Lowassa na Sumaye Wanena Mazito Kwenye Msiba wa Ndesamburo
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Lowassa na Sumaye, ambao wote ni Mawaziri Wakuu Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika vipindi tofauti, nao walikuwa miongoni mwa maelfu ya viongozi walioshiriki mazishi ya Mzee Ndesamburo, Moshi Mjini. Wamepata nafasi ya kupanda jukwaani na kuongea na waombolezaji. Kama kawaida hawakuacha kutumia nafasi hiyo kutupia neno na kutoa yao ya mayoni,
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
kupata habari zaidi, WEBSITE: globalpublishers
.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
#Ndesamburo. #Lowassa. #Sumaye
Uko vizuri mh. S. nakukubari
tutakukumbuk daima peoples power
Katika maisha kuna mambo mawili kuishi na kufaa,katika maisha ambayo upo hai utapitia mengi mazuri na mabaya pia,ata katika kifo vivyohivyo utapitia mengi mazuri na mabaya....mungu amlinde kiongoz ndesamburo njia ni moja yeye katangulia sisi tutafuata. kwahiyo kila mtu apime harakati zake.msilie sana makamandaa sisi sote tutakufaa tu, cha msingi ni kumwomba mungu wako akupee akili na nguvu
rip ndesamburo tunakuombea ulale kwa aman
one day we can
eeee mwenyezi MUNGU naomba umuweke MZEE wetu ndensamburo mahali pema.
presidential materials
R.I.P ndesamburo
R.i.p Lowassa my first president
Uko vizuri Rais wetu luwasa tupo pamoja
Rich Jasi Urais atausikia tu !
Rich Jasi Na wewe siyo Luwasa bwana. Watu wengine msiojua hats kuongea acheni kucoment mnatia aibu!
Safiel..... matusi si mpango nani asiyejua huyo mzee nimpinzani? lawama kwenye msiba wapi lini nchi hii inapaswa ipige hatua si malumbano kila kukicha mzee kapendwa na mungu wamuache hapumzike kwa amani!!!!
Lowassa dah😢😢😢😢😢
RIP mzee ndesa mambo yamsiba niyamtu yyt aiusiani nachama mala sumaye ama lowasa yanini hayo nikukosa hekima kujadili watu ovyo
madash na ally polen uwezo wenu wakufikilia umeishia hapo kwani aliekufa in nani kwa status yake acheni unafiki mmechekwa na ccm yenu kwa mambo ya ajabu mnayofanya na raid wenu mungu anawaona sana nimesikitika sana hii nchi sujui lowasa love you still alive.
pongezi sana kwa mchungaji gwajima ma ukweli ulio utoa kuhusiana na vieleele vya viongozi kujiaamlia vitu kabla ya kupata mamlaka kwa mkuu waoo.
daaaaaaah pumzika kw aman mzeeee
Lowassa oyee
rip mzee tunakuombea sana
S.l.p mengine umwachie mungu
we are what we think
IMEPENDEZA TENA....!!!!!! MUNGU AILAZE MAHALA PEMA ROHO YA MAREHEMU MZEE NDESSA...HAYA MENGINE TUMWACHIE MUNGU
viongozi waige kazi na haki anazo zifanya mh.rais wetu magufuli hana ubaguzi na anatoa haki sawa.
Sumaye nilikuwa sikukubali wakati ukiwa ccm,kwani ukiwa na nyang' au nawewe unakuwa na FISI,SASA HIVI TUUNGANE WOTE KUHITAFUTA KWELI YA KWELI SIO DEMOTION STRATEGIC DEMOCRACY
Lowassa kuongea unaweza sana ila sumaye bna naona kutengeneza sera inakua tabu
Amani Chadema imetoweka Busara za Ukweli za Mzee ndesamburo Kwelikweli Chadema nayo hatunayo tena ,IMETUTOKA
Wahsramu nawapongeza sana kwa utaratibu wenu Mfano mtu akifa asubuhi jioni wanampumzika mapema sana kuna punguza siasa misibani kupandikizia chuki nameno mengine yasio na msingi wwote ktk misiba
Tambua aliefaliki Ni mwana siasa hivyo basi usitarajie kukosa kituhicho kwakua ndio utambulisho wa marehumu katika jamii husika inayomzunguka.
Utoto kwa Mzima ni aibu! Huyo sio mdogo azikwe kibubububu, alaf imaniyake haisemi mwili unapumzishwa ila roho ilisha toka hakuna ufaham wala maumivu anayosikia kupitia mwili ule. Acha kufikiriwa fikiri wewe c kila usikialo ni sawa. Siasa ni mfumo unaopenya kila eneo.
Mary hassan ukishapimwa akili itapendeza zaid
haujitambui
mmmh sherehe ilinoga jamani hizi siasa .
R. I. P KAMANDA
kwa kuwa mzee ndesamburo alikuwa mwanasiasa, si mbaya kasiasa kakifanywa kidogo kwa pande zote mbili
SUMA. HATA KUONGEA HUJUI
huyu ndo mzee sumatra/sumaye?
ukiona mtu anaipenda fisiem ujue Huyo ni zaidi ya mchawi
wenzao wapo kazini wao wanaishia kutwanga maji kwenye kinu
HAHAAAAA! MTACHUKUA JENEZA SI IKULU WEWEE
Si ulisema kipindi chote cha uwaziri wako ulikua hujui kwa nini Tanzania masikini,mpaka ulipoenda kusoma Havard...you got a problem with you Sumaye.
hv nyie mawzri wakuu wastaafu mnataka nn?wakati wenu umeisha msituchonganishe hatupgani wla htudnganyki hata msiba nnaleta siasa,polen
Mzee uko poa unaimba vizuri ongera sana kija church yetu
hahaha msiba wa kaskazini ( chaggadema)
r.i.p
mlisubirii sehemu ya kuaga muanze siasa zenu . hapa kaziii tuuuu.
