MY MOTHER EP 02 | Sad Story 💔💔

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #bongomovie #mymother #housegirl

Комментарии • 555

  • @busatitv
    @busatitv  24 дня назад +75

    GROUP JIPYA KWA MASHABIKI WA MY MOTHER BONYEZA LINK 👇
    chat.whatsapp.com/L2QS7pTWjRt7N7CuN9KAKf

  • @Chingamedia-o2b
    @Chingamedia-o2b 24 дня назад +85

    Kama ume ona zatiti ana endana na Kai like apa ❤❤

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l 24 дня назад +29

    Waah zatiti pole house girl unanyanyasika na mapenzi hapa my mother pia unanyanyasika vilevile na ulivyo mrembo mpaka nakupa maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kutoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SussyNyakio
    @SussyNyakio 23 дня назад +62

    Wale wa house girl sasa tuko mother wapi likes zenyu jamani

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv 24 дня назад +39

    Jmn uu zatiti mbon mlembo san kam unamaoni kam mimi nipe like❤

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 24 дня назад +41

    🎉🎉🎉nimewahi jama wasio penda kumuoa zatiti akiwa n huzuni munipee like jaman🎉🎉

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 24 дня назад +112

    Asalaamu walekum bwana yesu asifiwe yoyote atakayesoma hii coment uwe na maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 24 дня назад +22

    Wanao hisi chiko na zatiti n Ndungu tujuane🎉🎉🎉❤

    • @HappynessMapya
      @HappynessMapya 24 дня назад +2

      Sio tu ndugu ni mume na mke chiko na zatiti🎉😅😅

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 24 дня назад +45

    Part ya zatiti ,saa yote ni kulia tu,jamani mpeni ya furaha kama wengine

    • @MinnahPetra
      @MinnahPetra 24 дня назад +3

      Iyo yakulia ndo inampendeza ndo maana wanampatia iyo

    • @elvinakalu6991
      @elvinakalu6991 23 дня назад +2

      @@MinnahPetra ooh ni sawa, mimi nilikuwa na mhurumia

  • @JbmtekaMteka-u3h
    @JbmtekaMteka-u3h 23 дня назад +10

    Tunao amini zatiti atapata mtu wa kumpa furaha weka ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @SdFft-j5g
      @SdFft-j5g 19 дней назад

      Naomba awe Tasha kama kwa house girl 😂😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 24 дня назад +46

    Leo kweny mama nimewahi ila sjui wangapi tujuane kwa like bas from Oman 🇴🇲

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 24 дня назад +17

    Nimekomesea Leo wa kwanza love ❤❤❤❤❤watoa Mwenyez MUNGU azid kuwalindana kuwatunza popote mulipo haswa wanawake mulioacha nchi zenu kwenda nchi za watu kutafuta ridhiki bg up❤❤❤🎉🎉🎉

  • @bahatikanga
    @bahatikanga 24 дня назад +9

    Ila candy jamani 😅😅😅😅na kwenye movie ingine mjaribu kumfanya zatiti apate mapenzi ya kweli sio kumliza tu mi naumia mjue nkimuona analia😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AlineBaby-m5l
    @AlineBaby-m5l 24 дня назад +12

    Kend nakuwomb mukifany ingine movie usikubar kukuwa mutu waroho mbay😂❤🎉

  • @bihadibavu
    @bihadibavu 24 дня назад +7

    Nimechelewa kweli ila nimefika jamani japo like 2 jamani tuko kwa mother sasa🎉🎉🎉🎉

  • @fideliswambua3346
    @fideliswambua3346 24 дня назад +6

    When I grow up I would like to be KAi hao warembo wote wanalalia kufua yako na kukukiss pia. Hata lama ni kazi unaenjoy pia. "Kwanza Zatiti the most beautiful in the team"

  • @KagegaAbdlah
    @KagegaAbdlah 24 дня назад +16

    Kazi nzuli. Sema nimeumia Kai ulivyomfanyia zatit kisa mwanamke mwenye pesa na chko uyo candy sio mke sahyhi

