"labda maneno yangu wataelewa siku nikifa mi ni mfalme labda nahitaji queen strong ka latifa... machozi mashavuni pass a tissue...muda mwingine nachoka natamani ku run away natambua hawana mabawa so i gotta...STAY" REST EAZY KING #ZIZI 😭😭😭
Hakuna kitu nilichokuw nikkipenda na kukuangalia san ten san Kama Hilo jino lako lililokatik kipande 😭😭😭pumzik salam #Zilla# weeee Tutakukumbuk Daima 🙏🙏🙏🙏🙏
@@diamondplatnumznewsajm2053 bro, na wewe nenda kimala b, kwa Bishop Paul BENDERA yule ni mwisho kk, mimi yule Bishop ndie alinisaidia acha kuishi kwa mateso na mashariti kibao, kwani hukuumbwa na shetani bali uliumbwa na Mungu, yule mzee atakutenga na free national, tena nendeni na lebo yako yote kk, ucijekuwa kama kanumba, maisha ni mafupi tena yenye laha sn, ila kilio chake bro, ciku ukikata, ndio utaona, nakupenda kaka nasibu ndio maana nimeamua kukuandikia na kukushauli ila ukiona vip potezea, ila one day itaukumbuka hii sms yangu poul Bendera yule ni mtumishi wa Mungu hata mimi kaniepusha bila chenga na jamaaa wakakata kabisa kuni fatilia, nasema hivo bro, kwani nawajua vizul ila kwa yule mtumishi ni moto bro, na wala cio utani na cijawai kukuandikia mahara, nakupenda na ndio maana nimeona ikupendeze kk nasibu
Niliambiwagwa kuna cku 40 before kufa ya kumjua matendo ya marehemu mtarajiwa yy peke yake ndio anajua ilo na anahic lkn mdm haufunguki anakuwa muoga mpole uso unainama aibu akuangaliii moja kwa moja anakwepesha macho huyu jamaa alipoteza tyr nuru uson
True....Give my roses when I'm still alive, tell me how much you love me now that I'm alive....Don't wait till i die and start saying how much u love me
He was strong man hata hapo anaonekana hakua sawa but alikua anajikaza na kujitahidi kuonyesha furaha daah maisha yetu ya kuishi hapa duniani ni mafupi tupendane rest in peace zilla see you again
*Kiukweli nilipooiona taarifa ya kifo cha GODZILLA niliumia mnoo jamaa way back nikiwa shule nikizipenda kazi zake za mziki Mungu akuangazie mwanga wa milele ameni*
Dah huyu jamaa alikuwa na plan kubwa sana juu ya Hip Hop Music... Jamaa alikuwa mcheshi sana yan. Dah #NikkiWaPili yuko too stressed,dah Godzilla.... Jamaa alikuwa anajua sana but walimbania kinoma yan
Timoth Mwakakusyu Aise ni bora Umwambie huyo mdau nazani current situation ndio inamfanya aseme hivo sidhani kama ana uhakika na ushahidi kutoka moyoni kuwa Zila alikua bora kuliko Nikki all in all R. I. P Godzilla umetutoka jembe kwenye tasnia ya Hip Hop na bongo Fleva kiujumla
Yasir Emcee ukweli haufichiki mkuu, maana mi mwnyw nawakubali wote ila niki hayumbishwi na commercial kabaki na msingi wa ueMC kwa muda mrefu mpaka sasa. kama ni marekani basi niki ningemfananisha na nas escoba katika misingi ya kihiphop
Timoth Mwakakusyu na hicho ndio kitu pekee kinachomtofautisha Nikki na wasanii wengine Kwakweli yupo kwenye misingi Sana na katika uandishi kwa sasa ndio sioni kabisa Kwakweli ukiacha kizazi cha wakina Hashim dogo na wakina Saigon kwa sasa bhana Nikki sitokosea nikisema ndio rapper bora wa muda wote kikubwa kwamba Wenda wapo wengi bora rakini Nikki hayumbishwi na mainstream kama plastic Mcz wengine tunaowaona
Jane suma wote umaskini uhu jaman na tukizingatia maneno ya wahenga #MASKINI_AUGUI mtu unajituma mpaka dakika ya mwisho r.i.p goden Jacob mbunda mbele yako nyuma yetu. Allahmdulilaih allah atupe mwisho mwema in shaa allah
Walazimisha wenzako kuishi utakavyo .do you know what people go through with their families ndio wafike kutowaongelesha, wachekesha sana if u got two parents walikulea vizuri shukuru n mind ur own biz pambana na hali yako. Sasa chanzo chake kufa ilikuwa baba???
