Kaka huna baya sio mtu wa kujikweza tajiri masikini wako pambana sana kiukweli mwenyezi Mungu akubariki mara zote kadri alivyo kupangia hakuna wa kuku toa kwenye njia salute to you blood .
Tunataka utoe na kampun ya kubet tujue idea zinatoka sehem moja tu kwa Diamond,,,, diamond alikuja na karanga ukainga na energy drink sasa ni radio mbn mnapita Kwenye nyayo za chibude akitoa nyayo mnataka kuingia nyie toeni ata app ya umbea bas tujue mmeanzisha wenyew yy ndo kafata ,,mond wa tafutie idea nyingine 😅😅
Mshamba wewe ingekuwa hivyo basi mo na bakresa wasinge kaa pamoja Tanzania maana bizaa wanauza Aina moja acha mambo yahovyo yy mondi kwani haja iga nae
@@rashidiabdalahmkwanga7409 we kumbe ujielewi mm nikutangulie kimuzik uje nyuma unipiku mbali alaf ufanye kitu na mm nifanye kitu icho nasio kimoja kila unachoanzisha mm nakuja apo nyuma haipo iyo anayeteseka nani apo stress zinafanya unawaza mond anajifanya anaredio ngoja na mm nifungue asinitishe sasikupotea uko tunatakusika kiba kaja nakitu fulan alaf ndo wakina mondi wanafata fata apo nyuma upo hao ni maasimu sio wakina bakhresa havifanan kabisa
I really like these guys, they show us the meaning of love , true friendship and joy
Napenda watu wenye shukran na upendo unaodumu❤❤❤❤ nawapenda kiba na Ommy mbarikiwe
Hii nimeifungua mara kumi kumi jamaniiiiii imenifurahisha sanaaaaa😂😂😂ommy ...alikiba ❤❤❤
Kumbe ndugu yetu Ommy ni comedian...❤ from msa Kenya
Kaka huna baya sio mtu wa kujikweza tajiri masikini wako pambana sana kiukweli mwenyezi Mungu akubariki mara zote kadri alivyo kupangia hakuna wa kuku toa kwenye njia salute to you blood .
Ommy Dimpoz ana shukrani sana Mungu awabariki sana❤❤
Afu ommy stand up comedy anaiweza sana😂😂😂
Mzee baba, tujuwane hapa... 😆 😆
Kaka Nawapenda.Alikiba anaga makuuu nampenda
Wow 👌 my super star 🌟 🤩
❤❤❤❤❤ nawa penda sana ndungu zangu
Mkumbuke Ommy ni Congolais muluba kwakuva ajambo ; tumpe mauwa ommy❤❤❤❤❤
Kuuguwa sio kufa jamani Alhamdullah omary anatufurahisha kapitia magumu leo yupo imala Alhamdullah mungu mkubwa jamani
Mie nawapenda tu❤
Hii Ndo maana halisi ya kuwa mfalme🎉,,anaelewana Sana na watu ,,hongereni kingkiba&omydmpoz
Saana
Ahaha nilichogundua ommy comedian mzurii sana
Omary Nyembo!! Una vipaji viingi sana... 😂😂😂❤
Omy dimpoz amegundua kua comedy inalipa kuliko bongo fleva 😂
😂😂😂😂😂Nawapenda hao watu
Why Crown and not Kings? Anyway congrats👏👏👏
nawapenda sana hao watu jamani mungu azidi kuwaweka❤❤❤❤
😂😂😂 Kweli Omi Mwandaazimu sana huyu😅😅
Kong kiba😂❤❤❤nakupenda bure❤❤❤😂
Jamaa anastailiii kuwepo Cheka tu😂
I love these guys....
Ommy nipe mauwa yangu ❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nomaaa sanaaaa hiii nimeipenda
Good life brothers
Alikiba hana tatizo hana mbwembwe toka kitambo toka bongo fleva inaanza
Dah Ommy noma sana
@ommydimpoz anafaa kuwa comedian 😄😄😄😄😄
Kiiba ka kitambaa next time hiyo kupanguza jasho Kwa vidole si poa Kwa number one Superstar...
