Hamisa Mobetto - Madam Hero (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 6 тыс.

  • @KhaletaniyaQueen
    @KhaletaniyaQueen 6 лет назад +32

    😭😭😭😭😭🙏🙏 hii nyimbo ni ya wanawake wote duniya ni maisha ya kweli wanawake wanapitiya mengi snaa duniya hii nyimbo inatiya moyo wanawake wezangu tusivunjike moyo kwani mungu Yuko Na sisi big up hamisamobetto

  • @ezekiafilbert4896
    @ezekiafilbert4896 6 лет назад +90

    nampenda xna mama ake hamisa yan hajawah muacha mwanae yupo bega kwa bega na mwanae yan mung akulinde mama mobeto uone mazur ya mwanao maana yajayo yanafurahisha ❤❤❤❤❤💕💕💕💕

  • @neemaduduma9046
    @neemaduduma9046 6 лет назад +283

    Jamn stori nzuri sauti nzuri wimbo mzuri mpka rahaa hongera saana I'm so proud of you

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 5 месяцев назад +6

    Huyu dada ametoka mbali saana Mungu Bado anampigania kika mara sasa hivi ni super Star jamaniiii ❤❤❤❤

  • @princewawaziguatz1563
    @princewawaziguatz1563 6 лет назад +46

    Wa kwanzaaaa saffiiiii mobeto
    _____ #KAZAA_MZEE_MAMAAAA 💪💪💪✔✔✔✔✔

  • @fw4030
    @fw4030 6 лет назад +64

    Lol...bi Sandra na esma wakimfukuza sweety mandale....😁😁😁😁😁pambana baby gal...am here to support you....all the way...💕💖

  • @mancankwee5740
    @mancankwee5740 6 лет назад +69

    Namuona Fantasy wako ukiwa natural 😍😍😍😍
    Unywelee kama wotee

  • @ZainabAtuli
    @ZainabAtuli 5 лет назад +17

    Hii nyimbo klasku inanilaza saa 1 za usku, masha allaah lov u soo much, jaman naomben like hata 50

  • @jojoshenhamoud2096
    @jojoshenhamoud2096 6 лет назад +22

    Yani we dada nakupenda wallah no matter whaat...watasema usiku watalala.,uuwii una sauti amaizing...naomba utoe na nyingine...love you misah 😙😙😚😗😍😘

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 6 лет назад +34

    good madam hamisa.
    +sauti nzuri
    +ujumbe mzuri pia upo.
    like kama umeielewa hii ngoma.

  • @drkaswalala
    @drkaswalala 6 лет назад +93

    Hata walio na chuki watakuja kuicklza hii nyimbo kimya kimya na watajisemea mioyoni mwao ,ameweza😎. Mungu ni wetu sote ,wabaya na wazuri wote wake! Hongera kwa kazi nzuri✌✌

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 6 лет назад +1

      Wako tele nishawaona nawajua kwa majina kutwa humtukana hamisa

    • @husnauthman7609
      @husnauthman7609 6 лет назад

      Tenaaaaa watasapot tuu

    • @antoninamusili4875
      @antoninamusili4875 6 лет назад

      Hamissa I like your attitude, our attitude towards everything makes the difference in life,your song is a true reality of true fighters, tuko nyuma yako tukipambana pia,I love your song

    • @maimunaibrahim141
      @maimunaibrahim141 6 лет назад +1

      Ameimba kilichomtokea alivyofukuzwa na MAMA dai hivyo hakubuni ameimba kilichopo alipigwa na kuacha wingi hivyo kaimba yaleyale hakuna kigeni hapo

    • @husnauthman7609
      @husnauthman7609 6 лет назад +1

      @@maimunaibrahim141 mtapsta tsbu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukimchukia mungu anampendaaaaaaaa

  • @jacquelinembanda
    @jacquelinembanda 6 лет назад +196

    Kila siku ni lazima nitazame kwa kweli imetufundisha mengi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Team Madam Hero mpo like hii video

  • @gee1993
    @gee1993 6 лет назад +56

    This song is dope !!! Mobetto hapa NATO ulifanya kazi!!!!big love from kenya

  • @kererose2742
    @kererose2742 6 лет назад +87

    This is an inspirational song,wasichana musipende njia za panya,pambaneni hata Kama kuuza nyanya mtafika mtakako Kwa kibali ya mwenyezi Mungu # dreams are valid.# God is not dead.

