I beg to differ on women being pragmatic lovers. Women are very emotional, definitely not pragmatic i.e. reasonal. Women want dream relationships, not practical at all. I am a woman so I know.
Upo Sahihi Dada. Womens are very emotional na huchunguza vitu kidogo kidogo kwa muda ili apende kweli. Vinginevyo huwenda akatamani MALI au Muonekano tu haraka. Ila ktk future plan huzingatia mengi kama kipaumbele. Utofauti wa kijinsia NI MKUBWA BAINA yetu hivyo ndio maana Tunaleta Hii elimu na sehemu A ya hiyo interview nimeelezea KWA UREFU hilo. Ila kama kuna Sehemu UNAHITAJI kuniuliza zaidi tuma meseji namba yangu ni 0713 807 734 Jiwa Hassan.
Nimempenda huyu mwanasaikolojia anaelezea vitu kwa ufasaha zaidi.Napenda kipindi chako Tira.Big up guys u doing a GREAT job
Nakukubal sanaa hichi kipind
Madam Tira be blessed 👐👐
Ahsanteee sana Jenifa
Wapili kucoment, kipindi kizuri mnaelimisha sana, tira sauti yako MashaAllah.
Jiwa hassan yuko vzr sana anaeleza vzuri sanaaa ,tira ur doing good go girl..
Najifunza sana tira nice work dear.wish to meet you dear
I think trust is the hardest pillar of a good relationship 😳
Tira keep moving ...sikujua hili chimbo before bt am right here now enjoying and learnin
Dada unachat ad mtu anaweza Sema unazarau weka cm pemben unakera
Hongera sana Dada kipindichako kizuri mno ,,,ilanashida nawewe sijiy nitakupataje
I like you for really .I like how you educate us ,GOd bless you bro.
najifunza vingi madam Tira I wish 1 day 2kutane 2ongee mengi
Nitumie no.yako 0715172226
Weeh baba hebu ongeya vizuri hujawahi kuongeya mimi niko huku ulaya mume wangu yuko nyubani wanaume niwanaume tu hata umfanyie nini ije ataenda
khadija mohamed mmmmh
Unakurupuka
Wanaume wa izi siku wanataka kutumia wa nawake tu hakuna kingine
🙏
Mapenzi yambali yanausaliti huo ndo ukweli usio pingika
Exactly
I beg to differ on women being pragmatic lovers. Women are very emotional, definitely not pragmatic i.e. reasonal. Women want dream relationships, not practical at all. I am a woman so I know.
Upo Sahihi Dada. Womens are very emotional na huchunguza vitu kidogo kidogo kwa muda ili apende kweli. Vinginevyo huwenda akatamani MALI au Muonekano tu haraka. Ila ktk future plan huzingatia mengi kama kipaumbele. Utofauti wa kijinsia NI MKUBWA BAINA yetu hivyo ndio maana Tunaleta Hii elimu na sehemu A ya hiyo interview nimeelezea KWA UREFU hilo. Ila kama kuna Sehemu UNAHITAJI kuniuliza zaidi tuma meseji namba yangu ni 0713 807 734 Jiwa Hassan.
@@jiwahassan tukufate whata app
Presenter anamfamnya huyo kaka kuonekana chizi
Anaongea yeye anachezea simu mxiuuuuu!.
Haimanishi anachezea... No
Huwa wanasomaga vitu vinavohusu kipindi
Sema ww tira una haribu kipnd bn m2 anaongea ww unachezea sim ndonn sas si dhalau izo
kweli ni mwehu rita
No huyo tira alikuwa anasoma comments bhana
Sio kuchezea sim bhana angalien vizur
Hata mimi mmenisaidia
Mwanaume ht ukimheshimu vp ndo anazidi kukunynyasa ht sijui huwa wanataka nn mmmm
Wenny Barny mmmmmh
Hamna kitu Kama icho wewe maybe tatizo ni wewe
Acha tuuuu
Inategemea ni mwanaume gani huyo Dada yangu .
