😭😭😭😭😭🙏🙏 hii nyimbo ni ya wanawake wote duniya ni maisha ya kweli wanawake wanapitiya mengi snaa duniya hii nyimbo inatiya moyo wanawake wezangu tusivunjike moyo kwani mungu Yuko Na sisi big up hamisamobetto
nampenda xna mama ake hamisa yan hajawah muacha mwanae yupo bega kwa bega na mwanae yan mung akulinde mama mobeto uone mazur ya mwanao maana yajayo yanafurahisha ❤❤❤❤❤💕💕💕💕
Hata walio na chuki watakuja kuicklza hii nyimbo kimya kimya na watajisemea mioyoni mwao ,ameweza😎. Mungu ni wetu sote ,wabaya na wazuri wote wake! Hongera kwa kazi nzuri✌✌
Hamissa I like your attitude, our attitude towards everything makes the difference in life,your song is a true reality of true fighters, tuko nyuma yako tukipambana pia,I love your song
This is an inspirational song,wasichana musipende njia za panya,pambaneni hata Kama kuuza nyanya mtafika mtakako Kwa kibali ya mwenyezi Mungu # dreams are valid.# God is not dead.
You made it asee bonge la video inaendana kabisa na uhalisia wa nyimbo umenihamasisha sana na nyimbo hiiii go mama mwenzangu go good job yaan cjui nikwambie nini
Haki tena nimeangalia mara kama zooote hivi daaah Hamissa mama umeuawa na utawaanyoosha watakubali tu go go go go 🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚥🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃go baby girl we love you
Sijaona comment ya kupinga,ni wazi hii nyimbo ni funzo,inanifanya kumkumbuka sana mama angu(apumzike kwa amani) Like hapa show love na surpport kwa missa,she deserve it 😘😘. Ahsante sana Hamisa Mobeto!!
Hukiiangalia hii video, ujumlishe na maneno ya Hamisa pamoja na sauti yake, hakika unaweza lia machozi japo mziki ni mtamu sana. Hongera sana Hamisa. Nimekukubali sana.
Maskini pole sanaa mama ila umenilizaaa kiukwl allah akupe ujasiri usjali maneno ya wtu kaza moyo naamin hata wanaokuchukia watakuja kiheshimu hisia zako big up mamaty💞
Madam hero ....Hamisa I love this song and am so proud of you sana all the way from 254.... Tulidharaulika sana wanawake hatuwezi lolote.......acha tu watucheke but yeah tutafanya bidii.Tunapambana because we are madam heroes. Wapi Likes za mobeto
Kawaida majungu huwa hayajengi kitu,nakupongeza kwa wimbo wako kwani unaleta ujasiri kwa wanawake na pia kuweza kuheshimika kwa kila wawezacho kukipata kama sisi wanaume,honger hamisa Kama unakubaliana na mimi comment tumsapoti dada yetu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mi wakiume ila hii ngoma naisikia kwa mishipa ya damu,,nzuri sana stor ya video sawa na wimbo,,na weng hukosea hapa ,,,safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hamisa you're a big artist focus you can be our African queen. We all know isn't easy money wise to produce. Music but all you need is to keep on going.
Stochoka kuusikiliza wimbo huu maana Unaikumbusha thamani ya mwanamke wa Africa na niheshima kwa Mama wote wapambanaji wasio tegemezi big up @Hamisa Mobeto Mwanaume hawezi kuwa mwanaume bila mama Mi nawapenda wanawake wote na🕴🕴🕴🕴kwenu.
How I wish I could understand all lyrics?I like it very much .The video tells an appealing story.I salute you for honoring our South African legendary Mama Merriam Makeba and Mama Yvonne Machaka -Chuene.Yess you are a Madam Hero already!!!Keep winning!!