    • @juliegits7386
      @juliegits7386 6 лет назад

      Did she not know this when she was sleeping with Diamond? Pooh

    • @anna19805974
      @anna19805974 6 лет назад

      well said

    • @anna19805974
      @anna19805974 6 лет назад +1

      well said Kere rose

    • @maurynenazzi1430
      @maurynenazzi1430 6 лет назад

      Amen.people shud never determine our future...God is indeed faithful and Alive.

    • @kererose2742
      @kererose2742 6 лет назад

      @@anna19805974 thanks hun

  • @masondaselina4046
    @masondaselina4046 6 лет назад +26

    You made it asee bonge la video inaendana kabisa na uhalisia wa nyimbo umenihamasisha sana na nyimbo hiiii go mama mwenzangu go good job yaan cjui nikwambie nini

    • @hariethkijazi2984
      @hariethkijazi2984 6 лет назад

      Haki tena nimeangalia mara kama zooote hivi daaah Hamissa mama umeuawa na utawaanyoosha watakubali tu go go go go 🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚥🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃go baby girl we love you

  • @yourgirltee3781
    @yourgirltee3781 2 года назад +23

    This song was hamisa manifesting to the universe look five years where she is now .. she received what she claimed

  • @latifaomary605
    @latifaomary605 6 лет назад +36

    Duuuuh yaani hamisa kila nikiiangalia hii nyimbo nazidi kujifunza kitu....nimeshindwa kuzuhia hisia zangu walai 😍😘😘❤️❤️❤️

  • @imaninobertkaihula5957
    @imaninobertkaihula5957 6 лет назад +26

    Sijaona comment ya kupinga,ni wazi hii nyimbo ni funzo,inanifanya kumkumbuka sana mama angu(apumzike kwa amani)
    Like hapa show love na surpport kwa missa,she deserve it 😘😘. Ahsante sana Hamisa Mobeto!!

  • @lydiasalama7506
    @lydiasalama7506 6 лет назад +47

    The video is 🔥🔥🔥🔥!,love you Missa wangu❣❣😘..🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @audaxmagezi8216
    @audaxmagezi8216 6 лет назад +1

    kwa kwel mm kama mm nimeupenda huu wimboo keep it up my xxtr.........

  • @stressfreezoneukandahuru1657
    @stressfreezoneukandahuru1657 6 лет назад +13

    Wooow Nice song Hamisa, Sauti Mororo kwa speaker, Binafsi nimeipenda sana hii nyimbo, Pambana Hamisa aka Madam Hero

  • @amisakumwene2751
    @amisakumwene2751 6 лет назад +24

    Hamisa mama Mungu amtupi mja wake . Kazana dada utafika mbali zaidi . Kama unakubiana na MADAM HERO gonga like yako twende sawa 😍😍😍😍😍🙏🙏🙏❤️❤️💙💙❤️

    • @charitymunyoki9236
      @charitymunyoki9236 Год назад

      See God ashampanguza machozi May his name be blessed he is a true God❤

  • @cypmkutubi3109
    @cypmkutubi3109 6 лет назад +40

    Hukiiangalia hii video, ujumlishe na maneno ya Hamisa pamoja na sauti yake, hakika unaweza lia machozi japo mziki ni mtamu sana. Hongera sana Hamisa. Nimekukubali sana.

  • @salimahnadiah7592
    @salimahnadiah7592 2 года назад +11

    I love this song. Coz Hamisa truly meant what she sang here. Now look at her, she's done great for herself.

