Masheikh zidisheni Mema , toeni zakkah , Sadakah na Mswali Sana. Haya mnayofanya sio Sawa. Mwisho serikali inafaa iwafanyie vetting. Mnapotosha Ummmah Kwa kutafuta Ufahari.
😂😂Hakuna anae changanya hebu fuata vyenye mtume na maswahaba wake na baada ya maswahaba wake wote vyenye wamefanya hii ibada ya swaum ya Arafa Kisha utapata jibu Ila sahii mtume kando technology ndio kusema 😂😂😂Allah atuongoze xaidi soteni inshallah tusidhalilishe uislam wetu sababu ya technology
😂😂😂Sahii hakuna kufuata mtume na maswahaba wake na baada ya maswahaba wake walivyofunga sahii dalili kubwa ni technology twaona Kila kitu 😂😂😂mtume potelea mbali sio Allah atuongoze tusidhalilishe uislam wetu sababu ya technology
Mtume asema Swallahu Alyhi wassalam qiyama itakua ni ijumaa Dunia ni moja siku ni moja Sasa izzuddin ww kiyama kwako kitakua ijumamosi? Wacha kupoteza ummah
Hiyo kiama ikiwa saudia ni ijumaa na amerika ni alhamisi ina maana amerika kiama kwao itakua jumamosi ya saudia? Kwasababu amerika na saudia wamepisha na masaa mengi sana,saudia siku ya ijumaa ishakwisha ndio amerika ijumaa yaanza,sasa hapo itakuaje??? Afwan kusoma ni muhimu usikejeli tu ovyo ovyo ndugu yangu, wala sijakuambia lolote kwa chuki wala kejeli, Shukran.
@@AhmadBaalawy1 nataka unioneshe Dunia nzima wapi wamepishana kwa siku nzima Dunia nzima ikiwa ni Friday kila mahali ni Friday tafauti ni Time ikiwa Kenya ijumaa ni Asubuhi sehemu zengine kwao ni ijumaa ucku kwahyo wacheni kuwatetea Mashekhe wenu kwasababu ni Ma mwenye kuweni na inswaf jaminini Musifuate ushabiki Fuateni Mtume Swalla'Allahu Aleyhi wassalam Musifuate Mikao na mizozo.Mtume Alitabiri kutakea Madaaiyah warongo ndio hii sasa Ahmad baalawy
Kwani ni kila ifikiapo mwezi wa kuamkia Ramadan na kuamkia Eid zote mbili ni lazima zikamilike siku 30 kwako? Kwa sababu ifikapo masiku haya wewe mpaka upinge mwezi ukionekana kwenye siku ya 29 wataka watu lazima wakamilishe masiku 30 ndio raha kwako. Ivi wewe uliushuhudia kuona huo mwezi ama ulifanya kuambiwa na watu wengine?
Wewe izzu diin kichaaa chakuoeleka ................miezi ipo mingapii!???? Mwenzi wasuudia ni upi na mwezi wa huku upii!???? Akili yako imeganda!???? Siku ya arafa jumaapili!???
Wacha kibri ww tunaekufahamu sisi Wala hata hututii presha twakujua ww elmu yako ndogo usijifananishe na Ma ulamaa ww ni Twalibul ilmu. Alafu Alhamdullah wajikaranga na mafuta yako hii kuonesha humo kabsaa ki ilmu.itakuaje ww ukienda Saudia ufuate Saudi na ww una husda na Saudi utonda na husda Zako Hakuna Sehemu Kuna wanavyuoni Ulimwengu mzima zaidi ya Saudi upende usipende Haki itasimama
Never hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi tofauti masaa Tu arafa moja Laila tu kadr moja katu hamuwezi ona mwezi nyote siku ya kwanza duniani ukiambiwa umetoka hesabu moja mwezi mdogo kuliko dunia
@@salamaduwa6836 Mtume Swalla'Allahu Alayhi wassalam Asema Kiyama kitakua ni Siku ya ijumaa, Kwahyo kwenu na izzudin qiyama kitakua siku ya jumamosi?wacheni kudanganywa Dunia ni moja Siku ni moja tofauti ni majira Tu
Tunashindwa kuelewa Jamaneeee Sieee
Sharifu izudin huyu mtoto wa nasoro bachu fedhuli jahili usimpe hata time habeeb wenye kuelewa wameelewa alhamdulilah
Masheikh zidisheni Mema , toeni zakkah , Sadakah na Mswali Sana. Haya mnayofanya sio Sawa. Mwisho serikali inafaa iwafanyie vetting. Mnapotosha Ummmah Kwa kutafuta Ufahari.
Mungu akupe umri ustadh na afya njema ya rabby
Amin yarrab
-
Mamlaka Kinyia 😂😂😂😂 Sheikh Mungu akuzidishie Elimu. Kila mtu afate Nchi yake tuzidishe IBADA Tuu. Kila la kheri.
Nikweli masri hatujauona tunafuata tu
Mashekh Mnatuchanganyaaa😢
😂😂Hakuna anae changanya hebu fuata vyenye mtume na maswahaba wake na baada ya maswahaba wake wote vyenye wamefanya hii ibada ya swaum ya Arafa Kisha utapata jibu Ila sahii mtume kando technology ndio kusema 😂😂😂Allah atuongoze xaidi soteni inshallah tusidhalilishe uislam wetu sababu ya technology
Kenya na warabuni mda nimmoja shekh
😂😂😂Sahii hakuna kufuata mtume na maswahaba wake na baada ya maswahaba wake walivyofunga sahii dalili kubwa ni technology twaona Kila kitu 😂😂😂mtume potelea mbali sio Allah atuongoze tusidhalilishe uislam wetu sababu ya technology
Hana Elimu hata chembe ni matatizo mengi tu aliyonayo.
