KHUTBAH YA IJUMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июн 2024
  • Powered by Restream restream.io
    KUSUJUDU NA SHARTI ZAKE
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 48

  • @isihakakarimu2940
    @isihakakarimu2940 24 дня назад

    Tunashindwa kuelewa Jamaneeee Sieee

  • @habibmayike7463
    @habibmayike7463 24 дня назад

    Sharifu izudin huyu mtoto wa nasoro bachu fedhuli jahili usimpe hata time habeeb wenye kuelewa wameelewa alhamdulilah

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 24 дня назад

    Masheikh zidisheni Mema , toeni zakkah , Sadakah na Mswali Sana. Haya mnayofanya sio Sawa. Mwisho serikali inafaa iwafanyie vetting. Mnapotosha Ummmah Kwa kutafuta Ufahari.

  • @MohamedYahya-rb2zw
    @MohamedYahya-rb2zw 24 дня назад +1

    Mungu akupe umri ustadh na afya njema ya rabby

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 24 дня назад

    Mamlaka Kinyia 😂😂😂😂 Sheikh Mungu akuzidishie Elimu. Kila mtu afate Nchi yake tuzidishe IBADA Tuu. Kila la kheri.

  • @RehemaHussein-bv6mu
    @RehemaHussein-bv6mu 24 дня назад

    Nikweli masri hatujauona tunafuata tu

  • @isihakakarimu2940
    @isihakakarimu2940 24 дня назад

    Mashekh Mnatuchanganyaaa😢

    • @khalifaahmed5232
      @khalifaahmed5232 23 дня назад

      😂😂Hakuna anae changanya hebu fuata vyenye mtume na maswahaba wake na baada ya maswahaba wake wote vyenye wamefanya hii ibada ya swaum ya Arafa Kisha utapata jibu Ila sahii mtume kando technology ndio kusema 😂😂😂Allah atuongoze xaidi soteni inshallah tusidhalilishe uislam wetu sababu ya technology

  • @yusufngare3438
    @yusufngare3438 24 дня назад

    Kenya na warabuni mda nimmoja shekh

    • @khalifaahmed5232
      @khalifaahmed5232 23 дня назад

      😂😂😂Sahii hakuna kufuata mtume na maswahaba wake na baada ya maswahaba wake walivyofunga sahii dalili kubwa ni technology twaona Kila kitu 😂😂😂mtume potelea mbali sio Allah atuongoze tusidhalilishe uislam wetu sababu ya technology

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 24 дня назад

    Hana Elimu hata chembe ni matatizo mengi tu aliyonayo.

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 24 дня назад +1

    😂😂😂😂Dogo anawasumbua sana😂😂

  • @AbeidMabrouk-yu7iy
    @AbeidMabrouk-yu7iy 24 дня назад

    Kwanihapo mombasa munadiniga au nyinyiniwajukuzake bisaluli naona dadazenu huolewa ham wakijamalindiholewatena kuleham hakuachwa walahalizwitalakaikowapi munabwekamitandaoni

  • @jamalabdillahi3575
    @jamalabdillahi3575 24 дня назад

    Shk saudi wana technology ya juu... Telescope za kisasa.. Kenya mpa tupande juu ya miti

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 22 дня назад

      Kupanda Juu Ndio Aswili Yetu Tangu Dunia Inaanzishwa. Nahao Wenye Telescope Ndio Hao Wanaowaona Waparestina Hawana Kazi.

  • @AbeidMabrouk-yu7iy
    @AbeidMabrouk-yu7iy 24 дня назад

    Kisemajambo mzanzibar mdomomwingi kuekitikamawaisilam

  • @awatifsubeit4007
    @awatifsubeit4007 24 дня назад +2

    Haya mambo yataisha lini?

  • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
    @JUMAKANYEBWE-hy7ge 24 дня назад

    Tarehe moja ya mwezi huanza maka apingaye atakosa mengi

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 24 дня назад

    Sheikh Izuddin huyo Mohd Bachu hawezi kujitokeza maanahana Elimu ya kushindana na wewe sisi huku Zenji tunamjuaa

  • @user-fr3vz2np4e
    @user-fr3vz2np4e 24 дня назад

    Ndio khutba ya Ijumaa hiyo?

  • @MohamedYahya-rb2zw
    @MohamedYahya-rb2zw 24 дня назад

    Mamlaka tul kenyia😅😅😅😅😅😅

  • @yusufngare3438
    @yusufngare3438 24 дня назад

    Mlizowea kadhi wenu wakisufi na sasa hayuko

  • @TheFire_Gamer
    @TheFire_Gamer 24 дня назад

    Sasa vile miaka mengine tukjwa tukua skukuu siku moja inakuaje?

