USHAURI KWA WAUZA MITUMBA WAPYA🥰

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Bosses Karibuni @slay_with_loara_mwanza Tunauza Mtumba safi Grade A kutoka China,Canada na UK kwa gharama nafuu kabisa Tunazo nguo aina zote za wakaka,wadada pia watoto na masweta pia nguo za masherehe na mashela ya mtumba Tunauza Jumla na rejareja pia Mabalo na nusu balo kwa baadhi ya mizigo Tunapatikana Mwanza 0743133421 Tunatuma Mizigo Mikoa yote kwa uaminifu kabisa 🙏 ❤️

Комментарии • 43

  • @Evelynemlemeki
    @Evelynemlemeki 16 дней назад +1

    Asante sana barikiwa

  • @LuccyJoseph-n4i
    @LuccyJoseph-n4i Месяц назад +1

    Asante sana Mungu akubariki

    • @loaras96
      @loaras96  17 дней назад

      @@LuccyJoseph-n4i Amen

  • @ScolahGwamaka
    @ScolahGwamaka 3 месяца назад +3

    Namba yko my

    • @loaras96
      @loaras96  3 месяца назад +1

      0743133421 karibu

  • @octavianmacha7739
    @octavianmacha7739 4 месяца назад +2

    Barikiwa mno dada angu sijawahi kujutia uwepo wako Mimi ni mshindi na tajiri kupitia wewe!!

  • @FinerMushy
    @FinerMushy 4 месяца назад +1

    Nimekupenda Bure mpendwa maana Niko na mpango wa hiki unachikisemea mpendwa

    • @loaras96
      @loaras96  4 месяца назад

      Asante sana karibu

  • @JeremiaShaonaro
    @JeremiaShaonaro 22 дня назад +1

    How much for a quality chiffon blouse bale

  • @RaphaelChacha-x9g
    @RaphaelChacha-x9g Месяц назад +1

    Dada nahitaji kuanza ila sijajua mahali pakupata mzigo

    • @loaras96
      @loaras96  17 дней назад

      @@RaphaelChacha-x9g karibu tuwasiliane 0743133421

    • @RaphaelChacha-x9g
      @RaphaelChacha-x9g 17 дней назад

      @@loaras96 ahsante nita kuchek

    • @RaphaelChacha-x9g
      @RaphaelChacha-x9g 17 дней назад

      @@loaras96 ahsante nita kuchek

  • @pilipili1907
    @pilipili1907 Месяц назад

    Uko wapi Mrembo na Bero la Nguo za Mitumba za watoto shi Ngapi

    • @loaras96
      @loaras96  Месяц назад

      @@pilipili1907 Nyamanoro Mwanza,Kuanzia 480,000 nk

  • @PETRONILAMNYILIPANDUKA
    @PETRONILAMNYILIPANDUKA 4 месяца назад +1

    Upo wapi

    • @loaras96
      @loaras96  4 месяца назад

      Nyamanoro Mwanza 0743133421

  • @ruthotanga2960
    @ruthotanga2960 3 месяца назад +1

    Dada nashukuru mimi ni mkenya nataka kuuza balo la cotton dress lable kani nzuri nashukuru

    • @loaras96
      @loaras96  3 месяца назад

      Sina kitu inaitwa Lebo sababu Lebo hubadilika kwa kipindi

  • @hamisstimu
    @hamisstimu 22 дня назад +1

    Weka namba yako ya simu madam

    • @loaras96
      @loaras96  17 дней назад

      @@hamisstimu 0743133421

    • @hamisstimu
      @hamisstimu 17 дней назад

      @@loaras96 ubarikiwe saana

  • @LeahGabriel-nk6tz
    @LeahGabriel-nk6tz 3 месяца назад +2

    Namba jaman

    • @loaras96
      @loaras96  3 месяца назад

      0743133421 karibu

  • @monaishm9445
    @monaishm9445 3 месяца назад +1

    Dada minataka baro la jinsi za kiume bei gan

    • @loaras96
      @loaras96  3 месяца назад +1

      BALO ZA MEN JEANS BEI ZAKE NO 1 & CREAM👇👇
      ✅Kuna la 500,000 /= 580,000 /= china pc 90-100 hizi ni kampuni mbili tofauti ndio mana bei tofauti
      🔰650,000 /= LA CHINA PC 90-100
      -
      🔰750,000 /= la UK PC 100
      -
      850,000 /= la canada pc 100 pia la DUBAI bei moja
      -
      ✅ kiufupiiiii MEN JEANS BALO NI 500,000/=, 580,000 /= za CHINA PC 70-80 (kampuni tofauti izo) izi bana zinatoa jeans modooo za vijanaaa pekeee , UK / TURKEY 750,000 /= pc 100 & mainili kabisa CREAM DUBAI au ilo la CANADA 850,000 /= PC 100 hizi pia zinakuaaa mchanganyiko modo za vijana na jeans pana za watu wazimaaa ✔️✔️✔️ BALO NZURI NI HIZO TU ACHAANA NA UO UCHAFU MWINGINE
      🟥NB ; kuna balo hadi za 300,000/= nyingine 250,000/= ila hizo nilizoorodhesha hapo ndio balo NZURIIII HAZINA MASHAKA ✔️✔️✔️

  • @veronicambilinyi3854
    @veronicambilinyi3854 3 месяца назад +1

    Naomba namba zako please

    • @loaras96
      @loaras96  3 месяца назад

      0743133421 karibu

  • @thomasmtweve9899
    @thomasmtweve9899 Месяц назад

    Namba Yako please

    • @loaras96
      @loaras96  Месяц назад

      @@thomasmtweve9899 0743133421

  • @ramanycore
    @ramanycore 3 месяца назад

    BALO MNATUMA MIKOANI NA GHARAMA NI ZA NANI?

    • @loaras96
      @loaras96  Месяц назад

      @@ramanycore tunatuma,gharama ni juu ya mteja

  • @OyelMina
    @OyelMina 3 месяца назад +1

    Na nikija nataka pisi moja moja ila nataka kama 600.!?!

    • @loaras96
      @loaras96  3 месяца назад

      Pis za kitu gani boss

    • @OyelMina
      @OyelMina 3 месяца назад +1

      @@loaras96 yaani namanisha kuchambua moja moja ila nachukua kama pic za nguo 600 bei inakuwaje hebu nieleweshe Dada..!?!

    • @loaras96
      @loaras96  3 месяца назад

      @@OyelMina itategemeana na aina gan umechanganyaje bei sio uniform huu ni mtumba boss

    • @OyelMina
      @OyelMina 3 месяца назад

      @@loaras96 haya Sawa Dada nimekuelewa..!??

    • @vailethsawe-fj2mz
      @vailethsawe-fj2mz 3 месяца назад

      Dada kama nataka niwe nachukua mzigo wa nguo za kike lakini niwe natembea minadani nitatoboa