We were quick to judge her. We never remembered that she also had emotions. We didn't know what choices she had to make in order to do what we hated so much.she is strong but the insults hurled at her are too much. Hamissa keep going girl. The past is gone and you have better days. Woman power Dada yangu
Hamisa samahani mdogo wangu,sintaongezaga kuskiliza iyi nyimbo,😪😪😪inanikumbushaga mteso nilipitiyaga na wanangu watatu.Heshima kwa single mother,s wooote duniani,nyinyi wooote niwa Madam Hero...
penda sana mpambanaji mwenzangu nakupendaga sana miss jitume usichoke wanaume wamezoeya kutuona dhaifu Sikh zote na ndo mwanzo wa manyaso miss unaweza sana kuimba unavipaji lukukuki jisimamie mungu atakuinua ishaalah
From kenya Madam Hero is a good song Hamisa mobetto naipenda tu sana yaani ni chai yangu kila asubuhi ,respect to u mum ,karibu kenya ,I love your are voice madam,
😭😭😭😭😭🙏🙏 hii nyimbo ni ya wanawake wote duniya ni maisha ya kweli wanawake wanapitiya mengi snaa duniya hii nyimbo inatiya moyo wanawake wezangu tusivunjike moyo kwani mungu Yuko Na sisi big up hamisamobetto
nampenda xna mama ake hamisa yan hajawah muacha mwanae yupo bega kwa bega na mwanae yan mung akulinde mama mobeto uone mazur ya mwanao maana yajayo yanafurahisha ❤❤❤❤❤💕💕💕💕
nzuri sana mamy
Jamn stori nzuri sauti nzuri wimbo mzuri mpka rahaa hongera saana I'm so proud of you
Niceee
Kweli kabisa
nimeipenda hii nyimbo!
Ngoma kali hatari hongera hamisa
Nice
Huyu dada ametoka mbali saana Mungu Bado anampigania kika mara sasa hivi ni super Star jamaniiii ❤❤❤❤
Wa kwanzaaaa saffiiiii mobeto
_____ #KAZAA_MZEE_MAMAAAA 💪💪💪✔✔✔✔✔
Lol...bi Sandra na esma wakimfukuza sweety mandale....😁😁😁😁😁pambana baby gal...am here to support you....all the way...💕💖
Huhuhu
Rill
nice
Saf sana pambana mama
Namuona Fantasy wako ukiwa natural 😍😍😍😍
Unywelee kama wotee
Good job😍😍😍
Hii nyimbo klasku inanilaza saa 1 za usku, masha allaah lov u soo much, jaman naomben like hata 50
Yani we dada nakupenda wallah no matter whaat...watasema usiku watalala.,uuwii una sauti amaizing...naomba utoe na nyingine...love you misah 😙😙😚😗😍😘
good madam hamisa.
+sauti nzuri
+ujumbe mzuri pia upo.
like kama umeielewa hii ngoma.
Saf san
Hata walio na chuki watakuja kuicklza hii nyimbo kimya kimya na watajisemea mioyoni mwao ,ameweza😎. Mungu ni wetu sote ,wabaya na wazuri wote wake! Hongera kwa kazi nzuri✌✌
Wako tele nishawaona nawajua kwa majina kutwa humtukana hamisa
Tenaaaaa watasapot tuu
Hamissa I like your attitude, our attitude towards everything makes the difference in life,your song is a true reality of true fighters, tuko nyuma yako tukipambana pia,I love your song
Ameimba kilichomtokea alivyofukuzwa na MAMA dai hivyo hakubuni ameimba kilichopo alipigwa na kuacha wingi hivyo kaimba yaleyale hakuna kigeni hapo
@@maimunaibrahim141 mtapsta tsbu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukimchukia mungu anampendaaaaaaaa
Kila siku ni lazima nitazame kwa kweli imetufundisha mengi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Team Madam Hero mpo like hii video
magic voice Hamisa💖💖💖welldone
Me uwa adi nalia
Huu wimbo kila nikiusikiliza ndo nazidi kujituma kwa nduvu sasa
Tupooooo timu madam herooo wajina wa ndugu yangu wee jackline
Hapo mwishoni kapendeza
This song is dope !!! Mobetto hapa NATO ulifanya kazi!!!!big love from kenya
This is an inspirational song,wasichana musipende njia za panya,pambaneni hata Kama kuuza nyanya mtafika mtakako Kwa kibali ya mwenyezi Mungu # dreams are valid.# God is not dead.