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 6 лет назад +27

    Dah yaani hadi mchozi umenitoka Hamisa umetisha usimzarau mtu kwa kumtazama usoni toa nyingine mamaaaaa tupo nyuma yako tunakusapot Hamisa

  • @brendapowers6290
    @brendapowers6290 6 лет назад +33

    @Hamisa Mobetto. keep teaching our nation being proved as a leader. Waiting for a second video we love you

    • @aishaaabdallah3505
      @aishaaabdallah3505 6 лет назад +1

      Hongera my Lv Hamisa Allh Akufanyie wepes Uzidi Zaid ya hspo😘😍😘😘

  • @princewawaziguatz1563
    @princewawaziguatz1563 6 лет назад +245

    Umezalilishwa sana
    Umeonewa sana
    Umepewa kila aina ya majina machafu lakini bado una msimamo na ndoto zako
    #NDO_MANA_NAKUBALI_HARAKATI_ZAKO 💪💪💪🆑✔✔✔✔

  • @annastaciamwaura4750
    @annastaciamwaura4750 3 года назад +1

    It's the recognition of Lupita Nyong'o for me.........you are going far girl. Just steer away from people who derail you

  • @joycealpha697
    @joycealpha697 6 лет назад +31

    Bonge moja la ngoma sauti tamuuu balahaaaaaaaa we nimkali mamaaa

  • @ruhaymahothman6412
    @ruhaymahothman6412 6 лет назад +12

    Maskini pole sanaa mama ila umenilizaaa kiukwl allah akupe ujasiri usjali maneno ya wtu kaza moyo naamin hata wanaokuchukia watakuja kiheshimu hisia zako big up mamaty💞

  • @VeroKimani-dl6rc
    @VeroKimani-dl6rc 6 лет назад +160

    Misa fans where are you guys first to watch.

  • @judithliona
    @judithliona 5 лет назад +1

    Madam hero ....Hamisa I love this song and am so proud of you sana all the way from 254....
    Tulidharaulika sana wanawake hatuwezi lolote.......acha tu watucheke but yeah tutafanya bidii.Tunapambana because we are madam heroes. Wapi Likes za mobeto

  • @jacquelinembanda
    @jacquelinembanda 6 лет назад +24

    Madam Hero huu ni wimbo wa kuonyesha. Wanawake Tunaweza kufanya jambo llt tukita @hamisa upendo 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @ismailmsuya5129
    @ismailmsuya5129 6 лет назад +16

    Kawaida majungu huwa hayajengi kitu,nakupongeza kwa wimbo wako kwani unaleta ujasiri kwa wanawake na pia kuweza kuheshimika kwa kila wawezacho kukipata kama sisi wanaume,honger hamisa
    Kama unakubaliana na mimi comment tumsapoti dada yetu🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @queengeorge5158
    @queengeorge5158 6 лет назад +141

    Alieangalia hii ngoma mara 5 Kama mm agonge like twende sawa madam hero

  • @EstherNeema
    @EstherNeema 5 лет назад +1

    Napenda tena sana. Nijisikia nimepata nguvu :) :) :) :)

  • @rosemaryauma2694
    @rosemaryauma2694 6 лет назад +20

    Mobeto you have a sweet voice,i just love it,mmmwaaah,keep it up mama fantacy

  • @princewawaziguatz1563
    @princewawaziguatz1563 6 лет назад +39

    Mama yangu anakukubali saana madam hero !!!!!
    #Tabuikopalepale 🆑✔✔✔✔

  • @gracenjeri2035
    @gracenjeri2035 6 лет назад +60

    Dopest Misa,am team zari but hii song nimeikubali tu sana...

  • @ummyyusuph1311
    @ummyyusuph1311 4 года назад +1

    Madam hero kama mama samia ...nice song misa inafundisha sana.

  • @storyzatowntz2695
    @storyzatowntz2695 6 лет назад +15

    Zari amepost nyimbo yako anaimba kwa kweri kaipenda 👏 👏 👏

  • @tumainicharles4937
    @tumainicharles4937 6 лет назад +34

    Loooh hamisa umenifanya hadi nilie humu ndani kama kuna msiba maana nalia na mwanangu analia jamn
    we love you so much
    MUNGU AKUTUNZE

  • @soniaabdull6115
    @soniaabdull6115 6 лет назад +50

    my dada hamisa ww ni madam hero...madam boss...East African sweetheart ...gonga like kama wakubaliana na mm

  • @masikasaid1373
    @masikasaid1373 4 года назад +1

    Nimelilia kweli tunzo ya mwanamke shujaa inakufaaa💖💖💖💯💯

  • @thomasmetta6479
    @thomasmetta6479 6 лет назад +22

    Mi wakiume ila hii ngoma naisikia kwa mishipa ya damu,,nzuri sana stor ya video sawa na wimbo,,na weng hukosea hapa ,,,safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @marthachubwa7380
    @marthachubwa7380 6 лет назад +33

