Asante sana Nusrat. Unaongea vitu vya maana sana vinavyogusa maisha ya Watanzania wengi vizazi na vizazi. Ila hao waheshimiwa wazee wetu walishalitumikia sana taifa, tunawashukuru lakini kwa sasa wamechoka wapumzike. Tunahitaji vijana kama Nusrat wengi ili tujikomboe. Mwenge hauna umuhimu tena kwa sasa, tuachane nao.
Nusrat nakuombea mema ww ni msomi wa kweli, hoja zako zina-u takatifu fulani hv. Hao wenzako hawaeleweki pande zote wanatwanga makofi tu ilimradi zao zinawaendea. Mungu akutunze daima
Big up Nusrat. Hawa wapuuzi wa Ccm wamefail mpk kufikiri ndio Mana value for money hawaon umuhimu wke sbb ya kunuka rushwa. Zero brains tunawasubiri kwny sanduku la kura 2025 mtafurahi na show.
swala la mwenge serikal ingejua... unapigwa vita sana mtaani. ila watu wanashindwa kusema. labda serkl ikiri kwann mwenge... kwann usitengewe siku yake kama siku ya uhusu. kukawa na tamasha na kuuwasha na kuuzima kuhamasisha.
Kweli kabisa, Mbunge wetu Nusrat umeona mbali sana, Mwenge imekuwa Kama igizo tu. Hata baba wa taifa angekuwepo angeshaachana na mbio za Mwenge, hauna maana yoyote, zinatumika gharama bure tu.
Imbukwe Mwalimu Nyerere aliwahi kukataa mfumo wa vyama vingi, lakini alipoona faida za vyama vingi, alikubali kusaini. Mimi nashauri mbio za Mwenge ziondolewe, tuangalie mbinu Mpya ya kumulika Amani na mshikamano,
Uchawi mptupu na si zaidi ya hapo! Ndo maana Hutoona Budget yake, Watanzania hatuhitaji mwenge tunahitaji viongozi bora, waadilifu na wenye kujielewa. Tanzania tunahitaji siasa safi na sio mwenge, toka tumemulikwa na mwenge mbona wala rushwa hawapungui? Kila kukicha tunazalisha viongozi wezi na wasiojielewa ndo maana hatuendelei. Kifupi hatuhitaji mwenge
Puh! Puh! Puh! Puh! Taarifaaaa mheshimiwa naib spika too much Ili binge Ili mmh!! Kwanza huo mwenge umeshiliki kueneza maambukiz ya HIV kwa kias kikubwa katika nchi yetu
Yani ujinga hata mtoto anaweza kujibu huu upunzi wao mwenge kitu gani kumamazao mijizi tu hii wanatumia mibilion kwa mibilion wakti kuna kata mpka kesho hazina maji hii miccm haifai tena kuongoza Tanzania
Wewe wataarifa umezingua nembo ndo nn kikubwa uwo mwenge unatumia ghalama nyingi ndo point ya uyo nusrat nusrat yupo sahh munamtoa katika njia yake mwenge hauna mn au kunaswala lipo katika uo mwenge
Ukiitumia akili yako sawasawa bila kuchanganya na mawazo ya kisiasa yaliyojaa uongo na upgaji mkubwa wa fedha bila kujali maslahi ya taifa,,,utagundua ukweli kuwa, Mwenge ni ujinga ujinga ujinga ujinga,,,, Tamaduni ya kishetani hizo pesa mngegawa kwa wananchi Kama gawio kutoka serikali yao mngepata baraka Kubwa,,,,au pelekeni kwa yatima wakale bata na wao
Unapambana na hoja usiyo ijua. Kila taifa lina taratibu zake na desturi zao ambao ndo utambulisho wa taifa husika. Mbona hujawahi kupinga kifimbo cha malkia? kina faida gani kwetu. Afadhali mwenge unachagiza maendeleo ya taifa.
