UTANI WA OMY DIMPOZ KWA ALIKIBA NA WEWE USITUNYANYASE ,MBELE YA KIKWETE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 110

  • @AdelinaKato
    @AdelinaKato 10 месяцев назад +5

    I really like these guys, they show us the meaning of love , true friendship and joy

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 10 месяцев назад +12

    Napenda watu wenye shukran na upendo unaodumu❤❤❤❤ nawapenda kiba na Ommy mbarikiwe

  • @sirielsamweli
    @sirielsamweli 10 месяцев назад +16

    Hii nimeifungua mara kumi kumi jamaniiiiii imenifurahisha sanaaaaa😂😂😂ommy ...alikiba ❤❤❤

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 10 месяцев назад +4

    Kumbe ndugu yetu Ommy ni comedian...❤ from msa Kenya

  • @hussen8592
    @hussen8592 10 месяцев назад +3

    Kaka huna baya sio mtu wa kujikweza tajiri masikini wako pambana sana kiukweli mwenyezi Mungu akubariki mara zote kadri alivyo kupangia hakuna wa kuku toa kwenye njia salute to you blood .

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 10 месяцев назад +6

    Ommy Dimpoz ana shukrani sana Mungu awabariki sana❤❤

  • @roi2554
    @roi2554 10 месяцев назад +27

    Afu ommy stand up comedy anaiweza sana😂😂😂

    • @makovoice
      @makovoice 10 месяцев назад

      Mzee baba, tujuwane hapa... 😆 😆

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 10 месяцев назад +27

    Kaka Nawapenda.Alikiba anaga makuuu nampenda

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 10 месяцев назад +1

    Wow 👌 my super star 🌟 🤩

  • @KhereneGrâcealimasicomerçante
    @KhereneGrâcealimasicomerçante 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤ nawa penda sana ndungu zangu

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 10 месяцев назад +2

    Mkumbuke Ommy ni Congolais muluba kwakuva ajambo ; tumpe mauwa ommy❤❤❤❤❤

  • @DxbYae
    @DxbYae 10 месяцев назад +27

    Kuuguwa sio kufa jamani Alhamdullah omary anatufurahisha kapitia magumu leo yupo imala Alhamdullah mungu mkubwa jamani

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 10 месяцев назад +1

    Mie nawapenda tu❤

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 10 месяцев назад +2

    Hii Ndo maana halisi ya kuwa mfalme🎉,,anaelewana Sana na watu ,,hongereni kingkiba&omydmpoz

  • @nizobeatz90
    @nizobeatz90 10 месяцев назад +1

    Ahaha nilichogundua ommy comedian mzurii sana

  • @febregzabafeba
    @febregzabafeba 10 месяцев назад +6

    Omary Nyembo!! Una vipaji viingi sana... 😂😂😂❤

  • @BIGGIEBOOST
    @BIGGIEBOOST 10 месяцев назад +21

    Omy dimpoz amegundua kua comedy inalipa kuliko bongo fleva 😂

  • @WelileNtshangase-d9c
    @WelileNtshangase-d9c 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂Nawapenda hao watu

  • @yassinhussein1443
    @yassinhussein1443 10 месяцев назад +1

    Why Crown and not Kings? Anyway congrats👏👏👏

  • @AgnessDegela
    @AgnessDegela 10 месяцев назад +5

    nawapenda sana hao watu jamani mungu azidi kuwaweka❤❤❤❤

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 10 месяцев назад +1

    😂😂😂 Kweli Omi Mwandaazimu sana huyu😅😅

  • @elmishshokaboy
    @elmishshokaboy 10 месяцев назад +1

    Kong kiba😂❤❤❤nakupenda bure❤❤❤😂

  • @eliabeliud490
    @eliabeliud490 10 месяцев назад +16

    Jamaa anastailiii kuwepo Cheka tu😂

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 10 месяцев назад +2

    I love these guys....

  • @v.m.ccompany
    @v.m.ccompany 10 месяцев назад +13

    Ommy nipe mauwa yangu ❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Dj2nyi
    @Dj2nyi 10 месяцев назад +1

    Nomaaa sanaaaa hiii nimeipenda

  • @100Hundredmiles
    @100Hundredmiles 10 месяцев назад +4

    Good life brothers

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 10 месяцев назад +2

    Alikiba hana tatizo hana mbwembwe toka kitambo toka bongo fleva inaanza

  • @redomswazi
    @redomswazi 10 месяцев назад +1

    Dah Ommy noma sana

  • @EAGLESCONSULTANTS-i1u
    @EAGLESCONSULTANTS-i1u 10 месяцев назад +1

    @ommydimpoz anafaa kuwa comedian 😄😄😄😄😄

  • @KateJones-u7q
    @KateJones-u7q 10 месяцев назад +4

    Kiiba ka kitambaa next time hiyo kupanguza jasho Kwa vidole si poa Kwa number one Superstar...

