Kaz n nzuri sana ila kipande cha pili hichi kimebeba kipande cha kwanza kwa dk 9 kitu ambacho sio poa mnatakiwa kipande cha pili kiwe na muendelezo wa pale pale kilipoishia cha kwanza.
❤❤❤❤Afrika tunatunza mazingira ❤❤❤ alafu wazungu wanayaharibu kwakutumiya siraha zao :mfano Ma bomb 💣 (Ukraine,DRCongo,…)namengine kazalika ! Big up 🆙 sana BenRoyal kwakutuelimisha !
Hii series yaan inanikumbusha usomaji wa bibilia, bibilia ukiifata itakutia kwenye uzima wa milele, hyo hyo bibilia ikiifata itakutia jehanamu, ndo ulivyo msitu ukiutunza utakufaa usipoutunza jua nitaumiza, yaan yote kwa yote Mungu ni mwamba kinyama, hongereni sana🇰🇪 1 luv.
Movi zuri story zuri makosa madogo madogo kawaida ila kitu kikubwa ambacho kina takiwa mkiboreshe color mtu wa color aongeze juhudi kuna kitu ana kosa mtafuteni ata color rist mwingine uyo aendani na ukubwa wenu
Asante sana kwa movie ya Mali💕💕nzuri sana mashaallah
Nimeenjoy kuiona Kisiba na sauti za watoto kwa mbali "ketaa lelo"😂😂 kweli uigizaji si Dar es Salam tu
Wow 🎉🎉🎉🎉🎉❤kusema kweli hii mumeua ❤❤❤❤❤pongezi kutoka Kenya 🇰🇪
Kweli MALI Ni Urithi Tuliachiwa Tutunze Vitutunze... Mmetisha Sana...👏👏👏👏👏
Mnaanzia mbali sana kuonesha kipande Kilicho pita
Hpo nd wanpo ni chosha
Movie nzurii sana hii mnitumie Kila siku
Moangilio wa vipanda uww mzuri maana mmezingua dakika ni nyingi sanaa
Much love from Kenya guys like back ❤
Safi sana hongera Kwa move Kali sana by Apostle Mwandishi Hwae-n A Mwandandila
Waziiiiii❤❤❤❤mku vizuri wakuuu, watching you from🇰🇪
Thank you.. yaani movie Zenu zuri sanaaaa
Kazi nzuri BG upo broo
Salute..san tumezoea mkaa na kuni
Najifunza kitu kupitia movie hiii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana
Poleni kwa kazi nzuri mnafanya
Movie IPO vizuri san n inaelimish kwl
Unajua nn wada u kama unakubali hawa jama like naombeny
Nomaaa..!!
Nawakubali sana
Duuh sem nn nawa kubar kinomanom💐💐💐💐💐 mauwa yenu★
👍👍
Nyimbo nimeipenda sijuh kaimba nani jaman
kazi nzuri lkn umeanzia mbali sana aisee
Kaz n nzuri sana ila kipande cha pili hichi kimebeba kipande cha kwanza kwa dk 9 kitu ambacho sio poa mnatakiwa kipande cha pili kiwe na muendelezo wa pale pale kilipoishia cha kwanza.
😂😅❤🎉
Kwel kabsa
wabongo ni wabongo2 kipande kirefu sana kinachoanza bd hamja kuwa makin
Bigg up Sana benloyal
Congratulations 🎊 👏 💐 😊
salute wanang ila nn mwanang nala sija muona bd msella mbuli
Mbeya ni sehem ya movie jamn naona kitu miaka ijayo
❤❤❤❤Afrika tunatunza mazingira ❤❤❤ alafu wazungu wanayaharibu kwakutumiya siraha zao :mfano Ma bomb 💣 (Ukraine,DRCongo,…)namengine kazalika ! Big up 🆙 sana BenRoyal kwakutuelimisha !
