JEURI YA PESA MO DEWJI ATOA BILIONI 20 MEZANI "KELELE ZIISHE SASA"
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC MO Dewji leo ameongea na waandishi wa Habari na kueleza mambo mbalimbali kuhusina na uwekezaji wake ndani ya Simba SC.
Millard Ayo you are doing a great job have been following you for long time and now am happy that through your inspiration and hard work it made me to start my RUclips channel mob Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
tajiri mo huna baya sasa.
Watu wengi kusema kweli kwenye hivi vilabu huwa ni njaa kali na maneno gunia. Mo anatoa cheki ya bilioni 20 😳🥂
Nyie wengine sit down and listen 👂🏾
Gug ongera xana
Billion 20 ni ndogo kivipi wakti Kuna watu hizo Hela hawana kwenye timu zao acheni kujaji bos washamba
Kw mtazamo wang naon kam waeka ela jalbu kuftilia nawachezj wak unao let 2mechok kuletew magalas jman
Kwahyo Mo anawasema wengne wasiotoa hela au? vip hapo Imekaaje wadau....!!
Unafanya vizuri kutoa kusaidia Simba.
Hongera sana.
Tunataka utuambie mapato ya Simba ya viingilio uwanjani, na mauzo ya jezi na matangazo kwa mwaka ni sh ngapi?
Maana unavyozungumza ni kama Simba hawaingizi chochote kile. Please tell us!
Mimi nakupongeza sana sababu naipenda simba
Mudi naomba ntumie vocha ya jero nijiunge🤣
Mudi asie na hela, mwenye hela Mo 😅😅
🤣🤣🤣🤣
@@mohamedaden5881 ww ndo Mo eeh?!🤣🤣
Broo ukisikiliza wabongo, watasema huna Billion 100 na kwa hasira utatoa kisha watasema huwez tembea uchi kwa hasira utatembea mwishoe aibu kwako
Bilion ishilini nyingi sana acheni zalau za kisenge timu ilikuwa imepoteana saivi imekaa sawa midomo Kama mwijaku ata laki yenye kazi kupata achane utoto kuhudumia timu sio lahisi
Huyu mhindi mnjanja kweli si ni siasa huwezi Amin subir baada ya mda utaona hii hela anaipokea na man jiulize
Mangungu nakuona tu hapo pembeni unanikera kweli tena
😂😂😂
Pesa
Simba 😂 wameliwa
Mooo watu wanaumia mno huku mtaani hebu mjaribu kuipenda Simba maana IKIWA unatoka Hela ya usajibu mbona mnaleta watu wabovu kama kunawatu wanao itafuna Simba wapigwe chini Ili nas tuvimbe kitaaa huku
Hivi nyie wasenge mnaziiba wapi izi hela!!??
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daah hata mi siwaelewii
@@valleluoga6258 😅😅
🤣🤣🤣
Matajiri Tanzania 🇹🇿 ni wahindi na waarabu ila wabongo weusi mafukara, sijui ni laana gani wakati wao ni wazawa katika nchi yao.
Unajitukana??we mwenyew ni ngozi nyeusi ushajiuliza kwanini we ni fukara?
@@wazirmlogi7532 jomba sio matusi ila jambo la kufikiria, jadili na jombazi wengine walio karibu yako huko
Sio laana ,ni Mungu tu mwenyewe akitaka kukupa zaidi au ufanye juhudi ya kutafuta na kuomba Mungu ,mtazame tajiri Dangote si mtu mweusi yule na ni tajiri wa 1 afrika nzima, so unachosema ukifikiria kwa haraka utasema km tunalaana mana mambo mengi sisi weusi ndio tupo nyuma,ila tusikate tamaa tupambane.km wazazi wko wanamali basi hyo ndio moja ya source ,otherwise tafuta Mali ndugu yangu.
@@kabwelasutiviraka4765 sasa ww ndiyo ilitakiwa kabla ya kuongea ufikiri kwanza,kwamba sos ni ya sisi ngoz nyeus kutokuwa matajiri ni nini kisha ungetuweka waz kuwa sababu ni nini ma kisha tufanye nini ili na sisi tutoke,ss ww unashangaa na kutaka kujua kupitia wengine wakat we mwenyewe ni ngoz nyeusi
@@kabwelasutiviraka4765 Hivi unategemea kuna atakae kujibu wakati wewe mwenyewe UMEJIITA....... KABWELA SUTI VIRAKA ???Pia tafuta maana ya neno UTAJIRI maana yake wapo kina DANGOTE
tajiri bahili kweli huyu
Ndio maana amekuwa tajiri,
Usie bairi utaishia majungu.
hahahaaaa
@@williammbuzimai5744 mwambie
Me cjui unachuma kiasigani kwenye Simba ntka matokeo mazuri tu bro na mwakani tuwatese yanga tena lete usajili wa maana tuwauwe yanga
😂
Atawasusia team huyo
Upande WA pili kinachowaumiza nini, tumebeba ndoo ya fa na ligi kuu,kikubwa ni mafanikio
Do!!!