  • @omarimahela7690
    @omarimahela7690 10 месяцев назад +4

    Dah ! Ommy he is comedian, ametoa msg kwa entertainment.

  • @RizikiMakayaShabani
    @RizikiMakayaShabani 6 месяцев назад

    Tuna wapenda sana

  • @mjaweathman6519
    @mjaweathman6519 10 месяцев назад +1

    Nawapenda sana ❤❤❤

  • @zahraamin2910
    @zahraamin2910 10 месяцев назад +1

    Ur the best ommy❤

  • @SheeMwakuyumba
    @SheeMwakuyumba 10 месяцев назад

    Nimeipenda Sanaa hii😂😂😂😂

  • @christinenanyama2517
    @christinenanyama2517 10 месяцев назад +4

    Yaani ali na ommy nawapenda saaaaaaaaaana❤

  • @hansonjosephat8344
    @hansonjosephat8344 10 месяцев назад

    Hii ni stand up comedy au 😅😅😅😅

  • @faustinhommedetatnifasha9669
    @faustinhommedetatnifasha9669 10 месяцев назад +1

    Kweli ommydimpoe comedia😂😂❤😂

  • @vintasmoullz
    @vintasmoullz 10 месяцев назад +1

    Ommy is really talented

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 10 месяцев назад +14

    Ommy comedian

  • @ellytech9757
    @ellytech9757 10 месяцев назад +4

    Sikujua kama Ommy ni comedian mzuri 😅

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 10 месяцев назад +2

    Watu wangu😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 10 месяцев назад

    🔥

  • @luqmanhussein5551
    @luqmanhussein5551 10 месяцев назад +4

    Kitu cha halali watu wako free kbsaa lkn kuleee mmhhh

  • @savanny_music
    @savanny_music 10 месяцев назад +1

    Ommy Dimpoz ukweli ana Talanta afungue kituo Cha vichekesho

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve 10 месяцев назад

    R.m.s fashion

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 10 месяцев назад

    ❤❤

  • @emmakipalula9097
    @emmakipalula9097 10 месяцев назад

    Omy ni comedian kila siku...sema hataki kufanya comedy serious

  • @RashidHamad-j3z
    @RashidHamad-j3z 10 месяцев назад

    Omy unajua comedy kuliko mziki😂😂😂😂

  • @suzanaaloyc4903
    @suzanaaloyc4903 10 месяцев назад

    Ommy unafaa kuwa comedian 😂😂

  • @meshackdyanka7826
    @meshackdyanka7826 10 месяцев назад

    Goody breather king vijana wengi tuige mfano

  • @rehemarajabu3655
    @rehemarajabu3655 10 месяцев назад

    😂😂😂 yaaani ommy duh

  • @JoaquimMashalangende-fw7xs
    @JoaquimMashalangende-fw7xs 10 месяцев назад

    Nakukubali kiba mfalme

  • @SazafKiba
    @SazafKiba 10 месяцев назад

    King kiba na ommy ni ndugu

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 10 месяцев назад

    Ommy hujawaza kufanya stand-up comedy 😂😂

  • @Obertan_coolkid-04_
    @Obertan_coolkid-04_ 10 месяцев назад

    Nyie ommy 😂😂

  • @NursamiaKiligaliga
    @NursamiaKiligaliga 10 месяцев назад +1

    Dimpozi anaucheshi sana

  • @EdomuMwasongela
    @EdomuMwasongela 10 месяцев назад

    Sarut boss wetu

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 10 месяцев назад +4

    Ommy dimpoz ni katuni kabsaaa 😂😂😂😂😂 kudadadeeeeeq

  • @نظيفهخالد
    @نظيفهخالد 10 месяцев назад

    Nimecheke sana kama mwehu

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 10 месяцев назад

    Mungu awalinde sana😂😂😂😂😂

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @SaidAlly-t4u
    @SaidAlly-t4u 10 месяцев назад +1

