SINA HATIA - 5/11 (Season II) SIMULIZI ZA MAPENZI BY FELIX MWENDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 62

  • @AlexBwasese
    @AlexBwasese 14 дней назад +1

    big up sana Mr felix mwenda ni kijana wk. Tenaaaa nipeni like zangu jamani ❤❤❤🎉🎉

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 29 дней назад +6

    Wakwanza jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao wote

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i 29 дней назад +3

    ❤❤❤ nimewah kautal , sina hatia 🔥🔥🤜🙌🎧🪑👩‍🦯

    • @Joycetatu
      @Joycetatu 29 дней назад +1

      🎧🎧

    • @user-be2nx5ks2l
      @user-be2nx5ks2l 28 дней назад +2

      Hakika mzigo huu uko vizuri chukua 🎉🎉🎉🎉🎉 haya kama zawadi Kwa ajili ya sauti Yako nziri

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 29 дней назад +1

    Mmmh! Hapo kwenye kikohozii 😂😂😂😂😂😂chai ntainywaa badaee🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @asiakhamissalim2319
    @asiakhamissalim2319 28 дней назад +1

    sasa nimeona maana ya hiii simuliz kuitwa sina hatia ❤

  • @ahmedhamisi-jc2hs
    @ahmedhamisi-jc2hs 24 дня назад

    Safi sana simulizi pongezi sana Kwa mtunzi

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z 29 дней назад +2

    Haiya acha Sandra nae aonje utamu wa maumivu aliyepata kauthali..thanks Felix

  • @user-wp7rg8xb7o
    @user-wp7rg8xb7o 29 дней назад +2

    Sijachelewa vile ❤❤❤

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 29 дней назад +3

    😂😂😂😂nimecheka Kwa sauti haki😂 Kauthali leo umeweza sanaaaa 😂😂

  • @StellahWamalwa-n3f
    @StellahWamalwa-n3f 29 дней назад +2

    Majidi mpaka ukaua nyoka tasa wewe teseka kabisaaaa 😊😊😊

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 29 дней назад +1

    Kauthar ana boo

  • @user-nc6fm6nw9z
    @user-nc6fm6nw9z 11 дней назад

    Kauthari dole👍🏼👍🏼👍🏼karibu tu niache tu kusikiza hii simulizi kama ungemkabithi huu mwanaume walai ningeacha kabisaaaa kuisikiza😅😅😅

  • @user-mh5ve4ly9g
    @user-mh5ve4ly9g 29 дней назад +3

    Mm kauthari akirudi kwa majd cickilizi tena nataka majd ajifunze kwaukatili alioufanya

  • @AlexBwasese
    @AlexBwasese 14 дней назад

    Nianza ss kumpenda kauthali jamani haaaaaa😂😂😂😂

  • @user-ry8nx6zm9e
    @user-ry8nx6zm9e 29 дней назад +1

    ❤❤

  • @user-tv6ii7pc4z
    @user-tv6ii7pc4z 28 дней назад

    Kauthani umenifurahisha umemukomoa magd 😂😂🤣🤣🤣🤣 mrugaruga 🤣🤣🤣

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 29 дней назад

    Nice

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад +2

    Kauthare ameerefuka vinzuri

  • @user-it5ej8eq6m
    @user-it5ej8eq6m 26 дней назад

    Mkuki Kwa ngurue

  • @agnessngala3589
    @agnessngala3589 29 дней назад

    Nenda kwa remmy

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад +1

    Majir mjiga sana uliabiwa ukusikia mpaka ukamuuwa mtoto wako juu ya mpango wa kando