Well said
Ukraine n africa😢
Tunashùkulu sana kwa kutuelewesha jaman
Daaaaa!!! Mnajua sana watu wa mungu
Kaz mzur sana ila jitaidin kwenye kukata vipande
Leten ingine wakuu,halafu MBNA mnazitoa moja moja na vnye ziko tamu😂😂😂
Kazi nzuri sana hongereni 👊
Mnajua kufanya selection ya location good good and good
Makini Sana hii ❤
Hii series yaan inanikumbusha usomaji wa bibilia, bibilia ukiifata itakutia kwenye uzima wa milele, hyo hyo bibilia ikiifata itakutia jehanamu, ndo ulivyo msitu ukiutunza utakufaa usipoutunza jua nitaumiza, yaan yote kwa yote Mungu ni mwamba kinyama, hongereni sana🇰🇪 1 luv.
Asante sana
Kazi safi sana ❤❤
Naitwa sule"sh from Kenya. this episode is very much nice for environment and climate change control.. I love it
From kenya you said ??
Tuko pamoja kazi nzuri sana
Kazi nzuri wangu 🎉🎉ila unairudisha sanaaaa nyuma😢
🇲🇿 safi Sá bony nana mimi nimezoye Gina lá biny .ila inaza mbali sana
Ahsante kwa kuwaish muendlzo uspoe broh
Asante kwa kaz nzuriii
Episode ya pili mmezingua mmeanzia nyuma sana
Good work a from kenya 🇰🇪 😂❤❤😂😂❤❤
Kazi nzurii 🥰🥰🥰🥰
,,😂😂😂huyu bonge anapenda kupiga
Best one
Good work 👏👏🙌🇹🇿🇹🇿
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ safi sana 👍 I
Kazi nzuri sn
🇧🇮🇧🇮tunawapenda nice movie
boni ako saa hii ongerni 🎉🎉
Iko poa sana
Move nzuri inatufundisha jinsi ya kutunza rasilimali zetu
Unajua sana
Sema NAWAKUBALI sana wajomba 🔥📌🔥
Kazi nzuri
Amjawai feli kwenye kazi nzur
Hii miamba ni balaa, nawapenda❤❤❤
Kazii iko poa
❤❤❤❤wow nice
Congratulations
Jamaa anataka watu wale miti😂😂 huyu anaonesha uhalisia kabisa wa jeshi la tz 😂😂
Good nice one job 🎉🎉
Watch from Kenya Big up.
🎉🎉🎉🎉🎉sio ya kukosa 🎉🎉
Kazi nzuri sana
Hii ni bonge moja la series ❤❤❤
Nawakubali sana
Nice one
Sema umezingua umechukua kipande cha kwanza kilefu kuendeleza cha pil
Tukienda ivi ivi titafka mbali tupeni mwendlezo mapema kama ilivyo ada one ❤❤❤❤
Movi zuri story zuri makosa madogo madogo kawaida ila kitu kikubwa ambacho kina takiwa mkiboreshe color mtu wa color aongeze juhudi kuna kitu ana kosa mtafuteni ata color rist mwingine uyo aendani na ukubwa wenu
Wakwanza mmi apa
Kisiba mja hiyo
Pambana master nimekubali
Saiz mnawah wow❤😊
Hongeren kaz nzur lakin mjitahidi msirudie xana yaliyopita muwe mnaanza mlipoishia tu bc ni ushaur tu 🙏🥰
Nawapenda buree jmn ❤❤❤❤😊
❤❤❤🎉🎉 from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mnajua kinoma
Kazi nzuri sana ila episode ya 22 minutes mnatumia 8-10 minutes kwa kutuonyesha previous episodes so kuweni na balance kwenye hilo
Mnarefusha ukumbusho sana, dakika kumi ni nyingi sana
Nzr
Lake kisiba 🔥🔥🔥🔥
Good job
Kazi nzur kwl 😂😂😂
Hamjawahi kufuli ata siku moja
Sema #actionplusmovie kipande cha EP1 kwenye EP2 kimechukua dk nyingi sana zaidi ya dk8 em fanyeni kupunguza kidg. #MaoniYangu
🔥🔥🔥🔥🔥
Quality ya camera ipo sawa
mmeanzia nyuma sana na nyinyi!
Much respect🎉🎉🎉🎉
Nawakubali Sana Kwa kazi yenu
Filamu kali sana
Mimi wa 4 leo daah
Moto unazidi kuwaka
Mnakula muda Sana kwenye Kila kipande mnatuzumu
Kipande Cha kwanza mumekurudia sana
Hasa BOKO wanakulaga Miti braza mbona unakuwa muonezi ivo!