BETRAYAL WIFE | MKE MSALITI | Full Movie | New Bongo Movie | Love Story 💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • #dontatv #penziladadawakazi #love

Комментарии • 215

  • @user-xr7rr2rf6e
    @user-xr7rr2rf6e 18 дней назад +18

    Wow loveness unamauwa yako,,,like kwa lovenes jmn😂😅

  • @tescomo7224
    @tescomo7224 24 дня назад +28

    Wow love movie wapi likes za team strong 💪

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo 23 дня назад +22

    Loveness na kelvin mkiwa ndani bana move inanoga sana nawapenda sana ❤️❤️❤️❤️

  • @RehemaIbrahim-wn4ef
    @RehemaIbrahim-wn4ef 13 дней назад +9

    Kaka kelvin mungu hakupi vyote atakupa uzuri atakunyima shepu atakupa shepu atakunyima tabia atakupa sura mbovu lkn tabia nzuri hivo ndivo tulivo sisi binadamu maua yako kaka unafunza 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @peterwanyoike-xl9eh
    @peterwanyoike-xl9eh 24 дня назад +21

    Maali love na Kevin wako lazima niwe

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 24 дня назад +23

    Naomba likes love from 🇰🇪

  • @thomasbarriye4807
    @thomasbarriye4807 20 дней назад +15

    Tuache utan lov na kev wanapendeza sana wana macho ya uhaba san mauwa yenu jaman 🎉

  • @RehemaJuma-es4jk
    @RehemaJuma-es4jk 8 дней назад +3

    Huwa sicomment lkn leo waaa loveness n kelvin mnanibamba sana yni leo ana macho kma mwizi wkti kule ulikesha kuliwa n mbuu aki nawapenda bure kazi zenu n nzuri mnoo❤🎉🎉🎉

  • @SanuraNamlola
    @SanuraNamlola 14 дней назад +4

    Haki love na Kevin Leo mwanifurahisha sijawazowea mkigombana wp like zangu Kwa team strong

  • @user-xf5xr3uv8b
    @user-xf5xr3uv8b 15 дней назад +4

    Nawapenda pia Kelvin na laveness ❤❤❤ yani donta tv yote Nawapenda saaana🎉🎉🎉🎉

  • @MarionSalama-b7w
    @MarionSalama-b7w 11 дней назад +1

    Loveness na kelvin bila nyinyi kuwaona move hainibambi❤❤❤😍

  • @LawrenceGerald-o8n
    @LawrenceGerald-o8n 24 дня назад +12

    Kwamba ana macho kama mwizi wakati kule unamfatilia mpaka auli😅😅😅😅😅😅😅

  • @GloryEmmanuel-b2t
    @GloryEmmanuel-b2t 24 дня назад +68

    Naombeni like kwa wanaompenda loveness

  • @ADIJASAID
    @ADIJASAID 21 день назад +5

    Naanyi wanawake atakama mumeo akutii mizi usijizaaliishe kwashemegi yako wanaume wapo tele njee

  • @HadijaHusen-od2bw
    @HadijaHusen-od2bw 24 дня назад +20

    Napenda sana movie akiwepo love na keivin

  • @ShazChem
    @ShazChem 8 дней назад +1

    Asante sana Kevin...au ni julius huku😅😅umefanya penzi kuwa kitamu kwa mara nyingine tena...wueh...Be blessed you teach more with these love series.

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r 20 дней назад +4

    Pia mmi nape nda sana movie kelvin na loveness wakiweko,nko kenya ❤❤

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 3 дня назад +1

    Changamkia fursaa ww 😂😂😂 loveness unakiti chako mbinguni 😅😅😂😂😂❤❤❤from Kenya 🇰🇪

  • @EmmyEmmymouddy
    @EmmyEmmymouddy 4 дня назад +1

    Julia's hilo jina alijkupndeza unge2mia 2 kelvin wanaokubaliana na mim gonga like

  • @StevvVostee-x8i
    @StevvVostee-x8i 19 часов назад

    Kelvin hapo ulitupiga we umepewa mzigo ,alafu the end una disappoint shem cjapenda😂😂😂😂😂

