MALI EPISODE 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 170

  • @mwenieliasa6517
    @mwenieliasa6517 8 месяцев назад +6

    Asante sana kwa movie ya Mali💕💕nzuri sana mashaallah

  • @mikekassege8529
    @mikekassege8529 8 месяцев назад +15

    Nimeenjoy kuiona Kisiba na sauti za watoto kwa mbali "ketaa lelo"😂😂 kweli uigizaji si Dar es Salam tu

  • @priscakimburi-sl9ml
    @priscakimburi-sl9ml 8 месяцев назад +4

    Wow 🎉🎉🎉🎉🎉❤kusema kweli hii mumeua ❤❤❤❤❤pongezi kutoka Kenya 🇰🇪

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 8 месяцев назад +2

    Kweli MALI Ni Urithi Tuliachiwa Tutunze Vitutunze... Mmetisha Sana...👏👏👏👏👏

  • @aakramjfox8029
    @aakramjfox8029 8 месяцев назад +9

    Mnaanzia mbali sana kuonesha kipande Kilicho pita

    • @saidaly8201
      @saidaly8201 7 месяцев назад

      Hpo nd wanpo ni chosha

  • @AmansareeeLaizer
    @AmansareeeLaizer 2 месяца назад

    Movie nzurii sana hii mnitumie Kila siku

  • @DanielyMwaitarako
    @DanielyMwaitarako 6 месяцев назад

    Moangilio wa vipanda uww mzuri maana mmezingua dakika ni nyingi sanaa

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 7 месяцев назад +1

    Much love from Kenya guys like back ❤

  • @NMY-UInternationalMinistry
    @NMY-UInternationalMinistry 8 месяцев назад +3

    Safi sana hongera Kwa move Kali sana by Apostle Mwandishi Hwae-n A Mwandandila

  • @CollinsKamone
    @CollinsKamone 8 месяцев назад +4

    Waziiiiii❤❤❤❤mku vizuri wakuuu, watching you from🇰🇪

  • @HappyKibure-iz9xk
    @HappyKibure-iz9xk 8 месяцев назад +1

    Thank you.. yaani movie Zenu zuri sanaaaa

  • @JemaFideli-rl7we
    @JemaFideli-rl7we 7 месяцев назад

    Kazi nzuri BG upo broo

  • @DizzoYeah
    @DizzoYeah 6 месяцев назад

    Salute..san tumezoea mkaa na kuni

  • @RwegasiraRujehn
    @RwegasiraRujehn 8 месяцев назад

    Najifunza kitu kupitia movie hiii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana

  • @etoilededieuthelightfilm9606
    @etoilededieuthelightfilm9606 8 месяцев назад +1

    Poleni kwa kazi nzuri mnafanya

  • @MwanjabBweni
    @MwanjabBweni 8 месяцев назад +1

    Movie IPO vizuri san n inaelimish kwl

  • @ZakariahakimuZakariahakimu
    @ZakariahakimuZakariahakimu 8 месяцев назад +43

    Unajua nn wada u kama unakubali hawa jama like naombeny

  • @JacoboWilliam-k8t
    @JacoboWilliam-k8t 8 месяцев назад +5

    Duuh sem nn nawa kubar kinomanom💐💐💐💐💐 mauwa yenu★

  • @snopwarkayanda
    @snopwarkayanda 3 месяца назад

    Nyimbo nimeipenda sijuh kaimba nani jaman

  • @abellyandrew7308
    @abellyandrew7308 8 месяцев назад +2

    kazi nzuri lkn umeanzia mbali sana aisee

  • @worldnews1400
    @worldnews1400 8 месяцев назад +6

    Kaz n nzuri sana ila kipande cha pili hichi kimebeba kipande cha kwanza kwa dk 9 kitu ambacho sio poa mnatakiwa kipande cha pili kiwe na muendelezo wa pale pale kilipoishia cha kwanza.

  • @Abdulwahaid-j4v
    @Abdulwahaid-j4v 7 месяцев назад +1

    wabongo ni wabongo2 kipande kirefu sana kinachoanza bd hamja kuwa makin

  • @eliakimujoel
    @eliakimujoel 8 месяцев назад +1

    Bigg up Sana benloyal

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 8 месяцев назад +1

    Congratulations 🎊 👏 💐 😊

  • @AllyMbonho-n4y
    @AllyMbonho-n4y 2 месяца назад

    salute wanang ila nn mwanang nala sija muona bd msella mbuli

  • @255fellixy_tz
    @255fellixy_tz 6 месяцев назад +2

    Mbeya ni sehem ya movie jamn naona kitu miaka ijayo

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 8 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤Afrika tunatunza mazingira ❤❤❤ alafu wazungu wanayaharibu kwakutumiya siraha zao :mfano Ma bomb 💣 (Ukraine,DRCongo,…)namengine kazalika ! Big up 🆙 sana BenRoyal kwakutuelimisha !

