NABII NAMBA7 - ''WALIOPOKEA PESA za GEORDAVIE ARUSHA SOKONI HALI MBAYA - GOODLUCK AMECHOCHEA VITA''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 126

  • @phestostanley4019
    @phestostanley4019 8 дней назад +6

    Good luck tunmuombea , na kumfunika kwa damu ya Yesu..nafuta maneno yako juu ya Goodluck kwa damu ya Yesu.

  • @JudyNMichael
    @JudyNMichael 6 дней назад +1

    Hajakosea yuko sahihi amechoma pepo na pia tayar n mali yake na anauwezo wa kufanyia chochote Ambao wanakubaliana na mim gonga like zenu hapa

  • @mbakiutc4333
    @mbakiutc4333 7 дней назад +3

    Wewe kama ni nabii muombee huyo Goodluck. Acha ujuaji.

  • @HappinessShayo-k3o
    @HappinessShayo-k3o 7 дней назад +2

    Shindwa katika jina la yesu goodluck hata kufa bali ataishi katika jina la yesu kristo aliye hai

  • @InnocentBirdNest-nl4eg
    @InnocentBirdNest-nl4eg 8 дней назад +4

    Jamani jamaniiiiiiiiiiiii jamaniiiiiiiiii gudluck hajasema hiyo gar ilikuwa na uchawi jamaniiii wabongooo khaaaa amesema kuna mtu alitaka kumua kupitia hilo gari na siyo gdevi mbn mnasema vby goodluck simsikilize interview yake

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 9 дней назад +8

    KILA SILAHA ILIYOFANYIKA DHIDI YA GOODLUCK HAITAFANIKIWA KWA JINA LA YESU/YAHSHUA. GOODLUCK YUKO SAHIHI na Mungu atamlinda, wewe Nabii ni mfuasi wa huyo Bwana wa Arusha, endelea naye Ila mwisho wenu utajulikana tu.

  • @evapaulo2706
    @evapaulo2706 5 дней назад

    Kwa jina la Yesu ,Goodluck hafi,na anastasia sana kiroho na kimwili,Goodluck mwanangu songa mbele

  • @irenendauka4353
    @irenendauka4353 9 дней назад +9

    Utakufa wewe nabii 🤣🤣 Mungu wa Goodluck ananguvu ya ajabu

  • @StelaMwombeki
    @StelaMwombeki 7 дней назад

    Amina

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 9 дней назад +1

    Kumbe ww nabii waga unakili ❤ achana na makasongo eehe

  • @reginahmwanza7887
    @reginahmwanza7887 6 дней назад

    Kama wewe n mtumishi wa Mungu mbona unasema atakufa 😢😢😢

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 8 дней назад

    Hakuna aliye sawa katika dunia hii !! Cha msingi chunga nafsi yako, simama na Mungu wako !!

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 8 дней назад

    Shindwa kwa jina la Yesu hafi

  • @EmmanuelMarceli
    @EmmanuelMarceli 7 дней назад

    Huna unabii wowote na wewe upo hatarini, sijui ni Mungu yupi unamtafuta haupo salama na wewe

  • @evapaulo2706
    @evapaulo2706 5 дней назад

    Nashindwa kukuelewa mtumishi,unataka kuniambia Goodluck asikilize watu badala ya kumsikiliza Mungu?Acha kutishia watu ,Goodluçk amefanya kitu cha kishujaa,Amemtii Mungu ,hata kama alikosea mwanzo ,kaamua kumfata Mungu Kweli

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 9 дней назад +7

    Kesho watakuongelea na wewe kwa namna nyingine mbaya! Usiweke miiba kwenye njia unayopita

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 дней назад

      Heri kutoa kuliko kupokea. Duniani hakuna kitu cha bure. Kama kweli wana upendo wa kweli watanzania wangapi masikini hata mlo mmoja ni shida na hawawasaidii!? Unapewa pesa ama gari kwa kubadilishana na kipawa chako cha thamani ulichopewa na Mungu.

