DOTTO MAGARI AMJIBU BABA LEVO BAADA YA KUMUITA TEJA/ BOSS WAKE NDO TEJA.
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv
Unakosea kwa Mwenyezi Mungu nguruwe kharamu unamkosea Sana Alla
kazi anayo 😁😁🤣🤣🙌🙌💥💥🔥🔥✅
safi sana
Nakukubali sanaa 😊😊
Munaomchokoza dotto kazi munayo kwann munamchokoza uyo mzaramo afu muhuni ngoja awanyoosheni mwamba namkubali sana dotto nakukubali sana aisee uyo mtoto wa mjini dotto muhuni kitambo
Doto uk vzr
Doto uko vizur
Hili jamaa Senge sana una uhakika gani kama mlimani city wanaibia wateja
Doto safi sana upo vzr hakuwez kaka fanya kazi
Basibasi doto inatosha🙌😂😂
Nakuelewa Doto keto😂😂😂
Kakaaa Doto Magari, au Mzee wa kuwanyoosha vibwengo machawa.
Umeniudh kumwita mwenzio mapua
Dah!mwamba huyu hapa😅😅😅😅😅😅
MAPUA
MbonA nko kenya nakukubali sana Dotto magari
Kweli Doto riziki mwanzo wa chuki i see.furahia maisha mtoto wa kino mwenyewe wakaribishe mjini haoo
Nikweli ndoto anavuta unga natena anahakili
Dotto ❤🙌
Una madharau Aisee unatukana watu
Daaaaah
Much love from 🇰🇪
www qqqqqqqqwqqqqwqqwqqqqwqqqqwwqqqqqqqqwqq😂wwqqqqqqqq😂😂😂qqwqqq😂qqqqqqqqwqqqqwqqwqq😂qqqqqqwwqqqqqqqqqqqqqwqqqqqqqqqq😂q😂qqw😂qqqqqqqqwqqw😂qqqqqqqqqqqq😂qqqq😂q😂qqqq😂qqqqqqqqwwwqqq😂q😂qqqq😂wqww😂qwq😂qqq😂qq😂wq😂qq😂q😂qqww😂q😂qwwwqqqqwqq😂q😂q😂q😂qqq😂qqqwqq😂q😂qq😂😂wq😂qq😂q😂q😂q😂wqqqqqqq😂q😂qqq😂wq😂qqq😂qq
Wwqqqq😂😂q😂q😂qqqqqqqqwqqqqwqqwqqqqqqqqqqwqqqq😂q😂qq😂qq😂q😂wwqq😂qqqqq😂q😂wwq😂qqw😂qqqqqqqqq😂qq😂😂qqqqqq😂😂qqqqqqqq😂qwqqwqqqqqqqqqqwqqqqqqqqw😂😂qqwqwqqqqwqqqqwqqwqqq😂😂qqqwwwq😂qwqq😂q😂😂qqqq😂qwq😂wwwqqqqqqq😂qq😂q😂qq😂qwqqqqwwqq😂qqq😂qqq😂qqqqqqqqqq😂😂q😂q😂😂q😂wwq😂😂q😂q😂wqqq😂😂wqqqq
😂😂😂😂😂😂😂
Daaah kaka
Ko unataka mechi na mhaya..😅
Mzalamo mwenzangu nakukubal huna baya Kwa kujiamin
🤣😂🤣😂😂eti magari sokoni dotto waone uruma wameyatimba eti umetokea wapi🤣🤣🤣
Kwaiyo mnaenda kumuhoji ili awatukane watu, kwaiyo nae uyu muandishi
Media very stupid..utafungiwa unaruhusuje mtu kutaja biashara ya watu??
Dotto magari nimekukumbali Sana kutoka Nairobi Kenya nangojea ile siku utapiga babalevo madondi
Gala B 😂😂
Mm napenda anavoongea
Baba levo kayatimba😂🤣😅🤣
Huyu doto unga umemuathiru nguruwe anasema siharamu halafu ndo mtoto wa kiislam dah Allah amsameh
Kwan ni Muslim hiyo mbn misalaba
Nawe kama mbuyu kumbe huna tu Mpua😊😊😅😅
Nani kakuambia muislam huyo? Au kwakuwa umesikia ni mzaramo?😅
@@richardsalala9147 hahahaha
😂😂😂 msenge anaongea
Ila kwelii huyu anaonekana kama teja
Dotto nkukubali kaka
Duuuh baba level na mwijaku kwa chuma hiki kazi mnayo mtapotea mjini
Duuuh kaz wanayo aseee🙌🙌🙌 hug apa kiboko
Hahahaha dotto anaongea anaonesha MADODI😂😂😂 yake mwanzo mwisho
Wewe ni muislam unasali kesho utakwenda kuhukumiwa
Mwambie na hapa ipo😅😅
Dotto magari namkubali sana uyu sio muongo amenyooka
Ni muongo pia sana tuu...
Daah😂😂😂😂😂😂😂
Nissan jux😂 ila dotto ❤❤
Uyu jamaa awamuwezi Bora mnyamaze uyu mzalamo
Doto anajielewa sana
Upo poaw kk umenyooka chakochako hela zao
Kweli talee ni big boss kabisa hajakosea kabisa
Doto nikija Tz nakutafuta
Msukuma ajawah kua chawa we n muha ulie zamia usukuman
doto upo juu achana na huyo mapua mama levo mshamba
Kwa iyo Viwete siyo Watu???
Chafu😂😂😂
kizimkaz wamekuitwa
nikweli Makanisani wameeka mpaka viti vya VIP masofa set na wengine hohehahe kwenye viti vya plastic😅 sasa huo si ni udhalilishaji tena kwenye nyumba ya ibada...ila wako na macho lakini hawaoni kama kawaida yao,kama huani angalia reply za ubishi👇👇👇
😂😂😂
Doto mzee baba mimi Ninakushauri kwasababu sasaivi wewe ushakua staa mkubwa kwiyo imba nyimbo hata1tu ya kuzingua Itasikilizwa na wa2 wengi tena kama vipi tuimbe na mimi unitoe kupitia wewe yaani we ni brand kubwa
Wambie Mr influence waelewe
Nahiyo ogopa utakuja kutuambia umeianzisha wewe kumbe ni yadogo wa ushilombo
Hujasabuscrubu?????
Wewe h baba siyo msukuma ni muha mwijaku boy mmanyema wewe. Msukuma utakuwa wewe
Ni msukuma huyo kwao ni misungwi
Jamaa kasema ukwel baba levo,hana akili timamu
Mbona mapua Alisha sababisha wasafi kufungiwa
Kumbe junky
Ata kwa Wakristo ngurue amekataliwa sio Waislam tu,ila ujanja na maneno mengi yakiwa mengi unaona nkama maendeleo! ndo juzi Sheikh kasema ukiona ujinga unaubadilishaa jina ukauita maendeleo ujue huna akili
ukristo mgumu sana maneno mengi yapo kimafumbo ,utofauti wa ukristo na uislam waislam wanameza maneno kama yalivyo wagumu kuelewa
@@kwisa4899 sasa kwa kweli,ebu niambie andiko la Walawi limesema ngurue tusile nyama yake inamaanisha nn,kwa kikristo,sio kila kitu kimefichwa maana,hapo katajwa mnyama mwenyewe,ebu niambie Mungu alimaanisha nn aliposema watu wasile wala kugusa nguruwe? please maana wanyama wapo wengi lakini apo katajwa ngurue direct
teja kafiri
kazi anayo 😁😁🤣🤣🙌🙌💥💥🔥🔥✅
doto upo juu achana na huyo mapua mama levo mshamba