LIVE: JENERALI ULIMWENGU KWENYE MKUTANO WA CHANGE TANZANIA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 98

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 4 года назад +3

    Mmh! MZEE Ulimwengu umenifanya nielewe sana na kukufahamu vizuri, hasa kwa kumuelezea Yesu Kristo alipokuwa akifanya shughuli zake za kuhubiri habari njema na kuwakosoa wadhalimu. Lakini pia umenigusa sana na kunifundisha kuelewa vyema maneno ya "Kuwa mwaminifu na kuwa mtii." Hakika Jah bless you may leadership. Ahsante kwani umeongea mambo machache na mengi kwa kugusa maeneo mengi yamzukayo Mwanadam.

  • @pastorybahinyuye4876
    @pastorybahinyuye4876 3 года назад

    Umenifumbua Jeneral unautendea haki uprofesa wako Mungu akupe maisha marefu tujenge profesa Jeneral ulimwengu.

  • @barikimichael7020
    @barikimichael7020 5 лет назад +1

    Ukweli nimejifunza mengi sana kutoka kwenye hotuba yako mzee wangu, Mungu akubariki, akulinde na akupe maisha marefu ili uendelee kutufunza watoto wako, ukweli tunahitaji sana busara zenu wazee wetu ili tuweze kurithisha watoto wetu Tanzania bora

  • @akilimalimasala2942
    @akilimalimasala2942 5 лет назад +5

    Kweli ww ni Generali ulimwengu, maneno yako yamejaa hekima na busara. MUNGU akupe maisha marefu hapa duniani.

  • @petercat7417
    @petercat7417 5 лет назад +2

    Baba mungu akupe maisha marefu nimepata busara nyingi mno,yaani we acha tu,nalifanyia kazi.

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 5 лет назад +14

    Mlezi mkuu wa jamii. Namkubali sn mzee Jenerali Ulimwengu

  • @djdogoladharrt1922
    @djdogoladharrt1922 2 года назад

    Mungu akulipe mema wenimwingi wakuelewa nashukuru kwamaneno mazuri na yenyebusala na ekima nakupenda sababu unatufunza mazur na pia unatupenda sana asante kwa upendo wako

  • @clarencemushi7602
    @clarencemushi7602 4 года назад +1

    Ee bwana yesu tupe moyo hekima na rehema zako ziwatangulie viongozi wetu taifa letu Liwe na amami amina!!!

  • @marysule5303
    @marysule5303 3 года назад +2

    Unastahili uwe mshauri wa rais mzee hiyo hekima inahitajika sana kwa taifa hili

  • @kibwanamohammed5836
    @kibwanamohammed5836 5 лет назад +7

    ulimwengu mungu akulinde mzee wetu

  • @raphaelshan4905
    @raphaelshan4905 5 лет назад +7

    Jamani huyu mzee anaongea point nampenda sana

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 5 лет назад +2

    Duniahii ina jenerali mmojatuu, nae ni ulimwenguuu. Bigup.

  • @samsonezekiel9232
    @samsonezekiel9232 4 года назад +1

    Namkubali mzeeee huyuuuuu naenjoy kumsikilizaaaa

  • @jamesrobare522
    @jamesrobare522 5 лет назад +9

    Mzee you are a man of integrity in our country,I love you Mzee Baba.

  • @amankhalfan4798
    @amankhalfan4798 5 лет назад +2

    Hakika nchi na njamii kwa ujumla inahitaji wazee makini kama nyie Mungu akulinde mr.Ulimwengu.

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 4 года назад +2

    Hats off mzee wangu!

  • @ilomoisaya3629
    @ilomoisaya3629 3 года назад

    Mzee mungu akubariki

  • @halifasaid8343
    @halifasaid8343 5 лет назад +1

    Great thinker mzee wa philosophy

  • @kevinthadeus3756
    @kevinthadeus3756 5 лет назад +3

    Uyu mzee anayo hekima sanaa..in konk

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Год назад

    Professor Kabudi Elimu yako inaisaidiaje nchi

  • @tonyfredy8975
    @tonyfredy8975 5 лет назад +4

    Kweli mwalimu alikuwa anafundisha vijana.

  • @emlongetcha88
    @emlongetcha88 5 лет назад +3

    Professor: Kabudi na Lipumba wanayajua hayo?? Nimepokea HEKIMA zako mzee. Namuomba MUNGU akutunuku kuishi miaka ya kutosha

  • @oscarkavansy3539
    @oscarkavansy3539 5 лет назад +3

    Tukipata profesa wengi kama ww pr. ulimwengu nadhan tutapiga hatua kubwa sana

  • @gosbertbajungu1425
    @gosbertbajungu1425 5 лет назад +1

    Asante sana mzee na jukwaa lako lote. Naomba ikiwezekena ifanyike kila mwezi. Naamini fikra mgando zitaondoka kuhusu harakati na utu wema. Nimependa jinsi ilivyowasilishwa. Haikuwa political at all.

  • @coms2640
    @coms2640 5 лет назад +3

    Wisdom in high level

  • @kambandavedaste4692
    @kambandavedaste4692 3 года назад

    Great widom - what a treasure Tanzania has in you, I have no doubt they are aware.