    • @samuelngumbau818
      @samuelngumbau818 8 дней назад

      Mwambie huyo

    • @prophetdlnjeni1763
      @prophetdlnjeni1763 8 дней назад

      Huyu

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 9 дней назад +1

    Amina baba

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 9 дней назад +3

    Hii yote minabii ya uongo 😂😂😂, duuh unajisikiaje kua nabii wa uongo ulotabiriwa miaka hiyo ilopita ni aibu na laana ya kujishtukia

  • @nikalegona145
    @nikalegona145 8 дней назад

    Kwa jina la yesu hatawahi kufa akiwa kijana

  • @EmmanuelMarceli
    @EmmanuelMarceli 7 дней назад

    Kutokana na maelezo yako nabii mkuu hata asipo kujibu ujue fika mafuta yaliyo juu yake hayata kuacha salama, wote na gudluck hampo salama, atakavokauka gudluck na wewe ndivo utavokauka,

    • @japhetlugulu8263
      @japhetlugulu8263 6 дней назад

      Wakauke kwa sababu gani? Kwani huyo Geordavie ana mamlaka kwenye maisha ya mtu?

  • @johnmeshack4431
    @johnmeshack4431 8 дней назад +1

    Ee mungu tufugue macho❤❤😂

  • @JojoJoji-h8g
    @JojoJoji-h8g 9 дней назад +1

    Je nabii namba 7 umeacha kuwatuma watu wakaweke vitu kwa watu ili ukachimbue useme eti zimewekwa na waganga kumbe ni utapeli uwe makin maana mambo yako ni mengii watu watafunguka adi ukose pa kuweka macho kama wengine ni waungo wew sasa ndyo namba moja kwa uongo.

    • @MejackPaul
      @MejackPaul 8 дней назад

      😂😂😂😂

    • @Sahra3718
      @Sahra3718 8 дней назад

      😮😮😮dunia ina mambo

  • @SijaonaMajala
    @SijaonaMajala 9 дней назад +1

    Kama wewe ni nabii mbona mnakurana kuhumana ahuwezi kumfikia nabii mkuu nyenyekea mungu ndo akuinuwe cyo hujiinuwe mwenyewe

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 7 дней назад

    Mwache Goodluck. Hujui hata unachosema. Kwani katika kitabu cha Matendo ya mitume vilichomwa vingapi vya mabilioni vilivyokuwa na misingi ya miungu migeni? Laana ya Gehazi ilitokana na nini? Si kwa sababu Elisha alimkataza kupokea zawadi toka kwa yule Jemadari toka Sidoni? Wasidoni walikuwa wanaabudu zaidi ya miungu elf 3. Na kila mali ya milki yao walikabidhi kwa miungu yao kabla ya chochote kile. Someni biblia jamani jamani. BIG UP GOOD LUCK. You remain a Hero. Malaika wanashangilia, Good luck achana na vipofu na viziwi. Songa mbele mwanangu. Safi sana. Natamani nivae bango kupongeza uamuzi wako.

  • @NehemiaBuriba
    @NehemiaBuriba 8 дней назад +1

    Ange kuwa mtumishi wakweli kwamungu alie hai zawad hizo angekuwa anawapa wasio jiweza

  • @brendakinenekejo8464
    @brendakinenekejo8464 6 дней назад

    Jmm umesikiliza interview ya Godl? Mbona unaongea tuuu 😢😢😢 naogopa sana

  • @MamaHanisa-i8z
    @MamaHanisa-i8z 9 дней назад +5

    Alhamdulilllah Niko kwa neema am happy to be a muslim❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @Tabitha-g7p
    @Tabitha-g7p 5 дней назад

    He did the right thing,what were you expecting,nothing is going to happen in Jesus name,you cannot talk that to someone.goodluck you will not die in Jesus name.

  • @HamisSalum-j1w
    @HamisSalum-j1w 8 дней назад +1

    Dini ya kweli ni Islam tuu,kataa kubali dini islam.acheni usanii

    • @linusmassawe-f4p
      @linusmassawe-f4p 8 дней назад

      Acha kupotosha kwanza amna dini ya kweli duniani zaidi ya imani zetu iyo dini nikikuuliza ukweli wake huwezi nijibu na ndio maana waafrica tunafeli kila kukicha kwasababu ya kuishi kwenye imani za watu waarabu walio tulisha imani zao nazani machafu yao na roho mbaya zao vipo wazi na wazungu walio tupa iman zao machafu yao pia yapo wazi na wao wanaishi kwenye iman zao ndio maana wanazidi kufanikiwa ila ss tumekimbia zetu tunazidi kufeli dini ni biashara za watu tusichukiane wala kutengana kwasababu za iman za watu

    • @mohsixtus7048
      @mohsixtus7048 8 дней назад

      Ukirsto siyo dini kaka. Kumkiri Yesu kuwa Bwana na mokozi that's enough kuuona ufalme wa Mbinguni, dini itakupeleka kuzimu shtuka kaa kijanja.