Mbona GSM anatupiga kwenye jezi naomba nijue imekaaje hii Mbona tumelewa na ubingwa huku tunapigwa tuamke
😂😂😂😂
Kuna umuhimu wa so call the black empowerment kama kuna duka la mtz weusi ngozi nyeusi na la wa rangi ingine awe wahindi. Waarabu au wasomali , nendeni mkanunue bidhaa kwa weusi we nzenu ili ku support na kunyanuana. Wenzenu wanasaidiana na nyie weusi muanze hivyo sasa
Ninyi mnao comment upumbavu mkipewa Simba mtaipeleka wapi?
Anzisha team yako..achia wawekezaji wawe wengi
We mwenyewe unapiga pesa acha uboya
Hii timu ni ya mtu
Ya kwako
Kama ilivyo Utopolo Ya GSM
Kikubw mm furah hbr timu y mtu i dont care
takuwapo et kwan uiyon nguvu yamoo inavyo fanyakazi
@@NkamuJoMundo kapisa brother
Aisee masha biki wa simba akili awana kiukweli wana pumbazwa tuu juu ya kuondolewa manala dah
Wew wa Yanga mwenye akili mnanini Cha kujisifia msimu huu?? Calinyo mbona aliondoka na mkanyamaza??
Ya simba yanakuhusu nini
Tatizo utopolo mnasajili magazetini ligi ikianza magazeti yanafungiwa vitumbua mnafeli
Ila mo kama unaona upati faida simba kwann unaingangania simba. Ni kama unaifanyia favor meanwhile unafaidika.
Lipa wewe mweyewe umetaka timu kuidhamini lakini hizo pesa atarudisha baada ya kuiba ktk kodi mjanja huyo wala asipewe hiyo asilimia iliyobaki ya simba mjanja huyo…
Duh hizo hela simnipe hat
A laki mbili ninunue tv Sina tiv
🤣🤣🤣🤣
Mo usitudanganye bhana huwezi kutoa billion 20 bila kupata faida moja katika biashara nzuri hapa Duniani ni mchezo wa soka ndio maan wachezaji wanalipwa vzr, Kila wiki mechi ya simba ikicheza hawakosi kuingiza Milioni 600 au 500 au 400 mukikosa sn milion 200,bado kuna wadhamini km Bakhresa, sport pesa na wengineo hawo pia wanatoa mkwanja mrefu bado Kuna kuuza wachezaji unapta pesa bado katk klabu bingwa ya Africa Kadri munavyo zidi kusogea mbele ktk makundi munalipwa pesa ndefu Kwa usitaje pesa unayo toa tu taja na faida munayo ingiza
Wewe mangungu wewe toka hapo unatukera ujue
Sijakuelewa
Umeshaongea sana kuhusu kutoa pesa, haya ebu tupe mahesabu za yale ulizoingiza kwa kuuza bidhaa kwa umarufu uliyopata kutoka kwa Simba sc?
Naona anajumlixha2 hela alizotoa huyum2 hana hela mkuu
Bilioni 20 ni hela ndogo sana.Huyu mhindi katuteka akili zetu tu.Ingetangazwa tenda na uwekezaji uwe zaidi ya bilioni 100.Wangekuja matajiri kutoka nje na kuwekeza.Huyu mtoto wa kihindi ni msanii tu
Bro huna pesa, utulie tu.
Wewe una shilingi ngapi
Million 10 huna 🤣
Hela huwaga haitoshelezi kamwe ndugu yangu hadi unadead,,,mlikuwa mnalalamika kuhusu hyo Bil.20 haya sasa mpewa,,,sasa mnataka bil.100 na zaidi kama timu ya familia yenu vile,,embu jiheshimu broo,,Timu yako ya Simba ikishakupa burudani uwanjani,,,ushindi makombe inatosha hayo mengine waachie wengine kk!!
Usanii kweny bilion20 unaumwa wew😂😂😂
We endelea kuwakanyaga hao wajinga wajinga!