Dah ! Ommy he is comedian, ametoa msg kwa entertainment.
Tuna wapenda sana
Nawapenda sana ❤❤❤
Ur the best ommy❤
Nimeipenda Sanaa hii😂😂😂😂
Yaani ali na ommy nawapenda saaaaaaaaaana❤
Hii ni stand up comedy au 😅😅😅😅
Kweli ommydimpoe comedia😂😂❤😂
Ommy is really talented
Ommy comedian
Sikujua kama Ommy ni comedian mzuri 😅
Watu wangu😂😂😂😂😂❤❤❤❤
🔥
Kitu cha halali watu wako free kbsaa lkn kuleee mmhhh
Ommy Dimpoz ukweli ana Talanta afungue kituo Cha vichekesho
R.m.s fashion
❤❤
Omy ni comedian kila siku...sema hataki kufanya comedy serious
Omy unajua comedy kuliko mziki😂😂😂😂
Ommy unafaa kuwa comedian 😂😂
Goody breather king vijana wengi tuige mfano
😂😂😂 yaaani ommy duh
Nakukubali kiba mfalme
King kiba na ommy ni ndugu
Ommy hujawaza kufanya stand-up comedy 😂😂
Nyie ommy 😂😂
Dimpozi anaucheshi sana
Sarut boss wetu
Ommy dimpoz ni katuni kabsaaa 😂😂😂😂😂 kudadadeeeeeq
Nimecheke sana kama mwehu
Mungu awalinde sana😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
Ommy na alikiba nimalafiki xana wametoka mbali xana
Unyama mwingi kiba
Ommy Dimpoz nenda Cheka Tu
Ommy
Hao nimarafiki wa kweli
😂😂😂😂 omy ni mwehu😅😅
Ommy dimpoz comedian
Urafiki mtamu 😂😂
😂😂😂😂😂😂ndugu kabisa hawa
lkn ndo maisha ,, We leo una redio R kelly ako jela🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅
Bonge comedian
Sikupingi kiba king wa making
😂😂😂boss simbaaa
Ommy d nimchekeshaji kabisa😂😂😂🎉
😂😂😂mbavu zangu hawa watu hakuna waku watenganisha
Kabsa😂😂
Kabisa Allah awaweke walahii
😂😂
Ommy ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Yani nyie mnanifuraisha
❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅
Amekuwa mchekeshaji
kumbe hadi ninyi mnapiga simu kwawa ganga zenu
Ommy 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tunataka utoe na kampun ya kubet tujue idea zinatoka sehem moja tu kwa Diamond,,,, diamond alikuja na karanga ukainga na energy drink sasa ni radio mbn mnapita Kwenye nyayo za chibude akitoa nyayo mnataka kuingia nyie toeni ata app ya umbea bas tujue mmeanzisha wenyew yy ndo kafata ,,mond wa tafutie idea nyingine 😅😅
Mshamba wewe ingekuwa hivyo basi mo na bakresa wasinge kaa pamoja Tanzania maana bizaa wanauza Aina moja acha mambo yahovyo yy mondi kwani haja iga nae
@@rashidiabdalahmkwanga7409 we kumbe ujielewi mm nikutangulie kimuzik uje nyuma unipiku mbali alaf ufanye kitu na mm nifanye kitu icho nasio kimoja kila unachoanzisha mm nakuja apo nyuma haipo iyo anayeteseka nani apo stress zinafanya unawaza mond anajifanya anaredio ngoja na mm nifungue asinitishe sasikupotea uko tunatakusika kiba kaja nakitu fulan alaf ndo wakina mondi wanafata fata apo nyuma upo hao ni maasimu sio wakina bakhresa havifanan kabisa
Mommy anaga baya na mtu
Edit hio ommy.
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