Bosi GB 512external ? Na GB 4 internal habari hizi za kweli,nsije nikaagiza nikaletewa differ mkuu Yan inazid ram za smartphone 1gb=1000mb 512gb=512000 is true my boss
Mkuu hapo ungesema tu uwezo wa ku upload ni 10mb/s na download ni 5mb/s lakini unaposema DL na UL watu hawakuelewi, kitu kingine sio 1900 ma hio ni 1900 milli Ampere-hour(mAh) mkuu mbona unatuchanganya
Muelezeaji ameelezea vizuri lakini ametumia lugha ngumu kiasi kwamba mtu ambaye si mjuzi wa tekinolojia ya mawasiliano kuweza kuelewa.
Asante sana, kwa maoni yako
Uko vizuri mjomba
Asante, Usisahau kushare pamoja na kususcribe
Mbona tayari mjomba
@@farajikifoda6695 Asante sana, Basi endelea kutazama video kila siku
izo tigo4g zinapatikana Kwa she. ngapi?
Any tigo shop unapata hiyo simu?
I need one aisee
Ndio zinapatikana
Tigo 4g kitochi wako,, vzr wangeweka camera kali iwe na andoid ram angalau hata gb 1
Ni kweli kabisa, kwaiyo umeipenda ya tigo kitochi?
Simu Ina internal memory? Kama ndio je ni GB/MB/KB ngapi?
simu Ina external memory?
Kama ndio je ni
GB/MB/KB ngapi?
Ebu tazama video hadi mwisho hayo yote utayapata sawa ndugu
Bosi GB 512external ? Na GB 4 internal habari hizi za kweli,nsije nikaagiza nikaletewa differ mkuu Yan inazid ram za smartphone
1gb=1000mb
512gb=512000 is true my boss
@@mshairikinda4694 we nenda vida shop na tigo shop, kama unaitaji kuamini zaidi
Sawa bosi shukran kwa hilo
@@mshairikinda4694 Asante na wewe pia kutembelea TeknoTaarifa, lakini Usisahau ku subscribe pamoja na kushare
Mkuu hapo ungesema tu uwezo wa ku upload ni 10mb/s na download ni 5mb/s lakini unaposema DL na UL watu hawakuelewi, kitu kingine sio 1900 ma hio ni 1900 milli Ampere-hour(mAh) mkuu mbona unatuchanganya
Asante kwa maoni yako, sidhani kama mAh inatatizo
Kabisa
@@nicenice3881 karibu
Simu hizi zina ukubwa gani wa internal. gb ngapi?
Zina RAM ya MB 500
Safi sana ila ingekuwa na kioo cha nchi 3 ingenoga sana 🤔🤔🤔
😅😅😅kweli lakni hata size hii inatosha kwa matumizi.
@@poatel basi vzr
@@babusadala5732 Tupo pamoja mkuu, umesha subscribe?
@@poatel tayari mzee
@@babusadala5732 pamoja sana, fanya kushare
Simu hiz hazifai
Kwann?
Sawa umeeleweka
Tuko pamoja
kiladuka naloeda wanasema uku hamuna
Uko mkoa gani?
_kama unataka cm nenda ofisni weka oda_
@@kingfocustzog Ndio kwa wanaoitaji simu wafike kwenye maduka husika, kama Voda shop na Tigo shop
tunduma zimefika
Zinapatika kote kwenye maduka ya Tigo na Vida
tazania zipo
Kwa nini kitochi hazina app ya instagram?
Zipo zenye Instagram, Jaribu kuangalia kitochi orijino.
Tigo 4g ina muonekano mzuri kuliko voda 4g
Hahaha!!
nimeeda nimekuta hamun
Nenda maduka ya mjini
Charge connection ni USB type C/Micro??
USB type C
@@poatel Mali safi kabisa type c ndio mpango mzima
Karibu Poatel
mbn madukani hamun
Zinauzwa kwenye maduka ya Vodacom na Tigo pekee
nipo mukowa wasongwe tunduma
Okay
Mamb VP
Poa
Hizo simu bado zinapatikan madukan
Ndio bado zinapatikana sana. Kwenye maduka ya Voda na Tigo
ina hotspot
ndi inakila kitu kama smartphone
nipo tunduma
Basi nenda kwenye maduka ya Vodacom au tigo yaliyoko mjini
Go inside
How?
Zina patikana wapi hizo za tigo
Tigo shop
Kamala nigap
Tazama video hadi mwisho vyote viko hapo
eeeh RAM GB 512 Hahahaha
Ndio mkuu
@@poatel Ni MB 512 Sio GB Mkuu hata Macbook Pro 2019 Edition haifiki Mwisho 16 GB
Ninako kakitochi 4g nainjoy tuu
😅😅😅 kako vizuri?
Poor advertising
Why poor advertising?
We need to see its inside features
@@abdulrahimliverpool3383 ok thanks for your comment and suggestion, but where have you been?
@@poatel na vp kuusu opera min
@@wamweralindi6519 ipo pia, karibia App zinazopatikana kwenye Android zipo kwenye simu hizi mbili.
izo tigo4g zinapatikana Kwa she. ngapi?
Tazama hadi mwisho bei iko hapo
@@poatel nimeangalia video mpaka mwisho haujataja bei.