Did she not know this when she was sleeping with Diamond? Pooh
well said
well said Kere rose
Amen.people shud never determine our future...God is indeed faithful and Alive.
@@anna19805974 thanks hun
You made it asee bonge la video inaendana kabisa na uhalisia wa nyimbo umenihamasisha sana na nyimbo hiiii go mama mwenzangu go good job yaan cjui nikwambie nini
Haki tena nimeangalia mara kama zooote hivi daaah Hamissa mama umeuawa na utawaanyoosha watakubali tu go go go go 🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚥🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃go baby girl we love you
This song was hamisa manifesting to the universe look five years where she is now .. she received what she claimed
Sure 📌
Duuuuh yaani hamisa kila nikiiangalia hii nyimbo nazidi kujifunza kitu....nimeshindwa kuzuhia hisia zangu walai 😍😘😘❤️❤️❤️
Sijaona comment ya kupinga,ni wazi hii nyimbo ni funzo,inanifanya kumkumbuka sana mama angu(apumzike kwa amani)
Like hapa show love na surpport kwa missa,she deserve it 😘😘. Ahsante sana Hamisa Mobeto!!
poa
Manshaa Allah Nic song😭
Anaepinga mchawiiiiii
The video is 🔥🔥🔥🔥!,love you Missa wangu❣❣😘..🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kwa kwel mm kama mm nimeupenda huu wimboo keep it up my xxtr.........
Wooow Nice song Hamisa, Sauti Mororo kwa speaker, Binafsi nimeipenda sana hii nyimbo, Pambana Hamisa aka Madam Hero
Hamisa mama Mungu amtupi mja wake . Kazana dada utafika mbali zaidi . Kama unakubiana na MADAM HERO gonga like yako twende sawa 😍😍😍😍😍🙏🙏🙏❤️❤️💙💙❤️
See God ashampanguza machozi May his name be blessed he is a true God❤
Hukiiangalia hii video, ujumlishe na maneno ya Hamisa pamoja na sauti yake, hakika unaweza lia machozi japo mziki ni mtamu sana. Hongera sana Hamisa. Nimekukubali sana.
Umeona ee
I love this song. Coz Hamisa truly meant what she sang here. Now look at her, she's done great for herself.
Dah yaani hadi mchozi umenitoka Hamisa umetisha usimzarau mtu kwa kumtazama usoni toa nyingine mamaaaaa tupo nyuma yako tunakusapot Hamisa
Nzuri hongera sana
tuko nyuma yake tena sana
@Hamisa Mobetto. keep teaching our nation being proved as a leader. Waiting for a second video we love you
Hongera my Lv Hamisa Allh Akufanyie wepes Uzidi Zaid ya hspo😘😍😘😘
Umezalilishwa sana
Umeonewa sana
Umepewa kila aina ya majina machafu lakini bado una msimamo na ndoto zako
#NDO_MANA_NAKUBALI_HARAKATI_ZAKO 💪💪💪🆑✔✔✔✔
kachawi ako
@@piusandy duh amna sio kachawi huyu dem mpambanaji tutegemee mazuri meng toka kwake 😡
@@piusandy mond ndio muongo kitombi yule ndio mana yote yanatokeaa
ramso baba
Very well hamisa
It's the recognition of Lupita Nyong'o for me.........you are going far girl. Just steer away from people who derail you
Bonge moja la ngoma sauti tamuuu balahaaaaaaaa we nimkali mamaaa
Maskini pole sanaa mama ila umenilizaaa kiukwl allah akupe ujasiri usjali maneno ya wtu kaza moyo naamin hata wanaokuchukia watakuja kiheshimu hisia zako big up mamaty💞
Misa fans where are you guys first to watch.