  • @JamilySamson
    @JamilySamson 25 дней назад

    Tunashùkulu sana kwa kutuelewesha jaman

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 8 месяцев назад +1

    Daaaaa!!! Mnajua sana watu wa mungu

  • @hamissultan6496
    @hamissultan6496 7 месяцев назад +1

    Kaz mzur sana ila jitaidin kwenye kukata vipande

  • @CollinsKamone
    @CollinsKamone 8 месяцев назад +1

    Leten ingine wakuu,halafu MBNA mnazitoa moja moja na vnye ziko tamu😂😂😂

  • @mourineb6656
    @mourineb6656 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana hongereni 👊

  • @juliusemmanuel3407
    @juliusemmanuel3407 8 месяцев назад +1

    Mnajua kufanya selection ya location good good and good

  • @Johnkatay
    @Johnkatay 7 месяцев назад +1

    Makini Sana hii ❤

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 8 месяцев назад +1

    Hii series yaan inanikumbusha usomaji wa bibilia, bibilia ukiifata itakutia kwenye uzima wa milele, hyo hyo bibilia ikiifata itakutia jehanamu, ndo ulivyo msitu ukiutunza utakufaa usipoutunza jua nitaumiza, yaan yote kwa yote Mungu ni mwamba kinyama, hongereni sana🇰🇪 1 luv.

  • @rehemakazungu6945
    @rehemakazungu6945 8 месяцев назад +1

    Kazi safi sana ❤❤

  • @SulleshpapaaSaid
    @SulleshpapaaSaid 8 месяцев назад +3

    Naitwa sule"sh from Kenya. this episode is very much nice for environment and climate change control.. I love it

  • @DenisiSanga
    @DenisiSanga 8 месяцев назад

    Tuko pamoja kazi nzuri sana

  • @SaumRajab
    @SaumRajab 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri wangu 🎉🎉ila unairudisha sanaaaa nyuma😢

  • @BennyCrisanto
    @BennyCrisanto 8 месяцев назад

    🇲🇿 safi Sá bony nana mimi nimezoye Gina lá biny .ila inaza mbali sana

  • @FrankieSylvester-g6v
    @FrankieSylvester-g6v 8 месяцев назад

    Ahsante kwa kuwaish muendlzo uspoe broh

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 8 месяцев назад

    Asante kwa kaz nzuriii

  • @puresapphiretz
    @puresapphiretz 8 месяцев назад

    Episode ya pili mmezingua mmeanzia nyuma sana

  • @malkiamommy293
    @malkiamommy293 8 месяцев назад +4

    Good work a from kenya 🇰🇪 😂❤❤😂😂❤❤

  • @AlnessWilly
    @AlnessWilly 8 месяцев назад

    Kazi nzurii 🥰🥰🥰🥰

  • @hanifamazinge-iy1mr
    @hanifamazinge-iy1mr 8 месяцев назад

    ,,😂😂😂huyu bonge anapenda kupiga

  • @danielwanjala9396
    @danielwanjala9396 7 месяцев назад

    Best one

  • @Dodomacomedytz
    @Dodomacomedytz 8 месяцев назад +1

    Good work 👏👏🙌🇹🇿🇹🇿

  • @alexandertembea5940
    @alexandertembea5940 8 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ safi sana 👍 I

  • @sergioramoel9704
    @sergioramoel9704 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sn

  • @NyanziraJeanMarie-v9l
    @NyanziraJeanMarie-v9l 8 месяцев назад

    🇧🇮🇧🇮tunawapenda nice movie

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 7 месяцев назад

    boni ako saa hii ongerni 🎉🎉

  • @AlfanSeleman
    @AlfanSeleman 6 месяцев назад +1

    Iko poa sana

  • @Admirah77
    @Admirah77 8 месяцев назад +1

    Move nzuri inatufundisha jinsi ya kutunza rasilimali zetu

  • @sirayotv4283
    @sirayotv4283 7 месяцев назад

    Unajua sana

  • @allexmathias3593
    @allexmathias3593 8 месяцев назад +1

    Sema NAWAKUBALI sana wajomba 🔥📌🔥

  • @zeckie255
    @zeckie255 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri

  • @ramadhanmapinduz1819
    @ramadhanmapinduz1819 8 месяцев назад +1

    Amjawai feli kwenye kazi nzur

  • @JacksonMahenge34
    @JacksonMahenge34 8 месяцев назад +1

    Hii miamba ni balaa, nawapenda❤❤❤

  • @christianwella3205
    @christianwella3205 7 месяцев назад

    Kazii iko poa

  • @AminaBakari-oy9eb
    @AminaBakari-oy9eb 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤wow nice

  • @IssaWinana-t9k
    @IssaWinana-t9k 8 месяцев назад

    Congratulations

  • @Mafimbajunior
    @Mafimbajunior 8 месяцев назад

    Jamaa anataka watu wale miti😂😂 huyu anaonesha uhalisia kabisa wa jeshi la tz 😂😂

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 8 месяцев назад

    Good nice one job 🎉🎉

  • @baagofficial8507
    @baagofficial8507 8 месяцев назад

    Watch from Kenya Big up.

