Jamani jamaniiiiiiiiiiiii jamaniiiiiiiiii gudluck hajasema hiyo gar ilikuwa na uchawi jamaniiii wabongooo khaaaa amesema kuna mtu alitaka kumua kupitia hilo gari na siyo gdevi mbn mnasema vby goodluck simsikilize interview yake
KILA SILAHA ILIYOFANYIKA DHIDI YA GOODLUCK HAITAFANIKIWA KWA JINA LA YESU/YAHSHUA. GOODLUCK YUKO SAHIHI na Mungu atamlinda, wewe Nabii ni mfuasi wa huyo Bwana wa Arusha, endelea naye Ila mwisho wenu utajulikana tu.
Nashindwa kukuelewa mtumishi,unataka kuniambia Goodluck asikilize watu badala ya kumsikiliza Mungu?Acha kutishia watu ,Goodluçk amefanya kitu cha kishujaa,Amemtii Mungu ,hata kama alikosea mwanzo ,kaamua kumfata Mungu Kweli
Heri kutoa kuliko kupokea. Duniani hakuna kitu cha bure. Kama kweli wana upendo wa kweli watanzania wangapi masikini hata mlo mmoja ni shida na hawawasaidii!? Unapewa pesa ama gari kwa kubadilishana na kipawa chako cha thamani ulichopewa na Mungu.
Kutokana na maelezo yako nabii mkuu hata asipo kujibu ujue fika mafuta yaliyo juu yake hayata kuacha salama, wote na gudluck hampo salama, atakavokauka gudluck na wewe ndivo utavokauka,
Je nabii namba 7 umeacha kuwatuma watu wakaweke vitu kwa watu ili ukachimbue useme eti zimewekwa na waganga kumbe ni utapeli uwe makin maana mambo yako ni mengii watu watafunguka adi ukose pa kuweka macho kama wengine ni waungo wew sasa ndyo namba moja kwa uongo.
Mwache Goodluck. Hujui hata unachosema. Kwani katika kitabu cha Matendo ya mitume vilichomwa vingapi vya mabilioni vilivyokuwa na misingi ya miungu migeni? Laana ya Gehazi ilitokana na nini? Si kwa sababu Elisha alimkataza kupokea zawadi toka kwa yule Jemadari toka Sidoni? Wasidoni walikuwa wanaabudu zaidi ya miungu elf 3. Na kila mali ya milki yao walikabidhi kwa miungu yao kabla ya chochote kile. Someni biblia jamani jamani. BIG UP GOOD LUCK. You remain a Hero. Malaika wanashangilia, Good luck achana na vipofu na viziwi. Songa mbele mwanangu. Safi sana. Natamani nivae bango kupongeza uamuzi wako.
He did the right thing,what were you expecting,nothing is going to happen in Jesus name,you cannot talk that to someone.goodluck you will not die in Jesus name.
Acha kupotosha kwanza amna dini ya kweli duniani zaidi ya imani zetu iyo dini nikikuuliza ukweli wake huwezi nijibu na ndio maana waafrica tunafeli kila kukicha kwasababu ya kuishi kwenye imani za watu waarabu walio tulisha imani zao nazani machafu yao na roho mbaya zao vipo wazi na wazungu walio tupa iman zao machafu yao pia yapo wazi na wao wanaishi kwenye iman zao ndio maana wanazidi kufanikiwa ila ss tumekimbia zetu tunazidi kufeli dini ni biashara za watu tusichukiane wala kutengana kwasababu za iman za watu
Shetani ako dunia zima kma ni kuchoma atachoma Sanaa paka Bank cos wanaweka vtu viao hko ni utoto wa kiroho..pia sheria ijakubari kuchoma mali angeitakasa then abariki mtu nayo 3yrs ijafa n utoto huo ama upungufu wa kiroho
Wewe mwenywe ni shoti kati unawajuwaje wewe wacha mungu ahukuhu siyo wewe uhuku unahukumu kama nani mungu wewe ukihumu utahukumiwa wacha uongo wewe nabii gani wewe wote ni wale wale
Uislamu si dini ya kweli acha uwongo.ingekuwa dini ya kweli majini ambayo ni mapepo yangesilimishwa na Mt Muhammad pia shetani naye kasilimishwa .majini yanasali misikitini na ubani unafukizwa.hebu fikiria waislamu,Allah na malaika Tau wanamuombea mtume Muhammad kwa nani?Allah naye anamuombea mtume kwa nani?wakati MUNGU WA mbinguni ni alfa na omega.
