Kayumba unajua sana ila sijui nikwanini hautoki mimi roo inaniuma sana yani natamani kukuona mbali zaidi yahapo kweli kabisa ila unajua sana ngoma zako chache ndio sina ila nyingi ninazo natamani kukuona mbali sana asee
kayumba unajua kuimba melody kali unajua kuandika sauti imetulia una sauti ya mziki ila umepoa san me kam shabiki yako natamani kukuona mbali san kaza broo unanafasi kubwa san ya kufika mbali
Ngom kali San , kaza babaa ufuke mbele Zaid ya hap,🔥🔥🔥💪
Hakuna msanii mwenye melody tamu kama.kayumba hapa.Bongo
Unajua kaka.
Nakubali wow sawa ❤️❤️❤️🖐️🖐️🖐️🖐️🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥🔥
God bless 🙌 bro ,,,, kama unakuLi Ep kali weka like 5k saiz 📌
Duh mwamba unauwa sana
na enjoy tuu ngoma zako kaka
Noma tena sana
na silali mbaka nisikilize zote..maana kayumba una nikosha
Mwanamuziki bora kabisa anajuwa vraiment rspe kayumba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌤️🎤📹🎻🎸🎙️💰eshima
Toujours au top bro. Hii ndo kali kuliko. Ila nasubiri ya wewe na dada yangu Maud Elka
Moto ka moto
BINO 🏆
Ngoma Kali sana, Congratulations brother.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
📸📸🔥🔥🔥🔥🔥🔥 umeuaaaaaaaaa❤
Sijui ntaeleza aje ila huyu mwamba amerudi vizuri. Pitia kwangu usubscribe
Nikiwa maskat Nainjoy nyimbo pendwa kutoka kwa kaka kayumba ❤❤💪💪💪
Ngoma kali kaka salute mafya keep on moving
Mentor wangu wa mziki daima👊bino🙌
Ngoma kali saaaana kayumba naomba ukaze kayumba mimii shabiki yake toka uko bongo staa sach
Kaka umeua ila usipoe sana bwana huwa tunamisi merodi zako mwamba .finya kutupoza kila mwezi hata nyimbo moja tuuuu
Kila ngoma kaliii sanaaa 🔥 sauti kaka unatisha tafsida katika uandishi 🔥🔥🔥🔥🔥👑🔥 kayumba
Nakubali bro anaimba vizuri sana,From BURUNDI
We mwamba brother from 🇨🇩🇨🇩 and 🇱🇷🇱🇷
Mfalme wa secular
Kayumba unajua sana ila sijui nikwanini hautoki mimi roo inaniuma sana yani natamani kukuona mbali zaidi yahapo kweli kabisa ila unajua sana ngoma zako chache ndio sina ila nyingi ninazo natamani kukuona mbali sana asee
Goma kali brother
Fundii album ya nguvu hiiii
Balaaa
Ni album ametoa ama
Fireeee
kayumba unajua kuimba melody kali unajua kuandika sauti imetulia una sauti ya mziki ila umepoa san me kam shabiki yako natamani kukuona mbali san kaza broo unanafasi kubwa san ya kufika mbali
Kali🙌
True love Unyama mwing 🎉
Hii nzito sana..!!
🔥🔥🔥
Your music is in another level,#icantstoplistening 🔥 🔥
Kayumba isn't pregnant but he always delivers ❤️💥🔥🔥🔥🎼 Banger;!!!💯
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤲🏻
Appreciate sanaaa brow
c'est un bon son bro courage
listening in Kenya
Unyama
Ast kwa ngoma hii yenye mapigo na miondoko nayoipenda
🔥🔥🔥🔥💖🖤💖🖤💖
Naomba likes za mwamba hapo hapo
I like it 👌
😍
Iko.momba
Woow nice song always you make me happy 🎊🎊
It's a vibe🤍🇰🇪☑️💥
hot song
My best musician in TZ keep it up bro
🔥🔥🔥🔥🔥🙌
🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️💪💪💪💪✌️✌️
Seen By Director MrSpy
Anajua
Aww
😅😅😅😅