  • @JaneroseWarren
    @JaneroseWarren 24 дня назад +12

    Nlichogundua watazamaj ndo tunawashaur waigzaj movie iwe vipi 😂😂😂

    • @millysitati8844
      @millysitati8844 24 дня назад

      lazima sababu sisi ndo tunafanya wapate pesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @JaneroseWarren
      @JaneroseWarren 24 дня назад

      @@millysitati8844 😃😃😃😃 jwan wao ad wanaandaa jna la movie hawqkujua nn kinatkiwa yaaan Tanzania nch yangu naipenda 😃😃😃 wenzet ad ianze tamthilia kuoneshwa unakuta tyr washarecord kila kitu

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 24 дня назад +12

    ❤❤😢😢😢😢 ila msikawie sawa kutoa house girl pia

  • @EsterNsemwa
    @EsterNsemwa 23 дня назад +3

    Zatiti mungu akuitie nguvu mammy jipe moyo utapata umpendaye

  • @Damaris-ep1di
    @Damaris-ep1di 24 дня назад +48

    Wakaanza Leo kutoka Kenya aky house girl haujawai nipea like Leo aky nimewai nipee like zangu😢😢

  • @LovenessMassawe-xr8dr
    @LovenessMassawe-xr8dr 24 дня назад +16

    Chiko unamwangalia candy anachomfanyia mama mim ningemzab kibao kimoja asirimikeee😭😭mama n mam a❤❤

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 24 дня назад +21

    Niliona notification ila nimelenga makusudi juu sikutaka kusema wakwaza wala kuomba like

  • @JastineMichael-e6m
    @JastineMichael-e6m 23 дня назад +2

    Hakika hii move inahisia Kali sana hapo mmeupiga mwingi good job

  • @vumiliasiminakamendu
    @vumiliasiminakamendu 23 дня назад +2

    Zatit bs inatosh unatuliz nawengin

  • @leilayathumani2295
    @leilayathumani2295 23 дня назад +6

    Izo nywele za Kandi nimezichoka

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 24 дня назад +27

    Team hamammu like zangu❤❤🎉🎉

    • @user-tx6ir9oe6u
      @user-tx6ir9oe6u 24 дня назад +1

      Mko huku tena 😂😂😂

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 24 дня назад

      @@user-tx6ir9oe6u nipo kila sehem kujifarij na mawazo ya waarabu

    • @Liliankerubo-ye1le
      @Liliankerubo-ye1le 23 дня назад +1

      Sasa kama waiguru atuachi nyuma mbona ss tuache busati 😂😂😂😂

    • @Bint-Zanzibari
      @Bint-Zanzibari 23 дня назад +1

      😂😂😂😂😂make apo Kwanza nicheke akina hamammu

  • @zuleykhasaid967
    @zuleykhasaid967 24 дня назад +5

    Ila kay kumbuka siku zote mapenzi ya mwanamke mwenye Mali afuu we huna haijawah kumwacha mtu salama 😂😅litakukuta Jambo wewe shaurii Yako

  • @MusaIddy-j6h
    @MusaIddy-j6h 24 дня назад +10

    Alie wahi kama Mimi ni nani

  • @EkisaJosephOpurongo
    @EkisaJosephOpurongo 23 дня назад +3

    Waaauh haki si zatiti hupigwa maheartbreak sana hadi namhurumia😌

  • @KhalidiLissu
    @KhalidiLissu 24 дня назад +4

    Jamani kwani zatiti kulia kwake nijambo dogo Sana ndomana wanampa ichokitengo maana kamakazaliwa ili alie2 welcom🇮🇪

    • @jacklinenmageme8410
      @jacklinenmageme8410 22 дня назад

      Unajua uhalisia wa mtu hutokn na kile kimo moyon, zatiti ni mpole, na mweny huruma sn ndo maan anawezea hiyo secta, akipewa kipande anachoigiza kendi hawez kufiti