  • @ramsomussa2760
    @ramsomussa2760 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉sio ya kukosa 🎉🎉

  • @yousouph8792
    @yousouph8792 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @selemanpaul2710
    @selemanpaul2710 8 месяцев назад +1

    Hii ni bonge moja la series ❤❤❤

  • @paschalmbiya93
    @paschalmbiya93 8 месяцев назад +1

    Nawakubali sana

  • @Trace_beiber2729
    @Trace_beiber2729 8 месяцев назад

    Nice one

  • @meshack3266
    @meshack3266 8 месяцев назад

    Sema umezingua umechukua kipande cha kwanza kilefu kuendeleza cha pil

  • @SharriMondela
    @SharriMondela 8 месяцев назад

    Tukienda ivi ivi titafka mbali tupeni mwendlezo mapema kama ilivyo ada one ❤❤❤❤

  • @luffakapinga9966
    @luffakapinga9966 8 месяцев назад

    Movi zuri story zuri makosa madogo madogo kawaida ila kitu kikubwa ambacho kina takiwa mkiboreshe color mtu wa color aongeze juhudi kuna kitu ana kosa mtafuteni ata color rist mwingine uyo aendani na ukubwa wenu

  • @beltonbaraka826
    @beltonbaraka826 8 месяцев назад +10

    Wakwanza mmi apa

  • @reubenntinginya
    @reubenntinginya 6 месяцев назад

    Kisiba mja hiyo

  • @eliamwaselela3443
    @eliamwaselela3443 5 месяцев назад

    Pambana master nimekubali

  • @annandajilo2831
    @annandajilo2831 8 месяцев назад +1

    Saiz mnawah wow❤😊

  • @makkamakka9171
    @makkamakka9171 8 месяцев назад +1

    Hongeren kaz nzur lakin mjitahidi msirudie xana yaliyopita muwe mnaanza mlipoishia tu bc ni ushaur tu 🙏🥰

  • @C-uj4np
    @C-uj4np 8 месяцев назад

    Nawapenda buree jmn ❤❤❤❤😊

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 8 месяцев назад +3

    ❤❤❤🎉🎉 from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @omeganthale3220
    @omeganthale3220 8 месяцев назад

    Mnajua kinoma

  • @karlmarxkisofero1209
    @karlmarxkisofero1209 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana ila episode ya 22 minutes mnatumia 8-10 minutes kwa kutuonyesha previous episodes so kuweni na balance kwenye hilo

  • @wasomitv8487
    @wasomitv8487 8 месяцев назад +1

    Mnarefusha ukumbusho sana, dakika kumi ni nyingi sana

  • @NGASSAMASUNGA-rk8pk
    @NGASSAMASUNGA-rk8pk 8 месяцев назад +6

    Nzr

  • @edyi9187
    @edyi9187 8 месяцев назад

    Lake kisiba 🔥🔥🔥🔥

  • @officialmalando
    @officialmalando 8 месяцев назад +1

    Good job

  • @MasakeMagembe-cy3mk
    @MasakeMagembe-cy3mk 8 месяцев назад

    Kazi nzur kwl 😂😂😂

  • @patriciachangawa1754
    @patriciachangawa1754 8 месяцев назад +1

    Hamjawahi kufuli ata siku moja

  • @fubu1054
    @fubu1054 8 месяцев назад

    Sema #actionplusmovie kipande cha EP1 kwenye EP2 kimechukua dk nyingi sana zaidi ya dk8 em fanyeni kupunguza kidg. #MaoniYangu

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 8 месяцев назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KIJUKUUCHAHILALI
    @KIJUKUUCHAHILALI 8 месяцев назад +1

    Quality ya camera ipo sawa

  • @matomboonlinetv8200
    @matomboonlinetv8200 8 месяцев назад +1

    mmeanzia nyuma sana na nyinyi!

  • @MabenaMACHRISS
    @MabenaMACHRISS 8 месяцев назад +5

    Much respect🎉🎉🎉🎉

  • @MrabuBoy-xm9pl
    @MrabuBoy-xm9pl 8 месяцев назад

    Nawakubali Sana Kwa kazi yenu

  • @JustinMelanie
    @JustinMelanie 8 месяцев назад

    Filamu kali sana

  • @SaidiJuma-k4p
    @SaidiJuma-k4p 8 месяцев назад +3

    Mimi wa 4 leo daah

  • @oscarmwanawaboi4253
    @oscarmwanawaboi4253 8 месяцев назад +1

    Moto unazidi kuwaka

  • @SalminiMaulidi-e9f
    @SalminiMaulidi-e9f 8 месяцев назад

    Mnakula muda Sana kwenye Kila kipande mnatuzumu

  • @KIJUKUUCHAHILALI
    @KIJUKUUCHAHILALI 8 месяцев назад +1

    Kipande Cha kwanza mumekurudia sana

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 6 месяцев назад

    Hasa BOKO wanakulaga Miti braza mbona unakuwa muonezi ivo!