Hawamo Hawamo Wamepigwa Wamepigwa Majeshi Majeshi. Pamoja sana mtumishi wa Mungu Yesu Kristo; Askofu Mkuu Josephat Gwajima. Bwana awe nawe na kukuzidisha na kukuchunga na kukuongoza. Wafilipi 4:13, "Ninayaweza mambo yote katika Kristo Yesu anitiaye nguvu". Amen
Translation. May God protect you your teachings restore comfort in me. When I am in fear of life and listen to them I feel hope again . You are really brave and a warrior!
my heart is on this servant,with the power to performing miracles and maintaining the clarity of the gospel,hamna utata katika mafundisho ,na utenda miunjiza na pia lifestyle yake yanaelekeza mmoja katika ukweli wa neno,
Kuna watu wanatabia ya kufungua vedeo then unadislike,, sijui maana yenu, ,,, ni Mwenye kuipost ajue hmpendi?????? tnaita popularity, pomposity, HUJAIPENDA IACHE kunachanel nyingi Sana chini ya hili jua
Soma 1Wakoritho 4: 15 Ndugu mtu anayekufundisha Injili Wa kwanza au anayemfundisha MTU namna ya kumtumikia MUNGU ni baba Wa MTU huyo Halafu please lazima uelewe maana ya baba kiroho ni chanzo, au mwanjilishi au jambo au kitu wale mafarisayo na masadukayo walipenda kuitwa hivyo Kwa kutaka sifa pasipokuwa na sifa za baba . Kama anavyojua baba ni majukumu ila wao walipenda kuitwa hivyo ndio maana BWANA YESU akasema msimwite MTU baba maana baba huwa haitwi ila ni ndio jinsi alivyo....... Kwa maelezo zaidi piga simu number 0715771640
IAM walking in the bondage of darkness , anyone who can help me to get him ,naomba Kama Kuna yeyote aneza noconnect naye anisaidie please... Naomba number please
Anayekusanya pamoja nasi ni mwenzetu! Acha kazi zikutambulishe! Somo zuri na mashauri mazuri kwa utukufu wa Christo
Hawamo Hawamo Wamepigwa Wamepigwa Majeshi Majeshi. Pamoja sana mtumishi wa Mungu Yesu Kristo; Askofu Mkuu Josephat Gwajima. Bwana awe nawe na kukuzidisha na kukuchunga na kukuongoza. Wafilipi 4:13, "Ninayaweza mambo yote katika Kristo Yesu anitiaye nguvu". Amen
Mungu akulinde yaani mahubiri yako yananipaga faraja saana napokua na hofu ya maisha nikisiliza nafarijika mno. We ni shujaa na jemedari wa kweli.
Translation. May God protect you your teachings restore comfort in me. When I am in fear of life and listen to them I feel hope again . You are really brave and a warrior!
my heart is on this servant,with the power to performing miracles and maintaining the clarity of the gospel,hamna utata katika mafundisho ,na utenda miunjiza na pia lifestyle yake yanaelekeza mmoja katika ukweli wa neno,
Great man of God yani bibilia yote unaijua umenifunza mambo Men gi sana May u live long
Thanks a lot Denis from Kampala Uganda
Ninapokeya uhuru Baba
kwa kuwa misingi yoooote umeigusiya na ukaingowa asante Jazwa zaidi
Barikiwa
💪🙏🎺🎻🎷👍
Amina mtumishi wa Mungu tunazidi kubarikiwa pande za Musoma Ufufuo na Uzima
Amen, Barikiwa Sana mtumwa wa Kristo, Mungu aendelee kukutumia na kukuinua Utukufu hata Utukufu
Amen nimefunguliwa na kabarikiwa na familia yangu.ahsante sana askofu Gwajima.
Amen amen,nakuamini baba yangu.Yaani yaani yaani, heehee wapigwe mpaka.
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu japo wengine hawakuelewi lakini tupo tunaokwelewa. endelea na huduma yako aliyokupa mungu zaidi na zaidi ya hapo.
Mungu
Akubarikisana
Mtumishi
Wamungu
Songa.mbele
Baba.watashindana
Naww.lakini
Hawatakushinda.semababa
Tupone
Mungu
Akulinde.sikuzote
Zamaisha
Yako
Be blessed the man of God Bishop Gwajima - do not be quiet, go foward hallelujah 🙋🙌🙌🙌
Amen MUNGU akutumie Zaidi Nimebarikiwa Mtumishi
Asante baba nakuelewa napia na muelewa Yesu aliye ndan yako
im with you,pastor God bless you,Ameeeen
Napenda unavofundisha na yanatusaidia wengi kutoka. ....mungu aufunike daimaaaa,
Your teachings are on another level.God bless you
Somo Zurii kweli nabarikiwa na Mchungaji Gwajima. Nipo pande za Geita..Tanzania
Mutumishi. Sijawakubarikiwa. naneno. kamairi. baba. natamani. nishike. mukono.
naitwaboni. Niko mwanza. ubarikiwe. baba
amen
Ukimwona Yesu amebebwa na Mama yake kimbia!!!!!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante kwa mafundisho mazuri mchungaji
Amen Baba somo zuri sana nimebarikiwa sana ameeeen
Nakupenda sana Mchungaji Mungu Akubariki sana ❤❤❤
Amène papa mafundisho Mazurie kweli
You always teach me every day pastor.God bless you ever
I'm blessed much more from a man of God
Barikiwa combo ça BWANA
Baba ubarikiwe kwa fundisho hii
Naitachi maombi nabitia maisha ngumu in kiwa Kenya in Mimi Dennis
Ameeen dady Gwajima. Aaaaaaaaaa
Naomba mchungaji nami unifungue ...naota ndoto za ajabuajabu...
ubarikiwe sawa mtumishi wa mungu
Showers mpo juu mtabaki kuwa kileleni mawinguni juu kabisa. Holy Spirit Fire!!!!!!!!!!!!