ally omary Jpm balaa siasa mpaka kwenye mazishi.....mtanyoonka
ally omary unamavi kichwan huyo aliyekufa ni muasis wa chama hayo yanayomwa ni halali fisiem wakike wew
ally omary fanya yako acha yawatu
Safiely Togolani huu ni msiba
Baraka Macha Macha hayo yanayofanywa ni wasifu wa marehemu chek logo za chadema kilakona
Zero zero kweli!
km mtu hayuko na point ajipe shughuli jaman
baba anameremeta ngoja waumie
MCHANGA WA DHAHABU UNAMUHUSU HUYU! AKINYIMWA KITI 2020 ATAKIMBILIA CHAMA CHA WENDAWAZIMU
hahahaa aisee msiba au mkutano wa kampeni za kisiasa .jamani akili kukichwaa
Hussein H Kitambi --Hussein hujitambui wewe, sikiliza hotuba vzr na kuiingiza siasa hapo sio hatari coz mzee NDESA MBURO ni mwana siasa ambae ni mwanzilishi na kiongozi wa kisiasa, angalia jeneza lake hilo limepambwa na bendera ya CDM. wewe INZI huna hoja na bado ni mbwiga kimaono.
Hussein H Kitambi --Hussein hujitambui wewe, sikiliza hotuba vzr na kuiingiza siasa hapo sio hatari coz mzee NDESA MBURO ni mwana siasa ambae ni mwanzilishi na kiongozi wa kisiasa, angalia jeneza lake hilo limepambwa na bendera ya CDM. wewe INZI huna hoja na bado ni mbwiga kimaono.
Hussein H Kitambi we we mwehu unafikiri anakosea sumayi
Hussein H Kitambi msiba wowote lazima history itolewe maana ni mahali pazuri pakutolea shida maana demokrasia imeminywa
Hussein H Kitambi umesikia ya lowasa
WEE SUMAYE ULIPOIBA RANCHI ZA TAIFA HUKUJUA DEMOKRASIA NA UTAWALA WA SHERIA? AU ULIKUWA MZUNGU WAKATI HUO?
kumbe ni shereheee tenaaaaa????makubwaaaa
tembea uone si kwa Ndesamburo tu hiyo ndo style ya wachaga msiba ni harusi ya tatu na ya mwisho ya kwanza ni
kuzaliwa,pili ni kuoa au kuolewa,tatu ni kifo.
Athony Francis wewe ndo utembee uone.issue cio marehemu issue ni hao wasiokuwa na chembe ya aibu kupeleka siasa hapo.
KUMBE NI MSIBA WA CHAMA DUH KUMBE HUYU NI ZERO KABISA
waacheni wazike mtu wao inawaumanini?
huna lolote sumaye we ulishafanya selikali zilizopita ulifanya nn
Hassan Mwakatwila
achen kdic watu kwan nyie mmefanya nn maixhan mwen ktk jamii uo ni uxhagunaku
Hassan Mwakatwila angemtomba mamaako ungejua alichofanya inzi wakijan
Safiely Togolani Kutukana tu! Viloba hivyo!
Msiba or kampen
ajabu, watumia msiba kama turufu ya kisiasa.
Mungependa demokrasia were na mwenzio musinge musingekimbia baada ya kutemwa urais
Jaafar Mkatta hakuna ulijualo kaa kimya wewe
Jaafar Mkatta Ww huna Akili kabsaaa
ila huyu jamaa sumaye anajichora.MTU ulikua mkuu eti Leo hii unajua mwenyekit wa kanda ya pwani alafu chama chenyewe chadem
wewe unaye mlaumu sumaye ww ni nani sumaye ana haki ya kwenda chama chochote na kutoa maoni na kufanya siasa chadema oyee
mbona Cameraman Unaichezesha picha ya Rais wetu hivyo?acha wivu bhana
huyu mzee mpumbavu sana ina maana hapo kwenye msiba wapo akina chadema tu
Hussein H Kitambi mpambav wew mbwa koko wa fisiem usiyejua kitu unaishi bila kujielewa mzee Ndesa nikiongoz wa chama hayo yanayofanywa nisawa angalia hata mapambo ni CDM wew mbwa ndiyo siku ukifa utazikwa kimya kimya
msiba wa kushangiliwa na makofi unatufundisha nini enyi wana siasi? au ndo Demokrasi yenu
Jamani watu wanaomboleza nyie mnatoa matusi hamna aibu
safiel hujitambui.na huijui siasa ya nchi hii endelea kutukanaaa hivo hivo.mwisho wa picha utaelewaaa.Rudi shule tenaaa.make huwezi kuwa sawa kiakili
Hussein H Kitambi mpumbavu mwenyewe kwani walivyosema mwanzo wanna ccm moshi mmetukimbilia ila viongozi ndo hakuna muakilishi ccm
Ridiculous
tutakukumbuk daima peoples power
huo nimsiba mtu yyt aweza shirki hata ccm mambo yakukosoa watu nikutkuwa nafikra njema
rip ndesamburo tunakuombea ulale kwa aman
kuna watu wenye mapepo ya chama cha majuha wanavyo tuma ujumbe unashangaa kweli huyu mtu ni mzima kweli? mbona anamtazamo wa mapepo amejaa chuki,wivu, yachadema yanakuhusu nini wao wanjua wanayofanya lini fisi kamuongoza mbuzi wana ccm acheni unafiki hina chakuandika nyamaza mashetani
Lameck Barnaba
ukiona mtu anaipenda fisiem ujue Huyo ni zaidi ya mchawi