    Hongera sana Hamisa Mobetto uko vizur ....usikate tamaa wimbo mzuri wa kuelimisha jamii

    • @mchomeester8164
      @mchomeester8164 6 лет назад +1

      Martha Chubwa kweli kabisa asikate tamaa

    • @sabrinasum3018
      @sabrinasum3018 6 лет назад

      Yah hakuna kukata tamaa nikujikaza na kuendelea achia Mola yote mengine

  • @kescha3292
    @kescha3292 6 лет назад +35

    Dah natamani ungekuwa Dada yangu najivunia sana ww Mamy love u so much

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv5574 4 года назад +2

    Yani goma ni zuri kama ulivyo mwenyewe 🔥🔥🔥🔥🎼

  • @mercynelima4241
    @mercynelima4241 6 лет назад +50

    Huu wimbo umefanya nikupende bureeee,,,,,ujube mzuri Sana

  • @wanjirawashosh1444
    @wanjirawashosh1444 6 лет назад +46

    Am so proud I knew in my heart hii ngoma by Leo itakua 200k..... This song gives me HOPE... Hamisa you are an Iron lady.. Mob love from 254

  • @zoazoatv522
    @zoazoatv522 6 лет назад +52

    Hii NYIMBO nzuri kiasi kwamba Unaweza kuwawea hata Dhamana kina Soudybrown na Mau Sama kwa kutumia wimbo huu na Ukakubaliwa....hakika mobetto unajua

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 6 лет назад +1

    Pambana Mwaya Hamisa, Allah atakufanyia wepesi,bora chafya imetoka

  • @augustinewiraka2294
    @augustinewiraka2294 6 лет назад +102

    Hamisa mobeto you never disappoint good video good setting alot of support from 254

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 6 лет назад +23

    Nice song hamisa kumbeunakua kuimba wow keep it up

  • @winnieeliud510
    @winnieeliud510 6 лет назад +14

    Hail to the Queen👑👑👑👑wanawake tupendane na tusaidiane inavo stahili🙏🙏(Tunaweza)

  • @siamoore1610
    @siamoore1610 Год назад +8

    This song really hits different……. Four years later see where Hamisa is, indeed life and death is in our tongues……. I’m proud of Hamisa

    • @jowie__
      @jowie__ 5 месяцев назад

      God is forever the greatest

  • @nyanzalakaporo4219
    @nyanzalakaporo4219 6 лет назад +25

    Hongera sana Bint Mobetto kwa kuthubutu ,
    Wanamke mwenye ushawishi mkubwa sana sasa ivi Hapa TZ kupitia nyimbo yako hii, MADAM HERO.

  • @sophiahmedza929
    @sophiahmedza929 6 лет назад +66

    Congratulations Missa, go gal go. In you I see the strength of a woman. You lead others follow.😍😍😍😍😍😍😍😍Ur the best. Madam Hero is 🔥🔥🔥🔥

  • @DeeDee_999
    @DeeDee_999 6 лет назад +25

    congratulations 🎊 @hamisamobetto 😘 excellent work 💯

  • @rosegrminder5702
    @rosegrminder5702 2 года назад +1

    Hamisa you're a big artist focus you can be our African queen. We all know isn't easy money wise to produce. Music but all you need is to keep on going.

  • @jamilayusufahmed2529
    @jamilayusufahmed2529 6 лет назад +15

    Hamisa mrembo kweli na sauti nzuri...kazi nzuri keep going gal

  • @winnieawino8128
    @winnieawino8128 6 лет назад +23

    From kenya... Hamisa can play a vulnerable role in music videos...i think she did it and am now officially a fan

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 6 лет назад +48

    Waoooooo;;;; team Hamisa mambo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 like basi 👍👍👍👍👍

  • @bellaferrer3390
    @bellaferrer3390 6 лет назад +9

    Hamisa!!! am loving it from Russia Moscow!!!! napenda this song!!! madam hero!!!...... can't stop listening to it... *wacha nipambane*

  • @stevenruhunga3677
    @stevenruhunga3677 6 лет назад +22

    Mwana harakati damn girl don't you give up.. timiza your dreams with all cause..

