HUU NI UHIZINBIYA |KUFANYA MAPENZI NA CHUKI KWA SHEIKH UNAE MKUBALI WEWE | DR ISLAM MUHAMMAD SALIM
HTML-код
- Опубликовано: 23 окт 2024
- 📚𝘍𝘢𝘸𝘢𝘪𝘥 𝘡𝘢 𝘒𝘪𝘦𝘭𝘪𝘮𝘶📚
🔶 𝗢𝗨𝗩𝗨 𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗦𝗛𝗘𝗜𝗞𝗛 𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗞𝗜𝗣𝗜𝗠𝗢 𝗖𝗛𝗔 𝗜𝗠𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗗𝗜𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗧𝗨
◼️𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗡𝗔 𝗖𝗛𝗨𝗞𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗖𝗛𝗨𝗢𝗡𝗜 𝗔𝗨 𝗦𝗛𝗘𝗜𝗞𝗛
◼️ 𝗛𝗨𝗨 𝗡𝗜 𝗨𝗛𝗜𝗭𝗕𝗜𝗬𝗬𝗔𝗛 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗗𝗜𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗔𝗟𝗟𝗔𝗛
𝘔𝘻𝘶𝘯𝘨𝘶𝘮𝘢𝘻𝘢𝘫𝘪🎙️ DKT ISLAM MUHAMMAD SALIM حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه
Tizama Hapa ⤵️
• DKT ISLAM AELEZEA KISA...
#alhilalymediapro
•┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•
Aʟʜɪʟᴀʟʏ ᴍᴇᴅɪᴀ ᴘʀᴏ ||
𝐔𝐧𝐠𝐚𝐧𝐚 𝐍𝐚𝐬𝐢 𝐊𝐰𝐚 𝐕𝐢𝐬𝐨𝐦𝐨 𝐕𝐲𝐚 𝐐𝐮𝐫𝐚𝐧 𝐊𝐡𝐮𝐭𝐛𝐚 𝐙𝐚 𝐈𝐣𝐮𝐦𝐚𝐚 𝐌𝐢𝐡𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐍𝐚 𝐅𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝 𝐌𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐌𝐛𝐚𝐥𝐢
𝐘𝐨𝐮𝐭𝐮𝐛𝐞 @alhilalymediapro
/ @alhilalymediapro
𝐈𝐧𝐬𝐭𝐚𝐠𝐫𝐚𝐦 @alhilalymediapro
/ alhilalymediapro
𝐭𝐢𝐤𝐭𝐨𝐤 @alhilalymediapro
/ alhilalymediapro
🌹 انشر بارك الله فيك فمـن أحـب ألا يَنْقَطع عمله بْعد موتہ فَليَنْشُر العلم
•┈┈┈┈•
Watajitokeza humu humu haomahizbiyya. Utaona wanaanza kupinga kwasababu yachuki zao. Nashetwani amewapambia huo upovu wakaona ndio dini. Hata aongee mwine haki hawataki. Allah awangoze mahizbi hawa
Allah atuongoze njia iliyonyooka
Ameen
Haya tuambie kuhusu masufi wanavyomchukia Sheikh Muhammad Abdulwahab Rahimaullahu
Mimi nashangaa watu wanao jiweka wapo katika haki. Lakini hawana akhlak niwatu wanadharau kibri chuki majivuno wapenda dunia .haliyakua hakuna maswhaba au wanachuoni walikua hivyo .namaswhabawangekua hivyo dini isingetufikia
Hiyo shubua utawapata wasiojua misingi ya dini
Kwahiyo Sheikhul Islam bin Taymiyya kaleta shubha Sababu Dr Hayo Maneno kanukulu au Nd kujizima data
Maswaaaafiqa mahadadiaaaa ndo wenye tabia hizi
Makundi mapotovu tutayajuaje bila ruduud
Ttz La Kukimbilia Ku comment Kabla Hujasikiza Swali lako limejibiwa Mwisho Wa Clip Huko Kuwa Makini Wewe Ni Twalibul-Ilm
Huyu ndo dr sio yule wa pale jangwani
Usisema hivyo Sisi hatuja Lelewa kudharau Masheikh Hahahahahah Usiwaige wao
@@OfficialAbdulrashedalhilaly ww mpambe bainisheni wazi msimamo yenu na barahayan
khabari zako tunazo
Endelea Kuwa Nazo Tuh
Naam salamu ziwafikie wafuasi wa kundi fulani kuna mashekh wamewa weka ndo kigezo cha kujuwa ww ni salafi au salafi ukiwapenda hao utakuwa salafi ukiwa tofauti nao utakuwa so salafii, ummah umekatika vipande vipande kila mtu taasubi kwa shekh fulani ndo kipimo cha usalafi
Lete ushahidi wako ikiwa wewe unasema kweli
Enyi salafiyyuun. Musiwasikilize watu wa matamanio na Mahizbi kwa kuzihirumia nafsi zenu mpaka itudhihirikie kutoka kwao Taraj'aa zao kuwa wameacha Hizbiyyah walizo nazo. Ni bora ukiona clip yeyote ya Hizbi uiruke yasije yakakughuri maneno yake ukawa Katika walio pata khasara
Mahizbi hao ni kina nani
@@MohamedSalim-cm9ih Sheikh Salim Barahiyani na Kila anae mtetea Katika mfumo wake kuanzia Dr Islam na Muhammad bachu na Kila anaye unga mkono njia zao
Kwahyo kipimo ni Sheikh Barahiyan na sio Dini, mtihani sana@@islaminmyheart9348