@@issaskighanga3199 hhahahahha ila kiasi imenitoa machozi maisha yanatufanya tupitie mambo magumu sana hata ya hatari ili tu mkono uingie kinywani daah
Hii inaelmsha kua vle utaamn ushrikina ndvyo utakupeleka wenye Iman ndogo ndo uamn ushrkna kwel uchawi upo but hatupaswi kuacha kuamn msaada wa Mungu 🙏
Kama unajua kabisa kicheche ndo comedian mwenye views weng kwa muda mfupi EAST AFRICA GONGA LIKES NYING
Kwa mala ya Kwanza kicheche anatoa machozi tena akiwa serious duuuh😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Yanini nimecheka xna mbwa yule kajifanya serious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@issaskighanga3199 hhahahahha ila kiasi imenitoa machozi maisha yanatufanya tupitie mambo magumu sana hata ya hatari ili tu mkono uingie kinywani daah
@@sophishebby6274 hahhahha
Mmmh,,,,huyu mwamba anatry uwitch doctor
Mbona Kawimbo ni Kazuri Kicheche Anatoa Mizim na Majina Nauchawi
Wavyo Itikia Kawimbo Kazuri Sanaaa
Kama ulifatilia kw live gonga like ata mtu kumi😂😂much love from kenya ❤❤❤❤
likes unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba 😏
Mwamba kicheche haji kutokea mtundu kama kicheche huyu ni boss wa comes biggap sana kicheche.
Kama unampenda kicheche...weka likes zako apa..
likes unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba 😏
Nakubali mbwa wewe
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Baba wemkali kabisa
Hadi yaani
Nakubali sana kicheche ni nomaaa
hahahahah mganga walioba
Kicheche 💖💖💖💖💖nagupenda sanaa kicheche nik murundi
Number 2 on trending duuuh kicheche wamoto
❤❤❤Hii Kali kuliko zote..... Lambalamba pumbavu zako
Kicheche katoa chozi kwa mara ya kwanza,,,,,nipeni likes zangu jameni fan namba moja toka 🇰🇪 kenya
likes unazipeleka wapi kenge wewe?
peleka ushamba Kenya huko😏
Kamdudu ww
Uko smart mammy ❤❤❤❤
Hapo kwa kunyoa ndio utajua kabisa hii crew iko serious 🔥🔥🔥mashaallah 🎉
Najiuliza huyo mama alikubali vp kunyolewa kirahisi hvyo🤣🤣🤣
Wallh apo kumbe wako srius mzee wa wenyew kanyolewaa😂😂😢
@@rosellaabraham13 I like kicheche
@@rosellaabraham13 I like icheche
😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@rosellaabraham13
Mimi nampenda kicheche san kwel kama na wewe unapenda comedy zake nisaidie ku like ❤😂😂😂
Me piah napend like zak
I love this lady...oomy!!!the way she brings her emotions wow,you ate on dope girl
Daaaah ndugu yangu kicheche wahenga walisema ukisitajabu musa basi utayaona ya filauni hahahaha 🤣🤣🤣
Wenye tumeshika rythim ya wimbo Tia like😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 hatari ,mi Adi sai na imba tu
😂😂😂😂
Yeah
I can't unhear it again 🫢😂
Wa Tanzania 🇹🇿 you’re the best fam🥰 love from Rwanda 🇷🇼❤️😁
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Kicheche ni kiboko yao
9o99o9ooooòooooiiiijuhhhjjjjkooii⁸⁸⁰ìo⁸ì⁸òò⁹ⁿp0000999998uooqqoooio11 9
Kicheche ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ from USA
Kicheche kalia for the first time 😹😹 Napenda
Hii inaelmsha kua vle utaamn ushrikina ndvyo utakupeleka wenye Iman ndogo ndo uamn ushrkna kwel uchawi upo but hatupaswi kuacha kuamn msaada wa Mungu 🙏
Kichecheee❤❤❤❤
Jamani kwanza mimi nacheka kabla sijatazama 😂😂😂😂 anatowa bazimu anatowa uchawi
Kalibu mganga njoo ufanye kazi yako dar ira nmecheka
Mganga Kicheche Walioba 😂
LAMBA LAMBA 😅
Mganga wa rioba kicheche noma Sana twende nalo na likes hapo 👍👍
Wangap 2meshika rythm ❤❤❤❤
This comedy team I really salute them❤❤
Umbwa wewe wa congolais tuna kukubali sana bumbavuzako
Maskini bibi wa watu so poa kabisa 😂😂😂😂
ZUWENA WA BUZA KWA MPALANGE
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Kitu ipo on trending namba 7❤❤❤❤❤ 🔥
@kicheche
i like how the crowd is responding, love from Kenya
😂😂Yes! The best
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Nimetabasam Kumuona Kicheche na Kucheka Kwa Mbali na Wimbo Wake Mzuri
MBONA KAMA UWO UCHAWI ULIWUEKA MWENHEWE MAANA UJAKAWIYAA☯️🎒🎒
kicheche siku moja utaja niua 😂😂😂😂 hivi ulitoroka ukafika wapi 😂😂😂pumbavu zako
Umbwa mm lambalamba
Kumbe kicheche una sura nzuri ukitulia
Kama umeanza ucheka babula ya kuangalia tujuwane hapa
Nmecheka balaa
Hhah
Hahahahahahahhagagagagagagagagaga
a'm the one
Jama noma.