zizi alikua genius yan nterviews zake hazifany uchoke kisikiliza paw na nikki mbish meanwhile jamaa angekua tv presenter hakuna ambaye angemshinda coz alikua open charming na kingne alikua anakwepa unafiki! r.i.p zz
"labda maneno yangu wataelewa siku nikifa mi ni mfalme labda nahitaji queen strong ka latifa... machozi mashavuni pass a tissue...muda mwingine nachoka natamani ku run away natambua hawana mabawa so i gotta...STAY" REST EAZY KING #ZIZI 😭😭😭
Isaya Ngwahi deep
Mtaan kuna sister duh ana bwana na mapene pia handsome tu
To be sincere, ,,,,this Zilla was a genius of freestyle maana hata Nikki hapa katagishwa . See you in a heaven broo!
Du pole sana sky polen watz wote mungu ailaze mahali pema pepon roho ya marehem king zilla
Hakuna kitu nilichokuw nikkipenda na kukuangalia san ten san Kama Hilo jino lako lililokatik kipande 😭😭😭pumzik salam #Zilla# weeee Tutakukumbuk Daima 🙏🙏🙏🙏🙏
REST IN PARADISE #GODZILLA
May your Soul Rest in Peace 😥😥😥🙏
Tumempoteza Shujaa wa Rap
R I p
kwel d
Mbele yake Nyuma yetu
@@diamondplatnumznewsajm2053 bro, na wewe nenda kimala b, kwa Bishop Paul BENDERA yule ni mwisho kk, mimi yule Bishop ndie alinisaidia acha kuishi kwa mateso na mashariti kibao, kwani hukuumbwa na shetani bali uliumbwa na Mungu, yule mzee atakutenga na free national, tena nendeni na lebo yako yote kk, ucijekuwa kama kanumba, maisha ni mafupi tena yenye laha sn, ila kilio chake bro, ciku ukikata, ndio utaona, nakupenda kaka nasibu ndio maana nimeamua kukuandikia na kukushauli ila ukiona vip potezea, ila one day itaukumbuka hii sms yangu poul Bendera yule ni mtumishi wa Mungu hata mimi kaniepusha bila chenga na jamaaa wakakata kabisa kuni fatilia, nasema hivo bro, kwani nawajua vizul ila kwa yule mtumishi ni moto bro, na wala cio utani na cijawai kukuandikia mahara, nakupenda na ndio maana nimeona ikupendeze kk nasibu
Niliambiwagwa kuna cku 40 before kufa ya kumjua matendo ya marehemu mtarajiwa yy peke yake ndio anajua ilo na anahic lkn mdm haufunguki anakuwa muoga mpole uso unainama aibu akuangaliii moja kwa moja anakwepesha macho huyu jamaa alipoteza tyr nuru uson
True....Give my roses when I'm still alive, tell me how much you love me now that I'm alive....Don't wait till i die and start saying how much u love me
Usi subir ufe uombewe dua mtandaoni nduguzanguni kama amalizako mbovu dua hazita kusaidia tujitahid kufanya ibada ndio lengo tulioletewa hapa duniani
Kabisaa my
Eeh M'Mungu binaadam si chochote,
Hakika kwako 2tarejea..
Pumzika kwa aman tutakumisi
duh jaman kilanafs itaonja maut ka ndoto vile
R.I.P #ZILLA
THOSE GUYS WALIKUWA CHARMING SANA
Tuishi kwa upendo duniani binadam tuko kama ua halikawii kudondoka 😢😢😢😢😢inalilah wainalilah rajium 🙏🙏🙏🙏
He was strong man hata hapo anaonekana hakua sawa but alikua anajikaza na kujitahidi kuonyesha furaha daah maisha yetu ya kuishi hapa duniani ni mafupi tupendane rest in peace zilla see you again
Ana tungo za hapo na hapo. bila kupepesa..Allah akurehemu
Alikua mcheshi.. Dah,udongo huu.. Mungu tuhurumie,alikua kijana bado,nguvu ya taifa
Mauti ni mlango bloo kila mmoja atapita kwa muda wake ukifika haigarishi una umri ganii
Mii sio bro
@@claudialupimo4468 oky claudia sorry nikajua mwaumee
Ishi ulaumiwe kufa usifiwe
Yaallah tujalie mwisho mwema
*Kiukweli nilipooiona taarifa ya kifo cha GODZILLA niliumia mnoo jamaa way back nikiwa shule nikizipenda kazi zake za mziki Mungu akuangazie mwanga wa milele ameni*
Aisee yan jamaa kanigusa mpka moyon R.I.P king wa salasala
INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun
I loved this guy.rest easy KING
R. I. P the best freestyler in East Africa
R. I. P bro nilikua naku kubali sana kitambo nilikua nashawishika sana kuwa mzee wa freestyle kama ww Pumzika kwa amani brother 😭😭
GB- One
Yes Betha
R.I.P Zilla u live with us....!!!!