Guys Najihisi nipo darasani🤣🤣🤣🤣🤣
🤣
Mpo vzr Sana
Tira umejipanga vilivyo
Mkinyenyekewa ndo mnazidishaga ujinga wenu, yaani mimi mdomo ndo siwezi acha kwa kweli.
Haaa haaaa
This is wahooo
Napenda sana iki kipindi
Aiseeee kabisaaa unakuta ww hujawahi kukipata
❤💙❤ u tira
Pls Tira naomba uzifungue video tuwe tuna download kwa faida ya wengine pia walio vijijini pls fanya hivyo.
Sawa naifanyia kazi then I will get back to u
Thanks my sister Tira may God be with u.
@@thexoshowtira kuna kipind cha leo plzz cha mwanasaikologia Jorge Boniface
Kwa vimoji sikweli anaweza kumtumia mama yake dada yake kaka yake rafiki yake hio sio njia sahihi yakuwaza anakuchiti sikubaliani na hiro.😳😳😳
Anna Upendo kabisa, wakati mwingine tuna vitu tunaona status au kuweka then unawekea hivyo vi emoj. nami sikubaliani naye🙉🙉🙉
Real guys?
Umbali ndio unapunguza mpenzi mara nyingi. Sasa hizo nikusudi ili ukae nyumbani
Kaka mm binafsi sijawahi kukutana na mwanaume mwenye kauli nzuri. Kila mwanaume yuko very harsh yani daaaah hakunaga lugha laini ya upendo, never.
Wenny Barny poleeeee
Wenny Barny mwenye kaur nzur u njian
Wenny Barny karibu kwangu mtt mzr ntafte whatsap 0777033660
pole sana ila tupo hujabahatika tu
Huu sio mda wa kubembelezana hao wanaume ni pasua kichwa tu wakafie mbali huko kwanza wamekwisha laaniwa hao.
Rosena Adolfu,Hao wanaume unaosema wamelaaniwa ndiyo unatarajia Siku moja uolewe nao na kuzaa nao,dah!!!
😁😁😁😁😁
Duh umekosewa na yupi huyo jamani😥
😘😘😘😘😘
Mungu nipe mume anaye akili na kujuwa mapenzi
Landrine Mukala utapata u kalibu kuja
Amina
Landrine Mukala yakupasa kuamin kwanza thn utampat but uwe mtulivu
mimi nipo jamani
nibip +971528093653
Sasa kaka hata kama una mfanyia mwenzawako vyote hivyo na yeye abadiriki mtu afanyeje sasa?
Kabwe hapo sasa umeongea kabisa
Nasikiliza kimyakimya mSomo mazir
❤❤❤
mependa haya maongezi
Asante sana kaka ubarikiwe
Nimejifunza kitu hapo
Wow,
Sam taime wewe dada unabowa unamanagani sas kuiweka hiyo namba yako ukitafutwa unaliiiinga mtu anakwambi anashida na mkunga mndngeleko hata
💣💣🙏
Mafundisho mazuri
Huyo dada kaniuzi sana mwenzie anaongea ye yuko bize na sim
Duh
Nikweli urafiki huyu wa 3 ni shida sana
Nisaidie nmbr yako anty tira kma hutojali
Asante kwa elimu na ushauri mzuri
tunafanya yote mazuri kaka. ndo wanalala. nje
Tira hassani umeolewa??
Kila la kheri dada Tira.Unaonekane mpole n mtulivu.Nina imani utakua mke na mama bora
@@catenzeki678 Nampenda tira ni mpole Sana ana anafaa kuwa mke
@Mussa Hassan ndio ivo sasa kaka kakwambia ana mchumba labda urushe ndoano kwengine
Sema ww tira una haribu kipnd bn m2 anaongea ww unachezea sim ndonn sas si dhalau izo
Sawa lkn inakuwa syo pcha nzur Kwa sbb m2 anasimulia unamkata my dear sister mbaya iyo
Sis 2na kipend kipnd chak ujue
She's not a good presenter,she has no manners...I can't even dare to touch my phone when someone is talking to me...
Anaangalia jumbe zinazotumwa nakuchagua zinazoweza kuelezewa