Fahamu Tofauti ya Vodacom Smart kitochi na Tigo Kitochi 4G

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #Vodacom #Tigo #Kitochi
    Usisahau ku subscribe pamoja na kushare

Комментарии • 85

  • @simbomart6186
    @simbomart6186 4 года назад +2

    Muelezeaji ameelezea vizuri lakini ametumia lugha ngumu kiasi kwamba mtu ambaye si mjuzi wa tekinolojia ya mawasiliano kuweza kuelewa.

    • @poatel
      @poatel  4 года назад +1

      Asante sana, kwa maoni yako

  • @farajikifoda6695
    @farajikifoda6695 4 года назад +2

    Uko vizuri mjomba

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Asante, Usisahau kushare pamoja na kususcribe

    • @farajikifoda6695
      @farajikifoda6695 4 года назад +1

      Mbona tayari mjomba

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@farajikifoda6695 Asante sana, Basi endelea kutazama video kila siku

  • @neemasemgaza5317
    @neemasemgaza5317 4 года назад +1

    izo tigo4g zinapatikana Kwa she. ngapi?

  • @anchilladidace6333
    @anchilladidace6333 4 года назад +1

    Any tigo shop unapata hiyo simu?
    I need one aisee

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Ndio zinapatikana

  • @bilajasho449
    @bilajasho449 4 года назад +2

    Tigo 4g kitochi wako,, vzr wangeweka camera kali iwe na andoid ram angalau hata gb 1

    • @poatel
      @poatel  4 года назад +1

      Ni kweli kabisa, kwaiyo umeipenda ya tigo kitochi?

  • @mshairikinda4694
    @mshairikinda4694 4 года назад +2

    Simu Ina internal memory? Kama ndio je ni GB/MB/KB ngapi?
    simu Ina external memory?
    Kama ndio je ni
    GB/MB/KB ngapi?

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Ebu tazama video hadi mwisho hayo yote utayapata sawa ndugu

    • @mshairikinda4694
      @mshairikinda4694 4 года назад +1

      Bosi GB 512external ? Na GB 4 internal habari hizi za kweli,nsije nikaagiza nikaletewa differ mkuu Yan inazid ram za smartphone
      1gb=1000mb
      512gb=512000 is true my boss

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@mshairikinda4694 we nenda vida shop na tigo shop, kama unaitaji kuamini zaidi

    • @mshairikinda4694
      @mshairikinda4694 4 года назад +1

      Sawa bosi shukran kwa hilo

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@mshairikinda4694 Asante na wewe pia kutembelea TeknoTaarifa, lakini Usisahau ku subscribe pamoja na kushare

  • @hemedabdallah8942
    @hemedabdallah8942 4 года назад +1

    Mkuu hapo ungesema tu uwezo wa ku upload ni 10mb/s na download ni 5mb/s lakini unaposema DL na UL watu hawakuelewi, kitu kingine sio 1900 ma hio ni 1900 milli Ampere-hour(mAh) mkuu mbona unatuchanganya

    • @poatel
      @poatel  4 года назад +1

      Asante kwa maoni yako, sidhani kama mAh inatatizo

    • @nicenice3881
      @nicenice3881 4 года назад

      Kabisa

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@nicenice3881 karibu

  • @edickmtafya9303
    @edickmtafya9303 4 года назад +1

    Simu hizi zina ukubwa gani wa internal. gb ngapi?

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Zina RAM ya MB 500

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 4 года назад +1

    Safi sana ila ingekuwa na kioo cha nchi 3 ingenoga sana 🤔🤔🤔

    • @poatel
      @poatel  4 года назад +1

      😅😅😅kweli lakni hata size hii inatosha kwa matumizi.

    • @babusadala5732
      @babusadala5732 4 года назад +1

      @@poatel basi vzr

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@babusadala5732 Tupo pamoja mkuu, umesha subscribe?

    • @babusadala5732
      @babusadala5732 4 года назад +1

      @@poatel tayari mzee

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@babusadala5732 pamoja sana, fanya kushare

  • @denisjonathan4919
    @denisjonathan4919 2 года назад +1

    Simu hiz hazifai

  • @nationboy2541
    @nationboy2541 4 года назад +1

    Sawa umeeleweka

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Tuko pamoja

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +2

    kiladuka naloeda wanasema uku hamuna

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Uko mkoa gani?

