Mmh! MZEE Ulimwengu umenifanya nielewe sana na kukufahamu vizuri, hasa kwa kumuelezea Yesu Kristo alipokuwa akifanya shughuli zake za kuhubiri habari njema na kuwakosoa wadhalimu. Lakini pia umenigusa sana na kunifundisha kuelewa vyema maneno ya "Kuwa mwaminifu na kuwa mtii." Hakika Jah bless you may leadership. Ahsante kwani umeongea mambo machache na mengi kwa kugusa maeneo mengi yamzukayo Mwanadam.
Ukweli nimejifunza mengi sana kutoka kwenye hotuba yako mzee wangu, Mungu akubariki, akulinde na akupe maisha marefu ili uendelee kutufunza watoto wako, ukweli tunahitaji sana busara zenu wazee wetu ili tuweze kurithisha watoto wetu Tanzania bora
Mungu akulipe mema wenimwingi wakuelewa nashukuru kwamaneno mazuri na yenyebusala na ekima nakupenda sababu unatufunza mazur na pia unatupenda sana asante kwa upendo wako
Asante sana mzee na jukwaa lako lote. Naomba ikiwezekena ifanyike kila mwezi. Naamini fikra mgando zitaondoka kuhusu harakati na utu wema. Nimependa jinsi ilivyowasilishwa. Haikuwa political at all.
Hata wale vijana walioko ndani ya chama tawala wanahitajika kua wana halakati, sio kukubali tu ujinga unaofanywa na chama chao,, kesho na kesho kutwa yatatuumiza wote,, au kama wao wamekua maiti sawa.
Mtu mwenye akili na kufikiri zaidi ya umbali wa pua wamsikilize na kutafakari Jenerali Ulimwengu alichosema juu ya kunyimana haki ndio chanzo cha usaliti. Wanasema If you push someone too far he/she will do something you cannot imagine. Ni kama vile unavyopuliza hewa Putoni, inafika kikomo Puto litakosa nafasi ya kuweka hewa kitakachotokea ni kupasuka.
Hasante muheshimiwa mwanaharakati usiefungamana wakati wowote, langu kubwa ni, maranyingi umekuwa ulitowa mifano ya watawala ma watawaliwa kwakutaka watawaliwa waamke kuidai haki na watawala wasikandamize waliochini yao, SASA nakuomba uongeze jambo moja la kiuzalendo kwa msisitizo wa hisia japo uligusia kuwa kunanga maisha kwa mtu binafsi hulijenga taifa pia, je unafahamu kuwa uzalendo na nidhamu ya dhamira hustiri aibu kwa mtawala na mtawaliwa ndio maana katika ndowa ya tajiri na ndoa ya maskini wote wanafurahia, je kuto iheshimu aidha nchi,chama,ukoo,Simi na kadhalka na wakati huohuo mtu anajinadi kwa tabaka lakusema " Mimi wao" hii naomba elimu zaidi kiundani usirashie juu ya uzalendo. Hasante sana
Sijayasikia ayo wakati mnaitafuna nchi na viongozi wenzako waliopita leo povuuuuuu unajifanya unabusala kumbe ndio walioasilika kwa awamu ya tano akuna njia za panya soma iyo
"Hayo uliyoyasema sikubaliani nayo lakini niko tayari kufa nikilinda haki yako ya kuyasema" Hayupo mtu mwenye mtazamo huo hapa Tz mzee. Hapa wanapinga hoja kwa matusi na wanajenga hoja kwa Matusi. Wanaopinga hoja zao huwapiga kwa tofari (block) huyo Maria n kiongozi wa matofari, wengine hutumia hata Risasi au kumpeleka mtu magwe pande
Ndugu Jenerali Ulimwengu hebu tuweke wazi hebu usimung`unye maneno huyo anayeweka dole gumba mdomoni ni nani huyo? Maalimu Seif au Lipumba? au Lowasa? maana hao watatu ndio wazee wapo madarakani na bado wanayatafuta hayo madaraka mpaka sasa. Tuweke wazi baba Ulimwengu
Si dhani kama atakusaidia alichokusudia kwasababu ni mjinga peke ambae hufungiwa fumbo. Ndio sababu kuna msemo wa KISWAHILI unasema FUMBO MFUMBIE MJINGA MWEREVU ATAELEWA. Sasa aidha ukubali ujinga au werevu. Maneno ya mzee ni kama mchezo wa chess , kosa moja dogo unashindwa mchezo.
