KIMENUKA TUNDUMA: Mkuu wa Mkoa Aagiza Maafisa wa Serikali Kukamatwa,Mmezoea Kutafuna Fedha"BILIONI 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • RC MGUMBA: Afanya Maamuzi Magumu TUNDUMA, Aagiza Maafisa wa Serikali wa Halmashauri ya Mji wa Tunduma Kukamatwa Mara moja Kisa Kutafunwa kwa BILIONI 1
    #Tunduma #Songwe #Tanzania #Ujenzi #Kimeumana ##live #ccm #ccm #dc #raistarlive #ukraine #urusi

Комментарии • 21

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 2 года назад

    Job we need

  • @carolinekayinga6621
    @carolinekayinga6621 2 года назад +1

    Mkuu wa mkoa wangu nimekupenda bure laiti angekuwepo na mjomba magu kwa kweli mngemech upo safi sana '.kwa utawala huu wa sasa watu wanapiga sana pesa bila huruma.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 года назад +1

    Mkuu upo vizuri sana,
    Ikikupendeza tupe mawasilino tuwe tunakutonya panapobidi.

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 2 года назад

    Hawa wazalendo wako wapi

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 2 года назад

    Wakuu wa mikoa wengine inamaana mikoa yenu iko salama🤔.. sio kilakitu tumuachie wazili mkuu na mama tu..

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 2 года назад

    Mkuu wa mkoa wa songwe ni jembe hayo ni majizi takukuru wawakamate

  • @sammyibrahim6654
    @sammyibrahim6654 2 года назад +1

    Hii serekali kusema ukweli wamekuwa wapigaji tu sana,hakuna maendeo sasa hivi kama wakati wa magufuli ukweli usemwe

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 3 месяца назад

    Wezi sana ondokeni sasa mmezidi

  • @mohamedkidamiharo4887
    @mohamedkidamiharo4887 3 месяца назад

    Tunataka viongozi kama hawa

  • @lulenziku1238
    @lulenziku1238 2 года назад

    weka ndani hao wamejenga nyumba zao

  • @saidmwalukope9205
    @saidmwalukope9205 2 года назад

    Hiyo ndio ccm bhana uizi ni fani yenu

  • @justinekashililika6329
    @justinekashililika6329 2 года назад +1

    Mkuu wa mkoa tunashukuru, walitaka wamkwamishe mkurugenzi hao Asante kwa kulitambua Hilo wamekwama wenyewe chapa Kaz mkuu wetu wa mkoa

  • @deusmhapa2400
    @deusmhapa2400 2 года назад

    Safi mkuu

  • @directornyambi9888
    @directornyambi9888 2 года назад +1

    Ukuu wa mkoa anaupiga mwingi🤣🤣

  • @mohamedkhamisali6535
    @mohamedkhamisali6535 2 года назад +1

    Safi sana

  • @husseinmaula5914
    @husseinmaula5914 2 года назад

    Huyo jamaaa unasema waondoke nae anakuangalia Kwa zarau alafu anacheka kana kwamba anajua anakwenda then atarudi serikali inabidi iweke Sheria Kali Kwa wahujumu uchumi.

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 2 года назад

    Hivi watumishi wengine wakoje hao nchi kama China Korea wanachukuliwa kama wasaliti wakubwa maana wanakwamisha maendeleo taifa letu ni tajiri sana lakini kuna watu wanatukwamisha sana

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 2 года назад

    Mheshimiwa safi sana watanzania tuna imani nawewe MUNGU awe pamoja na weww

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 2 года назад

    Asante! Endelea tutafika tu

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 года назад

    Ya

  • @nkafumedia
    @nkafumedia 2 года назад

    Safi