MITIMINGI # 265 TENDO LA NDOA SIO KARANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Vijana wengi wa leo - wanawapima wadada kwa kutaka kuonja Tendo la ndoa kwa kigezo cha kuolewa. Vijana wanaonja na kuwaacha wadada kwenye mataa wakiwa na majeraha.
    Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

Комментарии • 87

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 5 лет назад +2

    Asante sana mtumishi wa Mungu, kitu kingine nataka kujua, kuna watu wamesema ukifanya mazowezi ama kutembeza baskile bikra itatoka ni kweli? Naomba unisaidie tafadhali.

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 4 года назад +1

    Mimi nitakuita Dr.Sheikh MitiMingi nakukubali sana.

  • @noahmarwa4223
    @noahmarwa4223 5 лет назад +1

    Mtumishi Bwana Yesu asifiwe mafundisho yako yananibariki sana

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  5 лет назад

      Noah Marwa Amina Noah Jina la Bwana Libarikiwe. Tunakukaribisha sana sana. Unapatikana wapi?

    • @noahmarwa4223
      @noahmarwa4223 5 лет назад

      @@mitimingionlinetv9896 napatikana Mkoa Wa Mara wilaya ya Rorya mji wa Shirati

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 6 лет назад +3

    Nashukuru kwa mafundisho mtumishi ubarikiwe sana 🙌 🙌

  • @attukigola4296
    @attukigola4296 6 лет назад +3

    Ubarikiwe sn,Mtumishi wa Mungu,najifunza sana kutoka kwako

  • @gstarboytzbongo2999
    @gstarboytzbongo2999 5 лет назад +1

    Huwa napend sana mafundisho yak mchungaj balikiwa sana

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 5 лет назад +2

    Hahahaha kuonjesha kuko juu😁😁aja Mungu atusaidie😍😍😍 Tanks

  • @sabrinakenya2353
    @sabrinakenya2353 6 лет назад +2

    Barikiwa sana mchungaji umegonga ndipo.

  • @swedijr2686
    @swedijr2686 6 лет назад +3

    Unanibariki sana pastor

  • @tumaininjebele6938
    @tumaininjebele6938 6 лет назад +4

    amen mtumishi barikiwa sana

  • @daudcharles3273
    @daudcharles3273 6 лет назад +3

    Asante sana kwa mafunzo unayotupatia mimi kama kijana nabarikiwa sana na mafunzo yako ubarikiwe sana mchungaji

  • @mariamnashon5698
    @mariamnashon5698 6 лет назад +2

    Ameena mtumish ubarkiwe kwa som zur

  • @adelinaadoloph5311
    @adelinaadoloph5311 6 лет назад +3

    amen mtumishi barikiwa

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 6 лет назад +2

    I lyk how you teach /preaching I feel lyk am in heaven may God forgive as we're we have gone wrong🙏 God bless you

  • @johnkwiyeya1849
    @johnkwiyeya1849 6 лет назад +2

    Nimependa sana mafundshoo God bless you

  • @dayanamichael9427
    @dayanamichael9427 6 лет назад +3

    Hatimaye nimekupata baba uwiii love you papaa

  • @safariadrien5493
    @safariadrien5493 5 лет назад +1

    Ubarikiwe Dr

  • @josephmasele1202
    @josephmasele1202 6 лет назад +2

    ubarikiwe sana Pastor.

  • @richardsalala222
    @richardsalala222 6 лет назад +2

    mtumishi ubarikiwe kwa somo

  • @900ikipendezammary3
    @900ikipendezammary3 6 лет назад +7

    😃😃😃😃😃 daaaa mchungaji kweli umetukamata BT nimefurahi Sana kwa kusema kwako nimepona barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu.

  • @meggyshukia8715
    @meggyshukia8715 6 лет назад +5

    Hahahahaaaa mwanawake tujitunze jaman, ahsante mchungaji kwa somo

  • @eliamkayange4014
    @eliamkayange4014 6 лет назад +2

    Hahaaaa! Unanifurahisha Sana'a dah!!!...siyo karangaaa kha

  • @venerandacleophace5658
    @venerandacleophace5658 6 лет назад +2

    Ubarikiwe sana

  • @paskalinamwinami2966
    @paskalinamwinami2966 6 лет назад +2

    Asante mchungaji kwa mafundisho

    • @edwardswai216
      @edwardswai216 6 лет назад

      Uyu mchungaji simwelewi ange anda kipindi malumu cha ndoa sio kwenye injili alafu nindoa tu amna vingine vya kufundisha au alishwa tendwa nn alafu anaipenda kweli bikira kaa hhhhh

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 6 лет назад +2

    I lyk how you preach l feel am in heaven God bless U

  • @eyasitiayubu6271
    @eyasitiayubu6271 3 года назад

    Kabisa miaka mitano nikipimo tosha

  • @janemrisho5376
    @janemrisho5376 6 лет назад +3

    Amina Baba be blessed

  • @emanuelclever1069
    @emanuelclever1069 5 лет назад +1

    Hahaaahh teke mojaa mpaka sebulenii ndioo niliowaonaa wengi
    😀😀

  • @davidmbogoma2307
    @davidmbogoma2307 6 лет назад +2

    Ameen mtumishi

  • @jerrymhagama6014
    @jerrymhagama6014 6 лет назад +2

    good teaching

  • @orecharles2123
    @orecharles2123 6 лет назад +5

    Mhhhh Mchungaji hii dunia ya leo kwanza kumpata tu bikira ni nadra.

