Lowassa na Sumaye Wanena Mazito Kwenye Msiba wa Ndesamburo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Lowassa na Sumaye, ambao wote ni Mawaziri Wakuu Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika vipindi tofauti, nao walikuwa miongoni mwa maelfu ya viongozi walioshiriki mazishi ya Mzee Ndesamburo, Moshi Mjini. Wamepata nafasi ya kupanda jukwaani na kuongea na waombolezaji. Kama kawaida hawakuacha kutumia nafasi hiyo kutupia neno na kutoa yao ya mayoni,
    SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
    kupata habari zaidi, WEBSITE: globalpublishers
    .co.tz/
    FACEBOOK: / globalpublishers
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpublishers
    #Ndesamburo. #Lowassa. #Sumaye

Комментарии • 111

  • @richjasi4850
    @richjasi4850 7 лет назад +4

    Uko vizuri mh. S. nakukubari

  • @mudrickchuma3716
    @mudrickchuma3716 7 лет назад +4

    tutakukumbuk daima peoples power

  • @octaaalyiii9539
    @octaaalyiii9539 7 лет назад

    Katika maisha kuna mambo mawili kuishi na kufaa,katika maisha ambayo upo hai utapitia mengi mazuri na mabaya pia,ata katika kifo vivyohivyo utapitia mengi mazuri na mabaya....mungu amlinde kiongoz ndesamburo njia ni moja yeye katangulia sisi tutafuata. kwahiyo kila mtu apime harakati zake.msilie sana makamandaa sisi sote tutakufaa tu, cha msingi ni kumwomba mungu wako akupee akili na nguvu

  • @lameckbarnaba3739
    @lameckbarnaba3739 7 лет назад +5

    rip ndesamburo tunakuombea ulale kwa aman

  • @ombeninassari2691
    @ombeninassari2691 7 лет назад +5

    one day we can

  • @lachmansingh4327
    @lachmansingh4327 7 лет назад

    eeee mwenyezi MUNGU naomba umuweke MZEE wetu ndensamburo mahali pema.

  • @emmanuelmwangwa3620
    @emmanuelmwangwa3620 7 лет назад +4

    presidential materials

  • @paulokiwango21
    @paulokiwango21 8 месяцев назад

    R.i.p Lowassa my first president

  • @richjasi4850
    @richjasi4850 7 лет назад +3

    Uko vizuri Rais wetu luwasa tupo pamoja

    • @jaafarmkatta1336
      @jaafarmkatta1336 7 лет назад

      Rich Jasi Urais atausikia tu !

    • @jaafarmkatta1336
      @jaafarmkatta1336 7 лет назад

      Rich Jasi Na wewe siyo Luwasa bwana. Watu wengine msiojua hats kuongea acheni kucoment mnatia aibu!

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 7 лет назад +2

    Safiel..... matusi si mpango nani asiyejua huyo mzee nimpinzani? lawama kwenye msiba wapi lini nchi hii inapaswa ipige hatua si malumbano kila kukicha mzee kapendwa na mungu wamuache hapumzike kwa amani!!!!

  • @HipHop_2024
    @HipHop_2024 7 месяцев назад

    Lowassa dah😢😢😢😢😢

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo6459 7 лет назад

    RIP mzee ndesa mambo yamsiba niyamtu yyt aiusiani nachama mala sumaye ama lowasa yanini hayo nikukosa hekima kujadili watu ovyo

  • @kelvinmbena8463
    @kelvinmbena8463 7 лет назад

    madash na ally polen uwezo wenu wakufikilia umeishia hapo kwani aliekufa in nani kwa status yake acheni unafiki mmechekwa na ccm yenu kwa mambo ya ajabu mnayofanya na raid wenu mungu anawaona sana nimesikitika sana hii nchi sujui lowasa love you still alive.

  • @lachmansingh4327
    @lachmansingh4327 7 лет назад

    pongezi sana kwa mchungaji gwajima ma ukweli ulio utoa kuhusiana na vieleele vya viongozi kujiaamlia vitu kabla ya kupata mamlaka kwa mkuu waoo.