  • @brendanawanga
    @brendanawanga 23 дня назад +2

    Jamani dadangu zatiti usijali panguza machozi dadangu ❤🙏🙏🙏

  • @MeshaLeckison
    @MeshaLeckison 24 дня назад +12

    Katka wote hum zatiti ndo mrembo zaid tujuane kwenye like

  • @AlineBaby-m5l
    @AlineBaby-m5l 24 дня назад +4

    Kumbe kend ako na lohombay popote 😂😂🎉

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 23 дня назад +3

    Kai bhana anataaaaaaamba❤❤❤ kuchkuch nyingi

  • @Jajakanjaniri
    @Jajakanjaniri 23 дня назад +2

    Guy's I Love You So Much 💗💗💗💗💗 From Burund ❤️❤️❤️ Kazi. Nzuli Sana Kbx ❤️❤️❤️❤️❤️🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidomar3291
    @saidomar3291 4 дня назад

    Hongereni sana wana busat yaani movie zenu haziboesh kabisa

  • @MabrukHakim-go4ff
    @MabrukHakim-go4ff 20 дней назад +1

    Kai mungu akueke uko fiti toka zama za mapenzi ya jini hongera mzee w kazi 🇰🇪👊🏻

  • @LenaLeee-mx6so
    @LenaLeee-mx6so 23 дня назад +1

    Hii nayo mumeweza AA shukrani ndugu zangu

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 24 дня назад +3

    Jaman zatiti nahizo part zko zakulia umeweza🎉🎉🎉Candy jaman mama wenzio n mamayo pia nakupea maua yko kwa kzi yko🎉🎉🎉yaan haubugi kbc.Kzi nzur sna

  • @roseofficials7189
    @roseofficials7189 23 дня назад +2

    Watching tz soap operas from Riyadh Saudi Arabia 🇸🇦

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 24 дня назад +2

    Mrembo wetu zatiti nakupenda sana ❤❤❤❤

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 24 дня назад +2

    Candy wakati mwengine cheza Pati tofauti umezidi tabia mbaya kila movie 😂😂😂😂😂

  • @JescaDenis-d2r
    @JescaDenis-d2r 24 дня назад +8

    Namm nimewahi Leo nipeni like zangu😅😅

  • @PurityDida
    @PurityDida 23 дня назад +1

    Safi sana apo mmecheza kama nyinyi

  • @AngelMbelle-ld4hq
    @AngelMbelle-ld4hq 23 дня назад +2

    Walio ona nywele za candy ni zakule kwenye house girl gonga like

  • @HappyNass-mu3lu
    @HappyNass-mu3lu 24 дня назад +5

    Nawapata vizuri nikiwa nchi oman

    • @MARYNAGUJustin
      @MARYNAGUJustin 24 дня назад

      Wa omani mwenzangu tuko pamoja nice ❤🎉 move

  • @mary-lx3hr
    @mary-lx3hr 24 дня назад +4

    Sijapenda venye mlimgeuza jina candy 😂😂

    • @RASHEEDTV-c3s
      @RASHEEDTV-c3s 24 дня назад

      Eenh halijampendeza ilo la loyanda😢😅

  • @annstamciawanzila2652
    @annstamciawanzila2652 24 дня назад +2

    Twende nalo hili tamu sana kama house girl❤❤❤❤

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg 23 дня назад +1

    Ila zatt jaman pole sana 🎉🎉🎉🎉

  • @joselynedusabimana8046
    @joselynedusabimana8046 23 дня назад +1

    jman kwl nimeria yani nawapenda sana tena ongela❤❤❤❤

  • @EphyOnyango
    @EphyOnyango 23 дня назад +2

    Jamani candy Kwa house girl ulikuwa mbaya hapa pia

  • @Nadzuwamangale
    @Nadzuwamangale 24 дня назад +3

    Pol san zatiti nakupnda san ❤❤❤❤

  • @LetitiazilfaNtacobanziza
    @LetitiazilfaNtacobanziza 23 дня назад +1

    Kazi nzuri kabisa 🎉

  • @BahatiNjemo-of9lx
    @BahatiNjemo-of9lx 23 дня назад +2

    Chiko my dear apo ulipiga ngumi ukuta😢😢😢 yani mamaako anavyo fanyiwa tena mbele ya macho yako duh!!!! Sijapenda

