MAMA NA WANAYE WAWILI WAUWAWA TABORA / RPC AMVAA MWENYEKITI WA KIJIJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 43

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 3 года назад

    Jamani,jamani jamani tunaenda wapi?hata wanyama wanahuruma ukatili huu kweli bora umshitaki mtu kuliko kumfanyia mtu unyama huu!💔🤔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔

  • @safiangaiwa2597
    @safiangaiwa2597 3 года назад

    Mungu tulinde waja wako yarab

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 года назад +6

    Anza na viongozi, majirani, ndugu.. utampata muuaji tu... Hapo ulipo wapo wanao mjua.. tangaza zawadi na it's mtu mmoja mmoja umuhoji ki Siri.... Éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @amosmichael8389
    @amosmichael8389 3 года назад +3

    Dr Magufuri tutakukumbuka baba😭😭😭

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 года назад

    Binadam tumekuwa wakatili sana😭😭😭😭😭😭😭

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 3 года назад +2

    Jamani mbona mauaji yamekua mengi saana Tz. Jamani mungu a nawaona kwani nyie mtaishi milele bila kufa. Mtaishia mwisho wenu utakua mbaya saana.

  • @mwajumakweli6774
    @mwajumakweli6774 3 года назад +3

    Dh!!! Tz sasaivi 😭😭😭 he Mungu simamia Tz yetu

  • @gideonkavita7197
    @gideonkavita7197 3 года назад +2

    Bona unyama kwa binadamu ,Mungu yupo na jicho lake laona

  • @jambo3751
    @jambo3751 3 года назад +2

    THE NEXT IGP hongera dada yetu. MAMA SAMIA mpe nafasi huyu ya kuwa IGP.

  • @tumainimwampashi1120
    @tumainimwampashi1120 3 года назад +1

    Iko wapi ile Tanzania ya mababu na mabibi zetu ...inasikitisha sana

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 года назад +3

    Jaman hiv huu ujinga unatoka wapi

  • @alalwialalwiii8194
    @alalwialalwiii8194 3 года назад +3

    Jamani boraaa ukutanee na simbaaa kuliko kukutana na binadam emungu wapumzishe kwa amanii

  • @prospermbawala9033
    @prospermbawala9033 3 года назад

    Daahh🏃🏃

  • @beatricewiilliam7479
    @beatricewiilliam7479 3 года назад

    Eee mungu

  • @magessamagessa7561
    @magessamagessa7561 3 года назад +1

    Duuh jaman ila watu tumefika mbali hata uoga hatuna kweli

  • @edwinmaruchu5566
    @edwinmaruchu5566 3 года назад

    Matukio Kama haya hayawezi Kuisha kwa sababu wakikamatwa wakipelekwa mahakamani na wakathibitishwa kutenda kosa , wakihukumiwa kunyongwa, mwenye kuhusika kutia saini anagoma kutia saini. Shida iko hapo.

  • @paacalborn718
    @paacalborn718 3 года назад

    Yaan hao watu wanaojiita wenyeviti wa mtaa siwapendi kwel kabisa maana wengi hawajielewi

  • @petermarwa1142
    @petermarwa1142 3 года назад +1

    Duh!! Mungu turehemu kwakweli R.I.p mama na wtt

  • @marthageorge559
    @marthageorge559 3 года назад

    😭😭😭😭magufuli tutakukumbuka

  • @fajdikhamisi608
    @fajdikhamisi608 3 года назад

    Dah

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +1

    Whats going on jamani ooh God.

  • @gsninetz5019
    @gsninetz5019 3 года назад +1

    R.I.P

  • @wandengatare9364
    @wandengatare9364 3 года назад

    😭😭😭

  • @kherimacksood634
    @kherimacksood634 3 года назад +1

    Et mtu wa hvyo anafungwa jela kifunga maisha anaenda kula chakula cha bure mtu km huyo akamtwe n kunyongwaaaaaaaaaaaaa tu kuwaua wauajii

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 3 года назад

    Subuhanallah

  • @hamishatibu1919
    @hamishatibu1919 3 года назад

    NCHI INAKUWA SALAMA KWENYE MIKONO YA KINA MAMA,MUNGU ATASAIDIA HAIMWAGIK DAMU YA BALI ITAMJILIA ALIEZURUM MAISHA YAO WALLAH

  • @sadickmdogo4181
    @sadickmdogo4181 3 года назад +1

    Rpc ujihuzulu matukio yamezid sana hko

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 3 года назад +1

    Duuh mtanikumbuka ......

  • @hamishatibu1919
    @hamishatibu1919 3 года назад

    Mama(RPC) askar pekee yako unaoijua kazi yako pia unaethamin utu.sijawah ona TZ.,kwel hakuna kama MAMA

  • @amemasudi5735
    @amemasudi5735 3 года назад

    Anaeuwa anajua na yy ataishi mpka Miele?

  • @thomasjoe6648
    @thomasjoe6648 3 года назад

    R.I.P Mungu wape pumziko la milele

  • @ommypesafxtz9004
    @ommypesafxtz9004 3 года назад

    Mimi ndungu yangu alifanyiwa unyama nusu ya kuuwawa mtuhumiwa alikamatwa lakini police wali pewa lushwa kesi ikaisha hapo usikute hata uyo mualifu anajulikana ala hakamatwi

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 3 года назад

    Huu ni unyama uliopitiliza,Yarabi wape subra na uvumilivu wafiwa wote.Ila hata hao Afghanistan hawauwani hivyo kama Mama alivyosema.

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 года назад

    Yana daaaah majanga kwel kwel

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 3 года назад

    Siwezi kulala leo inauma mno

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 года назад

    MAGUFULI KAONDOKA NA AMANI YAKEEE.

  • @antonmbwile3316
    @antonmbwile3316 3 года назад

    Mimi Anton Charles mbwile na mwenyekiti anaitwa ...... Ngonda

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 3 года назад

    Uchungu mno

  • @ommypesafxtz9004
    @ommypesafxtz9004 3 года назад

    Police waalifu wanawajua wanakula lushwa

  • @barakamasana3698
    @barakamasana3698 3 года назад +1

    Dah

  • @otchumastory2698
    @otchumastory2698 3 года назад

    Dah