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 5 лет назад

      Kwa sasa ukitafuta bikira utachemsha ndugu wewe wakati ukifika wa kuoa piga magoti muombe mungu akupe mke bora

  • @Favour3558
    @Favour3558 6 лет назад +3

    Hmmmm
    Sio wanaume wa siku hizi!!! Ilikua zamani baba ,mbona hata bikira wanateswa hata hawapendwi
    Mungu tuu

    • @ferirs2068
      @ferirs2068 6 лет назад

      Ancilla Habonimana ,kupendwa ni ishu nyingine,wewe tunza usichana wako,

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 6 лет назад +5

    iyo ya kiroho, nimecheka sna😁😁

  • @odeaobidia6697
    @odeaobidia6697 6 лет назад +6

    Wanapenda Bikira kwan wanatolewa nani?

  • @belindarobert4784
    @belindarobert4784 6 лет назад +2

    Uwiiiiii nimechekaa eti bikira ya kiroho

  • @emanuelclever1069
    @emanuelclever1069 5 лет назад +1

    Nakutunziaa mke utunzee odaa hiyoo

  • @michaelmsuku3610
    @michaelmsuku3610 4 года назад +1

    R.i.p

  • @beemerthierry
    @beemerthierry 6 лет назад +1

    Hasa Kama tukipenda tu wa bikira, walewalio guzwa watafanya nini?

  • @imanisichinga8311
    @imanisichinga8311 6 лет назад +3

    Amina baba

  • @blesslory1862
    @blesslory1862 4 года назад

    Misikubaliani kufanya trndo LA ndoa kabla sio mbaya

  • @evachanjarika170
    @evachanjarika170 6 лет назад +3

    AMEN

  • @amarachimoney6880
    @amarachimoney6880 6 лет назад +3

    Jamani mbona me na bikra yangu lkn bado cjaolewa na umri umeenda .naona nimpe zawadi hata kichaa khaaa

    • @petermgisha1996
      @petermgisha1996 6 лет назад

      thanx man of God may God strengthen you

    • @amarachimoney6880
      @amarachimoney6880 6 лет назад

      PETER MGISHA 🙏🙏

    • @ferirs2068
      @ferirs2068 6 лет назад

      amarachi money ,endelea kumshirikisha Mungu ,bado anakutafutia mwenzi mwema

    • @lazaruslazaro2161
      @lazaruslazaro2161 6 лет назад

      amarachi money njoo nikuoe

    • @dominikikalinda22
      @dominikikalinda22 6 лет назад

      Ubarikiwe pastor ila kw upande mwingine masomo hay yanakuw n sumu punguz ,makal misimu itumike baba

  • @sarahbundara3086
    @sarahbundara3086 5 лет назад

    Amen

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 6 лет назад +4

    Mimi bado swali langu ni hili inamaana wanaume wanatakiwa kuoa mwanamke ambae ni bikra je! wanaruhusiwa kuanza mapenzi kabla ya ndoa?

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 6 лет назад +3

    Mchungaji mbona unaongelea mabinti tu ina maana wanaume ndio wanatakiwa wasiwe mabikra?

    • @andrewnyambega5590
      @andrewnyambega5590 6 лет назад

      Lady Bilionaire unajua thamani yako kwanza kama mwanamke???mwanaume anaweza tembea na kibukta hata kilometa kumi...wewe unaweza?

  • @hassanismail4766
    @hassanismail4766 6 лет назад +1

    Mch.ntapata DVD ya mafundisho

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  6 лет назад

      Dvd inapatikana Hassan, karibu sana. Wasiliana nasi jinsi ya kupata +255 713 18 39 39

  • @successrudovick1706
    @successrudovick1706 5 лет назад +1

    Maria

  • @omarikintu8642
    @omarikintu8642 6 лет назад +3

    Mchungaji,Ndoa halali ni kumpata mke bikira au nikubarikiwa kanisani?

    • @Favour3558
      @Favour3558 6 лет назад +1

      Omari Kintu
      Ndoa nzuri inatoka Kwa Mungu
      Kuna wengine walikua bikira ila kwenye ndoa wanateswa

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  6 лет назад +1

      Pamoja na Changamoto zote za ndoa, Utukufu na Heshima ya ndoa ni kibali. Kufanya Tendo la ndoa kabla ya ndoa inaondoa utukufu wa Mungu.

    • @barakanatus5676
      @barakanatus5676 6 лет назад

      usijitete

    • @monicaelias3801
      @monicaelias3801 6 лет назад

      Mke bikra na wewe je ni bikra ama ni kiruka njia Mke au Mume mwema hutoka kwa Bwana kubariki Ndoa ni kukamilisha tu sio kufunga ndoa bikra ni mwema kwa kijana aliyejitunza naye

  • @jollytwins4146
    @jollytwins4146 6 лет назад +3

    Vijana, nyinyi mabikira? 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc 6 лет назад +3

    hahaaaaaa mashuka masafi kumbe mtego

  • @sayrachuna6705
    @sayrachuna6705 6 лет назад +4

    Hahaha karagabao

  • @ibramsiagi3690
    @ibramsiagi3690 5 лет назад

    😁😁😁😁😁😁😁

  • @samyjohn2389
    @samyjohn2389 6 лет назад +3

    Hahaa

  • @maombinshedson5914
    @maombinshedson5914 6 лет назад +2

    hahah kwl baba

  • @joankidola9842
    @joankidola9842 6 лет назад +1

    Lol 😅😅😅

  • @teopistamkembela6907
    @teopistamkembela6907 5 лет назад +1

    mtunnekktkinondoni