😂😂😂😂😂😂 mganga kicheche anatowa uchawi anatowa majini 😂😂😂
Tanzania first ♥️ I Love you more from Rwanda.
So kicheche can cry, pumbavu zako kicheche🤣🤣🤣
Mmmh kwelly hii Kali
Watching from Kenya like u kicheche 😊😊 ronga kabisa
Iyi 😅ni kali sana mbwa we Kazana sana 😂❤❤ like 👍 apa 😊
huyu dada nampenda tu kwasababu analia....
Jamanii kicheche Ana weza anaye mu kubalii a like
Following from kenya gonga like
Kumnyoa mtu kipara sio Jambo dogo Tena mwanamke, kicheche you're the best
aiseeee kwa mara ya kwanza naona choz la kicheche😁😁😁😁
Dah jmn sawaaaa
Kicheche umenikumbusha mbali sana suala la lambalamba Ila walikuwa na balaaa
😂😂😂 nmeanza hvi na nkamaliza hvi😂😂 the best actor who always make my days 😅😅
Mchawi doko anakomexha waganga hahahahaha ❤️♥️❤️♥️😍🤩😘🥰🥳
Aaaaa kicheche on fire dadi
😂😂kicheche utatuuwa😅😅
Much love from Kenya Moore ❤
ZUWENA WA BUZA KWA MPALANGE
Kicheche ni moto wa kuotea mbali
Jitahid boy go on respect you👏👏
Uyu kicheche anaweza kuwa mwehu kweli huyu😁 apimwe akili
From KANAIRO Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🤣🤣🤣🤣🤣 kichecheeeee warioba mganga wa mchongo daaah!!! Kile kipala Cha yule Bibi kicheche alivomuonesha kioome hoi😂😂😂
Vai and kicheche miamia nawakubal sana 🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤ umeweza kicheche
😂😂😂😂hiiii kali yao
KichEchE Big Up 💪💪
Hahaha 😂😂😂😂🎉 salute
Aaaaaa mbwa kicheche ni mwamba hatariiiiiii
nimecheka Kwa sauti Sana 😁😁kicheche unajua Kaka 💥💥💥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila kicheche jmn m nakupenda jmn
😂😂😂😂😂😂 Nilianza kucheka ata kabla sijaanza kuangalia. 😂😂😂😂
Kicheche wee namakoti utakuja niuwa ,mlishoot jana mnaact leo hongera nyote😂😂❤
Weweeeee,mbwa lambalamba nakupenda🤣😂😂🤣😂from 254,hatukuachi kijana mpka ufe mbwa wewe
duh , yani wamemnyoa mama wawatu kipara kiukwelikweli 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Hatar
😂😂😂🤣🤣nmecheka Mpka basi
Dah co poa😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Kichehe unatisha sana mwanangu we fundi sana
Kicheche buaaaana 😂😂😂😂,mganga warioba
Pumbavu zako ukae trending namba moja
Watu wa Buja257🇧🇮ndabasavye tumenyane mumpe like twereke love Kicheche😆😆😆
Turahari
😂😂!kicheche ananikumbusha Kanumba!kazi nzuri
Kimewaramba juu ya kumnyoa huyo mama😂
Mganga kicheche mbwa mm unanifulahisha sana😀😀😀😀😀😀😉
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅aki ubwa weeeehh nakupenda tu aki
Nimepeda uyooo dada anavoria 🎉🎉❤❤❤❤
Wewe kicheche haha mpaka warioba
Kuona tu picha ya kicheche naanza kucheka,😂😂Umbwa Mimi,
Wakenya tujuane kwa likes.
👇👇
Kicheche me unanifraisha na uo mdomo wako babuuuu unachekesha unavoufany
😅🤣🤣🤣nimecheka kwa sautiii aseee
Eee jaman mbavu zako kicheche wewe😂😂😂😂😂🤣🤣
Wewe kicheche utaniua mm am your biggest fan from kenya😊
History nzuri daah
Oya mganga katimkaaa hahahahahaha
Hyu vai anajua jaman
Hahaaaaaa et rudisha nywele zangu,,, apo umetisha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kicheche noma sana😂😂😂
Dadaa anajua mnooo
So funny😂😂😂
Nipo 🇶🇦 Qatari nikiwaga na Mawazo namcheki huyu kichehe pumbavu zakeee❤❤
..msenge sana 😜😜wee mtoto mambo za kwetu swsx
Huyu bibi wa kicheche is the lady I like the most,the best in kicheches drama
Siyo sir nimechka sana nakuomba siku moja nami niwe comedian
Congratulations 👏
Kicheche congratulations 🎉you are the best comedian in Tanzania 🇹🇿
Kicheche acha tamaa ona ulivo uponza 😂😂😂😂🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😂 Estamos juntos
Jamaa anapanda kwa kwas Sana movie inaingia ONTREND Kama vile NYIMBO ata nyimbo zingine huwa haziingii Ontrend
Namkubali bregediya
Ametisha sana mganga kicheechukua kia2 hicho zawadi kutoka kwa nicholaus lazaro