@@malakimkanda3201 naomba nipe majibu mifano ya nchi alizozitaja kutokana na njia walizotumia kudai haki zao ,nchi hizo kwa sasa zinatekeleza haki100% hapa Africa na zinaongoza kwa amani kwasababu zinawatu wanaoweza kudai haki?
Musiwe watumwa wa kimawazo was nchi za wazungu ,wanataka muanze vurugu ili muharibu maendeleo yenu na wapore Mali zenu ndio maana huyu mzee ni mpumbavu hajielewi ,je haoni Libya ,Iraq ,Syria ,Yemen ,siara lion,Liberia ,Congo ,Angola nyuma ya pazia democrasia
Mmh! MZEE Ulimwengu umenifanya nielewe sana na kukufahamu vizuri, hasa kwa kumuelezea Yesu Kristo alipokuwa akifanya shughuli zake za kuhubiri habari njema na kuwakosoa wadhalimu. Lakini pia umenigusa sana na kunifundisha kuelewa vyema maneno ya "Kuwa mwaminifu na kuwa mtii." Hakika Jah bless you may leadership. Ahsante kwani umeongea mambo machache na mengi kwa kugusa maeneo mengi yamzukayo Mwanadam.
Umenifumbua Jeneral unautendea haki uprofesa wako Mungu akupe maisha marefu tujenge profesa Jeneral ulimwengu.
Ukweli nimejifunza mengi sana kutoka kwenye hotuba yako mzee wangu, Mungu akubariki, akulinde na akupe maisha marefu ili uendelee kutufunza watoto wako, ukweli tunahitaji sana busara zenu wazee wetu ili tuweze kurithisha watoto wetu Tanzania bora
Kweli ww ni Generali ulimwengu, maneno yako yamejaa hekima na busara. MUNGU akupe maisha marefu hapa duniani.
Baba mungu akupe maisha marefu nimepata busara nyingi mno,yaani we acha tu,nalifanyia kazi.
Mlezi mkuu wa jamii. Namkubali sn mzee Jenerali Ulimwengu
Nice spesch
Mungu akulipe mema wenimwingi wakuelewa nashukuru kwamaneno mazuri na yenyebusala na ekima nakupenda sababu unatufunza mazur na pia unatupenda sana asante kwa upendo wako
Ee bwana yesu tupe moyo hekima na rehema zako ziwatangulie viongozi wetu taifa letu Liwe na amami amina!!!
Unastahili uwe mshauri wa rais mzee hiyo hekima inahitajika sana kwa taifa hili
ulimwengu mungu akulinde mzee wetu
Jamani huyu mzee anaongea point nampenda sana
Duniahii ina jenerali mmojatuu, nae ni ulimwenguuu. Bigup.
Namkubali mzeeee huyuuuuu naenjoy kumsikilizaaaa
Mzee you are a man of integrity in our country,I love you Mzee Baba.
Exactly.
Hakika nchi na njamii kwa ujumla inahitaji wazee makini kama nyie Mungu akulinde mr.Ulimwengu.
Hats off mzee wangu!
Mzee mungu akubariki
Great thinker mzee wa philosophy
Uyu mzee anayo hekima sanaa..in konk
Professor Kabudi Elimu yako inaisaidiaje nchi
Kweli mwalimu alikuwa anafundisha vijana.