  • @ChristinaChambiri
    @ChristinaChambiri 9 дней назад

    Baba mungu akubariki

  • @samweli7985
    @samweli7985 9 дней назад

    ❤❤❤❤🎉😂😂mungu akulinde sana, nabii namba saba

  • @PaulinMulundu-z4n
    @PaulinMulundu-z4n 7 дней назад

    Kwa nini munachoma uchawi ? Nayeye amechoma jeneza, wewe unaona gari, godlyck aatakufa, Mungu atamulinda

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 6 дней назад

    Ukiishapewa umepewa na aliyekupa hauwezi kikudai kwa kuwa alishakupa hata ukiuza au kugawa au kufanya chochote kiukweli ni yako

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 7 дней назад

    Bora umesema ukweli kumbe uwa munachunguria 😂😂😂😂

  • @Charlzlomo
    @Charlzlomo 9 дней назад +3

    Acheni uhubili kiki uliojaa ujinga ndani yake ili kupotosha imani na kushambulia mtu bila ushaidi ili upate wafuasi upuuzi

    • @EmmanuelMarceli
      @EmmanuelMarceli 7 дней назад

      Mjinga huyu na hana maisha marefu labda Mungu amrehemu tu vinginevo atakufa

  • @SijaonaMajala
    @SijaonaMajala 9 дней назад

    Wewe ni mtumishi wa mungu acha kushabikia usichokijuwa huo ni huongo2

  • @lucywairimu2330
    @lucywairimu2330 5 дней назад

    Shetani ako dunia zima kma ni kuchoma atachoma Sanaa paka Bank cos wanaweka vtu viao hko ni utoto wa kiroho..pia sheria ijakubari kuchoma mali angeitakasa then abariki mtu nayo 3yrs ijafa n utoto huo ama upungufu wa kiroho

  • @LyimoTv
    @LyimoTv 5 дней назад

    Wewe mwenyewe walewale

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 6 дней назад

    Uongo uongo hajasema mambo ya nyota tulieni mle ugali issue hii ni Mungu na Gozbert mtulie

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 7 дней назад

    Wewe mwenywe ni shoti kati unawajuwaje wewe wacha mungu ahukuhu siyo wewe uhuku unahukumu kama nani mungu wewe ukihumu utahukumiwa wacha uongo wewe nabii gani wewe wote ni wale wale

  • @RamadhanKitama
    @RamadhanKitama 9 дней назад

    🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwasauti akati ni usiku, eti "afanyaje sasa" 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 9 дней назад

    😂😂😂😂unataka sadaka ihalibu mambo atutak sadaka yako 😂😂😂

  • @DeonisBihopho
    @DeonisBihopho 7 дней назад

    Uislamu si dini ya kweli acha uwongo.ingekuwa dini ya kweli majini ambayo ni mapepo yangesilimishwa na Mt Muhammad pia shetani naye kasilimishwa .majini yanasali misikitini na ubani unafukizwa.hebu fikiria waislamu,Allah na malaika Tau wanamuombea mtume Muhammad kwa nani?Allah naye anamuombea mtume kwa nani?wakati MUNGU WA mbinguni ni alfa na omega.

  • @martinwangwe8966
    @martinwangwe8966 8 дней назад

    Mtu akitoa gari ni shida, mtu akifanya miujiza ni shida..watu wanapenda mchungaji awe maskini na afundishe neno tu na hapo utakua rafiki wa wote.

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 9 дней назад +1

    Kupenda vya bure ndo chanzo Cha Africa kua masikini. Kafara sio uchawi. Bibilia imejaa kafara

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 9 дней назад

      Sidhani kama Mungu WA kweli anahitaji kafara kuna kitu hapa.
      Yeye aliumba kila kitu halafu tumzawadie kafara.

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 дней назад

      Unahitaji kujifunza zaidi biblia kuhusu kafara.