Tuko hapa frm kenya
Vero Kimani2018 Mama dee
Yaani leo maadui wote midomo ni wazii.madam hero ur the best
Congratulation mama dylan
Madam hero ....Hamisa I love this song and am so proud of you sana all the way from 254....
Tulidharaulika sana wanawake hatuwezi lolote.......acha tu watucheke but yeah tutafanya bidii.Tunapambana because we are madam heroes. Wapi Likes za mobeto
Madam Hero huu ni wimbo wa kuonyesha. Wanawake Tunaweza kufanya jambo llt tukita @hamisa upendo 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Supperb lady hamisa
Kawaida majungu huwa hayajengi kitu,nakupongeza kwa wimbo wako kwani unaleta ujasiri kwa wanawake na pia kuweza kuheshimika kwa kila wawezacho kukipata kama sisi wanaume,honger hamisa
Kama unakubaliana na mimi comment tumsapoti dada yetu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌🙌🙌
kazi nzuri mamii
Love misaaaaa
Mwaaaaa
Alieangalia hii ngoma mara 5 Kama mm agonge like twende sawa madam hero
Misaaaa
Nimeiangalia ×10 my frnd
Nice
Napenda tena sana. Nijisikia nimepata nguvu :) :) :) :)
Mobeto you have a sweet voice,i just love it,mmmwaaah,keep it up mama fantacy
Mama yangu anakukubali saana madam hero !!!!!
#Tabuikopalepale 🆑✔✔✔✔
Nampenda sana mimi uyu misa😍😍
@@saumuhassan6365 tegemea meng mazur toka kwake 🙏
Dopest Misa,am team zari but hii song nimeikubali tu sana...
Madam hero kama mama samia ...nice song misa inafundisha sana.
Zari amepost nyimbo yako anaimba kwa kweri kaipenda 👏 👏 👏
Loooh hamisa umenifanya hadi nilie humu ndani kama kuna msiba maana nalia na mwanangu analia jamn
we love you so much
MUNGU AKUTUNZE
yani ivi vitu vipo hasa sisi wanawake ndio utukuta mambo kama ayaa nimejikuta nalia tuu
mm nimelia kama nimefiwa
Nice song
Yan jmn achen tu
my dada hamisa ww ni madam hero...madam boss...East African sweetheart ...gonga like kama wakubaliana na mm
Nimelilia kweli tunzo ya mwanamke shujaa inakufaaa💖💖💖💯💯
Mi wakiume ila hii ngoma naisikia kwa mishipa ya damu,,nzuri sana stor ya video sawa na wimbo,,na weng hukosea hapa ,,,safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mje na kwangu ,,,ruclips.net/channel/UC2UqkJZu75TEXa0JErx7yPg
Safiii
Hongera sana Hamisa Mobetto uko vizur ....usikate tamaa wimbo mzuri wa kuelimisha jamii
Martha Chubwa kweli kabisa asikate tamaa
Yah hakuna kukata tamaa nikujikaza na kuendelea achia Mola yote mengine
Dah natamani ungekuwa Dada yangu najivunia sana ww Mamy love u so much
Yaaan
Yani goma ni zuri kama ulivyo mwenyewe 🔥🔥🔥🔥🎼
Huu wimbo umefanya nikupende bureeee,,,,,ujube mzuri Sana
Am so proud I knew in my heart hii ngoma by Leo itakua 200k..... This song gives me HOPE... Hamisa you are an Iron lady.. Mob love from 254
ipo gud
Hii NYIMBO nzuri kiasi kwamba Unaweza kuwawea hata Dhamana kina Soudybrown na Mau Sama kwa kutumia wimbo huu na Ukakubaliwa....hakika mobetto unajua
Pambana Mwaya Hamisa, Allah atakufanyia wepesi,bora chafya imetoka
Hamisa mobeto you never disappoint good video good setting alot of support from 254
Jamani wakenya twaongoza kwa kumpenda micha
Nyimbo Kali sana
Nice song hamisa kumbeunakua kuimba wow keep it up
Hail to the Queen👑👑👑👑wanawake tupendane na tusaidiane inavo stahili🙏🙏(Tunaweza)
This song really hits different……. Four years later see where Hamisa is, indeed life and death is in our tongues……. I’m proud of Hamisa
God is forever the greatest
Hongera sana Bint Mobetto kwa kuthubutu ,
Wanamke mwenye ushawishi mkubwa sana sasa ivi Hapa TZ kupitia nyimbo yako hii, MADAM HERO.