  • @ROSEMAKALI
    @ROSEMAKALI 6 дней назад +1

    Naomba like love from 🇸🇦🇸🇦🥰

  • @AlineKavugho
    @AlineKavugho 21 день назад +1

    Asante kelvin kwaku hakikisha una chunga ndoa ya Kaka Yako kupitiya ushauri ulioyo wapa hususan ume jitahidi kuwaelekeza naweme fanyiya kazi ushauri wako🙏

  • @YvonneOnchoke
    @YvonneOnchoke 5 дней назад +1

    Lovenes na Kevin mwapendeza kweli 🥰🥰

  • @VeveVestineniyera
    @VeveVestineniyera 6 дней назад +1

    Kelvin nakupenda sana unaweza sana,movie nazipenda sana kwa jili yawewe na loveness

  • @Shybabe1990-pd5yx
    @Shybabe1990-pd5yx 15 дней назад +1

    Kuna kitu chakujifunza hapa ndoa nyingi zinakua na kesi sababu nikutokuelewa maana halisi ya ndoa sababu kubwa ya mke ama mme kutoka inje ya ndoa nikutotenga mda dhidi ya mwana ndoa mwenzako hongereni Sana Kwa tamthilia hii nzuri❤❤❤❤🎉

  • @KagegaAbdlah
    @KagegaAbdlah 24 дня назад +8

    Waoo kaz nzuli Sema nn mtot wa boss atujaona episode ya 12

  • @ArabiaNuru
    @ArabiaNuru 5 дней назад +1

    Yani nampend kelvin michambo yake kama muvi hayumo Wala hainog kwakweli dah❤

  • @JumahEvans
    @JumahEvans 20 дней назад +1

    😂😂😂😂 jamani kevi uko na matusi mmh ati mimacho ka mwizi 😂😂😂 anywei hongera kwa movie tamu zaidi ebu somebody to 💋 my comment all the way frm Riyadh ❤

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 19 дней назад +2

    Kumbe loveness hua anajitongozeshaga!! Kumbe ako motto xna....ashauliza maswali yake ...ashajikusanyia majibu yake😅😅

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 24 дня назад +2

    Julius umefanya kazi poa kakako ananyima bibike ndoa nilimjukia lakini umemuokoa

  • @Safinamfinanga
    @Safinamfinanga 13 дней назад

    Nawapenda sana wote mnauhusika nzuri hongeren❤❤❤❤

  • @ArabiaNuru
    @ArabiaNuru 5 дней назад +1

    Changamshia fursa iyo kaka kelvin Kwa love

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 24 дня назад +5

    Nimeipenda sana kelvin unajua sana ❤❤❤

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 6 дней назад

    Jmn nimeipenda nyimbo sana 2❤❤❤

  • @janedhambi
    @janedhambi 9 дней назад +1

    Kelivin na love ness eee mwanibaba saana alafusura zenu zuuuri wanangu🎉❤

  • @ZuhuraKibindo
    @ZuhuraKibindo 2 дня назад +1

    waoooh like kwa loveness❤

  • @ADIJASAID
    @ADIJASAID 21 день назад +8

    Kiukweli wanawake tuna teseka kumbe utaki mapenzi kwanini ukaoa ndoo mana asilimia 13 wanatoka njee kutoka mwanaume ajali isia zaa mkewe

    • @jumamario-vr1mw
      @jumamario-vr1mw 15 дней назад

      Tabia tu kwani razima kira siku kuzagamuana

    • @marryjames-wl7be
      @marryjames-wl7be 9 дней назад

      ​@@jumamario-vr1mw inategemeana na mtu ulomchagua kama anapenda ivo mpe tu sasa ulimuoa wa nn kama hupendi 🤔afu wengi wenu anajifanya kwako hapendi kumbe ana plan B hilo ni tatizo