  • @metiliole7189
    @metiliole7189 5 лет назад +1

    dah Mzee akili yote hii umetoa wapi? Mungu akujalie miaka elfuuuuuuuuuu

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 2 года назад

    Jenerali ni jenerali kweli

  • @superchadema2417
    @superchadema2417 5 лет назад +4

    Yaaan nalichukia hili limagufuliiiiiiiiiik

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 4 года назад

      Iyo ni chuki yako binafsi kwa roho mbaya yako ndiomaana unaishi maisha yasioeleweka

    • @muniruwahid6648
      @muniruwahid6648 4 года назад

      @@anuaryally6177 jinga ww

  • @alexmilinga2466
    @alexmilinga2466 5 лет назад +1

    hongera sana baba ulimwengu

  • @jumahussein7446
    @jumahussein7446 4 года назад +1

    Hata wale vijana walioko ndani ya chama tawala wanahitajika kua wana halakati, sio kukubali tu ujinga unaofanywa na chama chao,, kesho na kesho kutwa yatatuumiza wote,, au kama wao wamekua maiti sawa.

  • @wankyosogorya8115
    @wankyosogorya8115 3 года назад +1

    Wasiokuelewa ni wasaka tonge

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 5 лет назад +3

    Mzee wa heshima,anaemvunjia heshima mzee huyu,huyo amekosa adabu na uungwana.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад

    Shkamoo baba mlezi usituangushe paza sauti usikike huko serikalini

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 4 года назад +1

    WE NEED MORE OF THIS BRAIN... THANKS A LOT HON GENERALI💪💪💪👋👋👋

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 4 года назад +1

    Hakuna atakayepona kwenda jehanam kwa kusema kuwa nilifanya haya kwa kuwa nilipewa amri toka juu.

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +1

    Huyu kapita kW mikono ya mwalimu Julius.

  • @jubilatesamweli2874
    @jubilatesamweli2874 5 лет назад +2

    Mzee una material ya ukweli, I like it👏!

  • @superchadema2417
    @superchadema2417 5 лет назад +8

    Magufuli angekua kama wewe,,,,,,,tungefika mbali,,,,,ila bomu hili la taifa ovyoooo

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 4 года назад +1

      Yeye alikuwa wapi kabla magufuri wacha upumbavu wewe

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 года назад

      Hakuna alie tegemea kwamba atakuja kufa

  • @rubamann
    @rubamann 5 лет назад +1

    Mtu mwenye akili na kufikiri zaidi ya umbali wa pua wamsikilize na kutafakari Jenerali Ulimwengu alichosema juu ya kunyimana haki ndio chanzo cha usaliti. Wanasema If you push someone too far he/she will do something you cannot imagine. Ni kama vile unavyopuliza hewa Putoni, inafika kikomo Puto litakosa nafasi ya kuweka hewa kitakachotokea ni kupasuka.

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 лет назад +2

    Jamani elimu kama hii piteni na mikoani

  • @kelvinkiteleja8434
    @kelvinkiteleja8434 2 года назад

    MZEE nizahabu du tunapata kujitambua kutii na kuwa mwaminifu

  • @superchadema2417
    @superchadema2417 5 лет назад +4

    Yaan huyu magufuli atanyooka tuuu,,,,,tumpe taarifa kaingia pabayaaaa,,,,,,asubir

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Год назад

      Heh...jamani Magufuli bado anawatisha???!!! Duh...

  • @josephnambo8958
    @josephnambo8958 5 лет назад +1

    Heshima kwa huyu mzee

  • @emanuelmushi6878
    @emanuelmushi6878 5 лет назад +2

    We mzee unafaa kua rais

    • @clementmathias9512
      @clementmathias9512 5 лет назад

      Hapa ndo unachochea sasa

    • @alexmnane7122
      @alexmnane7122 4 года назад

      Awe Rais wako na familia yko mtafanikiwa sana nawe uwe mwanahakati wa kupinga kila kitu, tuone kama atakuelewa

  • @jafaribori601
    @jafaribori601 5 лет назад

    Hasante muheshimiwa mwanaharakati usiefungamana wakati wowote, langu kubwa ni, maranyingi umekuwa ulitowa mifano ya watawala ma watawaliwa kwakutaka watawaliwa waamke kuidai haki na watawala wasikandamize waliochini yao, SASA nakuomba uongeze jambo moja la kiuzalendo kwa msisitizo wa hisia japo uligusia kuwa kunanga maisha kwa mtu binafsi hulijenga taifa pia, je unafahamu kuwa uzalendo na nidhamu ya dhamira hustiri aibu kwa mtawala na mtawaliwa ndio maana katika ndowa ya tajiri na ndoa ya maskini wote wanafurahia, je kuto iheshimu aidha nchi,chama,ukoo,Simi na kadhalka na wakati huohuo mtu anajinadi kwa tabaka lakusema " Mimi wao" hii naomba elimu zaidi kiundani usirashie juu ya uzalendo. Hasante sana

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 5 лет назад

    weee mzee, 'maria ulimwengu' yuko wapi?