  • @asiakhamissalim2319
    @asiakhamissalim2319 28 дней назад

    nilijua tu ndoto

  • @bintamir4124
    @bintamir4124 29 дней назад

    Twende nalo shukran kwa muenselezo❤

  • @vyaduoj
    @vyaduoj 29 дней назад +1

    Wa kwanza jamah, 🇺🇸 to 🇹🇿

  • @Wakiomiss.78
    @Wakiomiss.78 27 дней назад

    ❤❤❤❤🎉

  • @mohammedkombo3940
    @mohammedkombo3940 29 дней назад

    Mhhhhh 😢tulowah tunatoshaaa

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 29 дней назад

    Jamani hiiii ndoto khaaaa 😂😂😂😂

  • @fatmaabdallah1149
    @fatmaabdallah1149 29 дней назад +1

    Hi hadithi inaboa hasa uyo kauthar

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 28 дней назад

    Siku zote malipo huwa nidunian Akhera hesabuu sandraa hayo unafanyiwa na maid niyale ulimfanyia mwanamke mwezako .pili bado Mungu huukumu mtu alietesa mwingine sasa ona sumu ile ulitumia kuua mtoto husna ndo hiyoo mwanao anaendaa kuilamba yani miaka tatu sumu iko ndani 😮😮 shetan alikua kazini ilikukusaidia kueka hiyoo chupa ilikuja kulipixaa yan Mungu huyuu anahukumu kwa zamu..mume wasandra naye akili imesimama kwa kwamaid hata amesahau mtoto anakufaa

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад

    Apo chacha

  • @user-dw6fp4lu3k
    @user-dw6fp4lu3k 29 дней назад

    Mamb ni moto

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад

    Patamu apo

  • @jabiken4236
    @jabiken4236 29 дней назад

    Watu wako makini

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 29 дней назад +2

    Unajua huyu mwandishi hatabiliki hadithi hii utashangaa mara Kau anarudi qwa majid

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад

    Malipo na hapa duniani sadra uliuwa
    Mtoto wa majir wapi atauliwa na iyo sumu uliuwa mtoto wa mweziwe

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад

    Majir mjiga sana

  • @tatoo0098
    @tatoo0098 29 дней назад +1

    Afadhali 😂😂😂😂

  • @maryamsimai5395
    @maryamsimai5395 24 дня назад +1

    Hili limajid kama jinga kwahiyo ulivyo mtesa binti yetu alitalajia asipendwe nyoko wewe

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 29 дней назад

    Nawasiwasi n huyu Qauthariii mm asije akamrudia majidi jamani 😢

    • @Marym-iw2wr
      @Marym-iw2wr 29 дней назад +1

      😢😢sitaisklz tena akimrudia nakuambia

    • @aminamhina9129
      @aminamhina9129 29 дней назад

      Asirudi jamani natamani alowe na remi

    • @Marym-iw2wr
      @Marym-iw2wr 29 дней назад

      @@aminamhina9129 Mimi nataman hivo hivo mpnz

  • @merrykc6037
    @merrykc6037 29 дней назад

    Jameni naona watu wanakesha macho huku weee🥰🥰

    • @MamahetuChikuti-mp5lj
      @MamahetuChikuti-mp5lj 29 дней назад +1

      Yap yaani hawana hata lepe la usingizi cjui Wana miwani ya kuzuia usingizi 😅😅😅

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 29 дней назад

    Wa 8jamani

  • @FatumaChilolemngumi
    @FatumaChilolemngumi 29 дней назад

    Kwani watu walala humu

  • @user-ur4tz9xs7e
    @user-ur4tz9xs7e 29 дней назад +1

    Apandacho mtu ndicho atakacho kivuna

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 28 дней назад

    Madji sahii ndounakumbuka shuka wakati kumekuchaa??mm naomba tuuuu Qthal asije kurudisha mapenxi kwa huyuu muuaji wamtoto wake yani inatakikana akae nahili mbali mana alisamehewaa hukumu Mungu atamlipia na ndoameazaa kulipiwaa mazambii zake atajua hajuii hata mm nisingemrudia huyuuu mwanaumee kabisaa

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 29 дней назад

    ❤❤

  • @user-ry8nx6zm9e
    @user-ry8nx6zm9e 29 дней назад

    ❤❤