4 FAHAMU MATUMIZI YA FREQUENCY BANDS KWENYE EQUALIZER (EQ) NA AUDIO MIXER - BENSON MSECHU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Nimefafanua kwa kina aina tofauti za FREQUENCY BANDS (MAKUNDI YA MASAFA) yaliyogawa masafa ambayo mtu anaweza kusikia na jinsi zinavyotumika kwenye vyombo vya Mziki ili kukujengea uwezo wa kuvitawala vifaa vyako kwa namna ambayo utapata sauti yenye usikivu mzuri.
    NB: Sio mara zote EQ inaweza kutatua matatizo yote ya usikivu kwa asilimia 100. Uwekaji mzuri wa Speaker (Speaker Placement), Ubora wa vifaa vyako na Akustiki ya Jengo lazima kuviangalia. Kufahamu EQ ni mtaji wako mkubwa wa kuwa bora kwenye tasnia hii ya uhandisi wa Sauti.
    Usiache Ku- Subscribe ili kuendelea kupata masomo kama haya yatakayokujia mara kwa mara.
    Kwa Ushauri wa Ununuzi wa Vyombo na Akustiki Teatment, Ubunifu wa mifumo ya sauti na uboreshaji (Sound System design and Optimization, Acoustic Treatment), Usisite kuwasiliana nami.
    Phone: +255 752 025 991
    Email: benmsechu@gmail.com

Комментарии • 7

  • @godfreyeleuter2549
    @godfreyeleuter2549 7 месяцев назад +1

    Shule kubwa sana hii kaka mkubwaa 🎬

  • @hamenyayohanakasase5836
    @hamenyayohanakasase5836 19 дней назад

    Asee,
    Hili ni darasa muhimu sana sana. Nimelipenda, tunalihitaji kanisani kwetu kabisa

  • @simonshukia1842
    @simonshukia1842 Месяц назад

    Darasa zuri sana mwl Mungu akubariki ndio nasikiliza kuanzia leo so nikifika kwenye vyombo nitatoa mrejesho

  • @conradley9202
    @conradley9202 8 месяцев назад

    Tupe shule brother👏👏

    • @elipidiusrushakuzi1108
      @elipidiusrushakuzi1108 8 месяцев назад +1

      Nawe mungu akubariki kwa kuamua kutupatia elimu hii, nzuri na muhimu.

  • @kujifunzaguitar8798
    @kujifunzaguitar8798 8 месяцев назад

    Nimeona kama umeme umekatika vile, wakati najipanga kusikia vizuri, somo limeisha, dakika chache nimejifunza vitu vingi sana na vizuri, nimefurahia sana Kiswahili chako. Mungu akubariki, usikawie kutupa somo lingine

    • @benson.msechu
      @benson.msechu 8 месяцев назад

      Asante kwa Kujifunza, Mungu akinipa Neema nitafanya Mapema