  • @mwanakheri2880
    @mwanakheri2880 24 дня назад

    Amefukuzwa zanzibar huyo mdomo mrefu

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 24 дня назад

    Mtume asema Swallahu Alyhi wassalam qiyama itakua ni ijumaa Dunia ni moja siku ni moja Sasa izzuddin ww kiyama kwako kitakua ijumamosi? Wacha kupoteza ummah

    • @AhmadBaalawy1
      @AhmadBaalawy1 24 дня назад

      Hiyo kiama ikiwa saudia ni ijumaa na amerika ni alhamisi ina maana amerika kiama kwao itakua jumamosi ya saudia?
      Kwasababu amerika na saudia wamepisha na masaa mengi sana,saudia siku ya ijumaa ishakwisha ndio amerika ijumaa yaanza,sasa hapo itakuaje???
      Afwan kusoma ni muhimu usikejeli tu ovyo ovyo ndugu yangu, wala sijakuambia lolote kwa chuki wala kejeli,
      Shukran.

    • @mohammadswaleh6900
      @mohammadswaleh6900 24 дня назад

      @@AhmadBaalawy1 nataka unioneshe Dunia nzima wapi wamepishana kwa siku nzima Dunia nzima ikiwa ni Friday kila mahali ni Friday tafauti ni Time ikiwa Kenya ijumaa ni Asubuhi sehemu zengine kwao ni ijumaa ucku kwahyo wacheni kuwatetea Mashekhe wenu kwasababu ni Ma mwenye kuweni na inswaf jaminini Musifuate ushabiki Fuateni Mtume Swalla'Allahu Aleyhi wassalam Musifuate Mikao na mizozo.Mtume Alitabiri kutakea Madaaiyah warongo ndio hii sasa Ahmad baalawy

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 24 дня назад

    Kwani ni kila ifikiapo mwezi wa kuamkia Ramadan na kuamkia Eid zote mbili ni lazima zikamilike siku 30 kwako? Kwa sababu ifikapo masiku haya wewe mpaka upinge mwezi ukionekana kwenye siku ya 29 wataka watu lazima wakamilishe masiku 30 ndio raha kwako. Ivi wewe uliushuhudia kuona huo mwezi ama ulifanya kuambiwa na watu wengine?

  • @coolvoices6608
    @coolvoices6608 24 дня назад

    😂wote waliokuja hapa ku comment upuzi ni Wafuasi wa Bachu. Izzudin ni sheikh wamtaka sawa....humtaki kaa kando. Acheni hasira hazitasaidia

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 24 дня назад

    Wewe izzu diin kichaaa chakuoeleka ................miezi ipo mingapii!???? Mwenzi wasuudia ni upi na mwezi wa huku upii!???? Akili yako imeganda!???? Siku ya arafa jumaapili!???

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 24 дня назад +1

    Wacha kibri ww tunaekufahamu sisi Wala hata hututii presha twakujua ww elmu yako ndogo usijifananishe na Ma ulamaa ww ni Twalibul ilmu. Alafu Alhamdullah wajikaranga na mafuta yako hii kuonesha humo kabsaa ki ilmu.itakuaje ww ukienda Saudia ufuate Saudi na ww una husda na Saudi utonda na husda Zako Hakuna Sehemu Kuna wanavyuoni Ulimwengu mzima zaidi ya Saudi upende usipende Haki itasimama

    • @salamaduwa6836
      @salamaduwa6836 24 дня назад +4

      Presha yuwaikupa,manaaa usinge coment ss twamkubali na ALLAH amtuhifadhiyee, amin

    • @AdamRajab-xd3zg
      @AdamRajab-xd3zg 24 дня назад

      Hujitambui

    • @mohammadswaleh6900
      @mohammadswaleh6900 24 дня назад

      @@AdamRajab-xd3zg jitambue ww kipofu huoni

    • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
      @JUMAKANYEBWE-hy7ge 24 дня назад

      Never hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi tofauti masaa Tu arafa moja Laila tu kadr moja katu hamuwezi ona mwezi nyote siku ya kwanza duniani ukiambiwa umetoka hesabu moja mwezi mdogo kuliko dunia

    • @mohammadswaleh6900
      @mohammadswaleh6900 24 дня назад

      @@salamaduwa6836 Mtume Swalla'Allahu Alayhi wassalam Asema Kiyama kitakua ni Siku ya ijumaa, Kwahyo kwenu na izzudin qiyama kitakua siku ya jumamosi?wacheni kudanganywa Dunia ni moja Siku ni moja tofauti ni majira Tu