  • @kennytapwazy1877
    @kennytapwazy1877 7 лет назад

    daaaaaaah pumzika kw aman mzeeee

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 7 лет назад

    Lowassa oyee

  • @jimlightmusic4635
    @jimlightmusic4635 7 лет назад

    rip mzee tunakuombea sana

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 лет назад

    S.l.p mengine umwachie mungu

  • @jiwahassan523
    @jiwahassan523 7 лет назад

    we are what we think

  • @somyfrank1
    @somyfrank1 7 лет назад

    IMEPENDEZA TENA....!!!!!! MUNGU AILAZE MAHALA PEMA ROHO YA MAREHEMU MZEE NDESSA...HAYA MENGINE TUMWACHIE MUNGU

  • @lachmansingh4327
    @lachmansingh4327 7 лет назад

    viongozi waige kazi na haki anazo zifanya mh.rais wetu magufuli hana ubaguzi na anatoa haki sawa.

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 7 лет назад

    Sumaye nilikuwa sikukubali wakati ukiwa ccm,kwani ukiwa na nyang' au nawewe unakuwa na FISI,SASA HIVI TUUNGANE WOTE KUHITAFUTA KWELI YA KWELI SIO DEMOTION STRATEGIC DEMOCRACY

  • @emanuelmushi9917
    @emanuelmushi9917 Месяц назад

    Lowassa kuongea unaweza sana ila sumaye bna naona kutengeneza sera inakua tabu

  • @pettermasika9120
    @pettermasika9120 6 лет назад

    Amani Chadema imetoweka Busara za Ukweli za Mzee ndesamburo Kwelikweli Chadema nayo hatunayo tena ,IMETUTOKA

  • @rodneymadoshi2881
    @rodneymadoshi2881 7 лет назад +5

    Wahsramu nawapongeza sana kwa utaratibu wenu Mfano mtu akifa asubuhi jioni wanampumzika mapema sana kuna punguza siasa misibani kupandikizia chuki nameno mengine yasio na msingi wwote ktk misiba

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 7 лет назад +1

      Tambua aliefaliki Ni mwana siasa hivyo basi usitarajie kukosa kituhicho kwakua ndio utambulisho wa marehumu katika jamii husika inayomzunguka.

    • @maryhassan2755
      @maryhassan2755 7 лет назад

      Utoto kwa Mzima ni aibu! Huyo sio mdogo azikwe kibubububu, alaf imaniyake haisemi mwili unapumzishwa ila roho ilisha toka hakuna ufaham wala maumivu anayosikia kupitia mwili ule. Acha kufikiriwa fikiri wewe c kila usikialo ni sawa. Siasa ni mfumo unaopenya kila eneo.

    • @markanthony5628
      @markanthony5628 7 лет назад

      Mary hassan ukishapimwa akili itapendeza zaid

    • @frankbella5965
      @frankbella5965 7 лет назад

      haujitambui

  • @nzilamashala3570
    @nzilamashala3570 7 лет назад

    mmmh sherehe ilinoga jamani hizi siasa .

  • @eradmdage8504
    @eradmdage8504 7 лет назад

    R. I. P KAMANDA

  • @fidelismalley8432
    @fidelismalley8432 7 лет назад

    kwa kuwa mzee ndesamburo alikuwa mwanasiasa, si mbaya kasiasa kakifanywa kidogo kwa pande zote mbili

  • @derickmujuni7058
    @derickmujuni7058 7 лет назад +4

    SUMA. HATA KUONGEA HUJUI

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 7 лет назад

    huyu ndo mzee sumatra/sumaye?

  • @ndikumanakalenzo2440
    @ndikumanakalenzo2440 7 лет назад

    ukiona mtu anaipenda fisiem ujue Huyo ni zaidi ya mchawi

  • @zamudulla1918
    @zamudulla1918 7 лет назад

    wenzao wapo kazini wao wanaishia kutwanga maji kwenye kinu

  • @togowelfare
    @togowelfare 7 лет назад

    HAHAAAAA! MTACHUKUA JENEZA SI IKULU WEWEE

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 7 лет назад +1

    Si ulisema kipindi chote cha uwaziri wako ulikua hujui kwa nini Tanzania masikini,mpaka ulipoenda kusoma Havard...you got a problem with you Sumaye.

