she bursted into tears and cancelled their upcoming wedding after learning he was her father😭😭💔💔😭😭😱

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 229

  • @johnmeshack4431
    @johnmeshack4431 5 месяцев назад +53

    Ndyo maana mungu amekasirika mpka anatuma mvua ya maafa ee mwenyezi mungu tunaomba utuhurumie❤❤❤

    • @loyalgi9326
      @loyalgi9326 5 месяцев назад +3

      Ahki dhambi zimekuwa mingi sana hadi God amekasirika na ss kabisaa

    • @ruthkiende1225
      @ruthkiende1225 5 месяцев назад +3

      I agree 💯

    • @BeatriceMwaura-lg6ru
      @BeatriceMwaura-lg6ru 5 месяцев назад +1

      Nakubaliana na wewe kabisaaa wasichana na wababas vijana mama Rika ya mamakeGod have mercy on us pls

    • @AnnitaShazz-l5h
      @AnnitaShazz-l5h 5 месяцев назад +1

      Aki skuizi watu Whawana huruma

    • @BariisSamatar
      @BariisSamatar 5 месяцев назад +2

      Kabisa bro watu fikiri hata SUBHANNALLAH

  • @Kathiora
    @Kathiora 5 месяцев назад +22

    Kenya imekua wazìii kuliko SONDOM NA GOMOLA, who comes una date your daughter ,,wanaume kujeni hapa mtuabie kama unaweza pata mtoi and then unakosa kujua mtoto wako aje 🤷‍♀️🤷‍♀️sasa

  • @JoyceMugambi-s8g
    @JoyceMugambi-s8g 5 месяцев назад +12

    This is disgusting 🤢..These are the type of people who has made God to be furious with kenya😢😢. Look at the floods, road accidents and fire.. death everywhere..Oh God pls forgive us and deal with the real culprits 😢😢

  • @safarivahocha8077
    @safarivahocha8077 Месяц назад +2

    Eti ameweka ikaingia akatoa, wee Jay unaongea matusi😂

  • @judylyne1728
    @judylyne1728 5 месяцев назад +7

    Jays vile usoma message it's like hajui kusoma stammering kwa kila word......inafanya Hadi show ina'bore.😮😮😮😮

    • @Giftie077
      @Giftie077 2 месяца назад

      Uende kuwe msomaji ,, wachana na jay bana

  • @annwangari7626
    @annwangari7626 5 месяцев назад +20

    Ata kama mlifanyana na mama yake bona u revenge na mtoto aki.evil man

  • @FlorenceMokaya
    @FlorenceMokaya 5 месяцев назад +14

    Same thing imejirudia ile ya mercy 😢😢😢

  • @MetrineNyongesa-f6s
    @MetrineNyongesa-f6s 5 месяцев назад +13

    Jay ukipata SMS uwe ukisoma haraka halafu Mtu akikufuata usimwambie acha tusome

    • @elinaoneya7532
      @elinaoneya7532 5 месяцев назад

      That's why i like dave angekuwa asha soma mbio kaa type ratter

  • @monicahnjeri270
    @monicahnjeri270 5 месяцев назад +7

    Eeeee ndiyo mungu amekasirika juu ya hii mambo baba analala na mtoi wake then wazazi Wana uza watoi uliminat then wanashikana na watu wa serikali😢😢😢

  • @rosenyangolo8009
    @rosenyangolo8009 5 месяцев назад +6

    This man is wicked and cursed you can't revenge na mtoto wako😢

  • @MamaPrince-kd9cw
    @MamaPrince-kd9cw 5 месяцев назад +31

    Jay you take too long when reading.....

  • @Ashinagaltoto7876
    @Ashinagaltoto7876 5 месяцев назад +5

    Jay try to read text quickly..even the owner of the phone can take it before you finish reading..

