Nimekomesea Leo wa kwanza love ❤❤❤❤❤watoa Mwenyez MUNGU azid kuwalindana kuwatunza popote mulipo haswa wanawake mulioacha nchi zenu kwenda nchi za watu kutafuta ridhiki bg up❤❤❤🎉🎉🎉
When I grow up I would like to be KAi hao warembo wote wanalalia kufua yako na kukukiss pia. Hata lama ni kazi unaenjoy pia. "Kwanza Zatiti the most beautiful in the team"
@@millysitati8844 😃😃😃😃 jwan wao ad wanaandaa jna la movie hawqkujua nn kinatkiwa yaaan Tanzania nch yangu naipenda 😃😃😃 wenzet ad ianze tamthilia kuoneshwa unakuta tyr washarecord kila kitu
Unajua uhalisia wa mtu hutokn na kile kimo moyon, zatiti ni mpole, na mweny huruma sn ndo maan anawezea hiyo secta, akipewa kipande anachoigiza kendi hawez kufiti
Sijui nikwanini nikiona zatiti alia naumia kule house girl wali huku walia 😢zatiti much love from kenya kwakweli wewe nimuigizaji mzuri unajua kutendea haki kaz yako
Ukweli usemwe hakuna kitu kibaya ambacho chaumiza kama kuachwa na boy wko bila sababu🤔huyu Demu anaumia sana ...hila.nisema hakuna kilicho kua na mwanzo kikakosa mwisho💪
Kwa movie ingine, nakuomba zatiti dada yangu, usicheze ile nafasi yaku kataliwa tena, hiyo sio nafasi yako, labda acheze kendy ao sania. Kwako apana, naomba unisikilize vizuri 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
GROUP JIPYA KWA MASHABIKI WA MY MOTHER BONYEZA LINK 👇
chat.whatsapp.com/L2QS7pTWjRt7N7CuN9KAKf
Lakini musisahau kwamba house girl haijaisha tunaitamani tena
Bado tupooo❤
Kama candy yupo ndani nitajoin , je yupo?
Kwm house girl vp
Kama ume ona zatiti ana endana na Kai like apa ❤❤
Waah zatiti pole house girl unanyanyasika na mapenzi hapa my mother pia unanyanyasika vilevile na ulivyo mrembo mpaka nakupa maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kutoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wale wa house girl sasa tuko mother wapi likes zenyu jamani
Jmn uu zatiti mbon mlembo san kam unamaoni kam mimi nipe like❤
🎉🎉🎉nimewahi jama wasio penda kumuoa zatiti akiwa n huzuni munipee like jaman🎉🎉
Asalaamu walekum bwana yesu asifiwe yoyote atakayesoma hii coment uwe na maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Maisha marefu kwako pia
❤❤❤❤
😂😂😂😂😂 🙏🙏
❤❤❤
🙏🙏🙏
Wanao hisi chiko na zatiti n Ndungu tujuane🎉🎉🎉❤
Sio tu ndugu ni mume na mke chiko na zatiti🎉😅😅
Part ya zatiti ,saa yote ni kulia tu,jamani mpeni ya furaha kama wengine
Iyo yakulia ndo inampendeza ndo maana wanampatia iyo
@@MinnahPetra ooh ni sawa, mimi nilikuwa na mhurumia
Tunao amini zatiti atapata mtu wa kumpa furaha weka ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Naomba awe Tasha kama kwa house girl 😂😂😂😂
Leo kweny mama nimewahi ila sjui wangapi tujuane kwa like bas from Oman 🇴🇲
Yukopamoa oman
kama kawaida oman hiyo
hujambo
Nimekomesea Leo wa kwanza love ❤❤❤❤❤watoa Mwenyez MUNGU azid kuwalindana kuwatunza popote mulipo haswa wanawake mulioacha nchi zenu kwenda nchi za watu kutafuta ridhiki bg up❤❤❤🎉🎉🎉
Asnte kipenzi Mungu akubariki sana ❤❤
❤❤❤❤❤❤
Asante kipenzi maisha marefu kwa kwako pia
Shukran nawe piah kpenz
Asnte mungi akubariki
Ila candy jamani 😅😅😅😅na kwenye movie ingine mjaribu kumfanya zatiti apate mapenzi ya kweli sio kumliza tu mi naumia mjue nkimuona analia😂😂😂😂😂😂😂😂
Kend nakuwomb mukifany ingine movie usikubar kukuwa mutu waroho mbay😂❤🎉
Nimechelewa kweli ila nimefika jamani japo like 2 jamani tuko kwa mother sasa🎉🎉🎉🎉
When I grow up I would like to be KAi hao warembo wote wanalalia kufua yako na kukukiss pia. Hata lama ni kazi unaenjoy pia. "Kwanza Zatiti the most beautiful in the team"
