Ukishayajua haya kuhusu wanaume......hautateseka na mapenzi...!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 98

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 лет назад +14

    Nimempenda huyu mwanasaikolojia anaelezea vitu kwa ufasaha zaidi.Napenda kipindi chako Tira.Big up guys u doing a GREAT job

  • @jenifaamosi7454
    @jenifaamosi7454 3 года назад +3

    Nakukubal sanaa hichi kipind
    Madam Tira be blessed 👐👐

  • @خسنموس
    @خسنموس 5 лет назад +12

    Wapili kucoment, kipindi kizuri mnaelimisha sana, tira sauti yako MashaAllah.

  • @sharonkatunzi62
    @sharonkatunzi62 3 года назад

    Jiwa hassan yuko vzr sana anaeleza vzuri sanaaa ,tira ur doing good go girl..

  • @zainababeid8524
    @zainababeid8524 5 лет назад +3

    Najifunza sana tira nice work dear.wish to meet you dear

  • @rodneytheonest
    @rodneytheonest 5 лет назад +8

    I think trust is the hardest pillar of a good relationship 😳

  • @veileronesmo9219
    @veileronesmo9219 5 лет назад

    Tira keep moving ...sikujua hili chimbo before bt am right here now enjoying and learnin

  • @rehemaothuman3764
    @rehemaothuman3764 2 года назад +1

    Dada unachat ad mtu anaweza Sema unazarau weka cm pemben unakera

  • @delphinasenge3321
    @delphinasenge3321 5 лет назад +1

    Hongera sana Dada kipindichako kizuri mno ,,,ilanashida nawewe sijiy nitakupataje

  • @aishasuleiman7600
    @aishasuleiman7600 5 лет назад +5

    I like you for really .I like how you educate us ,GOd bless you bro.

  • @jenifaamosi69
    @jenifaamosi69 5 лет назад +3

    najifunza vingi madam Tira I wish 1 day 2kutane 2ongee mengi

  • @khadijamohamed580
    @khadijamohamed580 5 лет назад +6

    Weeh baba hebu ongeya vizuri hujawahi kuongeya mimi niko huku ulaya mume wangu yuko nyubani wanaume niwanaume tu hata umfanyie nini ije ataenda

  • @mugabekaziaisha2243
    @mugabekaziaisha2243 4 года назад +1

    Wanaume wa izi siku wanataka kutumia wa nawake tu hakuna kingine

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 года назад +1

    🙏

  • @hfj9315
    @hfj9315 5 лет назад +5

    Mapenzi yambali yanausaliti huo ndo ukweli usio pingika

  • @meddeck
    @meddeck 5 лет назад +10

    I beg to differ on women being pragmatic lovers. Women are very emotional, definitely not pragmatic i.e. reasonal. Women want dream relationships, not practical at all. I am a woman so I know.

    • @jiwahassan
      @jiwahassan 5 лет назад +2

      Upo Sahihi Dada. Womens are very emotional na huchunguza vitu kidogo kidogo kwa muda ili apende kweli. Vinginevyo huwenda akatamani MALI au Muonekano tu haraka. Ila ktk future plan huzingatia mengi kama kipaumbele. Utofauti wa kijinsia NI MKUBWA BAINA yetu hivyo ndio maana Tunaleta Hii elimu na sehemu A ya hiyo interview nimeelezea KWA UREFU hilo. Ila kama kuna Sehemu UNAHITAJI kuniuliza zaidi tuma meseji namba yangu ni 0713 807 734 Jiwa Hassan.

    • @nusaebahkeis6774
      @nusaebahkeis6774 5 лет назад

      @@jiwahassan tukufate whata app

  • @lilliandavid3212
    @lilliandavid3212 5 лет назад +11

    Presenter anamfamnya huyo kaka kuonekana chizi
    Anaongea yeye anachezea simu mxiuuuuu!.