Amen barikiwa sana mtumishi wa Bwana 🙏🙏
Ameeeeen God bless you Man of God
Amen Mtumishi wa Mungu
Nakuelewa sana Gwajima
Barikiwa Baba, ninakuelewa vzr sana.
Amina baba NENO LITASIMAMA YA ULIMWENGU YATAPITA LAKINI NENO LITASIMAMA
We need you to help us
Asante baba kwa mafunzo
Napoteya nawe ubarikiwe
Barikiwa Sana Baba
Ameen God Bless You Man of God
Ameni
Asante Sana bishop
Nimefurahi sana, mang'ana gasarekire, Mara hiyo.
Amina Munguakubariki
Kuna watu wanatabia ya kufungua vedeo then unadislike,, sijui maana yenu, ,,, ni Mwenye kuipost ajue hmpendi?????? tnaita popularity, pomposity,
HUJAIPENDA IACHE kunachanel nyingi Sana chini ya hili jua
Ndio maana kuna option mbili, like na dislike, kwahiyo mtu yeyote yuko huru kuchagua, na siyo kuchaguliwa!
Mungu akutunze baba
Ubarikiwe Sana mtumishi asante kwa mafundisho.. nikiwa Dubai
Amen nimebarikiwa Sana Sana
Ameni
Karibu moshi marangu
Napenda ukakamavu wako mchungaji..mahubiri yako yanitia nguvu ya kupiga ma adui bila hofu
looking forward to see you Bishop...Stay blessed
Nakukubali sana baba nipo dodoma
Siku moja nitakuja kushuudia fadhili za Mungu... majeshi majeshi..yako ulimwenguni kote
Karibu sana kwenye huduma yangu +255767204792
Umenichenga mchungaji na sasa Mimi nimegudua kuna ibaanda ya sanamu
You always say facts
Mbingu zipo juu yako baba nakuelewa sana
VERRRRRRRRRRRRY POWERFUL SERMON
fire 🔥🔥🔥🔥🔥
barikiwa sana baba wetu
Asante Yesu
baba yangu wa kiroho ninakuelewa.
Nachukua miliki za wagen kwajina la yesu
Wiiiiiiiii ameen
Hawa wazungu wanapenda idols sijawayi kuona.
Somo zuri sana
Mchungaji nabarikiwa sana na mafundisho yako , nisaidie kuhusu MATHAYO 23:9 watumishi kujiita baba
Soma 1Wakoritho 4: 15 Ndugu mtu anayekufundisha Injili Wa kwanza au anayemfundisha MTU namna ya kumtumikia MUNGU ni baba Wa MTU huyo
Halafu please lazima uelewe maana ya baba kiroho ni chanzo, au mwanjilishi au jambo au kitu wale mafarisayo na masadukayo walipenda kuitwa hivyo Kwa kutaka sifa pasipokuwa na sifa za baba .
Kama anavyojua baba ni majukumu ila wao walipenda kuitwa hivyo ndio maana BWANA YESU akasema msimwite MTU baba maana baba huwa haitwi ila ni ndio jinsi alivyo....... Kwa maelezo zaidi piga simu number 0715771640
Amen papa
amen simba
Haleluya haleluya haleluya
Amen
True gospel
Baba maubili matamu kama haya. Ubarikiwe
Ameeeeeeeeeeen
Unatishaaa
Baba munipigiye awa niko mtoto déni Please Dady
Good education
may God almightyguide always
Amen...
Amen asnt
Niko Marecan na barikiwa sana
Ameeeeen
ameeeeh
Mahubiri yamejaa maarifa na ushujaa
Amen and Amen
Daaaaa. Haya maubili. Hayana mafuta wala vitambaa. Chumvi. Keki. Wala pipi
Ameni
IAM walking in the bondage of darkness , anyone who can help me to get him ,naomba Kama Kuna yeyote aneza noconnect naye anisaidie please... Naomba number please
gloire au Seigneur
MUNGU akubaliki sanaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe ni wewe chuma
Mimi ni roho nilitoka mbinguni
Na mimi niko shujaaa
Comments Leo we naona washirika tumekua wengi
Amen majeshi majeshiiii majeshi WA Bwana +254
Amen iyo kweli
🔥🔥🔥👍
ruclips.net/p/PLKasB8zDTCL-jXnbRpY_0e-ydrNjlulzU
Love toi. San.
Mrc bcp pour le ta parole
Amina
Amina baba songa mbele mafundisho yako yanatubariki
@@jacobmagulu151 Aminaaaaaaaaa