REMA MAUMIVU YALIVYO MTOA KANISANI NA KUMPELEKA KUZIMU KUMUABUDU SHETANI
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2024
- REMA MAUMIVU YALIVYO MTOA KANISANI NA KUMPELEKA KUZIMU KUMUABUDU SHETANI
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ joseskills_
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricodmedia
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodmedia
#trending
#new
#rema
Mwamba unajua sana uko vzuri 🙏🙏 kwa simulizi nzurii
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿🔥🔥 We lov you Guys
Uko na kipawa wa kusumulia🎉❤
Asante bro umekubali ombi langu ❤
Tuko pamoja sanaaaaaa
Kaka tuletee story ya andwe cunanam
Tunaomba pia stori ya mapapa wa Kiroma maan huyu wasasa hatumuelew mfumo wake
Kaka tupe ya Celine dion na gonjwa linalomtafuna saivi
Na huyu don jaz umlete sio mtu wa kawaida huyu mzee bro
Kweli this don Jazz is so evil
Simulizi hiyi nime enjoy kweli kabisa.Asante sana
Shukrani sanaaaa
Kuna Chidi benzi na 20% Hawa nao Kuna kitu wanakijua kuhusu jamii izi za Siri wafuatilie kaka utupe faida
Tumaomba ya Celine dion
Poa poa ntaifanya hiyo msa sio mrefu
Nimekueshimu bans you know so many things
All the best bra
Pamoja sanaaa
Tuletee don jazz anaonekana sio binadamu ni shetani mwenyewe
Asante ❤
Kaka fanya na ya CHRIS BROWN
Poa ndugu ngoja niifanyie kazi fastaaa
Hivi vp kuhusu msanii mmoja wa marekani aliibuka miaka ya nyuma hivi anaitwa maino alisumbua na kibao chake cha all above alikubalika lakin hakusikika tena hadi leo.nn kilimpata
Tupe story ya donjacat
🔥🔥👋
Kaka Tricord tunakuomba tuletee ya Kanumba.usiogope.mbona simulizi zake ziko kila mahali wazi kabisa.hata kama wawezi elezea kama wewe
Sio vizur kupenda msrereko
👊✌️👍.
Pamoja sanaaaaa
back 2 bac,piga ya kanumba mkuu
Hahahaha unataka mama yake anifunge sema ntaifanyia kazi
Fanya ya kanumba
Sio rahisi mkuu,mbona mama yake anajua ukweli wotee
Kaka umefanya story ya uhakika sana🎉
Shukrani sanaaaaa
Duh!! Siyo mchezo 😫😫
Nimeweka kiti kaka
Anajihisi kawa TRAVIS SCOTT 😅
Ata Tekashi 69 kuna jambo linamwandama
ukiona kuna mafanikio ya ghafra ambayo hayana maelezo ya kutosha jua fika kabisa kafara za watu zimehusika, Baba na kaka wametolewa kafara.
Ukweli mimi na sema ni kaka yake si baba kwani baba alikufa akiwa mutoto
What makes me hate it its tht you get money but u dont have family to enjoy it
Please bro do fever for me story ya Bilgate nishakuomba sana but hunifanyii iyo i think next video itakuwa iyo if god wishes nakubal harakati zako kaka❤❤
Duuu kweli inabidi niifanyie kazi nakuaidi inayofuata ni hiyo
@@TricodMedia Thanks kaka🤔
@@TricodMediaMimi naomba historia ya Celine Dion na Oprah Winfrey
@@rosemarymwanitega7926 sawa nimekupata ntazifanyia kazi
@@TricodMediathanks boss