  • @rashidmtumwa7643
    @rashidmtumwa7643 5 лет назад +13

    Sema ww tira una haribu kipnd bn m2 anaongea ww unachezea sim ndonn sas si dhalau izo

  • @rosenogo1489
    @rosenogo1489 4 года назад

    Hata mimi mmenisaidia

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 5 лет назад +6

    Mwanaume ht ukimheshimu vp ndo anazidi kukunynyasa ht sijui huwa wanataka nn mmmm

  • @mdbafrica2299
    @mdbafrica2299 4 года назад +4

    Guys Najihisi nipo darasani🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 5 лет назад +1

    Mpo vzr Sana

  • @famitoissanawanda6295
    @famitoissanawanda6295 5 лет назад +1

    Tira umejipanga vilivyo

  • @elizagreen8098
    @elizagreen8098 5 лет назад +4

    Mkinyenyekewa ndo mnazidishaga ujinga wenu, yaani mimi mdomo ndo siwezi acha kwa kweli.

  • @mallyajoyce1
    @mallyajoyce1 5 лет назад +1

    This is wahooo

  • @sylviemutwale9527
    @sylviemutwale9527 5 лет назад

    Napenda sana iki kipindi

  • @imeldakadege2838
    @imeldakadege2838 5 лет назад

    Aiseeee kabisaaa unakuta ww hujawahi kukipata

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад +2

    ❤💙❤ u tira

  • @martindeogratius6547
    @martindeogratius6547 5 лет назад +2

    Pls Tira naomba uzifungue video tuwe tuna download kwa faida ya wengine pia walio vijijini pls fanya hivyo.

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  5 лет назад +1

      Sawa naifanyia kazi then I will get back to u

    • @martindeogratius6547
      @martindeogratius6547 5 лет назад

      Thanks my sister Tira may God be with u.

    • @caylakhamcbaby846
      @caylakhamcbaby846 4 года назад

      @@thexoshowtira kuna kipind cha leo plzz cha mwanasaikologia Jorge Boniface

  • @annaupendo4768
    @annaupendo4768 5 лет назад +6

    Kwa vimoji sikweli anaweza kumtumia mama yake dada yake kaka yake rafiki yake hio sio njia sahihi yakuwaza anakuchiti sikubaliani na hiro.😳😳😳

    • @rachelobedy8512
      @rachelobedy8512 5 лет назад

      Anna Upendo kabisa, wakati mwingine tuna vitu tunaona status au kuweka then unawekea hivyo vi emoj. nami sikubaliani naye🙉🙉🙉

    • @julkakbar2290
      @julkakbar2290 5 лет назад

      Real guys?

  • @امينهعلي-ض5ث
    @امينهعلي-ض5ث 2 года назад

    Umbali ndio unapunguza mpenzi mara nyingi. Sasa hizo nikusudi ili ukae nyumbani

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 5 лет назад +3

    Kaka mm binafsi sijawahi kukutana na mwanaume mwenye kauli nzuri. Kila mwanaume yuko very harsh yani daaaah hakunaga lugha laini ya upendo, never.

    • @stevstephano950
      @stevstephano950 5 лет назад +1

      Wenny Barny poleeeee

    • @stevstephano950
      @stevstephano950 5 лет назад +2

      Wenny Barny mwenye kaur nzur u njian

    • @amanimanase642
      @amanimanase642 5 лет назад

      Wenny Barny karibu kwangu mtt mzr ntafte whatsap 0777033660

    • @hajivuai3454
      @hajivuai3454 4 года назад

      pole sana ila tupo hujabahatika tu

  • @rosenaadolfu99
    @rosenaadolfu99 5 лет назад +1

    Huu sio mda wa kubembelezana hao wanaume ni pasua kichwa tu wakafie mbali huko kwanza wamekwisha laaniwa hao.

    • @alphasjoseph7542
      @alphasjoseph7542 5 лет назад

      Rosena Adolfu,Hao wanaume unaosema wamelaaniwa ndiyo unatarajia Siku moja uolewe nao na kuzaa nao,dah!!!

