MITIMINGI # 265 TENDO LA NDOA SIO KARANGA
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Vijana wengi wa leo - wanawapima wadada kwa kutaka kuonja Tendo la ndoa kwa kigezo cha kuolewa. Vijana wanaonja na kuwaacha wadada kwenye mataa wakiwa na majeraha.
Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39
Asante sana mtumishi wa Mungu, kitu kingine nataka kujua, kuna watu wamesema ukifanya mazowezi ama kutembeza baskile bikra itatoka ni kweli? Naomba unisaidie tafadhali.
Mimi nitakuita Dr.Sheikh MitiMingi nakukubali sana.
Mtumishi Bwana Yesu asifiwe mafundisho yako yananibariki sana
Noah Marwa Amina Noah Jina la Bwana Libarikiwe. Tunakukaribisha sana sana. Unapatikana wapi?
@@mitimingionlinetv9896 napatikana Mkoa Wa Mara wilaya ya Rorya mji wa Shirati
Nashukuru kwa mafundisho mtumishi ubarikiwe sana 🙌 🙌
Ubarikiwe sn,Mtumishi wa Mungu,najifunza sana kutoka kwako
Huwa napend sana mafundisho yak mchungaj balikiwa sana
Hahahaha kuonjesha kuko juu😁😁aja Mungu atusaidie😍😍😍 Tanks
Barikiwa sana mchungaji umegonga ndipo.
Unanibariki sana pastor
amen mtumishi barikiwa sana
Asante sana kwa mafunzo unayotupatia mimi kama kijana nabarikiwa sana na mafunzo yako ubarikiwe sana mchungaji
Amen Daud, barikiwa sana sana.
Ameena mtumish ubarkiwe kwa som zur
amen mtumishi barikiwa
I lyk how you teach /preaching I feel lyk am in heaven may God forgive as we're we have gone wrong🙏 God bless you
Nimependa sana mafundshoo God bless you
Hatimaye nimekupata baba uwiii love you papaa
Dayana Michael hahaaaa Dayana
Ubarikiwe Dr
ubarikiwe sana Pastor.
mtumishi ubarikiwe kwa somo
😃😃😃😃😃 daaaa mchungaji kweli umetukamata BT nimefurahi Sana kwa kusema kwako nimepona barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu.
900 inapendeza kumbe umeliona
Hahahahaaaa mwanawake tujitunze jaman, ahsante mchungaji kwa somo
Meggy Shukia wewe je????
Ume ona
Hahaaaa! Unanifurahisha Sana'a dah!!!...siyo karangaaa kha
Ubarikiwe sana
Asante mchungaji kwa mafundisho
Uyu mchungaji simwelewi ange anda kipindi malumu cha ndoa sio kwenye injili alafu nindoa tu amna vingine vya kufundisha au alishwa tendwa nn alafu anaipenda kweli bikira kaa hhhhh
I lyk how you preach l feel am in heaven God bless U
Thanks or for revelation God bless you.
aminaa
Kabisa miaka mitano nikipimo tosha
Amina Baba be blessed
Hahaaahh teke mojaa mpaka sebulenii ndioo niliowaonaa wengi
😀😀
Ameen mtumishi
good teaching
Mhhhh Mchungaji hii dunia ya leo kwanza kumpata tu bikira ni nadra.
Kwa sasa ukitafuta bikira utachemsha ndugu wewe wakati ukifika wa kuoa piga magoti muombe mungu akupe mke bora
Hmmmm
Sio wanaume wa siku hizi!!! Ilikua zamani baba ,mbona hata bikira wanateswa hata hawapendwi
Mungu tuu
Ancilla Habonimana ,kupendwa ni ishu nyingine,wewe tunza usichana wako,
iyo ya kiroho, nimecheka sna😁😁
Wanapenda Bikira kwan wanatolewa nani?
Uwiiiiii nimechekaa eti bikira ya kiroho
Nakutunziaa mke utunzee odaa hiyoo
R.i.p
Hasa Kama tukipenda tu wa bikira, walewalio guzwa watafanya nini?
Amina baba
Amina mtumishi ubarikiwe
Misikubaliani kufanya trndo LA ndoa kabla sio mbaya
AMEN
Jamani mbona me na bikra yangu lkn bado cjaolewa na umri umeenda .naona nimpe zawadi hata kichaa khaaa
thanx man of God may God strengthen you
PETER MGISHA 🙏🙏
amarachi money ,endelea kumshirikisha Mungu ,bado anakutafutia mwenzi mwema
amarachi money njoo nikuoe
Ubarikiwe pastor ila kw upande mwingine masomo hay yanakuw n sumu punguz ,makal misimu itumike baba
Amen
Mimi bado swali langu ni hili inamaana wanaume wanatakiwa kuoa mwanamke ambae ni bikra je! wanaruhusiwa kuanza mapenzi kabla ya ndoa?
Hawaruhusiwi.
Mchungaji mbona unaongelea mabinti tu ina maana wanaume ndio wanatakiwa wasiwe mabikra?
Lady Bilionaire unajua thamani yako kwanza kama mwanamke???mwanaume anaweza tembea na kibukta hata kilometa kumi...wewe unaweza?
Mch.ntapata DVD ya mafundisho
Dvd inapatikana Hassan, karibu sana. Wasiliana nasi jinsi ya kupata +255 713 18 39 39
Maria
Mchungaji,Ndoa halali ni kumpata mke bikira au nikubarikiwa kanisani?
Omari Kintu
Ndoa nzuri inatoka Kwa Mungu
Kuna wengine walikua bikira ila kwenye ndoa wanateswa
Pamoja na Changamoto zote za ndoa, Utukufu na Heshima ya ndoa ni kibali. Kufanya Tendo la ndoa kabla ya ndoa inaondoa utukufu wa Mungu.
usijitete
Mke bikra na wewe je ni bikra ama ni kiruka njia Mke au Mume mwema hutoka kwa Bwana kubariki Ndoa ni kukamilisha tu sio kufunga ndoa bikra ni mwema kwa kijana aliyejitunza naye
Vijana, nyinyi mabikira? 😂😂😂😂😂😂😂😂
hahaaaaaa mashuka masafi kumbe mtego
Sasa pastor, kwa wanaume vipi? Au kwao hakuna bikira?
Ali Mohamed 🤣🤣😃
Hahaha karagabao
😁😁😁😁😁😁😁
Hahaa
subira subira
hahah kwl baba
Lol 😅😅😅
mtunnekktkinondoni