Am Asha From Kenya Congratulations Nandi ! You Inspire so many young Ladies your my Inspiration Awesome ! Keep it up Bany Gal ! God Bless You're bissnaa
Haki nimecheka mno usiku huu .........amesikika akisema kuwa anawataja atakao washkr na watoke mbele kuchukua picha ya ukumbusho .... Kisha akataja anamshkru Mwenyezi Mungu 😂...nikahis atapita hapo picha ya ukumbusho iwepo ....hii dunia jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...wanaoshukuriwa sana wengine wako mbinguni kama ruge jaman mnamuonea .,.....
Nandy piga kazi majungu waachie akina gigy we levo nyingine bana love you from kaskazin
Nandy nakupenda huna maringo na majigambo. God bless you cute woman
Am Asha From Kenya
Congratulations Nandi ! You Inspire so many young Ladies your my Inspiration
Awesome ! Keep it up Bany Gal ! God Bless You're bissnaa
🤣🤣🤣🤣Gigy kiroho chamuuma xai ila atajifanya yukoxawa😂😂😂😂 enyway congratulations our girl nandy we love you 👌👌👌
Mashallah Nandy Mungu azd kufngua njia zako achana na Gigy
Hongeraa munguh akuzidishiee
Dah hongera sana mpnz 🤝🏻🤝🏻🤝🏻
Gigy avurugane na midevu yake Nandy level nyengine
Courageux Nandy
Hongera sana my dear sister,
Nakuombea biashara ynye mafanikio na pia umekua kielelezo kwa sisi wadada wngine.
Big up sana...💋
Good work African Princess 🙌🙌🙌🙌
Nakupenda sana Nandy. More blessings girl. Nakutakia Kila la heri. You always touch my heart ❤️
Sema nandi acha umalaya
Go girl gooooooo get it. Bless God's name
Congratulations girl👍 this is how you do it. Kill them with success 👌 God bless🙏🙏
Congrats Nandy, more blessings to come❣💫💫
Nakukubari Sana. Nandy
gigy kajinyonge hapo ulipo roho juuu juuu nandy hongera
Daaaah nakupenda xana Nandy
Safiii go girl
Gigi money Gigi ni Kiki Kiki ni Gigi Gigi mahellaaa unamiliki nini njoo huku kwa Nandy uone mahela yanavyo tumikishwa
🔥🔥🔥
Congrats Nandy .u know wat u want dear.
Good woman
Kama ume gudua nandy anagusa mdomo kila Mara goga like
Hongera....you are strong woman....🔥🔥
Achana nahuyo mujinga we just bize namambo yako
HONGERA SANA
Mbona una tetemeka sana wew
Nsom kment znu tyyy
Haki nimecheka mno usiku huu .........amesikika akisema kuwa anawataja atakao washkr na watoke mbele kuchukua picha ya ukumbusho ....
Kisha akataja anamshkru Mwenyezi Mungu 😂...nikahis atapita hapo picha ya ukumbusho iwepo ....hii dunia jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...wanaoshukuriwa sana wengine wako mbinguni kama ruge jaman mnamuonea .,.....
Mmmh hizi ni Kali bhana.. Angalia ukicheka tu bonyeza subscribe ruclips.net/video/uN5vigp2fwE/видео.html
Wasanii wote wana shona mushone na sandaaa zenuu
Amina nimecheka mwenzio ungenionea huruma kwanguvu usiku huu
Good lakini unavyoongea usoni kwako usiweke sura ya kumkomoa mtu hiyo ni kwa faida yako
Hahahaa
😂😂😂