupitiya ushauri ulioyo wapa hususan ume jitahidi kuwaelekeza naweme fanyiya kazi ushauri wako🙏
Lovenes na Kevin mwapendeza kweli 🥰🥰
Kelvin nakupenda sana unaweza sana,movie nazipenda sana kwa jili yawewe na loveness
Kuna kitu chakujifunza hapa ndoa nyingi zinakua na kesi sababu nikutokuelewa maana halisi ya ndoa sababu kubwa ya mke ama mme kutoka inje ya ndoa nikutotenga mda dhidi ya mwana ndoa mwenzako hongereni Sana Kwa tamthilia hii nzuri❤❤❤❤🎉
Waoo kaz nzuli Sema nn mtot wa boss atujaona episode ya 12
Ishaa toka
Yani nampend kelvin michambo yake kama muvi hayumo Wala hainog kwakweli dah❤
😂😂😂😂 jamani kevi uko na matusi mmh ati mimacho ka mwizi 😂😂😂 anywei hongera kwa movie tamu zaidi ebu somebody to 💋 my comment all the way frm Riyadh ❤
Kumbe loveness hua anajitongozeshaga!! Kumbe ako motto xna....ashauliza maswali yake ...ashajikusanyia majibu yake😅😅
Julius umefanya kazi poa kakako ananyima bibike ndoa nilimjukia lakini umemuokoa
Nawapenda sana wote mnauhusika nzuri hongeren❤❤❤❤
Changamshia fursa iyo kaka kelvin Kwa love
Nimeipenda sana kelvin unajua sana ❤❤❤
Jmn nimeipenda nyimbo sana 2❤❤❤
Kelivin na love ness eee mwanibaba saana alafusura zenu zuuuri wanangu🎉❤
waoooh like kwa loveness❤
Kiukweli wanawake tuna teseka kumbe utaki mapenzi kwanini ukaoa ndoo mana asilimia 13 wanatoka njee kutoka mwanaume ajali isia zaa mkewe
Tabia tu kwani razima kira siku kuzagamuana
@@jumamario-vr1mw inategemeana na mtu ulomchagua kama anapenda ivo mpe tu sasa ulimuoa wa nn kama hupendi 🤔afu wengi wenu anajifanya kwako hapendi kumbe ana plan B hilo ni tatizo
Mashalaaa I love you kevii
Napiga kelele umenibaka ila loveness😂😂😂😂
Kelvin ana respect zake😂😂😂
Toka drc uvira eneyo za kahororo tunawapenda sana jamani❤❤❤❤
😂😂😂😂waaaa loveness kumbe unamaneno ety achangamkie fursa 😂😂aky umenichekesha ❤❤❤
kelvin c ungeangalia uzimie tena jamn🤣🤣
Yaan kelvin unaskili MashaAllah
Kevin😂😂😂 eti sitaki kuona ❤❤🇰🇪🇰🇪
Uyooo dd nimzur San hasa nayapenda San macho yak haseeeeeee,;;;;;;;;;
Hongera sana kalivn kwa kumfunza kakaako
Kelvin..nampenda .Sanaa .aongea..pwenti..sanaa
Yani nimeanzatu kuangaliya nimeielewa cyo poa 😂
❤❤❤ nzuri sana na ina mafundisho manake kuna wanaume wa aina hiyo
❤❤❤❤ nawapenda sana
Love na Kevin nawapenda
Love na kelvin wawe wa penzi kwa real life jmn, wanapenda sna ❤❤❤
Kelvin ana mke
@@gracekayumba-z9l ooh
Love na kev nawapenda sana na pia mnajuwa
Amenifuraisha uyu kaka ati mimacho tu kama mwizi daa
Nakuona dady upo na love na kevi
Una ushauli mzuli kabisa ❤❤❤
Love sio kwa upweru huo 😂😂😂😂
Kawimbo kazuli hako kanaitweje
Twakapenda Sana Na malongo yake wakat akiact
I love❤ Loveness
Love you loveness❤❤❤❤
8ko poa walai nawapenda sana
Kiukwer love nakev mnapendeza sana
Kazi nzuri nimempenda 🎉🎉🎉🎉
sawa kabisa
Kelveie utaniua nakicheko ww 😂😂😂
Kazi nzuri ❤❤❤
Let’s go My Family 🔥🔥🔥
Tuondoke kaka🔥🔥
Mtoto atakahogo laziumupe
Mafunzo mazuri sana ❤❤❤
Tamuuuu❤❤❤❤ sanaaa❤❤❤
Nawapend love na kelvin ❤❤❤❤❤
Well as
Good job❤❤
Kweli kelvin
Ila kelvin na love❤❤❤kutoka Kenya
Nikiona sura ya kelvin na LOVENESS lazima niangalie😂😂
Love umeweza❤❤❤❤
Ushauri muzuri sana juliasi🎉🎉🎉❤❤❤
Kabisaaa
Ila lavunes mekap haikupendez unapendeza ukiwa nechro
Movie tamu haswa hapo kwa ushauri wakening mambo yameenda sambamba
Jamn naomben kujua ivi Kevin na love Ness ni wapenz wa kweli, mana najipenda cuple Yao jaman natamn iwe ivyo anaefaham anijuze
Siyo kelvine ana familia
Hogera dada loveness kwa kazi yako
Unastahl maua mstr Julius 🎉🎉🎉❤
Kama nakuona! Julius
Twizy umeendana na love sana
Huo uchonganishi kaka😅😅
Et love mtu mzimaaa😂😂
Msiseme mke msaliti.bali mume ndio likuwa kashindwa ni majukumu yake.so alitaka kusaidiwa
Kevin npo pamoja na wewee.. zangu Dua🙏🙏
Lkn mume wa loveness anakera😢
Titles haijakaa vizuri make haikufaa iitwe mke msaliti maana hajamsaliti mumewe na badala yake mume kaelimishwa kajua umuhimu wa mke ndani
Nafikiri mngeipa jina lingine ili iendane na kilichomo ndani yake
Ahsanten
Ata ww umeona licha ya ivo siyo msaliti mumewe alikuwa hampi
Nwambiye lavenesi ntumbani nyumbani😂nikupuzika
Kweli kev na ❤ness wanapendezana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sanaaa❤❤❤❤
👍
Lovely Kevin yako wapi
Kevin wacha stori mingi loveness upwiro unammaliza
😁😁😁😁😁😁kev waambiwa uone hahahahahahaha wanawake hao jaman
Apo Amna Cha mwanamke msalit kama mume wake anamnyima
Waooo love😂😂😂😂😂😂 unajua