  • @Madina-s8j
    @Madina-s8j 24 дня назад +7

    Caddy nakupa mauwa yako unacheza character yako po 🎉🎉🎉, 🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @AwadhAdam-j5f
    @AwadhAdam-j5f 23 дня назад +2

    Sijui nikwanini nikiona zatiti alia naumia kule house girl wali huku walia 😢zatiti much love from kenya kwakweli wewe nimuigizaji mzuri unajua kutendea haki kaz yako

  • @VaneMoraa-tv8rm
    @VaneMoraa-tv8rm 22 дня назад +1

    Zatiti una sura nzuri Sana ukilia na ndo maana unapenda yoh part ya kulilia Sana mapenzi..... Anguza likes za zatiti hapa

  • @GraceMlay-pv6bc
    @GraceMlay-pv6bc 23 дня назад +1

    Zatiti kwenye kulia uko vzr

  • @faustinejoseph7702
    @faustinejoseph7702 24 дня назад +2

    Daaah wallah hii move yanitoa machozi maana n ualisia mtupu mumeigiza kazi nzuri sana😭😭😭

  • @IssaMtumbela
    @IssaMtumbela 23 дня назад +3

    Wanaoisi kua chiko na zatiti ni mama mmoja gonga like

  • @FaudhiaOmary-l4v
    @FaudhiaOmary-l4v 17 дней назад

    Nanyie huyo zatiti wawatu mnamkosea Sana jamani nampenda San zatiti mungu Ampe Maisha malefu💗💗💗💗💗💗💗💗💗♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️zatiti💔💔💔

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g 19 дней назад +1

    Jamani zatiti wangu, alfu Chiko mpuuzi wa wpi huyu, mama ni mama hata kama ni kichaa😢😢

  • @MagrethAdam
    @MagrethAdam 24 дня назад +1

    Wooooow hamtoagi vitu vibovu🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 24 дня назад +1

    Mungu awabariki nyote Kwa kuumiza vichwa Venu msada mnao TOA Ni mkubwa mungu atawalipa Amen 🥰🥰🥰

  • @jumabintie
    @jumabintie 24 дня назад +2

    mapema kweny my mom ❤❤Love u zatiti

  • @AmirNgunde
    @AmirNgunde 23 дня назад +1

    Jamani nampenda sana zatiti maana yeye ndiye wakuumizwa2

  • @YasonMwendi
    @YasonMwendi 23 дня назад +1

    Kaz nzur busati ❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @JosephaSulle-yi4zr
    @JosephaSulle-yi4zr 20 дней назад

    Yaaan kwann msitutoleee house giirl

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo 23 дня назад +1

    Kwa nn zatiti pekee ndo anateswa na mapenzi pole sana mama usijal 🥰

  • @FaudhiaOmary-l4v
    @FaudhiaOmary-l4v 17 дней назад

    Candy wew utafika mbinguni umechoka Dada wew hebu muogope mungu sio vizuli Yani wew kila sehemu wewe nishida

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 24 дня назад +1

    Saw umeshinda bint elew a mapemz nikma majani huota popote🎉

  • @Farthun
    @Farthun 24 дня назад +5

    Ninacho kihisi nikama batuli ni mke wamtu ama ana mtu wake 😢😢😢😢😢😢😢 unamdanganya kai

    • @AishaPataka-zh4zw
      @AishaPataka-zh4zw 24 дня назад +1

      Nakubaliana na wwe100%

    • @Farthun
      @Farthun 24 дня назад

      @@AishaPataka-zh4zw umeonaa acha tutajua huko mbele

    • @TeresaSefu
      @TeresaSefu 23 дня назад

      Wew ndo umewazaaa na atakua papa😅😅😅

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 24 дня назад

    Keep on pushing Kai....you wil reach your goals...back to bck wil make your movies popular.