  • @annahkariba-ux2hh
    @annahkariba-ux2hh 5 месяцев назад +2

    Skuizi mademe badala wasikize wazeee wana lala nao😢😢

  • @CrsAlzaid
    @CrsAlzaid 5 месяцев назад +6

    Madem wa nairobi mnapenda sana wababa ndomana mnalala na babazenu bila kujua

    • @ruthwanjiru-gy2ro
      @ruthwanjiru-gy2ro 5 месяцев назад +2

      Ukweli hawana adaabu

    • @CrsAlzaid
      @CrsAlzaid 5 месяцев назад +4

      @@ruthwanjiru-gy2ro kwanza hawana mapenzi pesa ndio wameka mbele sana

    • @saidahanyango7521
      @saidahanyango7521 5 месяцев назад

      Hapo umesema ukweli 😢

  • @Faith-cu7ff
    @Faith-cu7ff 5 месяцев назад +12

    Unajuwa ndio maana God anakasirika na ss juu hizi vituko zimekuwa mob sana nowadays 😢

  • @charitywangeci4846
    @charitywangeci4846 5 месяцев назад +3

    Waaa story ingine imejirudia Kaa ya mercy mtoto wa shush

  • @mercywambui6392
    @mercywambui6392 5 месяцев назад +5

    Jay, kucheka na Ku yown No1

  • @CatherineGathukumi
    @CatherineGathukumi 5 месяцев назад +5

    Ghai is this real fr sure n that's why we are sinking in floods 😭😭

  • @PhilicianSaid
    @PhilicianSaid 5 месяцев назад +2

    Gaiiii ndio manake God amekasirika na sisi maruriko yanazowa watu kuzowa oooh my God

  • @Marry-u8m
    @Marry-u8m 5 месяцев назад +6

    Dio mana mungu ame leta mvue nyingi sana

  • @cucuturuganojoanwanjiku4227
    @cucuturuganojoanwanjiku4227 5 месяцев назад +1

    Jay leo look imeweza wagapi mme note look iko top😂

  • @EuniceTemba
    @EuniceTemba 5 месяцев назад +10

    Story ya Mercy and Ngare.

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 5 месяцев назад +11

    Direct jy rudi shule kwanza ujifunze kusoma maana naonaunsfosi tu hujui nini unasoma kamavile unatupotezea time unakohoakohoatu na kujin'gata ulimi msenge wewe

    • @loseeal3440
      @loseeal3440 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @gracemwangi861
      @gracemwangi861 5 месяцев назад +1

      Sasa bona umtusi jameni

    • @Lzzlzz-k3m
      @Lzzlzz-k3m 5 месяцев назад

      Texts za mtu mwingine si rahisi kusoma haraka

    • @saidahanyango7521
      @saidahanyango7521 5 месяцев назад

      Mbona umtusi we ndo msenge kumbe

    • @maryaluda6180
      @maryaluda6180 5 месяцев назад

      ​@@Lzzlzz-k3m e͓̽x͓̽a͓̽c͓̽t͓̽l͓̽y͓̽

  • @eliasnjuki5508
    @eliasnjuki5508 5 месяцев назад +6

    Kwani Jay hakuenda Shule ,,, you are just stammering,, confusing us as comments readers

    • @mollyvanessa6554
      @mollyvanessa6554 5 месяцев назад +1

      It’s nor Jays fault to read like that go google that is termed as dyslexia.

    • @gracemwangi861
      @gracemwangi861 5 месяцев назад +1

      Wewe ndiye uko confused

    • @eunexoproducts9145
      @eunexoproducts9145 5 месяцев назад

      Kua na heshima,, Jay si mtoto wako

    • @jacklinengigi2250
      @jacklinengigi2250 5 месяцев назад

      Si uondokee tu ,channel ni mob please

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 месяцев назад +3

    Huyu jamaa kafanana na dakitali wa P.L mpaka kofia yake Atujasikia chochote mwisho sauti Akuna director J 😂😂😂

  • @petronilanaira3855
    @petronilanaira3855 11 дней назад

    Wueh! jay hautaki kuona mapenzi anywhere 😂😂😂😂

  • @princessnancylaela5083
    @princessnancylaela5083 5 месяцев назад

    This man is cursed.i thought it's cz the mother cheated live on him kumbe ni ujinga😢

