JAMAA ANA DEGREE YA UDOM "KANYIMWA KAZI, KAKIMBILIA SEREMALA, ANAPIGA PESA NA KAAJIRI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 18

  • @geographicalworld1994
    @geographicalworld1994 4 года назад +1

    Huyu jamaa ni genius sana🙌🙌🙌

  • @eliasgoseph1075
    @eliasgoseph1075 5 лет назад +2

    kusoma mpk form 4, form 6, au hata chuo haimaanishi unajiandaa kuajiriwa, japo ndio mentality ya wengi....nafikiri ukichanganya elimu yako hata kama ni level yoyote ile na kile unachoweza kufanya apart from elimu ya darasani...inakupa kufanikisha unachokitaka kwenye maisha, tumezaliwa na uwezo binafsi(vipawa) ambavyo wakati mwingine vinaweza kukupa kufanikiwa nje ya elimu tunayoikuta duniani...shida kubwa ni uoga wa kuvitumia vile vitu ambavyo tunaweza kuvifanya nje ya vyeti....Hongera brother umethubutu

  • @2116-n
    @2116-n 4 года назад +1

    Ismail moshi, M'a classmate, hongera sana

  • @godfreynyansira4273
    @godfreynyansira4273 5 лет назад +1

    Nimekuelewa kijana, ,kazi nzuri ni kujiajiri

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 4 года назад +1

    Magamba ya vyeti kama mauwa hongera kaka wenzio wanaona inshu kujitoa kimasomaso.. piga kazi mpk kieleweke

  • @spimerkyando4369
    @spimerkyando4369 5 лет назад +2

    Pamoja sana bro endelea kupambana kuliko kusubiria ajira

  • @athumanimganga370
    @athumanimganga370 4 года назад

    Saf brother Piga kazi one yes .

  • @SIRKALYA
    @SIRKALYA 4 года назад

    Big up bro

  • @hanujoseph8809
    @hanujoseph8809 5 лет назад

    Hongera sana kaka kwa ubunifu wako huo

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro6332 5 лет назад

    Safi Sana pot!!

  • @mohamedmiraj3117
    @mohamedmiraj3117 5 лет назад +1

    Maisha yamebadilika ubunifu ndio ajira

  • @barakacosmas636
    @barakacosmas636 4 года назад

    Safiiii

  • @taanimedia6489
    @taanimedia6489 5 лет назад

    watu wana itikadi mbaya ... kusoma si lazima kuajiriwa elimu yake ndo inayomuajiri mtu ... jamaaa nimemkubali ana degree nina uhakika atafanya vitu kwa uwezo wa elimu yake

  • @ombenmichael3473
    @ombenmichael3473 5 лет назад

    Mimi enyew nimesoma ila kazi Sina #Electrical Engineer holder

  • @hajilitonick7747
    @hajilitonick7747 5 лет назад

    Lakini pia wanavopewa mikopo. Wapewe na wazo la biashara sio pesa tu

  • @hamisfakih4739
    @hamisfakih4739 5 лет назад

    Kipindi tutaona mengi kwakwel

  • @gabriel87567
    @gabriel87567 5 лет назад

    Piga kaz bro...

  • @kerjoyofficial9213
    @kerjoyofficial9213 5 лет назад

    Hahahha tazama makonda alichokusemaruclips.net/video/woma86iq0VE/видео.html