    Ommy na alikiba nimalafiki xana wametoka mbali xana

  • @HELYTEWELE
    @HELYTEWELE 10 месяцев назад

    Unyama mwingi kiba

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 10 месяцев назад

    Ommy Dimpoz nenda Cheka Tu

  • @Nyangindu
    @Nyangindu 10 месяцев назад

    Ommy

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga693 10 месяцев назад

    Hao nimarafiki wa kweli

  • @سعدههوام
    @سعدههوام 10 месяцев назад

    😂😂😂😂 omy ni mwehu😅😅

  • @CAPYBARA-r6w
    @CAPYBARA-r6w 10 месяцев назад

    Ommy dimpoz comedian

  • @toyasuleman9300
    @toyasuleman9300 10 месяцев назад +1

    Urafiki mtamu 😂😂

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 10 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂ndugu kabisa hawa

  • @riverjoshua8141
    @riverjoshua8141 10 месяцев назад

    lkn ndo maisha ,, We leo una redio R kelly ako jela🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mudyhmedia
    @mudyhmedia 10 месяцев назад

    😅😅😅😅😅

  • @MiryLuxeAccents
    @MiryLuxeAccents 10 месяцев назад

    Bonge comedian

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 10 месяцев назад

    Sikupingi kiba king wa making

  • @sammasika3627
    @sammasika3627 10 месяцев назад

    😂😂😂boss simbaaa

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 10 месяцев назад

    Ommy d nimchekeshaji kabisa😂😂😂🎉

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 10 месяцев назад +21

    😂😂😂mbavu zangu hawa watu hakuna waku watenganisha

  • @victorrocky5339
    @victorrocky5339 10 месяцев назад

    😂😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 10 месяцев назад +1

    Ommy ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mikidadikiga90
    @mikidadikiga90 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @EdnaPeter-m6d
    @EdnaPeter-m6d 10 месяцев назад

    Yani nyie mnanifuraisha

  • @safiamohamed635
    @safiamohamed635 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 10 месяцев назад

    Amekuwa mchekeshaji

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 10 месяцев назад

    kumbe hadi ninyi mnapiga simu kwawa ganga zenu

  • @PaulEbby-n4r
    @PaulEbby-n4r 10 месяцев назад +2

    Ommy 😂😂😂

  • @claramichael1632
    @claramichael1632 10 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣

  • @marthatv9335
    @marthatv9335 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jumaibrahim9773
    @jumaibrahim9773 10 месяцев назад +1

    Tunataka utoe na kampun ya kubet tujue idea zinatoka sehem moja tu kwa Diamond,,,, diamond alikuja na karanga ukainga na energy drink sasa ni radio mbn mnapita Kwenye nyayo za chibude akitoa nyayo mnataka kuingia nyie toeni ata app ya umbea bas tujue mmeanzisha wenyew yy ndo kafata ,,mond wa tafutie idea nyingine 😅😅

    • @rashidiabdalahmkwanga7409
      @rashidiabdalahmkwanga7409 10 месяцев назад +1

      Mshamba wewe ingekuwa hivyo basi mo na bakresa wasinge kaa pamoja Tanzania maana bizaa wanauza Aina moja acha mambo yahovyo yy mondi kwani haja iga nae

    • @jumaibrahim9773
      @jumaibrahim9773 10 месяцев назад

      @@rashidiabdalahmkwanga7409 we kumbe ujielewi mm nikutangulie kimuzik uje nyuma unipiku mbali alaf ufanye kitu na mm nifanye kitu icho nasio kimoja kila unachoanzisha mm nakuja apo nyuma haipo iyo anayeteseka nani apo stress zinafanya unawaza mond anajifanya anaredio ngoja na mm nifungue asinitishe sasikupotea uko tunatakusika kiba kaja nakitu fulan alaf ndo wakina mondi wanafata fata apo nyuma upo hao ni maasimu sio wakina bakhresa havifanan kabisa

  • @MannySalum
    @MannySalum 10 месяцев назад

    Mommy anaga baya na mtu

  • @wahakiomary6281
    @wahakiomary6281 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zahraamin2910
    @zahraamin2910 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 10 месяцев назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @Jenifer-wd4hn7cv9s
    @Jenifer-wd4hn7cv9s 10 месяцев назад +1

    😂😂😂

  • @immakelvinimambi
    @immakelvinimambi 10 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @Dj2nyi
    @Dj2nyi 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @erickomwocha596
    @erickomwocha596 10 месяцев назад +1

    😂😂😂

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