👏👏👏 hongera Nusrat
Mheshimiwa Nusrat, ubarikiwe Sana, kwa kutusemea Jambo Hilo bungeni, Nina hakika Mungu atafanya kitu,
Maana hata Mungu anachukia Sana Hiyo sanamu
Wowwwwww, finally somebody brought this up. What a point. Thank you!
Mzungumzaji yuko vizuri wabunge msitupotoshe anachosema Nusrati ni nzuri kabisa vijana hawana ajira halafu mnapiga makofi
Asante sana Nusrat. Unaongea vitu vya maana sana vinavyogusa maisha ya Watanzania wengi vizazi na vizazi. Ila hao waheshimiwa wazee wetu walishalitumikia sana taifa, tunawashukuru lakini kwa sasa wamechoka wapumzike. Tunahitaji vijana kama Nusrat wengi ili tujikomboe. Mwenge hauna umuhimu tena kwa sasa, tuachane nao.
Mwenge ni uchawi wa CCM
Nchi ilishauzwa ndugai kasema
Nusra unaakali kuliko wabunge wote wa ccm
Ni kweli.
Africa kuendelea ni ndoto
Kuendelea kupo Kwanza wewe anza
Dada uko sahihi 💯✅
hawajamuelewa kabisa dada
Miradi haiwezi kukaguliwa bila ya mwenge!!!!!
Hoja na majibu ni tofauti 100%
Asante nimekuwlewa sana , serikali ndio haina huruma na wanaichi wake
Hongera mbunge wetu Nusra, huo mwenge Ni sanamu ya bure,
Ushetani wanao uabudu
Nafikir nusrati hawajamuelewa wanamjibu tofauti na anachouliza
Jamani huo Mwenga sio kuwa haujadiliki. Utetezi wake bado ni hafifu sana. Nusrati safi sana.
We ole sendeka kwa akili yk mwenge unaweza Murika nje ya mipaka!
Dada. Umeongea point
Afu kunajitu linasema ...hakuna value of money.
Afu kunamajitu inapiga makofi.
Nusrat nakuombea mema ww ni msomi wa kweli, hoja zako zina-u takatifu fulani hv. Hao wenzako hawaeleweki pande zote wanatwanga makofi tu ilimradi zao zinawaendea. Mungu akutunze daima
Mwenge unaleta amani gan,i upendo gani na heshima gani kwa tanzania!?!??? Ni upuuzi mtupu
Hapana mwenge siyo mhimu sana
Mwenge ni upuuzu mtupu. Kila kitu munaweka jina la Rais. Ujinga gani huwo?
Dada uko sahihi kabisa
Yupo sahii kabisa..hawa wakosoaji wananufaika kuna namna
Kuendelea kutumia Mwenge Ni Sawa na kutumia mawazo na mfumo wa Anarog wakati tupo katika mfumo wa Digital.
Mwenge ni ishara ya umoja, mshikamano na amani...Acha Mwenge uendelee
Amani ipi ktk nchi hii? Haki isipokuwepo amani haipo
Mwenge uchawi tu uondolewe kabisa hauna faida kwa watanzania
Dada mngu akuongoze nausonge mbele Zaid yahapo
Ww umejibu kwa kupiga tu ilimladi kuongea dada anaongea points
Matumiz tu mabaya ya pesa
Museum to be remembered at one time we had Kama kitu Cha kuzindua miradi! Elimu jamani! MWENGE uliletwa becoz watu hawakua na Elimu
Big up Nusrat. Hawa wapuuzi wa Ccm wamefail mpk kufikiri ndio Mana value for money hawaon umuhimu wke sbb ya kunuka rushwa. Zero brains tunawasubiri kwny sanduku la kura 2025 mtafurahi na show.