    • @kennyseleman4623
      @kennyseleman4623 3 года назад

      😁😁😁😁😁

    • @bennycaleb5583
      @bennycaleb5583 3 года назад

      Duh umekosewa na yupi huyo jamani😥

  • @mariamsokoro7983
    @mariamsokoro7983 5 лет назад

    😘😘😘😘😘

  • @landrinebagalwa5919
    @landrinebagalwa5919 5 лет назад +10

    Mungu nipe mume anaye akili na kujuwa mapenzi

  • @francinekabwe1211
    @francinekabwe1211 5 лет назад +7

    Sasa kaka hata kama una mfanyia mwenzawako vyote hivyo na yeye abadiriki mtu afanyeje sasa?

    • @joleenmasha
      @joleenmasha 4 года назад +1

      Kabwe hapo sasa umeongea kabisa

  • @yusrakamili6401
    @yusrakamili6401 5 лет назад +1

    Nasikiliza kimyakimya mSomo mazir

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 5 лет назад +2

    ❤❤❤

  • @elizabethmatanyanga46
    @elizabethmatanyanga46 5 лет назад +2

    mependa haya maongezi

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 5 лет назад

    Asante sana kaka ubarikiwe

  • @stellachikando207
    @stellachikando207 5 лет назад

    Nimejifunza kitu hapo

  • @ruthnjuguna5476
    @ruthnjuguna5476 5 лет назад

    Wow,

  • @kalistusauzebi5707
    @kalistusauzebi5707 5 лет назад +5

    Sam taime wewe dada unabowa unamanagani sas kuiweka hiyo namba yako ukitafutwa unaliiiinga mtu anakwambi anashida na mkunga mndngeleko hata

  • @RickChazy
    @RickChazy 5 лет назад

    💣💣🙏

  • @monnyselly2317
    @monnyselly2317 5 лет назад +1

    Mafundisho mazuri

    • @alicejoe450
      @alicejoe450 5 лет назад +2

      Huyo dada kaniuzi sana mwenzie anaongea ye yuko bize na sim

  • @zachariajorammwawaye1314
    @zachariajorammwawaye1314 5 лет назад

    Duh

  • @aishabakari6426
    @aishabakari6426 5 лет назад

    Nisaidie nmbr yako anty tira kma hutojali

  • @albinishirima6981
    @albinishirima6981 5 лет назад

    Asante kwa elimu na ushauri mzuri

  • @salomejacob4920
    @salomejacob4920 5 лет назад

    tunafanya yote mazuri kaka. ndo wanalala. nje

  • @خسنموس
    @خسنموس 5 лет назад +2

    Tira hassani umeolewa??

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 5 лет назад

      Kila la kheri dada Tira.Unaonekane mpole n mtulivu.Nina imani utakua mke na mama bora

    • @خسنموس
      @خسنموس 5 лет назад

      @@catenzeki678 Nampenda tira ni mpole Sana ana anafaa kuwa mke

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 5 лет назад

      @Mussa Hassan ndio ivo sasa kaka kakwambia ana mchumba labda urushe ndoano kwengine

  • @rashidmtumwa7643
    @rashidmtumwa7643 5 лет назад +2

    Sema ww tira una haribu kipnd bn m2 anaongea ww unachezea sim ndonn sas si dhalau izo

    • @rashidmtumwa7643
      @rashidmtumwa7643 5 лет назад

      Sawa lkn inakuwa syo pcha nzur Kwa sbb m2 anasimulia unamkata my dear sister mbaya iyo

    • @rashidmtumwa7643
      @rashidmtumwa7643 5 лет назад

      Sis 2na kipend kipnd chak ujue

    • @violetjozey4425
      @violetjozey4425 5 лет назад +1

      She's not a good presenter,she has no manners...I can't even dare to touch my phone when someone is talking to me...

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Anaangalia jumbe zinazotumwa nakuchagua zinazoweza kuelezewa