  • @berinkoroso9357
    @berinkoroso9357 6 лет назад +58

    Woow.. Iko sawa kwanza hiyo part 'I wanna beee! African number one fighter' lovely

  • @du6392
    @du6392 6 лет назад +19

    💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏾🙌🏾 You did it Hamisa. I am so proud of you 😘😘😘😘💃🏾💃🏾💃🏾👏🏽👏🏽👏🏽

  • @myahudi6951
    @myahudi6951 6 лет назад +1

    Dah huu wimbo mkali sana, madam hero inaweza keep it on!

  • @awinoluxurybeauty100humanh6
    @awinoluxurybeauty100humanh6 6 лет назад +29

    WOW!!! Very Proud Of You Hamisa .....Very Nice Song......Well done ...

  • @sifasifa7194
    @sifasifa7194 6 лет назад +37

    Big up to all African mamas who do anything to keep there family moving . Najivunia kuwa mmoja wao

  • @adelinasteven5841
    @adelinasteven5841 6 лет назад +28

    cjawah lizwa na wmbo wowot ila wako umeliza!! mungu akusimamie tu dada angu, ipo cku atakuinua toka mavumbini na atakuketisha mahali pa wakuu wa nchi

  • @bbycute8465
    @bbycute8465 4 года назад +2

    Hamisa upo fresh kza mwendo mama utimize ndoto zako

  • @sharonzalwango7761
    @sharonzalwango7761 6 лет назад +39

    It made me cry. The sky is the limit Hamisa.

  • @Baba-mawazo12
    @Baba-mawazo12 6 лет назад +34

    Kumbe amisa ulikuwa na vicha kipaji chako nice song dada

  • @lululivingstone8298
    @lululivingstone8298 6 лет назад +14

    Najua kitakacho fata ni zaidi fanya kazi loga wapumbavu wote wawe kenge wa blue nakupenda sana

    • @puritygakii2911
      @puritygakii2911 6 лет назад +1

      Wanarogwa na hao wenyewe uenda kwa waganga nashangaa

  • @brianochiengodhiambo8121
    @brianochiengodhiambo8121 6 лет назад +19

    Napenda kila kitu hapa sauti nzuri nyimbo imeweza elimu ndani

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 6 лет назад +36

    Hapo mwanzo ni kama diamond na familia yake wakimfukuza hamisa, kama nawe umeona hivyo gonga like

  • @michaelkichaka508
    @michaelkichaka508 6 лет назад +24

    Niece song Mama Big Up vumilia tu madam ni maisha tu ila nyimbo imeka pouw +255 Tz

  • @storyzatowntz2695
    @storyzatowntz2695 6 лет назад +18

    All the way from 250 Rwanda sijui kiswahili hila hiii nyimbo kubabayeeeee 🔥 🔥

  • @tonymnyamatv8483
    @tonymnyamatv8483 6 лет назад +142

    Stochoka kuusikiliza wimbo huu maana Unaikumbusha thamani ya mwanamke wa Africa na niheshima kwa Mama wote wapambanaji wasio tegemezi big up @Hamisa Mobeto Mwanaume hawezi kuwa mwanaume bila mama Mi nawapenda wanawake wote na🕴🕴🕴🕴kwenu.

  • @jeanneluhabanya1252
    @jeanneluhabanya1252 6 лет назад +46

    Chuki mchukieni ila haki yake mpeni jamani 🙌🙌 salut kwako madam heroin 👌👌 waliyo unlike kwanini walikuja Ku view😂😂😂

    • @Kenchiyh
      @Kenchiyh 6 лет назад +1

      Watu hawapenDi mafanikio ya watu..inasikitisha

    • @favouredblessed2335
      @favouredblessed2335 6 лет назад +1

      Jeanne29 Mie Labelle ......ask them again

  • @marthamm3948
    @marthamm3948 6 лет назад +39

    How I wish I could understand all lyrics?I like it very much .The video tells an appealing story.I salute you for honoring our South African legendary Mama Merriam Makeba and Mama Yvonne Machaka -Chuene.Yess you are a Madam Hero already!!!Keep winning!!