  • @janetanyona8243
    @janetanyona8243 5 месяцев назад +3

    the more nawatch huyu mjinga the more mvua ya kwetu inaongezeka

    • @Lzzlzz-k3m
      @Lzzlzz-k3m 5 месяцев назад

      Nani amekwambia uwatch

    • @omonyimogori852
      @omonyimogori852 5 месяцев назад

      Umefosiwa na nani uwatch matako wewe

  • @sofiaogega950
    @sofiaogega950 5 месяцев назад +1

    Huyu demu ameona demu mwezake hadi akasema wow😂😂😂

  • @nyokskinyah8246
    @nyokskinyah8246 5 месяцев назад +1

    Waaa. Wicked n cursed man how cn u do that to ur own dota surely. Mchawi mkubwa

  • @mbzoboy
    @mbzoboy 5 месяцев назад

    Director Jay haki siwezi kubali uni sogelee nikiwa na mke wangu unable vunja ndoa ww

  • @SiaCollins
    @SiaCollins 5 месяцев назад +1

    J ukisona sms kuwa kama stano bhana hadi unanyanyanywa. Sm

  • @gladysmueni2534
    @gladysmueni2534 5 месяцев назад +1

    Director J you are doing great br.but you are taking so much time to read the texts

  • @matildamati9222
    @matildamati9222 5 месяцев назад

    Long time not see Bella she has trim down sana waaii

  • @janewambui6608
    @janewambui6608 5 месяцев назад +1

    Jay ni kama your reading skills are going down. Work on that please.

    • @Karenwema
      @Karenwema 5 месяцев назад

      😅😅😅

  • @YvianneKemuma
    @YvianneKemuma 5 месяцев назад +2

    Huyu mama na vile ni mkubwa hivi amevaa nn surely

    • @johnmburu4983
      @johnmburu4983 5 месяцев назад

      Mlishaa sema my dress my choice Sasa tukiona hamjafaa poa unatoa macho yako hapo

  • @mwaurakamau8548
    @mwaurakamau8548 5 месяцев назад +1

    So amekuwa akikula mtoto wake? A very evil man

  • @josphinekimando
    @josphinekimando 5 месяцев назад +2

    Side hen Ako after money ananyosh tu kwa mbabaz

  • @ndichuwanjiru4856
    @ndichuwanjiru4856 5 месяцев назад +1

    Aki ndio mungu amepiga watu na mvua kenya njuu watu wamekosea

  • @janewashe7276
    @janewashe7276 5 месяцев назад +1

    Kay na wewe pia unachoka akili si usome tu haraka ndio utamu ishike vzr

  • @SokinaChapia
    @SokinaChapia 5 месяцев назад

    Jei please fatilia hyo story hyo mwanaume afungwe maisha

  • @susanaseyonyundo9689
    @susanaseyonyundo9689 5 месяцев назад

    Mimi hushangaa na kikuyu men wanapenda kulala na watoto wao sanaaa i wonder why mtu aniibie siri but it's not right

  • @TeacherLiliankanyuira
    @TeacherLiliankanyuira 5 месяцев назад

    Jay, kindly improve on speed ya kusoma texts.

  • @wambuiannah1034
    @wambuiannah1034 4 месяца назад

    Jay wewe nawe utakoza wateja si usome firster unaboesha

  • @veronicanyambura1823
    @veronicanyambura1823 5 месяцев назад +1

    Yawning is a habit which means is a disease....director hauwezi kaa bila Yawning coz ashaa zoea

    • @johnmogeni5579
      @johnmogeni5579 5 месяцев назад

      Yawning is a result of the type of food he is taking

    • @faithnduku7292
      @faithnduku7292 5 месяцев назад

      😂😂😂

  • @BariisSamatar
    @BariisSamatar 5 месяцев назад +3

    Jay wacha kicheko sas zingine

  • @maryngatia2362
    @maryngatia2362 5 месяцев назад +2

    Imgn nilisema kwanza mungu amekasirika na wakikuyu wetu mnaweza ona naongea uongo.mkikuyu ndiye analala na mtoto wake.mama analala na mzee wa mtoto wake.father in law analala na bibi ya kijana yake na wanazaa mtoto bila uoga.sasa wakikuyu wetu bona hivo

    • @karanjagladys1827
      @karanjagladys1827 5 месяцев назад

      True ata ulisahau adi nakimila yetu

    • @Lzzlzz-k3m
      @Lzzlzz-k3m 5 месяцев назад

      Wengine ndio Hao na kilemba kimeombewa kwa bar,makucha rangi na ukora mingi aki wagikuyu