    • @erielmushi7219
      @erielmushi7219 7 лет назад

      hv nyie mawzri wakuu wastaafu mnataka nn?wakati wenu umeisha msituchonganishe hatupgani wla htudnganyki hata msiba nnaleta siasa,polen

  • @preciousmlangi8056
    @preciousmlangi8056 7 лет назад

    Mzee uko poa unaimba vizuri ongera sana kija church yetu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 7 лет назад +1

    hahaha msiba wa kaskazini ( chaggadema)

  • @richardsalvatory3186
    @richardsalvatory3186 7 лет назад

    r.i.p

  • @allyomary9318
    @allyomary9318 7 лет назад +9

    mlisubirii sehemu ya kuaga muanze siasa zenu . hapa kaziii tuuuu.

    • @joshuanyonyi8820
      @joshuanyonyi8820 7 лет назад +1

      ally omary Jpm balaa siasa mpaka kwenye mazishi.....mtanyoonka

    • @edisonmjema2620
      @edisonmjema2620 7 лет назад

      ally omary unamavi kichwan huyo aliyekufa ni muasis wa chama hayo yanayomwa ni halali fisiem wakike wew

    • @barakamachamacha5823
      @barakamachamacha5823 7 лет назад +1

      ally omary fanya yako acha yawatu

    • @barakamachamacha5823
      @barakamachamacha5823 7 лет назад

      Safiely Togolani huu ni msiba

    • @edisonmjema2620
      @edisonmjema2620 7 лет назад

      Baraka Macha Macha hayo yanayofanywa ni wasifu wa marehemu chek logo za chadema kilakona

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 7 лет назад

    Zero zero kweli!

  • @neemamwanga7300
    @neemamwanga7300 7 лет назад

    km mtu hayuko na point ajipe shughuli jaman

  • @masininimkama3980
    @masininimkama3980 7 лет назад

    baba anameremeta ngoja waumie

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 7 лет назад

    MCHANGA WA DHAHABU UNAMUHUSU HUYU! AKINYIMWA KITI 2020 ATAKIMBILIA CHAMA CHA WENDAWAZIMU

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 7 лет назад +2

    hahahaa aisee msiba au mkutano wa kampeni za kisiasa .jamani akili kukichwaa

    • @adambolingo8097
      @adambolingo8097 7 лет назад +2

      Hussein H Kitambi --Hussein hujitambui wewe, sikiliza hotuba vzr na kuiingiza siasa hapo sio hatari coz mzee NDESA MBURO ni mwana siasa ambae ni mwanzilishi na kiongozi wa kisiasa, angalia jeneza lake hilo limepambwa na bendera ya CDM. wewe INZI huna hoja na bado ni mbwiga kimaono.

    • @adambolingo8097
      @adambolingo8097 7 лет назад +1

      Hussein H Kitambi --Hussein hujitambui wewe, sikiliza hotuba vzr na kuiingiza siasa hapo sio hatari coz mzee NDESA MBURO ni mwana siasa ambae ni mwanzilishi na kiongozi wa kisiasa, angalia jeneza lake hilo limepambwa na bendera ya CDM. wewe INZI huna hoja na bado ni mbwiga kimaono.

    • @nasolojohn9232
      @nasolojohn9232 7 лет назад

      Hussein H Kitambi we we mwehu unafikiri anakosea sumayi

    • @nasolojohn9232
      @nasolojohn9232 7 лет назад

      Hussein H Kitambi msiba wowote lazima history itolewe maana ni mahali pazuri pakutolea shida maana demokrasia imeminywa

    • @nasolojohn9232
      @nasolojohn9232 7 лет назад

      Hussein H Kitambi umesikia ya lowasa

  • @togowelfare
    @togowelfare 7 лет назад

    WEE SUMAYE ULIPOIBA RANCHI ZA TAIFA HUKUJUA DEMOKRASIA NA UTAWALA WA SHERIA? AU ULIKUWA MZUNGU WAKATI HUO?

  • @allyomary9318
    @allyomary9318 7 лет назад +2

    kumbe ni shereheee tenaaaaa????makubwaaaa

    • @athonyfrancis8889
      @athonyfrancis8889 7 лет назад +3

      tembea uone si kwa Ndesamburo tu hiyo ndo style ya wachaga msiba ni harusi ya tatu na ya mwisho ya kwanza ni
      kuzaliwa,pili ni kuoa au kuolewa,tatu ni kifo.

    • @allyomary9318
      @allyomary9318 7 лет назад

      Athony Francis wewe ndo utembee uone.issue cio marehemu issue ni hao wasiokuwa na chembe ya aibu kupeleka siasa hapo.

