Mafuriko yaajira chanjo kwa watoto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 май 2024
  • Athari za mvua na mafuriko zinaendelea kushuhudiwa nchini. Kumekuwa na uharibifu mkubwa wa mali na hasara tofauti. Balaa hiyo pia imehatarisha afya ya watoto. Katika mtaa wa mabanda wa Kibera, watoto wa umri wa chini ya mwezi mmoja bado hawajapata chanjo ambazo ni muhimu kwa ukuaji wao na afya kwa ujumla.

Комментарии •