  • @MariaEvance
    @MariaEvance 9 дней назад +1

    Wanapewa wana network za kichawi hao wasanii niwashirikina ujue

  • @mwana3887
    @mwana3887 8 дней назад

    Hii kauli ya Usipende vya bure nchi yako yenyewe inapokea misaada kutoka kwa wazungu kwa hiyo nchi yako tayari imeshachukuliwa ndoto

  • @valentinemagige1840
    @valentinemagige1840 8 дней назад

    Wewe si mshamba NI tiara WA injili. Acha wivu.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 8 дней назад

    Kila mmoja anaishi kivyake msimpangie

  • @WansolaLuther-tq8qm
    @WansolaLuther-tq8qm 8 дней назад

    Namba 7 we Mwenyewe tapeli, kwanini ulimwacha mkeo wa kwanza mnyaturu ukaoa mwingine mchaga?

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 7 дней назад

    Ww no.7 ujasoma habari ya Elisha,Naaman mwenyebukoma na mtumishi wa Elisha?
    Kwa nn Elisha alikataa sadaka ya Naamani na mtumishi wake kwenda kuchukua sadaka kwa siri,nn kilimpata?Godluck yupo sahihi na hatakufa ataishi na huduma yake itaendelea na kustawi

  • @pastorsara7893
    @pastorsara7893 День назад

    Ameongea ukweli kabisa

  • @BENEDICTMHINA-pd1kr
    @BENEDICTMHINA-pd1kr 7 дней назад

    Huyu anaropoka

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 7 дней назад

    Hayo ni majigambo tu no.7 hamna kitu ,kuna manabii akina Eliya Elisha,Jeremia nk hatukuwahi kusikia na majina kama mnavyojiita ninyi manabii mliyojiita
    na kujipachika majina eti jenerali wa manabii mmmmh.watumishi ninyi?????

  • @amosmagesa7512
    @amosmagesa7512 8 дней назад

    Nyinyi wavivu amfanyi kazi kwa bidii unapewa msaada unamlaumu mtu si ukatae Kwan ulilazimishwa fala unamaliza bando

  • @nikalegona145
    @nikalegona145 8 дней назад

    Nigekuwa naweza kurecord voice ndefu sana

  • @peterjohnbahhi1565
    @peterjohnbahhi1565 8 дней назад

    Wewe n8 zaidi ya tahira

  • @ME-kb8rk
    @ME-kb8rk 9 дней назад

    Wewe MCHAWI Hakuna NABII

  • @YasserSuleiman-s5y
    @YasserSuleiman-s5y 9 дней назад +1

    Christina shusho

  • @RoseKimishabhalemi
    @RoseKimishabhalemi 8 дней назад

    Atamuua mwenye gali

  • @mankamushi1374
    @mankamushi1374 9 дней назад +1

    Acha kuhukumu usije ukaukumiwa ata wewe ni nabii angalia yako yule ni meli

  • @valentinemagige1840
    @valentinemagige1840 8 дней назад

    Generali wa upako my foot.

  • @AnatoliMayot
    @AnatoliMayot 8 дней назад

    mlimani Kila siku ubarikiwe mtumishi

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 9 дней назад +1

    Acha Ushamba Wewe Ni Nabii Yupi Unabii Upiii ulishawahi Kutoa ikatimia acheni kiki Nyie

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 7 дней назад

    Hahahahaa kunasa wazo la MUNGU

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 9 дней назад +1

    Wewe Acha ujinga wa kuchambana mtandaoni fanya kazi uloitiwa achana na Jo dev hukumwita wewe kama ni mchawi Mungu atamwangamizaa wewe fanya yako mawe ya meru yalikushinda ukakimbia a

  • @MariaEvance
    @MariaEvance 9 дней назад

    Shetani anaweza akukupa kitu ukazani ni Mungu baada ya miaka kupita ukweri utazihilika haacheni kutetea ujinga

  • @EmmanuelMarceli
    @EmmanuelMarceli 7 дней назад

    Mtafute nabii mkuu utengeneze utakufa wewe, usicheze na mafuta yaliyojuu yake, utakufa, utakufa, utakufa, wewe siyo nabii coz huoni, unaona kwa kupapasa

