SWALI: INARUHUSIWA KUSWALIA MAITI YA SHOGA AU MTU ALIEJIUA MWENYEWE? USTADH KHATIB OMAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 17

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 11 дней назад +3

    Shukran sana sheik 😊

  • @kondomohamed3150
    @kondomohamed3150 13 дней назад +1

    Shukran sana Sheikh wa jazaka Allah khayra

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 9 дней назад

    Umeuliza maswali mawili mazuri sana ushoga na kijiuwa. Swali wapili niaibu hata kuliuliza ati kwenye kuowa utoe shariti yako twaambiwa kwenye dini ni wa inne

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 8 дней назад +1

    Mimi hata siwezi kuuliza swali hilo nasikia kichefuchefu shoga haswaliwi
    Utaswaliaje maiti iliyolaaniwa????

  • @alimau7939
    @alimau7939 6 дней назад

    Sheikh apo uliposema saiv hakuna tena mashahidi wa kuuliwa kwenye vita naomba ukapaangalie tena vizur zaid

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 3 дня назад

      Kwani ww unaona wapo? Au uneskia lini na wapi kua Kuna vta ya jihad?

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 3 дня назад

      Kwa sasa hakna vta ya jihadi

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 4 дня назад

    Mbona mabasha huwa hawaongelewi nnn hukumu yao

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 8 дней назад

    Sasa muulize sheikh wako ni maiti zipi zilolaaniwa????

  • @rashidiramadhani4342
    @rashidiramadhani4342 13 дней назад +2

    MTIHAN TULIANAO LEO WATU HATUULIZ MSWAL KWA KUTAKA KUJUA MAMBO ILA WATU WANAULIZA ILI WAJUE KAMA UNAJUA

    • @Mubarak-e6p
      @Mubarak-e6p 10 дней назад +1

      صدقت أخي

    • @hemedhamdan
      @hemedhamdan 7 дней назад +2

      Wengine wanauliza sio kwamba hawajui, bali wanauliza kwa faida ya wengine waliohudhuria... Tuweni ni dhana njema kwa wenzetu. Maana Allah pekee ndiye anayejua yaliyomo vifuani mwetu.

    • @ShabaniMamba-r2e
      @ShabaniMamba-r2e 7 дней назад

      Kweri

    • @ShabaniMamba-r2e
      @ShabaniMamba-r2e 7 дней назад +1

      Dhana nzuri

    • @ShabaniMamba-r2e
      @ShabaniMamba-r2e 7 дней назад

      ​dhana nzuri