Professor: Kabudi na Lipumba wanayajua hayo?? Nimepokea HEKIMA zako mzee. Namuomba MUNGU akutunuku kuishi miaka ya kutosha
Tukipata profesa wengi kama ww pr. ulimwengu nadhan tutapiga hatua kubwa sana
Asante sana mzee na jukwaa lako lote. Naomba ikiwezekena ifanyike kila mwezi. Naamini fikra mgando zitaondoka kuhusu harakati na utu wema. Nimependa jinsi ilivyowasilishwa. Haikuwa political at all.
Wisdom in high level
Great widom - what a treasure Tanzania has in you, I have no doubt they are aware.
dah Mzee akili yote hii umetoa wapi? Mungu akujalie miaka elfuuuuuuuuuu
Jenerali ni jenerali kweli
Yaaan nalichukia hili limagufuliiiiiiiiiik
Iyo ni chuki yako binafsi kwa roho mbaya yako ndiomaana unaishi maisha yasioeleweka
@@anuaryally6177 jinga ww
hongera sana baba ulimwengu
Hata wale vijana walioko ndani ya chama tawala wanahitajika kua wana halakati, sio kukubali tu ujinga unaofanywa na chama chao,, kesho na kesho kutwa yatatuumiza wote,, au kama wao wamekua maiti sawa.
Wasiokuelewa ni wasaka tonge
Mzee wa heshima,anaemvunjia heshima mzee huyu,huyo amekosa adabu na uungwana.
Shkamoo baba mlezi usituangushe paza sauti usikike huko serikalini
WE NEED MORE OF THIS BRAIN... THANKS A LOT HON GENERALI💪💪💪👋👋👋
Hakuna atakayepona kwenda jehanam kwa kusema kuwa nilifanya haya kwa kuwa nilipewa amri toka juu.
Huyu kapita kW mikono ya mwalimu Julius.
Mzee una material ya ukweli, I like it👏!
Well said Ulimwengu
Magufuli angekua kama wewe,,,,,,,tungefika mbali,,,,,ila bomu hili la taifa ovyoooo
Yeye alikuwa wapi kabla magufuri wacha upumbavu wewe
Hakuna alie tegemea kwamba atakuja kufa
Mtu mwenye akili na kufikiri zaidi ya umbali wa pua wamsikilize na kutafakari Jenerali Ulimwengu alichosema juu ya kunyimana haki ndio chanzo cha usaliti. Wanasema If you push someone too far he/she will do something you cannot imagine. Ni kama vile unavyopuliza hewa Putoni, inafika kikomo Puto litakosa nafasi ya kuweka hewa kitakachotokea ni kupasuka.
Jamani elimu kama hii piteni na mikoani
MZEE nizahabu du tunapata kujitambua kutii na kuwa mwaminifu
Yaan huyu magufuli atanyooka tuuu,,,,,tumpe taarifa kaingia pabayaaaa,,,,,,asubir
Heh...jamani Magufuli bado anawatisha???!!! Duh...
Heshima kwa huyu mzee
We mzee unafaa kua rais
Hapa ndo unachochea sasa
Awe Rais wako na familia yko mtafanikiwa sana nawe uwe mwanahakati wa kupinga kila kitu, tuone kama atakuelewa
Hasante muheshimiwa mwanaharakati usiefungamana wakati wowote, langu kubwa ni, maranyingi umekuwa ulitowa mifano ya watawala ma watawaliwa kwakutaka watawaliwa waamke kuidai haki na watawala wasikandamize waliochini yao, SASA nakuomba uongeze jambo moja la kiuzalendo kwa msisitizo wa hisia japo uligusia kuwa kunanga maisha kwa mtu binafsi hulijenga taifa pia, je unafahamu kuwa uzalendo na nidhamu ya dhamira hustiri aibu kwa mtawala na mtawaliwa ndio maana katika ndowa ya tajiri na ndoa ya maskini wote wanafurahia, je kuto iheshimu aidha nchi,chama,ukoo,Simi na kadhalka na wakati huohuo mtu anajinadi kwa tabaka lakusema " Mimi wao" hii naomba elimu zaidi kiundani usirashie juu ya uzalendo. Hasante sana
weee mzee, 'maria ulimwengu' yuko wapi?