Duuuh shikamoo pombe....shikamoo bangi...shikamoo hip hop 🙌
Duuu mweenyezi mungu atujalie mwisho mwema yarrab.🙏 🙏 🙏 allahuma ammeen
Poleni sana mama muzazi kiukweli inauma sana kipezi wetu
Kwa kweli kifo ni kibaya Sana hakina huruma kabisa.
Dah huyu jamaa alikuwa na plan kubwa sana juu ya Hip Hop Music... Jamaa alikuwa mcheshi sana yan.
Dah #NikkiWaPili yuko too stressed,dah Godzilla.... Jamaa alikuwa anajua sana but walimbania kinoma yan
R.I.P Zilla mlikuwa mnazinguana fresh sana
kusema kwel Nik humuez Godzilla kwa kuchana we ata unaanza kufikiria mwenzao anatiriria kama maji mtoni R.I.P KING GODZILL
Raymond Kazungu Unazungumzia freestyle au Kuandika?? be specific Nikki sio mtu wa mchezo mchezo kama unavofikiria
Raymond Kazungu sio kwasababu kafa ndo tumpe sifa. zila mkali Ila niki kichwa kingine balaa huyo ni real hardcore mc
Timoth Mwakakusyu Aise ni bora Umwambie huyo mdau nazani current situation ndio inamfanya aseme hivo sidhani kama ana uhakika na ushahidi kutoka moyoni kuwa Zila alikua bora kuliko Nikki all in all R. I. P Godzilla umetutoka jembe kwenye tasnia ya Hip Hop na bongo Fleva kiujumla
Yasir Emcee ukweli haufichiki mkuu, maana mi mwnyw nawakubali wote ila niki hayumbishwi na commercial kabaki na msingi wa ueMC kwa muda mrefu mpaka sasa. kama ni marekani basi niki ningemfananisha na nas escoba katika misingi ya kihiphop
Timoth Mwakakusyu na hicho ndio kitu pekee kinachomtofautisha Nikki na wasanii wengine Kwakweli yupo kwenye misingi Sana na katika uandishi kwa sasa ndio sioni kabisa Kwakweli ukiacha kizazi cha wakina Hashim dogo na wakina Saigon kwa sasa bhana Nikki sitokosea nikisema ndio rapper bora wa muda wote kikubwa kwamba Wenda wapo wengi bora rakini Nikki hayumbishwi na mainstream kama plastic Mcz wengine tunaowaona
God zila amezila kunipokea under ground music niliwaza kumfikia sasa nasikia hivyo sawa nitamfukuzia pia nikienda paradise
Mungu akupe kauli thabiti bro Ameen 🙏🏿
Usoni aonysha kama alikuwa aumwa, jamaniii poleni sana
Asha b hata mim nimeona hakua mzima uyu kaka aonyesha kabisa akua mzima
Uso unaonesha umejaa itakuwa ugonjwa ulikuwa unamtafuna uku anatembea jaman
Nurath Abduly kabisa kabisa bt nazani alikua anajua anaumwa sema ndio kuvumilia tu nakutafuta maisha
Apo kweli hakua mia mia
Jane suma wote umaskini uhu jaman na tukizingatia maneno ya wahenga #MASKINI_AUGUI mtu unajituma mpaka dakika ya mwisho r.i.p goden Jacob mbunda mbele yako nyuma yetu. Allahmdulilaih allah atupe mwisho mwema in shaa allah
We are savaiva
We pass like a shadow
Rip Nigga
R,I,P mungu akupe kauli thabiti
Ulimwengu huu zila mimi nipo na wewe sababu sikuwahi kuwa pamoja na wewe paradise pia nikija nahisi itakuwa hivi show zaidi ya huko zaidi ya huku
Rest in peace Zilla
Nikki mbish na zilla walikuw ma Best freinds
ndo hivyo 🙏
Dahhhh mungu yupo jamani rest in peace bro
Rip king zillah
R I p bro we will always remember you.
R.I.p Godzilla😭.innalillah wainaillahi rajiun.