  • @FaudhiaOmary-l4v
    @FaudhiaOmary-l4v 17 дней назад

    Hebu mpunzisheni huyo zatiti yajani mnamtesha jamani nampenda San zatiti♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 24 дня назад +1

    Kazi nzuri jamani zatiti pole ❤candy kama candy mambo yak e moto ati uko biz na kichaa😂😂😂😂😂😂😂😂candy ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @RoseKasichana
    @RoseKasichana 21 день назад

    Candy movie lngine igiza mke.mwenye thamani jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Grace-kt3yp
    @Grace-kt3yp 24 дня назад +3

    Ja
    Mani bilatalipha mshaweka nimechelewa like naomben hatammoja

  • @qatarabcde8228
    @qatarabcde8228 21 день назад

    Zatiti apumzishwe kuhuzunika jmn apewe part ya roho ngumu series nyengine

  • @LennaAjiambo
    @LennaAjiambo 9 дней назад

    Aky chiko kweli unapenda mamaako kweli candy amufanjie ivo na ww umesimama

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 23 дня назад

    Zatiti kwakulia upo vizur mama kend nae kwaroho mbaya jaman

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 23 дня назад +1

    Movies nzuri sana ❤❤❤😢😢

  • @DottoMahega
    @DottoMahega 3 дня назад

    Jaman mbona zatati nimrembo Sana ❤❤

  • @lopetoetaan6204
    @lopetoetaan6204 4 дня назад

    Yaani kila mahali Zatiti tu ndiye anatezwa na mapenzi

  • @RJONABALI
    @RJONABALI 24 дня назад

    Hi nayo ni More fire jamani we zatiti iko fresh kwa movi keep it up dear

  • @MaiyyahSaidi
    @MaiyyahSaidi 23 дня назад

    Simpendi candy character zake sema ndoivo tu movie sio kweli

  • @ZuhuraAbdallah-u9o
    @ZuhuraAbdallah-u9o 22 дня назад

    Kazi nzuri,kutoka oman like zangu jmn😂😂

  • @RehemeAlfonce
    @RehemeAlfonce 24 дня назад +1

    Zatiti amekuwa mtu wakuteseka na mapenzi maskini hadi huruma😢😢

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 23 дня назад

    Mnamumiza sanaa zatiti kwenye move

  • @NajmaMgallah
    @NajmaMgallah 23 дня назад +1

    Somoeee Jafar super Yuko wap

  • @DeusMatei
    @DeusMatei 18 дней назад

    Wanaume wa my mother kuweni na msimamo

  • @Priscillakagendo7
    @Priscillakagendo7 23 дня назад

    Zatiti pole sana lkn Kandi io ukali na ubaya wako ndivyo uko ama ni kwa movie pekee tena ongera sana mama wazimu

  • @MariamMariam-h8h
    @MariamMariam-h8h 16 дней назад

    Ukweli usemwe hakuna kitu kibaya ambacho chaumiza kama kuachwa na boy wko bila sababu🤔huyu Demu anaumia sana ...hila.nisema hakuna kilicho kua na mwanzo kikakosa mwisho💪

  • @Hawatito
    @Hawatito 23 дня назад

    Naombeni janm mnieleweshe Ila siy Kwa ubaya 😢huyo mama Ni kichaa au anaigiza tu 😳 nauliza2 siy kwaubay jmn

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 24 дня назад +1

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @MusaIddy-j6h
    @MusaIddy-j6h 24 дня назад +2

    Zatity nakubali sana madam nafrahi kukuona2

  • @EugenieNziavake
    @EugenieNziavake 22 дня назад

    Kwa movie ingine, nakuomba zatiti dada yangu, usicheze ile nafasi yaku kataliwa tena, hiyo sio nafasi yako, labda acheze kendy ao sania. Kwako apana, naomba unisikilize vizuri 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @christiankamlenga23
    @christiankamlenga23 11 дней назад +1

    Sio kama Yolanda hana akili bali wewe Chiko ndio hauna akili,hizo baraka kutoka kwa Mungu utazitoa wapi mjinga wewe

  • @FATUMASAIDI-x1r
    @FATUMASAIDI-x1r 24 дня назад +2

    🎉🎉🎉🎉 kazi zuri

  • @GetrudeChengula
    @GetrudeChengula 23 дня назад

    Jamaniiiiii nisaidie kitu hapo kwenye maji ni sehem gan