Dah
Nusrat tumekuelewa
Mwenye hauna faida yoyote zaidi ya hasara tu
Nimoooooo
Mwenge Ni Dili la Upigaji Kujaza matumbo Ya Wachache.
hoja za msingi mnajibu kisiasa huu mweng unatuongezeea gharama nyingi ambazo hazikutakiwa kuwepo ata kimaadili una disadvantages nyingi
Nusrat ana hoja ila hawajamuelewa kabisa na majibu ni ya kisiasa sana tofauti na logic iliyoko kwenye swali.Nadhani kuna chakula wanajaribu kukilinda
swala la mwenge serikal ingejua... unapigwa vita sana mtaani. ila watu wanashindwa kusema. labda serkl ikiri kwann mwenge... kwann usitengewe siku yake kama siku ya uhusu. kukawa na tamasha na kuuwasha na kuuzima kuhamasisha.
Mzee sendeka unaheshimika, acha kujishushia heshima
Tatzo ni kwamba hawajamwelewa Dada ...
#alisema hv.. Kama Kuna namna ya tofauti tunaweza fanya tupate namna ya kuenzi mwenge
Dada yupo vzr sana lakin tatizo hawataki kumuelewa kabisa
Kweli kabisa, Mbunge wetu Nusrat umeona mbali sana, Mwenge imekuwa Kama igizo tu.
Hata baba wa taifa angekuwepo angeshaachana na mbio za Mwenge, hauna maana yoyote, zinatumika gharama bure tu.
Imbukwe Mwalimu Nyerere aliwahi kukataa mfumo wa vyama vingi, lakini alipoona faida za vyama vingi, alikubali kusaini.
Mimi nashauri mbio za Mwenge ziondolewe, tuangalie mbinu Mpya ya kumulika Amani na mshikamano,
Kumbe kuwasha na kuuweka ktk mlima Kilimanjaro na siyo kuukimbiza
Jaman mbona Dada yuko vizur kikos kikubwa sana kinachokwenda huko
Sasa naibu spika mbunge anakuuliza hakuna njia nyengine ya kufanya ili kupunguza gharama?
Hukumuelewa hoja yake mbungu!
Kweli kabisa dada mbona hawaweki wazi gharama
Amejchanganya Sana hapo alipotach huyu Mdada vtu vngne nivyakumute tuu
MWENGE UTAFUTIWE MAHALA PAKE PA KUWASHWA CYO KUZUNGUSHWA!!
Mh anaongea ya maana🤣🤣🤣 upande wa pili Sasa wanamponda?
Uchawi mptupu na si zaidi ya hapo! Ndo maana Hutoona Budget yake, Watanzania hatuhitaji mwenge tunahitaji viongozi bora, waadilifu na wenye kujielewa. Tanzania tunahitaji siasa safi na sio mwenge, toka tumemulikwa na mwenge mbona wala rushwa hawapungui? Kila kukicha tunazalisha viongozi wezi na wasiojielewa ndo maana hatuendelei. Kifupi hatuhitaji mwenge
Mjumbe anachangia kwa woga sana lkn ana hoja
Umeonaeeee
Mweshimiwa nusurati uko sahihi kabisaa.
Miradi kwani mawaziri husika kazi zao ni nn
Huyo anaetetea mwenge kuendelea kuzunguka lazima anapata chochote kitu.
Utamaduni...nembo...ila ndo bajeti yake haipo bungen...zinapigwa juu kwa juu hapo
Puh! Puh! Puh! Puh! Taarifaaaa mheshimiwa naib spika too much Ili binge Ili mmh!! Kwanza huo mwenge umeshiliki kueneza maambukiz ya HIV kwa kias kikubwa katika nchi yetu
Upo sahihi. Ukienda mwenge unapolala,kuna uchafu mkubwa.
Mwenge uendelee kwani hata usipokuwepo iyo hela itaenda wpi acha waliopewa wapewe tusionavyo acha tukae
sendeka bona mmemkatili kumbe nyinyisote wapigadili
We Olesendeka wewe Amani inaletwa na Mungu
Mwenge ni upigaji tu
Zungu ndo amnazo kbsaa
Wabunge kila kitu makofi
Wajinga Sana Hawa watu kama.sio wapumbavu
Utamaduni huo wa mwenge ni wenu nyinyi tu watu wachache mnaojinufaisha sisi wengine siutamaduni wetu hasa zanzibar
Majambazi wakubwa nyie
Siasa kwenye uchumi ndo mnaharibu pakubwa ccm oyeee
Eti nembo ya Taifa, Taifa lina nembo ngapi mbona nembo zingine hazitembezwi.