Kazi nzuli. Sema nimeumia Kai ulivyomfanyia zatit kisa mwanamke mwenye pesa na chko uyo candy sio mke sahyhi
Nlichogundua watazamaj ndo tunawashaur waigzaj movie iwe vipi 😂😂😂
lazima sababu sisi ndo tunafanya wapate pesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@millysitati8844 😃😃😃😃 jwan wao ad wanaandaa jna la movie hawqkujua nn kinatkiwa yaaan Tanzania nch yangu naipenda 😃😃😃 wenzet ad ianze tamthilia kuoneshwa unakuta tyr washarecord kila kitu
❤❤😢😢😢😢 ila msikawie sawa kutoa house girl pia
Zatiti mungu akuitie nguvu mammy jipe moyo utapata umpendaye
Wakaanza Leo kutoka Kenya aky house girl haujawai nipea like Leo aky nimewai nipee like zangu😢😢
Wakamaliza kesho 😂😊
Kenya wapi we ci unakaa buza kwa mparange sema kwel
😂😂😂 aki wew
@@AllyBabu-kr6lg😂😂😂uwiih
Chiko unamwangalia candy anachomfanyia mama mim ningemzab kibao kimoja asirimikeee😭😭mama n mam a❤❤
Kazngu San
Niliona notification ila nimelenga makusudi juu sikutaka kusema wakwaza wala kuomba like
Mashallah
Hakika hii move inahisia Kali sana hapo mmeupiga mwingi good job
Zatit bs inatosh unatuliz nawengin
Izo nywele za Kandi nimezichoka
Team hamammu like zangu❤❤🎉🎉
Mko huku tena 😂😂😂
@@user-tx6ir9oe6u nipo kila sehem kujifarij na mawazo ya waarabu
Sasa kama waiguru atuachi nyuma mbona ss tuache busati 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂make apo Kwanza nicheke akina hamammu
Ila kay kumbuka siku zote mapenzi ya mwanamke mwenye Mali afuu we huna haijawah kumwacha mtu salama 😂😅litakukuta Jambo wewe shaurii Yako
Exactly 💯😂
Alie wahi kama Mimi ni nani
Waaauh haki si zatiti hupigwa maheartbreak sana hadi namhurumia😌
Jamani kwani zatiti kulia kwake nijambo dogo Sana ndomana wanampa ichokitengo maana kamakazaliwa ili alie2 welcom🇮🇪
Unajua uhalisia wa mtu hutokn na kile kimo moyon, zatiti ni mpole, na mweny huruma sn ndo maan anawezea hiyo secta, akipewa kipande anachoigiza kendi hawez kufiti
Jamani dadangu zatiti usijali panguza machozi dadangu ❤🙏🙏🙏
Katka wote hum zatiti ndo mrembo zaid tujuane kwenye like
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kumbe kend ako na lohombay popote 😂😂🎉
Kai bhana anataaaaaaamba❤❤❤ kuchkuch nyingi
🥰
Guy's I Love You So Much 💗💗💗💗💗 From Burund ❤️❤️❤️ Kazi. Nzuli Sana Kbx ❤️❤️❤️❤️❤️🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana wana busat yaani movie zenu haziboesh kabisa
Kai mungu akueke uko fiti toka zama za mapenzi ya jini hongera mzee w kazi 🇰🇪👊🏻
Hii nayo mumeweza AA shukrani ndugu zangu
Jaman zatiti nahizo part zko zakulia umeweza🎉🎉🎉Candy jaman mama wenzio n mamayo pia nakupea maua yko kwa kzi yko🎉🎉🎉yaan haubugi kbc.Kzi nzur sna
Watching tz soap operas from Riyadh Saudi Arabia 🇸🇦
Mrembo wetu zatiti nakupenda sana ❤❤❤❤
Candy wakati mwengine cheza Pati tofauti umezidi tabia mbaya kila movie 😂😂😂😂😂
Namm nimewahi Leo nipeni like zangu😅😅
Safi sana apo mmecheza kama nyinyi
Walio ona nywele za candy ni zakule kwenye house girl gonga like
Na kwenye nafsi
Nawapata vizuri nikiwa nchi oman
Wa omani mwenzangu tuko pamoja nice ❤🎉 move
Sijapenda venye mlimgeuza jina candy 😂😂
Eenh halijampendeza ilo la loyanda😢😅
Twende nalo hili tamu sana kama house girl❤❤❤❤
Ila zatt jaman pole sana 🎉🎉🎉🎉
jman kwl nimeria yani nawapenda sana tena ongela❤❤❤❤
Jamani candy Kwa house girl ulikuwa mbaya hapa pia
Pol san zatiti nakupnda san ❤❤❤❤
Kazi nzuri kabisa 🎉
Chiko my dear apo ulipiga ngumi ukuta😢😢😢 yani mamaako anavyo fanyiwa tena mbele ya macho yako duh!!!! Sijapenda
Caddy nakupa mauwa yako unacheza character yako po 🎉🎉🎉, 🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Anajua mpk bac
