niko single mama mwaka wa kumi na tatu huu,sio kwamba sipendi kuongeza watoto ,wanawake wenzangu tusiwathamini wanaume tukaacha watoto wetu wateseke bora ubaki na huy mtoto mmoja kuliko kuzaa watoto wengi ulioweza kuwatunza,mwisho wa siku unaonekana mwanamke una matatizo ya akili,unazaa na wanaume wote hao na wote umeachana nao.
Watu wanatesekea kenya Na kukuja Saudi Ni free,just pray Na utafute a good agent kama uko health ukam tuhustle huku. You look so young,utaombaomba hadi lini
Nimekoza kwelewa kidogo..imesema bleeding ilianza the same day ukaenda hossy uka faint,after that akaelezwa ubebe mizigo uondoke..maelezo yako aiendi sawa even though ni true story
sasa huyu simuelewi alijua bwanake ni mgonjwa na ndoa ya miezi tatu Bado alikaa tu mpaka akazaa watoi 2 akapata jambazi attempted to rape her daughter mamake akamshauri asirudi akarudi matokea mabaya still amepata mtoi mwingine ata family planning hajui ???? vitu zingine si za kusema ATI tusi judge mbona kuzaa watoto wateseke na unajua huna we learn from our mistake
It's 5yrs since i last saw my relatives 💔 they only unite when one dies
Sister,everyone can abandon you,but God will never abandon you.Pray faithfully and God will never let you down.Elder michieka
Woooiii my sister pole haki, but uokoke dear YESU ndiye njia katika maisha haya ya dunia.
Mungu akukumbuke mm nimepitia mengi naelewa kabisa
Pole pia 😢but women are the strongest human akiii
Single for 19yrs and iwill never allow anyman to play around
Sorry 😢i feel you mama...how can we help mwangi or find her place to help her😢😢
That sounds like epilepsy
I love your contents bro,
niko single mama mwaka wa kumi na tatu huu,sio kwamba sipendi kuongeza watoto ,wanawake wenzangu tusiwathamini wanaume tukaacha watoto wetu wateseke bora ubaki na huy mtoto mmoja kuliko kuzaa watoto wengi ulioweza kuwatunza,mwisho wa siku unaonekana mwanamke una matatizo ya akili,unazaa na wanaume wote hao na wote umeachana nao.
True😢
I second you dear tunaleta watoto duniani wateseke mbona
Sometimes fate is just fate😢Hugs
😢😢akiii that's true
Try to interpreted in English sir.
❤
Facts!
Hi
Hapo kwa ndugu toka, better your sister can help you but brother eee
Hii stry n kweli ama n jiba imeshika ama bwana alikua n shida y maskia kma mtoi anaitana kwny bwana akua anaskia mtoi akiita mama yke
Mayb he was scared and horny too
True atoke kwa bed
Watu wanatesekea kenya Na kukuja Saudi Ni free,just pray Na utafute a good agent kama uko health ukam tuhustle huku.
You look so young,utaombaomba hadi lini
Mtoto wake anamuingiza hatari akiona? Maajabu
Am single of 3 but niliapa sitawai weka watoi wangu kwa shida na mambo ya kuolewa hapana but am sorry i hope ume learn kitu
Tuko wengi
Nimekoza kwelewa kidogo..imesema bleeding ilianza the same day ukaenda hossy uka faint,after that akaelezwa ubebe mizigo uondoke..maelezo yako aiendi sawa even though ni true story
Chris oa mtu 😅...jokes aside this lady aende church kwanza...she needs to trace back where she lost it then start all over again
Kwani aendagi church
Nyumba shida pole sana dadaa
Mwangi wewe unaongeanga tu kiswahili kama kikuyu ? Anyway thanks for the stories, we learn so much from them
The village man, that's why😂
Pole kwa mama take heart sass mwangi how can someone get you so that can share her story?
But why not translate
Seriously huyu mama hajui family planing, shida zengine ni za kujitakia
I'm Mwage cres hehehe
Mungu nisamehe hapo pa kupigwa shoka ujiskie kwa watu wa mortuary nimecheka 😂😂
sasa huyu simuelewi alijua bwanake ni mgonjwa na ndoa ya miezi tatu Bado alikaa tu mpaka akazaa watoi 2 akapata jambazi attempted to rape her daughter mamake akamshauri asirudi akarudi matokea mabaya still amepata mtoi mwingine ata family planning hajui ???? vitu zingine si za kusema ATI tusi judge mbona kuzaa watoto wateseke na unajua huna we learn from our mistake
Stop giving us useless episodes, hii story ni ujinga tuu. What can one learn from it.