Madam hero
safisana hiyo
Congratulations Missa, go gal go. In you I see the strength of a woman. You lead others follow.😍😍😍😍😍😍😍😍Ur the best. Madam Hero is 🔥🔥🔥🔥
Thanks fans
I wanna be madam hero kama hamisa mobetto
congratulations 🎊 @hamisamobetto 😘 excellent work 💯
Hamisa you're a big artist focus you can be our African queen. We all know isn't easy money wise to produce. Music but all you need is to keep on going.
Hamisa mrembo kweli na sauti nzuri...kazi nzuri keep going gal
From kenya... Hamisa can play a vulnerable role in music videos...i think she did it and am now officially a fan
Waoooooo;;;; team Hamisa mambo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 like basi 👍👍👍👍👍
Wooooow😍 I love you hamisa.
Dam dam yaaan
Safi mama dully wanyooshe kina tim fulan
Hamisa!!! am loving it from Russia Moscow!!!! napenda this song!!! madam hero!!!...... can't stop listening to it... *wacha nipambane*
Mwana harakati damn girl don't you give up.. timiza your dreams with all cause..
Woow.. Iko sawa kwanza hiyo part 'I wanna beee! African number one fighter' lovely
Nyimbo nzur inatufanya tuwe naiman katika maisha
@@mackrinakajungu5108 Exactly my
Sawa
💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏾🙌🏾 You did it Hamisa. I am so proud of you 😘😘😘😘💃🏾💃🏾💃🏾👏🏽👏🏽👏🏽
So true
Mambo ni motooo
Dah huu wimbo mkali sana, madam hero inaweza keep it on!
WOW!!! Very Proud Of You Hamisa .....Very Nice Song......Well done ...
Big up to all African mamas who do anything to keep there family moving . Najivunia kuwa mmoja wao
cjawah lizwa na wmbo wowot ila wako umeliza!! mungu akusimamie tu dada angu, ipo cku atakuinua toka mavumbini na atakuketisha mahali pa wakuu wa nchi
Hamisa upo fresh kza mwendo mama utimize ndoto zako
It made me cry. The sky is the limit Hamisa.
Kumbe amisa ulikuwa na vicha kipaji chako nice song dada
Najua kitakacho fata ni zaidi fanya kazi loga wapumbavu wote wawe kenge wa blue nakupenda sana
Wanarogwa na hao wenyewe uenda kwa waganga nashangaa
Napenda kila kitu hapa sauti nzuri nyimbo imeweza elimu ndani
Hapo mwanzo ni kama diamond na familia yake wakimfukuza hamisa, kama nawe umeona hivyo gonga like
kabisa nakuambia 😢😢😢😢
Niece song Mama Big Up vumilia tu madam ni maisha tu ila nyimbo imeka pouw +255 Tz
All the way from 250 Rwanda sijui kiswahili hila hiii nyimbo kubabayeeeee 🔥 🔥
Stochoka kuusikiliza wimbo huu maana Unaikumbusha thamani ya mwanamke wa Africa na niheshima kwa Mama wote wapambanaji wasio tegemezi big up @Hamisa Mobeto Mwanaume hawezi kuwa mwanaume bila mama Mi nawapenda wanawake wote na🕴🕴🕴🕴kwenu.
