KIMENUKA TUNDUMA: Mkuu wa Mkoa Aagiza Maafisa wa Serikali Kukamatwa,Mmezoea Kutafuna Fedha"BILIONI 1
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- RC MGUMBA: Afanya Maamuzi Magumu TUNDUMA, Aagiza Maafisa wa Serikali wa Halmashauri ya Mji wa Tunduma Kukamatwa Mara moja Kisa Kutafunwa kwa BILIONI 1
#Tunduma #Songwe #Tanzania #Ujenzi #Kimeumana ##live #ccm #ccm #dc #raistarlive #ukraine #urusi
Job we need
Mkuu wa mkoa wangu nimekupenda bure laiti angekuwepo na mjomba magu kwa kweli mngemech upo safi sana '.kwa utawala huu wa sasa watu wanapiga sana pesa bila huruma.
Mkuu upo vizuri sana,
Ikikupendeza tupe mawasilino tuwe tunakutonya panapobidi.
Hawa wazalendo wako wapi
Wakuu wa mikoa wengine inamaana mikoa yenu iko salama🤔.. sio kilakitu tumuachie wazili mkuu na mama tu..
Mkuu wa mkoa wa songwe ni jembe hayo ni majizi takukuru wawakamate
Hii serekali kusema ukweli wamekuwa wapigaji tu sana,hakuna maendeo sasa hivi kama wakati wa magufuli ukweli usemwe
Wezi sana ondokeni sasa mmezidi
Tunataka viongozi kama hawa
weka ndani hao wamejenga nyumba zao
Hiyo ndio ccm bhana uizi ni fani yenu
Mkuu wa mkoa tunashukuru, walitaka wamkwamishe mkurugenzi hao Asante kwa kulitambua Hilo wamekwama wenyewe chapa Kaz mkuu wetu wa mkoa
Safi mkuu
Ukuu wa mkoa anaupiga mwingi🤣🤣
Safi sana
Huyo jamaaa unasema waondoke nae anakuangalia Kwa zarau alafu anacheka kana kwamba anajua anakwenda then atarudi serikali inabidi iweke Sheria Kali Kwa wahujumu uchumi.
Hivi watumishi wengine wakoje hao nchi kama China Korea wanachukuliwa kama wasaliti wakubwa maana wanakwamisha maendeleo taifa letu ni tajiri sana lakini kuna watu wanatukwamisha sana
Mheshimiwa safi sana watanzania tuna imani nawewe MUNGU awe pamoja na weww
Asante! Endelea tutafika tu
Ya
Safi