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 7 лет назад

    KUMBE NI MSIBA WA CHAMA DUH KUMBE HUYU NI ZERO KABISA

  • @telesphoriwilliammuhikambe4826
    @telesphoriwilliammuhikambe4826 7 лет назад

    waacheni wazike mtu wao inawaumanini?

  • @hassanmwakatwila4185
    @hassanmwakatwila4185 7 лет назад +3

    huna lolote sumaye we ulishafanya selikali zilizopita ulifanya nn

  • @mashaurchief5002
    @mashaurchief5002 7 лет назад

    Msiba or kampen

  • @samsonmwijage5301
    @samsonmwijage5301 7 лет назад

    ajabu, watumia msiba kama turufu ya kisiasa.

  • @jaafarmkatta1336
    @jaafarmkatta1336 7 лет назад +2

    Mungependa demokrasia were na mwenzio musinge musingekimbia baada ya kutemwa urais

  • @festombaba8820
    @festombaba8820 7 лет назад

    ila huyu jamaa sumaye anajichora.MTU ulikua mkuu eti Leo hii unajua mwenyekit wa kanda ya pwani alafu chama chenyewe chadem

  • @bashilumatola5453
    @bashilumatola5453 7 лет назад +5

    wewe unaye mlaumu sumaye ww ni nani sumaye ana haki ya kwenda chama chochote na kutoa maoni na kufanya siasa chadema oyee

  • @transmadale
    @transmadale 7 лет назад

    mbona Cameraman Unaichezesha picha ya Rais wetu hivyo?acha wivu bhana

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 7 лет назад +3

    huyu mzee mpumbavu sana ina maana hapo kwenye msiba wapo akina chadema tu

    • @edisonmjema2620
      @edisonmjema2620 7 лет назад +1

      Hussein H Kitambi mpambav wew mbwa koko wa fisiem usiyejua kitu unaishi bila kujielewa mzee Ndesa nikiongoz wa chama hayo yanayofanywa nisawa angalia hata mapambo ni CDM wew mbwa ndiyo siku ukifa utazikwa kimya kimya

    • @stevenwalioba9863
      @stevenwalioba9863 7 лет назад +1

      msiba wa kushangiliwa na makofi unatufundisha nini enyi wana siasi? au ndo Demokrasi yenu

    • @stevenwalioba9863
      @stevenwalioba9863 7 лет назад

      Jamani watu wanaomboleza nyie mnatoa matusi hamna aibu

    • @allyomary9318
      @allyomary9318 7 лет назад +1

      safiel hujitambui.na huijui siasa ya nchi hii endelea kutukanaaa hivo hivo.mwisho wa picha utaelewaaa.Rudi shule tenaaa.make huwezi kuwa sawa kiakili

    • @annacarlos7925
      @annacarlos7925 7 лет назад

      Hussein H Kitambi mpumbavu mwenyewe kwani walivyosema mwanzo wanna ccm moshi mmetukimbilia ila viongozi ndo hakuna muakilishi ccm

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 7 лет назад

    Ridiculous

  • @mudrickchuma3716
    @mudrickchuma3716 7 лет назад +2

    tutakukumbuk daima peoples power

    • @petermwanyondo6459
      @petermwanyondo6459 7 лет назад

      huo nimsiba mtu yyt aweza shirki hata ccm mambo yakukosoa watu nikutkuwa nafikra njema

  • @lameckbarnaba3739
    @lameckbarnaba3739 7 лет назад

    rip ndesamburo tunakuombea ulale kwa aman

    • @ambasonkalenga215
      @ambasonkalenga215 7 лет назад

      kuna watu wenye mapepo ya chama cha majuha wanavyo tuma ujumbe unashangaa kweli huyu mtu ni mzima kweli? mbona anamtazamo wa mapepo amejaa chuki,wivu, yachadema yanakuhusu nini wao wanjua wanayofanya lini fisi kamuongoza mbuzi wana ccm acheni unafiki hina chakuandika nyamaza mashetani

    • @djprincecharles5975
      @djprincecharles5975 7 лет назад

      Lameck Barnaba

  • @ndikumanakalenzo2440
    @ndikumanakalenzo2440 7 лет назад

    ukiona mtu anaipenda fisiem ujue Huyo ni zaidi ya mchawi