  • @JoycebarakaEster
    @JoycebarakaEster 13 часов назад +1

    Mashalaaa I love you kevii

  • @GreysonPaul-w5j
    @GreysonPaul-w5j 8 дней назад +1

    Napiga kelele umenibaka ila loveness😂😂😂😂

  • @SaumuMahindi
    @SaumuMahindi 24 дня назад +4

    Kelvin ana respect zake😂😂😂

  • @RamazaniMustafa
    @RamazaniMustafa 18 дней назад +1

    Toka drc uvira eneyo za kahororo tunawapenda sana jamani❤❤❤❤

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 16 дней назад +1

    😂😂😂😂waaaa loveness kumbe unamaneno ety achangamkie fursa 😂😂aky umenichekesha ❤❤❤

  • @jescapallangyo2027
    @jescapallangyo2027 17 дней назад +2

    kelvin c ungeangalia uzimie tena jamn🤣🤣

  • @muffidahemed
    @muffidahemed 3 дня назад +1

    Yaan kelvin unaskili MashaAllah

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 18 дней назад +2

    Kevin😂😂😂 eti sitaki kuona ❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @SharifuAbdallah-u6i
    @SharifuAbdallah-u6i 5 дней назад

    Uyooo dd nimzur San hasa nayapenda San macho yak haseeeeeee,;;;;;;;;;

  • @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
    @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj 15 дней назад +2