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 8 дней назад

    Nyota ipi ilibiwa

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 8 дней назад

    Shindwa kabisa, wewe na wewe tapeli tu, nabii gani wewe mwizi

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 9 дней назад

    Hata hiyo gari ni uchawi tuu utatembeaje na gari ya kiuchawiiiii

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 8 дней назад

    Acha hizo, ndugu,bado wewe,ushidwe kujipanga usingizie Geo dev,

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 6 дней назад

    Unaongea nini wewe unayeuza maji na mafuta au siyo wewe uliyefungua kanisa Babati?! Maji nusu lita elf 20 mafuta kachupa kadogo elfu 40

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 8 дней назад

    Ila waikristu mnakazi hawa ndio manabii wenu? Mtihan

  • @YohanaMchala
    @YohanaMchala 9 дней назад +1

    Na wewe nabii wa uongo hakuna wa kukuamin

    • @samweli7985
      @samweli7985 9 дней назад +1

      Unajuwa nabii wa uwoongo wewe? Au unaropoka tu kwamba mama wa uswazi

  • @PascalSabonga
    @PascalSabonga 8 дней назад

    WAPENDA VYA BUREE KIMEWALAMBA

  • @MamaHanisa-i8z
    @MamaHanisa-i8z 9 дней назад

    Hiyo ndo shida ya maskini pesa yako peleka kwa wazeee ama maskini na mayatima mungu ndo ameamrisha wapelekea watu Wana weza jitafutia 😂😂😂😂😂

  • @maxmillanayo2979
    @maxmillanayo2979 9 дней назад +1

    🤣🤣kweli watu mpo kwenye giza,wewe mwenyewe maneno yako ni giza tupu,kwahy huo moto unaowasha kwenye biblia imeandikwa wapi kwamba uwashe moto wa kuonekana kwa macho!!!

  • @AbutwalibuMohamedy
    @AbutwalibuMohamedy 9 дней назад

    Mnafahamiana kwa tabia zenu mambo yenu na vitendo vyenu vitawaumbua.

  • @SimbaJumanne
    @SimbaJumanne 8 дней назад

    Nyie wote wapumbabu tuuu mafala tuuu achen kiki hakuna kafala hapoooo

  • @KuratiMarwa
    @KuratiMarwa 8 дней назад

    Kuna Vitu huvielewi mtumishi , hiyo haikuwa gari ni jini Hilo gari Gani inageuka kuwa JENEZA mara joka ?

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 9 дней назад

    Kama sport light macho yako ...janja janja nyingi kama ni kwenye mziki unatakiwa upige tumba....drums huwezi

  • @SijaonaMajala
    @SijaonaMajala 9 дней назад

    Wewe ukichafuliwa unasemaje?

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 9 дней назад

    Huyu mchungaji hata sadaka anawekewa silva njaa yake ni KALI.. hivi huyu sio mmasai kweli ?

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 9 дней назад

    Ombea baba watu wapone

  • @YohanaMchala
    @YohanaMchala 9 дней назад

    Na wewe nabii wa uongo hakuna atakumin

  • @rahma6189
    @rahma6189 8 дней назад

    Anarudisha la nini naalipewa sinilakwake

  • @SijaonaMajala
    @SijaonaMajala 9 дней назад

    Mwambie achome na milionisita

  • @FrancoisMangala
    @FrancoisMangala 9 дней назад

    Ile gari ndo uchawi ndomana alichoma

  • @annaombay9417
    @annaombay9417 8 дней назад

    😂😂😂

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 9 дней назад

    Hahha😂😂😂

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 9 дней назад

    Mashimo Yuko poa na Leo alikua hemani

  • @DorcasSamwel-cp5fc
    @DorcasSamwel-cp5fc 9 дней назад

    Unamaanisha nini??

  • @mtalemwadenis1500
    @mtalemwadenis1500 9 дней назад

    Nipe. Mimi hayo magari
    Tuone ka nitafeli, washenzi nyie

  • @FrolaMwanja-yk1ck
    @FrolaMwanja-yk1ck 9 дней назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @magrethlwaga955
    @magrethlwaga955 6 дней назад

    Hujielewi

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 8 дней назад

    Matapeli wote nyie

  • @MagesaMachota
    @MagesaMachota 9 дней назад

    Hivyo gari nyuma niyanani
    umeamuwa kupigia picha

  • @siphaeldavid206
    @siphaeldavid206 8 дней назад

    We mshamba tuu huna lolote

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 9 дней назад

    Acha acromegaly siyakwake kashapewa