    • @kingfocustzog
      @kingfocustzog 4 года назад +1

      _kama unataka cm nenda ofisni weka oda_

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@kingfocustzog Ndio kwa wanaoitaji simu wafike kwenye maduka husika, kama Voda shop na Tigo shop

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +2

    tunduma zimefika

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Zinapatika kote kwenye maduka ya Tigo na Vida

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +1

    tazania zipo

  • @MKANYIA
    @MKANYIA 2 года назад +1

    Kwa nini kitochi hazina app ya instagram?

    • @poatel
      @poatel  2 года назад

      Zipo zenye Instagram, Jaribu kuangalia kitochi orijino.

  • @godwinwaitara4524
    @godwinwaitara4524 4 года назад +1

    Tigo 4g ina muonekano mzuri kuliko voda 4g

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Hahaha!!

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +2

    nimeeda nimekuta hamun

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Nenda maduka ya mjini

  • @JosephMhecha
    @JosephMhecha Год назад

    Charge connection ni USB type C/Micro??

    • @poatel
      @poatel  Год назад

      USB type C

    • @JosephMhecha
      @JosephMhecha Год назад

      @@poatel Mali safi kabisa type c ndio mpango mzima

    • @poatel
      @poatel  Год назад +1

      Karibu Poatel

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +2

    mbn madukani hamun

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Zinauzwa kwenye maduka ya Vodacom na Tigo pekee

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +1

    nipo mukowa wasongwe tunduma

    • @poatel
      @poatel  8 месяцев назад

      Okay

  • @wizbreezy6543
    @wizbreezy6543 4 года назад +1

    Mamb VP

  • @johnjoseph8703
    @johnjoseph8703 4 года назад +1

    Hizo simu bado zinapatikan madukan

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Ndio bado zinapatikana sana. Kwenye maduka ya Voda na Tigo

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +1

    ina hotspot

    • @poatel
      @poatel  4 года назад +1

      ndi inakila kitu kama smartphone

  • @ibrahimujulias915
    @ibrahimujulias915 4 года назад +1

    nipo tunduma

    • @poatel
      @poatel  4 года назад +1

      Basi nenda kwenye maduka ya Vodacom au tigo yaliyoko mjini

  • @abdulrahimliverpool3383
    @abdulrahimliverpool3383 4 года назад +1

    Go inside

  • @salimnyangatuke8215
    @salimnyangatuke8215 3 года назад

    Zina patikana wapi hizo za tigo

    • @poatel
      @poatel  3 года назад

      Tigo shop

  • @wizbreezy6543
    @wizbreezy6543 4 года назад +1

    Kamala nigap

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Tazama video hadi mwisho vyote viko hapo

  • @markbunga687
    @markbunga687 4 года назад +2

    eeeh RAM GB 512 Hahahaha

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Ndio mkuu

    • @markbunga687
      @markbunga687 4 года назад +2

      @@poatel Ni MB 512 Sio GB Mkuu hata Macbook Pro 2019 Edition haifiki Mwisho 16 GB

  • @jamesmhema8077
    @jamesmhema8077 4 года назад +1

    Ninako kakitochi 4g nainjoy tuu

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      😅😅😅 kako vizuri?

  • @abdulrahimliverpool3383
    @abdulrahimliverpool3383 4 года назад +1

    Poor advertising

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      Why poor advertising?

    • @abdulrahimliverpool3383
      @abdulrahimliverpool3383 4 года назад +1

      We need to see its inside features

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@abdulrahimliverpool3383 ok thanks for your comment and suggestion, but where have you been?

    • @wamweralindi6519
      @wamweralindi6519 4 года назад +1

      @@poatel na vp kuusu opera min

    • @poatel
      @poatel  4 года назад

      @@wamweralindi6519 ipo pia, karibia App zinazopatikana kwenye Android zipo kwenye simu hizi mbili.

  • @neemasemgaza5317
    @neemasemgaza5317 4 года назад +1

    izo tigo4g zinapatikana Kwa she. ngapi?

    • @poatel
      @poatel  4 года назад +1

      Tazama hadi mwisho bei iko hapo

    • @RosatiSamuel
      @RosatiSamuel 4 года назад

      @@poatel nimeangalia video mpaka mwisho haujataja bei.