    Hongera sana kalivn kwa kumfunza kakaako

  • @GreatOman-vg4qu
    @GreatOman-vg4qu 6 дней назад

    Kelvin..nampenda .Sanaa .aongea..pwenti..sanaa

  • @NeemaMagosha
    @NeemaMagosha 4 дня назад +1

    Yani nimeanzatu kuangaliya nimeielewa cyo poa 😂

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 17 дней назад +1

    ❤❤❤ nzuri sana na ina mafundisho manake kuna wanaume wa aina hiyo

  • @butoyoSafiya
    @butoyoSafiya День назад +1

    ❤❤❤❤ nawapenda sana

  • @DENIALKatam
    @DENIALKatam 2 дня назад +1

    Love na Kevin nawapenda

  • @Iryne-m6f
    @Iryne-m6f 14 дней назад +1

    Love na kelvin wawe wa penzi kwa real life jmn, wanapenda sna ❤❤❤

  • @AgnessAlly-tx2yx
    @AgnessAlly-tx2yx 24 дня назад +1

    Love na kev nawapenda sana na pia mnajuwa

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 20 дней назад +2

    Amenifuraisha uyu kaka ati mimacho tu kama mwizi daa

  • @tommymelodyofficial4844
    @tommymelodyofficial4844 24 дня назад +8

    Nakuona dady upo na love na kevi

  • @JeannetteNizigama-ct5ty
    @JeannetteNizigama-ct5ty 21 день назад +2

    Una ushauli mzuli kabisa ❤❤❤

  • @Elizabeth-p3d
    @Elizabeth-p3d 11 дней назад +1

    Love sio kwa upweru huo 😂😂😂😂

  • @Godfreycostamwanjale
    @Godfreycostamwanjale 20 дней назад +3

    Kawimbo kazuli hako kanaitweje

  • @LenoxChai
    @LenoxChai 3 дня назад +1

    Twakapenda Sana Na malongo yake wakat akiact

  • @JosephwuodAnna-v4t
    @JosephwuodAnna-v4t 7 дней назад +1

    I love❤ Loveness

  • @jiam3
    @jiam3 3 дня назад +1

    Love you loveness❤❤❤❤

  • @Salmourmarijan
    @Salmourmarijan 19 дней назад +2

    8ko poa walai nawapenda sana

  • @AishaJuma-ce9tk
    @AishaJuma-ce9tk 9 дней назад +1

    Kiukwer love nakev mnapendeza sana

  • @aminandurya
    @aminandurya 17 дней назад +1

    Kazi nzuri nimempenda 🎉🎉🎉🎉

  • @lobembasila7568
    @lobembasila7568 14 дней назад +1

    sawa kabisa

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 22 дня назад +1

    Kelveie utaniua nakicheko ww 😂😂😂

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 9 дней назад +1

    Kazi nzuri ❤❤❤

  • @mzomebackup
    @mzomebackup 22 дня назад +2

    Let’s go My Family 🔥🔥🔥

  • @claudepepe2195
    @claudepepe2195 24 дня назад +2

    Mtoto atakahogo laziumupe

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 23 дня назад +2

    Mafunzo mazuri sana ❤❤❤

  • @JoyceKayombo-y3g
    @JoyceKayombo-y3g 18 дней назад +1

    Tamuuuu❤❤❤❤ sanaaa❤❤❤

  • @VailethRichard-bf4fy
    @VailethRichard-bf4fy 10 дней назад +1

    Nawapend love na kelvin ❤❤❤❤❤

  • @Malegakaonda
    @Malegakaonda 8 дней назад +1

    Well as

  • @twizydadyfamily
    @twizydadyfamily 18 дней назад

    Good job❤❤

  • @nishimwejustin3299
    @nishimwejustin3299 10 дней назад +1

    Kweli kelvin

  • @Faith-zb6wo
    @Faith-zb6wo 24 дня назад +2

    Ila kelvin na love❤❤❤kutoka Kenya

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 16 дней назад

    Nikiona sura ya kelvin na LOVENESS lazima niangalie😂😂

  • @FaithChivatsi
    @FaithChivatsi 24 дня назад +2

    Love umeweza❤❤❤❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 24 дня назад +2

    Ushauri muzuri sana juliasi🎉🎉🎉❤❤❤

  • @mwajumasaid7306
    @mwajumasaid7306 День назад

    Ila lavunes mekap haikupendez unapendeza ukiwa nechro

  • @EverlyNeshivaganga
    @EverlyNeshivaganga 14 дней назад

    Movie tamu haswa hapo kwa ushauri wakening mambo yameenda sambamba

  • @MyMobile-ee6iv
    @MyMobile-ee6iv 16 дней назад

    Jamn naomben kujua ivi Kevin na love Ness ni wapenz wa kweli, mana najipenda cuple Yao jaman natamn iwe ivyo anaefaham anijuze

  • @AminataHababa
    @AminataHababa 11 дней назад

    Hogera dada loveness kwa kazi yako

  • @RukaiyaOthumani-r8r
    @RukaiyaOthumani-r8r 23 дня назад

    Unastahl maua mstr Julius 🎉🎉🎉❤

  • @roseshayo3738
    @roseshayo3738 20 дней назад +1

    Kama nakuona! Julius

  • @PLUSTV735
    @PLUSTV735 24 дня назад +2

    Twizy umeendana na love sana

  • @alexmottielitetv361
    @alexmottielitetv361 4 дня назад

    Et love mtu mzimaaa😂😂

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 12 дней назад

    Msiseme mke msaliti.bali mume ndio likuwa kashindwa ni majukumu yake.so alitaka kusaidiwa

  • @ConsolathaMakusa
    @ConsolathaMakusa 23 дня назад

    Kevin npo pamoja na wewee.. zangu Dua🙏🙏

  • @Saraphina-y5o
    @Saraphina-y5o 5 дней назад

    Lkn mume wa loveness anakera😢

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 16 дней назад

    Titles haijakaa vizuri make haikufaa iitwe mke msaliti maana hajamsaliti mumewe na badala yake mume kaelimishwa kajua umuhimu wa mke ndani
    Nafikiri mngeipa jina lingine ili iendane na kilichomo ndani yake
    Ahsanten

    • @gracekayumba-z9l
      @gracekayumba-z9l 13 дней назад +1

      Ata ww umeona licha ya ivo siyo msaliti mumewe alikuwa hampi

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 17 дней назад

    Nwambiye lavenesi ntumbani nyumbani😂nikupuzika

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m 10 дней назад

    Kweli kev na ❤ness wanapendezana🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m 10 дней назад +1

    Sanaaa❤❤❤❤

  • @LilianMwende-r6o
    @LilianMwende-r6o 4 дня назад

    Lovely Kevin yako wapi

  • @EverlyNeshivaganga
    @EverlyNeshivaganga 14 дней назад

    Kevin wacha stori mingi loveness upwiro unammaliza

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m 10 дней назад

    😁😁😁😁😁😁kev waambiwa uone hahahahahahaha wanawake hao jaman

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 13 дней назад

    Apo Amna Cha mwanamke msalit kama mume wake anamnyima

  • @hyasintarocky9607
    @hyasintarocky9607 14 дней назад

    Waooo love😂😂😂😂😂😂 unajua