Anza na viongozi, majirani, ndugu.. utampata muuaji tu... Hapo ulipo wapo wanao mjua.. tangaza zawadi na it's mtu mmoja mmoja umuhoji ki Siri.... Éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Matukio Kama haya hayawezi Kuisha kwa sababu wakikamatwa wakipelekwa mahakamani na wakathibitishwa kutenda kosa , wakihukumiwa kunyongwa, mwenye kuhusika kutia saini anagoma kutia saini. Shida iko hapo.
Mimi ndungu yangu alifanyiwa unyama nusu ya kuuwawa mtuhumiwa alikamatwa lakini police wali pewa lushwa kesi ikaisha hapo usikute hata uyo mualifu anajulikana ala hakamatwi
Jamani,jamani jamani tunaenda wapi?hata wanyama wanahuruma ukatili huu kweli bora umshitaki mtu kuliko kumfanyia mtu unyama huu!💔🤔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔
Mungu tulinde waja wako yarab
Anza na viongozi, majirani, ndugu.. utampata muuaji tu... Hapo ulipo wapo wanao mjua.. tangaza zawadi na it's mtu mmoja mmoja umuhoji ki Siri.... Éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Dr Magufuri tutakukumbuka baba😭😭😭
Binadam tumekuwa wakatili sana😭😭😭😭😭😭😭
Jamani mbona mauaji yamekua mengi saana Tz. Jamani mungu a nawaona kwani nyie mtaishi milele bila kufa. Mtaishia mwisho wenu utakua mbaya saana.
Dh!!! Tz sasaivi 😭😭😭 he Mungu simamia Tz yetu
Bona unyama kwa binadamu ,Mungu yupo na jicho lake laona
THE NEXT IGP hongera dada yetu. MAMA SAMIA mpe nafasi huyu ya kuwa IGP.
Iko wapi ile Tanzania ya mababu na mabibi zetu ...inasikitisha sana
Jaman hiv huu ujinga unatoka wapi
Jamani boraaa ukutanee na simbaaa kuliko kukutana na binadam emungu wapumzishe kwa amanii
Daahh🏃🏃
Eee mungu
Duuh jaman ila watu tumefika mbali hata uoga hatuna kweli
Matukio Kama haya hayawezi Kuisha kwa sababu wakikamatwa wakipelekwa mahakamani na wakathibitishwa kutenda kosa , wakihukumiwa kunyongwa, mwenye kuhusika kutia saini anagoma kutia saini. Shida iko hapo.
Yaan hao watu wanaojiita wenyeviti wa mtaa siwapendi kwel kabisa maana wengi hawajielewi
Duh!! Mungu turehemu kwakweli R.I.p mama na wtt
😭😭😭😭magufuli tutakukumbuka
Dah
Whats going on jamani ooh God.
R.I.P
😭😭😭
Et mtu wa hvyo anafungwa jela kifunga maisha anaenda kula chakula cha bure mtu km huyo akamtwe n kunyongwaaaaaaaaaaaaa tu kuwaua wauajii
Ajabu saana
Subuhanallah
NCHI INAKUWA SALAMA KWENYE MIKONO YA KINA MAMA,MUNGU ATASAIDIA HAIMWAGIK DAMU YA BALI ITAMJILIA ALIEZURUM MAISHA YAO WALLAH
Rpc ujihuzulu matukio yamezid sana hko
Duuh mtanikumbuka ......
Mama(RPC) askar pekee yako unaoijua kazi yako pia unaethamin utu.sijawah ona TZ.,kwel hakuna kama MAMA
Anaeuwa anajua na yy ataishi mpka Miele?
R.I.P Mungu wape pumziko la milele
Mimi ndungu yangu alifanyiwa unyama nusu ya kuuwawa mtuhumiwa alikamatwa lakini police wali pewa lushwa kesi ikaisha hapo usikute hata uyo mualifu anajulikana ala hakamatwi
Pole saana
Huu ni unyama uliopitiliza,Yarabi wape subra na uvumilivu wafiwa wote.Ila hata hao Afghanistan hawauwani hivyo kama Mama alivyosema.
Yana daaaah majanga kwel kwel
Siwezi kulala leo inauma mno
MAGUFULI KAONDOKA NA AMANI YAKEEE.
Mimi Anton Charles mbwile na mwenyekiti anaitwa ...... Ngonda
Uchungu mno
Police waalifu wanawajua wanakula lushwa
Dah
Dah