😂😂😂😂Dogo anawasumbua sana😂😂
Anawasumbua Anajisumbua.
Kwanihapo mombasa munadiniga au nyinyiniwajukuzake bisaluli naona dadazenu huolewa ham wakijamalindiholewatena kuleham hakuachwa walahalizwitalakaikowapi munabwekamitandaoni
Shk saudi wana technology ya juu... Telescope za kisasa.. Kenya mpa tupande juu ya miti
Kupanda Juu Ndio Aswili Yetu Tangu Dunia Inaanzishwa. Nahao Wenye Telescope Ndio Hao Wanaowaona Waparestina Hawana Kazi.
Kisemajambo mzanzibar mdomomwingi kuekitikamawaisilam
Haya mambo yataisha lini?
Mpaka kielewekeee
Tarehe moja ya mwezi huanza maka apingaye atakosa mengi
Sheikh Izuddin huyo Mohd Bachu hawezi kujitokeza maanahana Elimu ya kushindana na wewe sisi huku Zenji tunamjuaa
Ndio khutba ya Ijumaa hiyo?
Mamlaka tul kenyia😅😅😅😅😅😅
Mlizowea kadhi wenu wakisufi na sasa hayuko
Sasa vile miaka mengine tukjwa tukua skukuu siku moja inakuaje?
Amefukuzwa zanzibar huyo mdomo mrefu
Mtume asema Swallahu Alyhi wassalam qiyama itakua ni ijumaa Dunia ni moja siku ni moja Sasa izzuddin ww kiyama kwako kitakua ijumamosi? Wacha kupoteza ummah
Hiyo kiama ikiwa saudia ni ijumaa na amerika ni alhamisi ina maana amerika kiama kwao itakua jumamosi ya saudia?
Kwasababu amerika na saudia wamepisha na masaa mengi sana,saudia siku ya ijumaa ishakwisha ndio amerika ijumaa yaanza,sasa hapo itakuaje???
Afwan kusoma ni muhimu usikejeli tu ovyo ovyo ndugu yangu, wala sijakuambia lolote kwa chuki wala kejeli,
Shukran.
@@AhmadBaalawy1 nataka unioneshe Dunia nzima wapi wamepishana kwa siku nzima Dunia nzima ikiwa ni Friday kila mahali ni Friday tafauti ni Time ikiwa Kenya ijumaa ni Asubuhi sehemu zengine kwao ni ijumaa ucku kwahyo wacheni kuwatetea Mashekhe wenu kwasababu ni Ma mwenye kuweni na inswaf jaminini Musifuate ushabiki Fuateni Mtume Swalla'Allahu Aleyhi wassalam Musifuate Mikao na mizozo.Mtume Alitabiri kutakea Madaaiyah warongo ndio hii sasa Ahmad baalawy
Kwani ni kila ifikiapo mwezi wa kuamkia Ramadan na kuamkia Eid zote mbili ni lazima zikamilike siku 30 kwako? Kwa sababu ifikapo masiku haya wewe mpaka upinge mwezi ukionekana kwenye siku ya 29 wataka watu lazima wakamilishe masiku 30 ndio raha kwako. Ivi wewe uliushuhudia kuona huo mwezi ama ulifanya kuambiwa na watu wengine?
😂wote waliokuja hapa ku comment upuzi ni Wafuasi wa Bachu. Izzudin ni sheikh wamtaka sawa....humtaki kaa kando. Acheni hasira hazitasaidia
Wewe izzu diin kichaaa chakuoeleka ................miezi ipo mingapii!???? Mwenzi wasuudia ni upi na mwezi wa huku upii!???? Akili yako imeganda!???? Siku ya arafa jumaapili!???
Hiyii yaonesha waziiii kuwawewe ni........
Ww ndoo mpuuz huijui dini
Usiwe mjinga mjombaaa
Ulijuaje saudia uliandama
Wacha kibri ww tunaekufahamu sisi Wala hata hututii presha twakujua ww elmu yako ndogo usijifananishe na Ma ulamaa ww ni Twalibul ilmu. Alafu Alhamdullah wajikaranga na mafuta yako hii kuonesha humo kabsaa ki ilmu.itakuaje ww ukienda Saudia ufuate Saudi na ww una husda na Saudi utonda na husda Zako Hakuna Sehemu Kuna wanavyuoni Ulimwengu mzima zaidi ya Saudi upende usipende Haki itasimama
Presha yuwaikupa,manaaa usinge coment ss twamkubali na ALLAH amtuhifadhiyee, amin
Hujitambui
@@AdamRajab-xd3zg jitambue ww kipofu huoni
Never hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi tofauti masaa Tu arafa moja Laila tu kadr moja katu hamuwezi ona mwezi nyote siku ya kwanza duniani ukiambiwa umetoka hesabu moja mwezi mdogo kuliko dunia
@@salamaduwa6836 Mtume Swalla'Allahu Alayhi wassalam Asema Kiyama kitakua ni Siku ya ijumaa, Kwahyo kwenu na izzudin qiyama kitakua siku ya jumamosi?wacheni kudanganywa Dunia ni moja Siku ni moja tofauti ni majira Tu