Uhalisia wa maisha ya MAREKANI na ERICA LULAKWA, Kama una ndoto ya kwenda kuishi U.S.A, Fahamu haya
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2020
- Mwanamuziki na aliyewahi kuwa mtangazaji Erica Lulakwa, Anakusimulia mengi usiyoyajua kuhusu Marekani, Anaishi Marekani kwa zaidi ya miaka 10 mpaka sasa na hii ni sehemu ya kwanza. Enjoy
Mashaaallah. Nimependa Ulivyojielezea kwa lugha yako ya Taifa lako. Mungu Azidi kukubariki Sana. Naiman ni wengi watakuwa wamekuelewa Ingawa bado Muendelezo....🥰😘🤩😍
Nani ameona “She looks like mtangazaji Salama Jabir ...macho Yangu
Yaani kama Salama
Nimesikiliza nyimbo zako ni nzuri
Asante. Nasubri kujua part 2
Excellent ❤️❤️💕
Madam nawaomba angalieni fursa za huko alafu mtufundishe huko technolojia ipo juu jaman mjitahid vijana wanahangaika sana
I love you Erica
Tupo pamoja my Dear twa subir muendelez wa full story iwe mbaya iwenzur ni sw zaid tunahitaji kujifunz yaliyo mema be blessed
I cant wait for part two
Asante
Saw dad
Vizuri kujua
First one to view and comment 😍
Mm Dada najua kusuka nywele Aina zote na rasta Aina zote na passport nnayo pls
🔥
That true
story aina muendelezo au huyu mama ana you tube chanel
Naambaa nambaa zakwakoo plz minimucapa kaazii haswaa zandaaniii
Naomba kuuliza Mara ya pili uliendaje ad ikabakia uko hujarudi huku Yan ilitumia vigezo gani kubaki
Hilo ndilo ttzo kubwa la nyumbn hukiludi 2 kutoka hughaibuni hushangaaa cjui kwa nn
How are you
Nahitaji njia ya kuongea na wewe in box ilii unisaidie njinsi ya kufika huko please
ERICA umesema ulikuja oregon. Unamufamu kwame. Ndo swali langu mimi naishi oregon
Mimi enyewe nipo oregon
Yan wala hatukubali kwakweli ww umewezaje cc tushindwe? Tutakuj tu Mengine tutajua ukouko 😂😂je Unawaza km mm? Nipe like zangu
Zulekha Ally sio kwamba anakuambia usiende but anakuelezea reality ya maisha ya huko..sio km tunavyoona kwenye movies
@@luifdls6217 ndo ntaweza tu sio pk aniambie ye aliambiwa
😂😂😂daah wa bongo bwana
Lazima tuende dingi
Tutafutane dada.. mm n mmja wapo
Duuh
Huyu dada mwehu
Kakiswahili Ka kizungu 😂😂😂😂
Mambo
Mungu azidi kukubariki
Naomba number yako kuongea nawe
hicho cheupe kushoto ninini?!!!!,
Hiyo apo mkononi ni nini microchip or what
Hahahaa naona kua ni pen ndo anachezesha.
Microchip inaingizwa kwa ndan huwez iona kwa nje
Ndo yenyewe iyo....
@@konsolatatutu423 eee bora ningeogopa
Microchip ndo Nini? Nielezee tafadhali
Saa wapi, poterea mbali,tutakuja hivyohivyo,mbona wewe hujarudi
😂😂😂😂Kanywe soda ntalipa Hakuna kubaki nyuma