Sijui nikwanini nikiona zatiti alia naumia kule house girl wali huku walia 😢zatiti much love from kenya kwakweli wewe nimuigizaji mzuri unajua kutendea haki kaz yako
Zatiti una sura nzuri Sana ukilia na ndo maana unapenda yoh part ya kulilia Sana mapenzi..... Anguza likes za zatiti hapa
Zatiti kwenye kulia uko vzr
Daaah wallah hii move yanitoa machozi maana n ualisia mtupu mumeigiza kazi nzuri sana😭😭😭
Wanaoisi kua chiko na zatiti ni mama mmoja gonga like
Nanyie huyo zatiti wawatu mnamkosea Sana jamani nampenda San zatiti mungu Ampe Maisha malefu💗💗💗💗💗💗💗💗💗♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️zatiti💔💔💔
Jamani zatiti wangu, alfu Chiko mpuuzi wa wpi huyu, mama ni mama hata kama ni kichaa😢😢
Wooooow hamtoagi vitu vibovu🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤
Mungu awabariki nyote Kwa kuumiza vichwa Venu msada mnao TOA Ni mkubwa mungu atawalipa Amen 🥰🥰🥰
mapema kweny my mom ❤❤Love u zatiti
Jamani nampenda sana zatiti maana yeye ndiye wakuumizwa2
Kaz nzur busati ❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Yaaan kwann msitutoleee house giirl
Kwa nn zatiti pekee ndo anateswa na mapenzi pole sana mama usijal 🥰
Candy wew utafika mbinguni umechoka Dada wew hebu muogope mungu sio vizuli Yani wew kila sehemu wewe nishida
Saw umeshinda bint elew a mapemz nikma majani huota popote🎉
Ninacho kihisi nikama batuli ni mke wamtu ama ana mtu wake 😢😢😢😢😢😢😢 unamdanganya kai
Nakubaliana na wwe100%
@@AishaPataka-zh4zw umeonaa acha tutajua huko mbele
Wew ndo umewazaaa na atakua papa😅😅😅
Keep on pushing Kai....you wil reach your goals...back to bck wil make your movies popular.
Hebu mpunzisheni huyo zatiti yajani mnamtesha jamani nampenda San zatiti♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Kazi nzuri jamani zatiti pole ❤candy kama candy mambo yak e moto ati uko biz na kichaa😂😂😂😂😂😂😂😂candy ❤❤❤❤❤❤❤❤
Candy movie lngine igiza mke.mwenye thamani jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ja
Mani bilatalipha mshaweka nimechelewa like naomben hatammoja
Zatiti apumzishwe kuhuzunika jmn apewe part ya roho ngumu series nyengine
Aky chiko kweli unapenda mamaako kweli candy amufanjie ivo na ww umesimama
Zatiti kwakulia upo vizur mama kend nae kwaroho mbaya jaman
Movies nzuri sana ❤❤❤😢😢
Jaman mbona zatati nimrembo Sana ❤❤
Yaani kila mahali Zatiti tu ndiye anatezwa na mapenzi
Hi nayo ni More fire jamani we zatiti iko fresh kwa movi keep it up dear
Simpendi candy character zake sema ndoivo tu movie sio kweli
Kazi nzuri,kutoka oman like zangu jmn😂😂
Zatiti amekuwa mtu wakuteseka na mapenzi maskini hadi huruma😢😢
Mnamumiza sanaa zatiti kwenye move
😀😀😀
Somoeee Jafar super Yuko wap
Wanaume wa my mother kuweni na msimamo
Zatiti pole sana lkn Kandi io ukali na ubaya wako ndivyo uko ama ni kwa movie pekee tena ongera sana mama wazimu
Ukweli usemwe hakuna kitu kibaya ambacho chaumiza kama kuachwa na boy wko bila sababu🤔huyu Demu anaumia sana ...hila.nisema hakuna kilicho kua na mwanzo kikakosa mwisho💪
Naombeni janm mnieleweshe Ila siy Kwa ubaya 😢huyo mama Ni kichaa au anaigiza tu 😳 nauliza2 siy kwaubay jmn
Mashallah ❤❤❤❤
Zatity nakubali sana madam nafrahi kukuona2
Kwa movie ingine, nakuomba zatiti dada yangu, usicheze ile nafasi yaku kataliwa tena, hiyo sio nafasi yako, labda acheze kendy ao sania. Kwako apana, naomba unisikilize vizuri 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Sio kama Yolanda hana akili bali wewe Chiko ndio hauna akili,hizo baraka kutoka kwa Mungu utazitoa wapi mjinga wewe
🎉🎉🎉🎉 kazi zuri
Jamaniiiiii nisaidie kitu hapo kwenye maji ni sehem gan