Wimbo mzuri sana unawapo kina mama ujasiri,,,keep going mamaaa Dylan, watakaosema wanayao
Tony Mnyama Tv bravo my kaka
ض١ضضضضض
aksantee
@@elizabethmachange1033 .b
Chuki mchukieni ila haki yake mpeni jamani 🙌🙌 salut kwako madam heroin 👌👌 waliyo unlike kwanini walikuja Ku view😂😂😂
Watu hawapenDi mafanikio ya watu..inasikitisha
Jeanne29 Mie Labelle ......ask them again
How I wish I could understand all lyrics?I like it very much .The video tells an appealing story.I salute you for honoring our South African legendary Mama Merriam Makeba and Mama Yvonne Machaka -Chuene.Yess you are a Madam Hero already!!!Keep winning!!
Jamani wimbo huu unatutia moyo sisi wadada hongera sana hamisa mobeto MWENYEZI MUNGU akuzidishie
nishaa choshwa na njia za panya hmmmmmhhhh km umeielewa hiyo rhym gonga like tunguriiiii mobe......
my Queenie their always queening💯💯😍napenda huu wimbo
We were quick to judge her. We never remembered that she also had emotions. We didn't know what choices she had to make in order to do what we hated so much.she is strong but the insults hurled at her are too much. Hamissa keep going girl. The past is gone and you have better days. Woman power Dada yangu
You did well Misa congrats
msindikize jokate
Chams Chams 🙌🙌
Chams Chams 👊🏿👊🏿
The song is call heartattack😂😂😂😂🙉
Nimekuja kuiona maana ametaja majina makubwa makubwa mashaaallah .nimekuelewa pambana dada
Acha tu nipambane wallah umenipa nguvu na hii nyimbo yako
This girl is naturally beautiful....I just love her. Mungu aendelee kumbariki🙏🙏🙏
Daam!!!!!!!this gal is flying higher go go MADAM HERO it is your time no surrender
Kama akina King Kiba hamtoi nyimbo....tutabaki kuskiliza akina #Hamisa
Hamisa samahani mdogo wangu,sintaongezaga kuskiliza iyi nyimbo,😪😪😪inanikumbushaga mteso nilipitiyaga na wanangu watatu.Heshima kwa single mother,s wooote duniani,nyinyi wooote niwa Madam Hero...
Hiyo wimbo iko poa sana inapea MTU matumaini ata km tuko single mother congrats hamisa mobetto
Misa u make me cry😭😭😭😭 team misa popote mlipo naomba likes zenu njoen tumsapot masik mwenzetu
Tupooo pamoja sana jilanii
Tupo mwaya Mola ampe riziki yakutosha
Yni askitisha ainishi hamu
Tupo wengi
Mauwa M tupo m mungu amjalie misa bby
#madamhero is just too lit🔥🔥🔥🔥hamisa mobetto keep soaring higher and higher Honey.. This is just the beginning!!! Love from 254😘
Good hamisa yaani sichoki kuangalia hii video kiukweli ni nzuri pía inatutia moyo sana wanawake. Wewe ni mshindi siku zote.
song is🔥🔥🔥🔥
nice song nakupenda live your life dia hamisa forget about mond I known u can do it..wish u Da best
Umeuwaaaaah #Madamherro keep going baby were on your back 🔥🔥🤸♀️ nyimbo nzurii saanaa 🔥🔥🔥😍
penda sana mpambanaji mwenzangu nakupendaga sana miss jitume usichoke wanaume wamezoeya kutuona dhaifu Sikh zote na ndo mwanzo wa manyaso miss unaweza sana kuimba unavipaji lukukuki jisimamie mungu atakuinua ishaalah
From kenya Madam Hero is a good song Hamisa mobetto naipenda tu sana yaani ni chai yangu kila asubuhi ,respect to u mum ,karibu kenya ,I love your are voice madam,
My mum is a madam hero
She passed all this struggles to educate us and now she has everything she ever wanted
Love you Ma
Hongera nakupenda mno mpaka pamoja na wimbo wako