Uko sahihi Mheshimiwa, Mwenge utafutiwe njia mbadala,vinginevyo hawa wengine wanatafuta ulaji wa hizo hela hamna cha nembo ya nchi
Mhuu siasa ni ki2 Cha ajabu sana Hadi wazee wanatetea chakula 🤔 nawaza kwa saut
Mungu ndio analeta matumaini na aman sio utaila wa mwenge
Utaila mtup kuibia hela za walipa kod
Yani ujinga hata mtoto anaweza kujibu huu upunzi wao mwenge kitu gani kumamazao mijizi tu hii wanatumia mibilion kwa mibilion wakti kuna kata mpka kesho hazina maji hii miccm haifai tena kuongoza Tanzania
Cccm tatizo kumbwa sana mtu anatoa hoja yamsingi sana kwani tusiweke anae taka kuona aende aone jamani
Basi tufanye ivi limwenge liwe linawashwa kwe TV linatazamwa siku moja na watz wote
Wabunge wa ccm bana hawana uchungu kabisa na kodi za wananchi.
Hili neno Taarifa NACHUKIA
Mbusese huyo aliyetowa taharifa mjinga mmoja huwo baba hanithi mmoja
Be care utanyooshwa na hlo binge uslione
Kwani huu mwenge unamanufaa gani si uwekwe makumbusho.
Kweli wabunge wa ccm Ni mabuchuchu
mimi siku hizinilishaacha kuwasikiliza hawa watu sioni la maana
Munamuooteza semeni mnatua shilingi ngapi ajue Kama itapunguzwa
Ujingaa Sanaa mwenge Wiz mtupu
Nusrati andika kwa maandishi watakuelewa tu
Wewe wataarifa umezingua nembo ndo nn kikubwa uwo mwenge unatumia ghalama nyingi ndo point ya uyo nusrat nusrat yupo sahh munamtoa katika njia yake mwenge hauna mn au kunaswala lipo katika uo mwenge
R.I.P MDADA WETU
Fedha zinatoka wap8
Utamaduni wenye hasara
Yaani watu wafe eti kisa nembo! MWENGE UWEKWE KWENYE KUMBUKUMBU
Hivi hao ni vijana wa wawapi vile
Ukiitumia akili yako sawasawa bila kuchanganya na mawazo ya kisiasa yaliyojaa uongo na upgaji mkubwa wa fedha bila kujali maslahi ya taifa,,,utagundua ukweli kuwa, Mwenge ni ujinga ujinga ujinga ujinga,,,, Tamaduni ya kishetani hizo pesa mngegawa kwa wananchi Kama gawio kutoka serikali yao mngepata baraka Kubwa,,,,au pelekeni kwa yatima wakale bata na wao
Huyu nusurat fala tu
Unapambana na hoja usiyo ijua. Kila taifa lina taratibu zake na desturi zao ambao ndo utambulisho wa taifa husika. Mbona hujawahi kupinga kifimbo cha malkia? kina faida gani kwetu. Afadhali mwenge unachagiza maendeleo ya taifa.
Kifimbo Cha malkia kinatuhusu nn hpa tunazungumzia mwenge? I swear this kind of ignorance disgusts me to the maximum.
Mbunge unae tetea mwenge tunakusubiri kwasababu unatuonyesha usivyo na akili na nikwasababu mnakula kodi zetu
Huyu dada mbunge nadhan atakuwa chadema ndio maana anapingwa
Hujui historia ya nchi wewe nusurat
Dada hata Kama wamekukataa ila wanachimba tumekuelewa. Spika hutakiwi kupinga hoja za watu,,,simama katikati ya hoja
Pumbafu sana...huyo anaitwa Mbunge kwa sifa zipo za kuwa mbunge wkati ni mwizi tu kwa Michongo ya Ndugai,Mahera na sasa Tulia???!. Ovyo kabs💉👊