Kazi nzuri Mr Rahasa, ila jitahidi kuanzia episode nyingne pale ulipoishia. Maana hii ilipoanzia ni kwngne na uliishia unatak kuchomwa kisu. Sas pale hata haieleweki ulitokaje tokaje
Yani wanaume wahii karne yani unajuana nayy Leo halafuu Leo Leo anataka kumvua nguo ya ndani jaman 😂😂😂😂tulioko gulf mapenzi view sasa.rahasaa rahasaa uongoo huoo jamani etiii hujafanya mapenxi karibuni wakatii kichwa chajuuu kimeshindwaa maarifaa na kichwaa chachini mdaawote kimesimamisha kofia kama uyogaa chataka kula😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂yani hii iishiehumu ndani usiwe na mtoto kama rahara sijui kachanjwaa ama kazaliwaa😢😢lkn hakuna mtu huzaliwaa na uchafuu niss binadamu tuuuu huwa tunajenga tabia Zuri ama mbaya
kazi nzuri xana
Hapo kwa sauti 😂😂😂 kubadilika 😅😅my ribs kwisha😂😂
Naangalia kazi yenu nzuri ikiwa doha Qatar
Kazi nzuri Mr Rahasa, ila jitahidi kuanzia episode nyingne pale ulipoishia. Maana hii ilipoanzia ni kwngne na uliishia unatak kuchomwa kisu. Sas pale hata haieleweki ulitokaje tokaje
Sindo hapo hata hakaeleweki
Mama Rahasa kazi nzuri
Apo kwenye kutaka kidogo njoo nikupe Mm laasa
Kazi ya mot izacky from kenya🎉🎉❤❤
Mr Rahasa ndo ushamkimbia Baba Joan.ushajiona ushakua
Mh uyo Kaka kiboko
Kazi nzuri kaka aidia kari
Yani wanaume wahii karne yani unajuana nayy Leo halafuu Leo Leo anataka kumvua nguo ya ndani jaman 😂😂😂😂tulioko gulf mapenzi view sasa.rahasaa rahasaa uongoo huoo jamani etiii hujafanya mapenxi karibuni wakatii kichwa chajuuu kimeshindwaa maarifaa na kichwaa chachini mdaawote kimesimamisha kofia kama uyogaa chataka kula😂😂😂
Kazi inaendelea poa ongera kwanza Mr rahasa
Much love ❤❤
Mzigo ushatufikia wakurungwa 🎉🎉
Kazi zuli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂rahasaa ungejua unadate najini usingee cheat.. 😂😂😂mtoto mzuri umnunulie gariìii....nuktii umemkomesha
Rahasa tamaa zitakuponza umekaa sana bila kufanya mapenzi wewe😂😂😂😂
Wa Kwanzaa 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wa Tano Léo mauwa yangu jamani
5
Tamaa Mr Rahasa jirekebishe😭halafu mbona hauko n bb Joan??
😂😂😂😂😂😂😂yani hii iishiehumu ndani usiwe na mtoto kama rahara sijui kachanjwaa ama kazaliwaa😢😢lkn hakuna mtu huzaliwaa na uchafuu niss binadamu tuuuu huwa tunajenga tabia Zuri ama mbaya
Huyo tabika anabomboclaat la kwendaaaa
Nice 👍❤❤❤❤bro from Kenya me watatu
Rahasa mwakaa huu utanyoka😂
Ongela sana ❤
Nzur sana
Wewe zungu nitakupeleka kwa mzee wa msumali😅😅😅
Muvi nzur san ila nifup san 😊
Safi sana
NICE WORK KIJANA
Mr rahasa wewe ni malaya mkubwa uta kuja kufa mbaya
Uyu dada bana nimempenda Bure 🎉
Hahaha rahusa kimekuramba leo
UtakomA umalaya
😂😂😂😂😂mkomesheeee kabisaa hiyooo sauti😂😂pili aibebe mimba kweli
❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤
Lahasa acha umalaya,,utayaona ya virauni😂😂😂
Rahasa kapatikana jamani 😂😂😂 naombeni likes tano tu
jikaze bwana
Wamwisho 🎉🎉🎉❤😂😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ndugu kapatikana...😢😢😢
raaahasaana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇸🇦
❤❤❤❤