Yes!
usisahau ku like page ya ujenzi wa kisasa zone.
facebook
facebook
facebook
John Beda poa
Tunu ya taif
Good!
MNAONGEA MKITOKA HAPO UTASIKIA HATUNA UHURU WA KUONGEA HAPO TU NDIO MNANICHOSHA MM..
Tuna wazee hazina ila serikali haitaki ukwel kabisa
kuthubutu ni unaharakati
Kwanini Jenerali sio miongoni mwa washauri wa Rais?
Hashauriki
Raisi hashikiki muda wote anapiga tu misele
In advance
Sijayasikia ayo wakati mnaitafuna nchi na viongozi wenzako waliopita leo povuuuuuu unajifanya unabusala kumbe ndio walioasilika kwa awamu ya tano akuna njia za panya soma iyo
Yaani ndugu ndio umeamua kufunga akili na utu wako kiasi hiki?
Nyumbu watakwita mchochezi,akili zao wanajua wenyewe tu
Hahaha. Umenifanya nicheke
Yani wee acha tu
"Hayo uliyoyasema sikubaliani nayo lakini niko tayari kufa nikilinda haki yako ya kuyasema" Hayupo mtu mwenye mtazamo huo hapa Tz mzee. Hapa wanapinga hoja kwa matusi na wanajenga hoja kwa Matusi. Wanaopinga hoja zao huwapiga kwa tofari (block) huyo Maria n kiongozi wa matofari, wengine hutumia hata Risasi au kumpeleka mtu magwe pande
Ndugu Jenerali Ulimwengu hebu tuweke wazi hebu usimung`unye maneno huyo anayeweka dole gumba mdomoni ni nani huyo? Maalimu Seif au Lipumba? au Lowasa? maana hao watatu ndio wazee wapo madarakani na bado wanayatafuta hayo madaraka mpaka sasa. Tuweke wazi baba Ulimwengu
Si dhani kama atakusaidia alichokusudia kwasababu ni mjinga peke ambae hufungiwa fumbo. Ndio sababu kuna msemo wa KISWAHILI unasema FUMBO MFUMBIE MJINGA MWEREVU ATAELEWA. Sasa aidha ukubali ujinga au werevu. Maneno ya mzee ni kama mchezo wa chess , kosa moja dogo unashindwa mchezo.
Bora ni msikilize DJ afro
Nenda mwanakwenu
Chizi
Kwani hapa uliitwa au ni kiherehere chako kimekuleta
Au wewe ni kijana wa kufata mkumbo na kubeba kila kitu: hapa mafisiem yapo menngi
Hahahahaha
Acha kurusharusha video achia yote,acha uoga Ayo
ndele mwalonde xafxana baba
Mabepari wamepitia njia ya pili , ya wajenga hoja kukosoa ukweli...sikukubali mzee
Mzee uzee umekuchanganya sana akili zinapungua kila muda unaposogea ,kwahio unataka tuanze kuandamana ,huyu mzee ni punguwani
Wew keep point on what ur talking na cio kubwabwanya maneno tu ambayo ni non sense
@@malakimkanda3201 naomba nipe majibu mifano ya nchi alizozitaja kutokana na njia walizotumia kudai haki zao ,nchi hizo kwa sasa zinatekeleza haki100% hapa Africa na zinaongoza kwa amani kwasababu zinawatu wanaoweza kudai haki?
Musiwe watumwa wa kimawazo was nchi za wazungu ,wanataka muanze vurugu ili muharibu maendeleo yenu na wapore Mali zenu ndio maana huyu mzee ni mpumbavu hajielewi ,je haoni Libya ,Iraq ,Syria ,Yemen ,siara lion,Liberia ,Congo ,Angola nyuma ya pazia democrasia
@@kimmauston1059 unaumwa wewe!
@@kushokakitasunga9780 siwez kubishana na watu wenye mawazo ya kitumwa