  • @doreenogola
    @doreenogola 5 месяцев назад

    Kama ni revenge ukimwi ipo believe me

  • @GladnessJustine
    @GladnessJustine 5 месяцев назад

    Ivi we jay mic zako zina shida gani???hii ni mara ya 2 unnajisomea vitu mwenyewe si atuskii chochote

  • @carolinengugi-w3l
    @carolinengugi-w3l 5 месяцев назад

    They will marry after 2 wks na bado hajampleleka kwao

  • @queenjane5024
    @queenjane5024 5 месяцев назад

    But huyu msichana ni wa huyu jamaa kabisaa,he looks exactly kama yeye

  • @ElizabethMitesh
    @ElizabethMitesh 5 месяцев назад +1

    Take him to Court. Incest is a crime

  • @jfjkfk6599
    @jfjkfk6599 5 месяцев назад +1

    Jay soma sms atakama wanapiga kelele SI tutasikia.

  • @ArymerJoy
    @ArymerJoy 5 месяцев назад

    Wedding na hajampeleka kwa mom that's why mungu hayuko happy

  • @mamaadiel2742
    @mamaadiel2742 5 месяцев назад +1

    Lakn wanafanana pia😂😂

  • @isoemoreen1026
    @isoemoreen1026 5 месяцев назад

    Jay vibe Iko juu🔥

  • @everlyneopaye2277
    @everlyneopaye2277 5 месяцев назад +1

    Wamama onyesheni watoto kwao na mababa zao hata kama hawataishi huko

  • @violetoketch
    @violetoketch 5 месяцев назад +1

    Mwanaume mjinga sana mtoto wako

  • @AnnitaShazz-l5h
    @AnnitaShazz-l5h 5 месяцев назад

    Inaitwa love na ni mtoi wake 😢

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 5 месяцев назад

    Aki hii dunia imeisha àki 😢yani baba ana revenge na dota alafuu tuseme mungu hatakasirika atumalize na maji very painful

  • @Liz-nje
    @Liz-nje 5 месяцев назад

    Ngai anakula kuku n kifaranga sense kairitu hio ndio dawa ya kukuliwa n wababaz🤣😂😂😂

  • @selinanjoroge9592
    @selinanjoroge9592 5 месяцев назад

    But I think it's not good kukuta mtu kwa hotel kumusumbua

  • @GladnessJustine
    @GladnessJustine 5 месяцев назад

    Kwani we J uwezagi kusoma message haraka haraka mpaka unanyan'ganywa simu ujamaliza kusoma

  • @ZawadiDorine
    @ZawadiDorine 5 месяцев назад

    Jay stop delaying while reading 😂😂😂😂😂🎉😂🎉😂😂😂😂😂 banna

  • @MonicaGloria681
    @MonicaGloria681 5 месяцев назад

    Jay unabow get a good reader ..unakawia na simu n keeping us in suspense

  • @mosesmudavadi9668
    @mosesmudavadi9668 5 месяцев назад

    The waiter knew what was coming next and she warned them not to break things 😂😂😂

  • @saidahanyango7521
    @saidahanyango7521 5 месяцев назад

    Io ndo results za wababaz wenye mnakulwa n wababaz hao n wababa wenuu😢😢😢😢. ndo maana hawakuataka kusema ushags kwao

  • @zipporahkiawa8862
    @zipporahkiawa8862 5 месяцев назад +1

    They look alike guys

  • @maryngatia2362
    @maryngatia2362 5 месяцев назад

    Imgn hapa kisii mama make hawezi ingia Kwa nyumba ya msichana wake hivi hivi but Mkikuyu father in law ana dose Kwa kitanda ya kijana yake wa dose na bibi ya kijana proper

    • @MaryWaithera-l2d
      @MaryWaithera-l2d 4 месяца назад

      Am a kikuyu na sijawai skia hivo unless ni wachawi we also have our respect

  • @JanetKenyatta
    @JanetKenyatta 5 месяцев назад +1

    Ujaribu kujifunza kusoma araka msg juu unaeza nyanganywa kabura tusikise udaku

    • @GladnessJustine
      @GladnessJustine 5 месяцев назад

      Kabisa ana boo,,,,anatupa umbea nusu nusu

  • @Liz-nje
    @Liz-nje 5 месяцев назад

    Hapa lazima kuna mwenye anacheat🤣😂😂😂

  • @Mieye788
    @Mieye788 5 месяцев назад

    This is just the beginning why God is angry next ni watu wauwane wenyewe kwa wenyewe after this rain until watu wa repent

