DUA ZA MASHEIKH NA MAOMBI YA WACHUNGAJI HAYAWEZI KUKUPA MAFANIKIO. UKWELI NI HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 30

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 2 месяца назад +1

    Yuko sahihi hakuna cha bure lazima ugharamike yaani hakuna mafanikio ya muujiza na tunawafata viongozi watuombee ili hali nao wanashida kibao

  • @abuhassan9552
    @abuhassan9552 2 месяца назад +1

    Huyu anao Matatizo ya Akili

  • @paulmagao9167
    @paulmagao9167 2 месяца назад +1

    Anajichangana sana.

  • @faithmatheka4358
    @faithmatheka4358 2 месяца назад +1

    Ni kama kuna kaukweli hapo maneno yako yanataka mda wa kutafakari ni mazito sana kaka

  • @khamisjuma3799
    @khamisjuma3799 Месяц назад

    Kafiri HAMZA yuko kazini, akifurahisha MASHETANI wenzake, Makafiri wenzake

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад

    BAS BIASHARA NI HARAMU..MANA TUMEKATAZWA KULA FAIDA MARA 2 YA BIDHAA UNAYOUZA😊..KITU UMENUNUA ELF 4 UNAUZA EF 20..NI UTAJIRI GANI HUO..😊

  • @BarakaKamara
    @BarakaKamara 2 месяца назад

    Wewe siyo nabii,unafanya kazi ya shetani wakala mkuu wa shetani,unapotosha watu wa Mungu.

  • @eduardoedward
    @eduardoedward 2 месяца назад

    Kweli kbx wngi wanabisha bila kufatilia vzr

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 3 месяца назад +2

    Kama umeanza kula kitimoto au nimeangalia vibaya?

  • @BarakaKamara
    @BarakaKamara 2 месяца назад

    Mpotoshaji mkubwa wewe,nabii wa kuzimu ya duniani.

  • @ZariaAbdullah-r5t
    @ZariaAbdullah-r5t 2 месяца назад

    Eti uteke unyang'anye jalafu ana mzingizia mtume jibwa kweli hili laana inamtafuna

  • @charlesgalimamia
    @charlesgalimamia 3 месяца назад +2

    Yooooooooo !!!!

  • @ShukuruMasofa
    @ShukuruMasofa 3 месяца назад +1

    a maniiwe nawe mimi natamani nikuone

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 3 месяца назад +1

    😂naile kanzu yako na kibaragashia unachovaa kudanganyia watu,leo hakijakauka ama

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 2 месяца назад

    We kaka nikopata no yako nitakutumia vocha leo umeongea ninayoyawaza kila siku

    • @arianjrstanslaus4991
      @arianjrstanslaus4991 2 месяца назад

      😂😂😂...eti we kaka... duuhh... sawa mchumba... Next time nyosha tuu bwana no yako kuna iki na kile...

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu 2 месяца назад

      @@arianjrstanslaus4991 wrong way my dear nimeolewa na Niko na nice family alhamdullilah

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 3 месяца назад

    Dua jiombee mwenyewe hao masheik hiyo talumaa wa meitoa wapi

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504 3 месяца назад

    Kwali mtumishi ubarikiwe sana

  • @ShabaniKambango
    @ShabaniKambango 3 месяца назад +1

    Nime ipendaaaa

  • @LeylaaYusuph-pk5qp
    @LeylaaYusuph-pk5qp 3 месяца назад

    Jibwaa

  • @ShamsaniOthuman-sr7kh
    @ShamsaniOthuman-sr7kh 3 месяца назад

    Kweli kabisa😂😂

  • @frednesto3707
    @frednesto3707 3 месяца назад

    Kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 месяца назад +1

    Yani huyu jamaa kama kweli ni NABII,hata mimi ni NABII pia. Wallah huyu jamaa ana matatizo tena makubwa mno! NABII anakuwa na wasifu kama huu kweli??? Hapana kwa kweli. Mim NAKATAA kabsa! Aisee...😂🙌🙌