Innalilah Wainnailah Rajiun, Allah akuhifadhi maali pema peponi
Inalilah waina ilayhi rajiun
Niki una msiba mkubwa!!! Pole Sana broo r I p king zilla
Nakumbuka had my brother anaitwa God but akamalizia Godzilla Kwa jili yako mungu akupokee Kwa khery
R.I.P JIBABA MBELE YAKO NYUMA YETU 🙏🙏
R.I.P bro Zilla
Zillah hapo , alisha anza kuona njia ya akhera
Innallillah wainnaillah rajiun Allah akupe kauli thabiti mbele yake amina yarabi allamina
daaaah kizaz saana 2023 sa hii
Da nimeumia sana fleva za huyu jamaa paradise wata enjoy kibabe
Diamond mrudie baba yk unaona wenzako wanavyokufa ipo.siku utajutia
we umeisha mrudia au unajiona wee mkamilifu kuliko wenzako
Walazimisha wenzako kuishi utakavyo .do you know what people go through with their families ndio wafike kutowaongelesha, wachekesha sana if u got two parents walikulea vizuri shukuru n mind ur own biz pambana na hali yako. Sasa chanzo chake kufa ilikuwa baba???
Pombe sio chai either way you are in a better place now. RIP
daaah mmeandika historia
Pumzika mwamba 🙏
Nataka kabuli langu liwekatikati ya ngwea na Zizi.. Nile freestyle kwa pepo
😂😂😂itatimia
😂😂😂😂😂
Jamani tuishini kwakupendana kwani duniani nikama mapito2 inalilahi winalihi rajiuni mungu katoa na mungu katwaa
Inna lilahi Wainna Ilahi Rajiun 😭😭😭
Nashindwa hata niandike nini jamani mungu wangu weeee 😅😅😅
REST EASY ZILLA
Dah siamin kabsa
Salasala won't be the same again...RIP king Zilla..
Am gangster ninja am solder daah inauma sna MUNGU akulaze mahala pema peponi kingzillah wasalasala.
Zizi mic you master kng zz
zizi alikua genius yan nterviews zake hazifany uchoke kisikiliza paw na nikki mbish
meanwhile jamaa angekua tv presenter hakuna ambaye angemshinda coz alikua open charming na kingne alikua anakwepa unafiki! r.i.p zz
kutoka new school nakirusha bruck hewani gengstar🙏🙏#ripkingzila
Alikua ana penda utaani... Rip
RIP Godyzila Waah
Dah ama dunia mapito R.I.P. 😢
😥😥😥inna lillahi wa inna ilaih rajiun. kumbe alikuwa mcheshi namna hiyo
Zila was the real g men
Pumzika kwa Amani
R.I.P KingZillah
Rest in peace KING Zilla
Kila wakati mungu ni mwema
Innalillah wainnalillah rajiun
kwa kweli hatuna namba ya kukimbia kifo tusubiri tu kwa uvumilivu mpaka hapo mungu atakapoondoa kifo milele.
Mond,God knows him,we the next.pray pray
zilla akuwa sawa kama kadata hivi OK any way r.i.p
R i p blood Zila najua umetangulia
Nyuma yako tunasogea kwa Mola tutarejea
😭😭
Hata uso ulikua kama mgonjwa R.I.P. yng broo
Ashminha Abdullah true
Yeah kuna kitu nakiona siongei kilamtamtu amuangalie kwa makini
uso huo uso upi wewe au kuna uso mwingine??
REST IN PEACE
Inalillah waiina Ilayhi rajiun hakika njia yetu wote ni moja
Daaa pumzika kwa aman godzilla
Nick mbishi utakua mbishi ukibishana na late kingzyllar alikua ni fullstailer kukuzidi wewe Nick mbishi 😭R.I.P ziz wa salasala
Yani kama.si alikufa yani daaah
Rest in peace king
R.I,P bro
Duh kweli kama yupo vile
R.i.p bro
Inauma xana ila ndo mipango ya mola R .I.P KING ZILLA
Poleni sana let her rest in peace hero
mlkuwa mnaendana sana ase mlitiaha rip zillah
Innalillah Wainna Ilaihi Rajiun
Mungu tupe mwisho muzuri r.i.p Zilla
kaz yake mola ainaga makosa zilla tangulia tutakuta kesho ulisema kila wakati mungu ni mwema kwaiyo mungu ametimiza wema wake
Rip kingdzila duh inauma sana
RIP GODZILLA
Nimeamini kifo twatembea nacho mungu tujalie mwisho mwema
Kweli duniani tunapita nyuma yetu🙏