  • @sarahkarimi5390
    @sarahkarimi5390 6 лет назад +16

    Jamani wimbo huu unatutia moyo sisi wadada hongera sana hamisa mobeto MWENYEZI MUNGU akuzidishie

  • @richardsolomon2001
    @richardsolomon2001 6 лет назад +1

    nishaa choshwa na njia za panya hmmmmmhhhh km umeielewa hiyo rhym gonga like tunguriiiii mobe......

  • @daisyochieng4707
    @daisyochieng4707 6 лет назад +36

    my Queenie their always queening💯💯😍napenda huu wimbo

  • @chamsa7211
    @chamsa7211 6 лет назад +55

    We were quick to judge her. We never remembered that she also had emotions. We didn't know what choices she had to make in order to do what we hated so much.she is strong but the insults hurled at her are too much. Hamissa keep going girl. The past is gone and you have better days. Woman power Dada yangu

  • @mohamedally1460
    @mohamedally1460 6 лет назад +20

    Nimekuja kuiona maana ametaja majina makubwa makubwa mashaaallah .nimekuelewa pambana dada

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +2

    Acha tu nipambane wallah umenipa nguvu na hii nyimbo yako

  • @eveschannel8
    @eveschannel8 6 лет назад +28

    This girl is naturally beautiful....I just love her. Mungu aendelee kumbariki🙏🙏🙏

  • @rachelkem1698
    @rachelkem1698 6 лет назад +13

    Daam!!!!!!!this gal is flying higher go go MADAM HERO it is your time no surrender

  • @kassimali1477
    @kassimali1477 6 лет назад +14

    Kama akina King Kiba hamtoi nyimbo....tutabaki kuskiliza akina #Hamisa

  • @kimka4033
    @kimka4033 6 лет назад +25

    Hamisa samahani mdogo wangu,sintaongezaga kuskiliza iyi nyimbo,😪😪😪inanikumbushaga mteso nilipitiyaga na wanangu watatu.Heshima kwa single mother,s wooote duniani,nyinyi wooote niwa Madam Hero...

    • @estherwanjiku5612
      @estherwanjiku5612 5 лет назад +2

      Hiyo wimbo iko poa sana inapea MTU matumaini ata km tuko single mother congrats hamisa mobetto

  • @mauwam3627
    @mauwam3627 6 лет назад +142

    Misa u make me cry😭😭😭😭 team misa popote mlipo naomba likes zenu njoen tumsapot masik mwenzetu

  • @elizabethmorrison7948
    @elizabethmorrison7948 6 лет назад +14

    #madamhero is just too lit🔥🔥🔥🔥hamisa mobetto keep soaring higher and higher Honey.. This is just the beginning!!! Love from 254😘

  • @emmanuelkazimoto8096
    @emmanuelkazimoto8096 6 лет назад +17

    Good hamisa yaani sichoki kuangalia hii video kiukweli ni nzuri pía inatutia moyo sana wanawake. Wewe ni mshindi siku zote.

  • @meishaishmu1117
    @meishaishmu1117 6 лет назад +1

    nice song nakupenda live your life dia hamisa forget about mond I known u can do it..wish u Da best

  • @lindasophia1288
    @lindasophia1288 6 лет назад +20

    Umeuwaaaaah #Madamherro keep going baby were on your back 🔥🔥🤸‍♀️ nyimbo nzurii saanaa 🔥🔥🔥😍

    • @yazidumariam240
      @yazidumariam240 6 лет назад

      penda sana mpambanaji mwenzangu nakupendaga sana miss jitume usichoke wanaume wamezoeya kutuona dhaifu Sikh zote na ndo mwanzo wa manyaso miss unaweza sana kuimba unavipaji lukukuki jisimamie mungu atakuinua ishaalah

  • @josephkasyoka6713
    @josephkasyoka6713 6 лет назад +43

    From kenya Madam Hero is a good song Hamisa mobetto naipenda tu sana yaani ni chai yangu kila asubuhi ,respect to u mum ,karibu kenya ,I love your are voice madam,

  • @miskiahmed9032
    @miskiahmed9032 6 лет назад +26

    My mum is a madam hero
    She passed all this struggles to educate us and now she has everything she ever wanted
    Love you Ma

  • @leahemmanuel9512
    @leahemmanuel9512 6 лет назад +2

    Hongera nakupenda mno mpaka pamoja na wimbo wako