  • @jonathaneliabu2298
    @jonathaneliabu2298 4 года назад

    Yes!

  • @bedatv5634
    @bedatv5634 5 лет назад +2

    usisahau ku like page ya ujenzi wa kisasa zone.
    facebook
    facebook
    facebook

  • @chessmikausho2468
    @chessmikausho2468 5 лет назад +1

    Tunu ya taif

  • @missangatv1368
    @missangatv1368 5 лет назад

    Good!

  • @solomonmasanja7111
    @solomonmasanja7111 4 года назад

    MNAONGEA MKITOKA HAPO UTASIKIA HATUNA UHURU WA KUONGEA HAPO TU NDIO MNANICHOSHA MM..

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Год назад

    Tuna wazee hazina ila serikali haitaki ukwel kabisa

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf5938 5 лет назад

    kuthubutu ni unaharakati

  • @Ngangabwite
    @Ngangabwite 5 лет назад +1

    Kwanini Jenerali sio miongoni mwa washauri wa Rais?

  • @evansbigivan399
    @evansbigivan399 4 года назад

    In advance

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад

    Sijayasikia ayo wakati mnaitafuna nchi na viongozi wenzako waliopita leo povuuuuuu unajifanya unabusala kumbe ndio walioasilika kwa awamu ya tano akuna njia za panya soma iyo

    • @muniruwahid6648
      @muniruwahid6648 4 года назад

      Yaani ndugu ndio umeamua kufunga akili na utu wako kiasi hiki?

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад +1

    Nyumbu watakwita mchochezi,akili zao wanajua wenyewe tu

  • @johnb1842
    @johnb1842 5 лет назад +6

    "Hayo uliyoyasema sikubaliani nayo lakini niko tayari kufa nikilinda haki yako ya kuyasema" Hayupo mtu mwenye mtazamo huo hapa Tz mzee. Hapa wanapinga hoja kwa matusi na wanajenga hoja kwa Matusi. Wanaopinga hoja zao huwapiga kwa tofari (block) huyo Maria n kiongozi wa matofari, wengine hutumia hata Risasi au kumpeleka mtu magwe pande

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 5 лет назад

    Ndugu Jenerali Ulimwengu hebu tuweke wazi hebu usimung`unye maneno huyo anayeweka dole gumba mdomoni ni nani huyo? Maalimu Seif au Lipumba? au Lowasa? maana hao watatu ndio wazee wapo madarakani na bado wanayatafuta hayo madaraka mpaka sasa. Tuweke wazi baba Ulimwengu

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 года назад

      Si dhani kama atakusaidia alichokusudia kwasababu ni mjinga peke ambae hufungiwa fumbo. Ndio sababu kuna msemo wa KISWAHILI unasema FUMBO MFUMBIE MJINGA MWEREVU ATAELEWA. Sasa aidha ukubali ujinga au werevu. Maneno ya mzee ni kama mchezo wa chess , kosa moja dogo unashindwa mchezo.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 лет назад

    Bora ni msikilize DJ afro

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 5 лет назад

    Au wewe ni kijana wa kufata mkumbo na kubeba kila kitu: hapa mafisiem yapo menngi

  • @ndelemwalonde2145
    @ndelemwalonde2145 5 лет назад +2

    Acha kurusharusha video achia yote,acha uoga Ayo

  • @orthospeedafrica5335
    @orthospeedafrica5335 4 года назад

    Mabepari wamepitia njia ya pili , ya wajenga hoja kukosoa ukweli...sikukubali mzee

  • @kimmauston1059
    @kimmauston1059 5 лет назад

    Mzee uzee umekuchanganya sana akili zinapungua kila muda unaposogea ,kwahio unataka tuanze kuandamana ,huyu mzee ni punguwani

    • @malakimkanda3201
      @malakimkanda3201 5 лет назад

      Wew keep point on what ur talking na cio kubwabwanya maneno tu ambayo ni non sense

    • @kimmauston1059
      @kimmauston1059 5 лет назад

      @@malakimkanda3201 naomba nipe majibu mifano ya nchi alizozitaja kutokana na njia walizotumia kudai haki zao ,nchi hizo kwa sasa zinatekeleza haki100% hapa Africa na zinaongoza kwa amani kwasababu zinawatu wanaoweza kudai haki?

    • @kimmauston1059
      @kimmauston1059 5 лет назад

      Musiwe watumwa wa kimawazo was nchi za wazungu ,wanataka muanze vurugu ili muharibu maendeleo yenu na wapore Mali zenu ndio maana huyu mzee ni mpumbavu hajielewi ,je haoni Libya ,Iraq ,Syria ,Yemen ,siara lion,Liberia ,Congo ,Angola nyuma ya pazia democrasia

    • @kushokakitasunga9780
      @kushokakitasunga9780 5 лет назад

      @@kimmauston1059 unaumwa wewe!

    • @kimmauston1059
      @kimmauston1059 5 лет назад

      @@kushokakitasunga9780 siwez kubishana na watu wenye mawazo ya kitumwa