GENZs FORCE RUTO FLY OUT OF THE COUNTRY
HTML-код
- Опубликовано: 5 июл 2024
- Thanks for watching Azibest media please remember to subscribe, share, like and leave your comments
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
#kenya #citizentv #trending #mutembei #kenyakwanza #ruto #kenyakwanza #kenyanews #railaodinga #raila #azimio #azibestmedia #facemojatv #kenyadigitalnews
Yes true spoken
😂😂😂😂😂😂😂😂 safiiii ndg zang from Tanzania ruto go home
Angalia na skiza waluhya.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Safiiii ndg zang from Tanzania 😊😊😊😊😅😅😅
Asi rudi
Sasa anakimbiza miguu kwenda wapi na anatesa wakenya
We don't need to give him those two years left. Seriously, he has to go now full stop. RUTO, please resign 🙏.
Huwa wanapindiliwa hiv
😂😂😂😂😂 😂😂😂kenya mtaniuwa
When,,, 😢😢 will be our Kenya, be , free from high taxation,, and
Minimised,, oconomy and equality of all Kenyans,,
Let zakayo go forever,never come back,we're totally done with you. Luwere shishieno........
😂😂😂😂😂😂 alaaah
Baba akiondoka kutafuta hurundi baadaye.the time is his
"Anaenda Nigeria kuongea na lucifer aliyempa hiyo kiti! Siku uako zimefika uende na usirudi kenya maisha! Mungu jibu ile maombi ya wa mama wa huko central kuhusu kulipuka kwa ndege ya ruto!! SHEN! SHENZ! SHENZ!!!!
No more corrupt leaders in Africa . Rutto must go . Across Africa's continent the wind is changing.
Mwizi ansongea anasahau kumute mic tunaskia vile anaongea abaeda kuleta mafunzo kutoka uko yy ajui kitu
😂😂😂let me just laugh for this naked truth....lazma budget atupee hata akienda wapi ....
Alibakisha kichwa na meno tu zakayo must Go
mzitoke kwa ajenda ,tunaxema budget iko juu,Kila kitu,juu tumeshindwa kununua ,chochote,ziyo 2kazi Bali unawesa kuwa na 1000 hakuna kitu tutafanyia nini
Amekimbia ndio hata rudi abaki huko
Na usirudi nkt
Go
Io ndyo ukweli iko😄
Si apunduliwe hyu
Akipinduliwa mifumo ya ubepari wa kimataifa imepinduliwa au imeacha kunyonya?. Mifumo ya kimateso imekufa?
Fare thee well.
How much again
🌞👆👉You can't Run, "Goes Round &Come Back/You Will Find Yourself Where Started 👉Like a Boomerang "!👊👊👊✍👀👁👁😂😂😂🤣🤣🤣🤗🤗🤗👆👆👆👇👇👇🌅🌅🌅🌅🌅🌅
MUNGU WA MBINGUNI IBAARIKI KENYA
Fool's Yani hamna kazi ya kufanya? Watu wanafanya kazi zao nyinyi zenyu ni umbea.my friends kutoa RUTO KWA kwa kiti ni kama kungoja umbwa izae mayai.si mwende mkalime.mambo za vitu za Bure zitawakula
Kkkkk
Fake news😂
Tanzania hasije hatumtak mkamueni uyo mpaka aondoke aachie kiti
Ruto hata akikamuliwa hata damu.haisadii kwa sababu mkoloni hûwa yupo hapa Africa anatawala nyuma ya pazia. Labda Africa ikubaliane kwa sauti moja kukataa ubeberu. Zaidi ya miaka sitine, nchi nyingi za Africa Ziko chini ya ukoloni mambo leo. Zimetekwa nyara.
Hujabeba familia yako zakayo