Inasemekana Saydina Othman Nyumba Yake Imezingiwa Siku 40 Hakuna Kuingiziwa Chakula ! Sasa Hao Wafuasi wa Othman na Maswahaba Walikuwa Wapi? Na Inasemekana Walipomuuwa Mwili Wake Ulikaa Siku 3 Haikuzikwa - Wapo Wapi Maswahaba? Na Inasemekana Mwili Wake Ulizikwa Kwenye Makaburi Ya Mayahudi. - Wapo Wapi Maswahaba?
@@saba-gv3mj Nimesikikiza Yote! Shekhe Anasema Wakati Sydna Othman Kazungukiwa na Makafiri Katika Siku Hizo Siku 40 Maswahaba Walikwenda Kwa Othman Kutaka Ruhsa Wapigane Na Hao Makafiri Eti Othman Hakuwapa Ruhusa. Yaani Othman Anaona Bora Auliwe na Makafiri Kuliko Kumwaga Damu Kwa Kupigana na Hao Makafiri ! Baada Ya Siku 40 Wakaamua. Mwili Ukawachwa Siku 3 Bila ya Kuzikwa! Jee na Hapo Vipi? Kisha hao Makafiri Wakamzika Kwenye Makaburi ya Mayahudi! Na Hapo Vipi? Yaani Hao Maswahaba Wamekaa tu Wana Angalia!! Story Yote Haimeki Sense.
Ma shaa Allah
Shukran sheikh
Allah azidi kukupa afya
Mashallah
MashAllah elimu Allah akuzidisie umri
Shukran sheikh
«اللَّهُمَّ إنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ زَوَالِ نِعْمَتِكَ، وَتَحَوُّلِ عَافِيَتِكَ، وَفُجَاءَةِ نِقْمَتِكَ، وَجَمِيعِ سَخَطِكَ».
Machallah , اللهم رحمنابما علمتنا في الرين
Inasemekana Saydina Othman Nyumba Yake Imezingiwa Siku 40 Hakuna Kuingiziwa Chakula ! Sasa Hao Wafuasi wa Othman na Maswahaba Walikuwa Wapi? Na Inasemekana Walipomuuwa Mwili Wake Ulikaa Siku 3 Haikuzikwa - Wapo Wapi Maswahaba? Na Inasemekana Mwili Wake Ulizikwa Kwenye Makaburi Ya Mayahudi. - Wapo Wapi Maswahaba?
Sikiza mpaka mwisho mawaidha utajua maswahaba walikua wapi
@@saba-gv3mj
Nimesikikiza Yote!
Shekhe Anasema
Wakati Sydna Othman Kazungukiwa na Makafiri Katika Siku Hizo Siku 40 Maswahaba Walikwenda Kwa Othman Kutaka Ruhsa Wapigane Na Hao Makafiri
Eti Othman Hakuwapa Ruhusa.
Yaani Othman Anaona Bora Auliwe na Makafiri Kuliko Kumwaga Damu Kwa Kupigana na Hao Makafiri !
Baada Ya Siku 40 Wakaamua.
Mwili Ukawachwa Siku 3 Bila ya Kuzikwa!
Jee na Hapo Vipi?
Kisha hao Makafiri Wakamzika Kwenye Makaburi ya Mayahudi!
Na Hapo Vipi?
Yaani Hao Maswahaba Wamekaa tu Wana Angalia!!
Story Yote Haimeki Sense.