  • @janewaithes5183
    @janewaithes5183 5 месяцев назад

    Mercy na Mamake ndio hao Tena wamerudi

  • @maryngatia2362
    @maryngatia2362 5 месяцев назад +1

    Sasa bona sauti ya hii inapoteanga place tamu

  • @Hannah-t2s9e
    @Hannah-t2s9e 5 месяцев назад

    Jay nawewe hutakangi kuona watu wakipeana mate unaona kazi😂😂😂

  • @isoemoreen1026
    @isoemoreen1026 5 месяцев назад

    Waaah 😢God have mercy on us

  • @nancymoraa6491
    @nancymoraa6491 5 месяцев назад +1

    I don't want peace l want problem always

  • @ndichuwanjiru4856
    @ndichuwanjiru4856 5 месяцев назад

    Jay unanjua kutafuta content aki.

  • @purityruwa6536
    @purityruwa6536 5 месяцев назад

    Huyu mtu hata ni wa kufa kabisa, hana maana yoyote

  • @rukikangambaclara
    @rukikangambaclara 4 месяца назад

    Nyinyi ndio mnaleta shida ya mvua

  • @AnnitaShazz-l5h
    @AnnitaShazz-l5h 5 месяцев назад +1

    Wamevaa green wote

  • @JoyceMugambi-s8g
    @JoyceMugambi-s8g 5 месяцев назад

    Si huyo mwanaume agongwe na gari akufe?😨

  • @matildamati9222
    @matildamati9222 5 месяцев назад

    Why kenyans mnampenda kusema this word ike like everything like like why si mtu anyooshe sentence its boring

  • @stacymutua7401
    @stacymutua7401 5 месяцев назад

    We have seriously sick, how can a man take revenge on his child yet he is supposed to protect her...saitan

  • @Sarah-iw6cg
    @Sarah-iw6cg 4 месяца назад

    Jay kavunja ndoa😂😂😂😂😂😂😂

  • @marynasim2615
    @marynasim2615 5 месяцев назад

    Jay wew ni vibe ❤❤

  • @wambuiannah1034
    @wambuiannah1034 4 месяца назад

    Hamuoni hata wanafanana jameni kuisha sisi

  • @davidnjeru7606
    @davidnjeru7606 5 месяцев назад

    Sue that guy, that's incense.

  • @karisgaitho1972
    @karisgaitho1972 5 месяцев назад

    Jay u struggle na kusoma bruh what's up!

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 5 месяцев назад +1

    Story ya mercy imerudi

  • @ruthuyoma
    @ruthuyoma 5 месяцев назад

    Ndugu yuko royol soma 😅😅 dunia inaisha

  • @chemutaijaneth568
    @chemutaijaneth568 5 месяцев назад

    Hawa wambea wenzangu wanashangilia hapo😂😂😂😂😂

  • @MourineLipwiko
    @MourineLipwiko 5 месяцев назад

    Dunia inaelekea wapi surely?

  • @Simeonfbitv
    @Simeonfbitv 5 месяцев назад

    I'm waiting for the 💔

  • @annnjerinjeri
    @annnjerinjeri 5 месяцев назад

    hawa ndio wanafanya mungu atumalize na maji

  • @charitymumbi6088
    @charitymumbi6088 5 месяцев назад +1

    Ile time utasikia ati "i trust him /her lazima kitaumana

  • @petronilanaira3855
    @petronilanaira3855 11 дней назад

    They look alike

  • @lucita2009
    @lucita2009 5 месяцев назад

    Kwanini ulinyonga sauti kutoka 43:03 minute hatusikii anything

  • @chemutaijaneth568
    @chemutaijaneth568 5 месяцев назад

    Ile dhambi iko kenya ata mungu amejam

  • @bikoflavious2903
    @bikoflavious2903 5 месяцев назад

    😅😅😅😅😅😅
    Ghai yaaani una kula na kifaranga