Ww no.7 ujasoma habari ya Elisha,Naaman mwenyebukoma na mtumishi wa Elisha? Kwa nn Elisha alikataa sadaka ya Naamani na mtumishi wake kwenda kuchukua sadaka kwa siri,nn kilimpata?Godluck yupo sahihi na hatakufa ataishi na huduma yake itaendelea na kustawi
Hayo ni majigambo tu no.7 hamna kitu ,kuna manabii akina Eliya Elisha,Jeremia nk hatukuwahi kusikia na majina kama mnavyojiita ninyi manabii mliyojiita na kujipachika majina eti jenerali wa manabii mmmmh.watumishi ninyi?????
Wewe Acha ujinga wa kuchambana mtandaoni fanya kazi uloitiwa achana na Jo dev hukumwita wewe kama ni mchawi Mungu atamwangamizaa wewe fanya yako mawe ya meru yalikushinda ukakimbia a
🤣🤣kweli watu mpo kwenye giza,wewe mwenyewe maneno yako ni giza tupu,kwahy huo moto unaowasha kwenye biblia imeandikwa wapi kwamba uwashe moto wa kuonekana kwa macho!!!
Good luck tunmuombea , na kumfunika kwa damu ya Yesu..nafuta maneno yako juu ya Goodluck kwa damu ya Yesu.
Hajakosea yuko sahihi amechoma pepo na pia tayar n mali yake na anauwezo wa kufanyia chochote Ambao wanakubaliana na mim gonga like zenu hapa
Wewe kama ni nabii muombee huyo Goodluck. Acha ujuaji.
Shindwa katika jina la yesu goodluck hata kufa bali ataishi katika jina la yesu kristo aliye hai
Jamani jamaniiiiiiiiiiiii jamaniiiiiiiiii gudluck hajasema hiyo gar ilikuwa na uchawi jamaniiii wabongooo khaaaa amesema kuna mtu alitaka kumua kupitia hilo gari na siyo gdevi mbn mnasema vby goodluck simsikilize interview yake
KILA SILAHA ILIYOFANYIKA DHIDI YA GOODLUCK HAITAFANIKIWA KWA JINA LA YESU/YAHSHUA. GOODLUCK YUKO SAHIHI na Mungu atamlinda, wewe Nabii ni mfuasi wa huyo Bwana wa Arusha, endelea naye Ila mwisho wenu utajulikana tu.
Kwa jina la Yesu ,Goodluck hafi,na anastasia sana kiroho na kimwili,Goodluck mwanangu songa mbele
Utakufa wewe nabii 🤣🤣 Mungu wa Goodluck ananguvu ya ajabu
Amina
Kumbe ww nabii waga unakili ❤ achana na makasongo eehe
Kama wewe n mtumishi wa Mungu mbona unasema atakufa 😢😢😢
Hakuna aliye sawa katika dunia hii !! Cha msingi chunga nafsi yako, simama na Mungu wako !!
Shindwa kwa jina la Yesu hafi
Huna unabii wowote na wewe upo hatarini, sijui ni Mungu yupi unamtafuta haupo salama na wewe
Nashindwa kukuelewa mtumishi,unataka kuniambia Goodluck asikilize watu badala ya kumsikiliza Mungu?Acha kutishia watu ,Goodluçk amefanya kitu cha kishujaa,Amemtii Mungu ,hata kama alikosea mwanzo ,kaamua kumfata Mungu Kweli
Kesho watakuongelea na wewe kwa namna nyingine mbaya! Usiweke miiba kwenye njia unayopita
Heri kutoa kuliko kupokea. Duniani hakuna kitu cha bure. Kama kweli wana upendo wa kweli watanzania wangapi masikini hata mlo mmoja ni shida na hawawasaidii!? Unapewa pesa ama gari kwa kubadilishana na kipawa chako cha thamani ulichopewa na Mungu.
Mwambie huyo
Huyu
Amina baba
Hii yote minabii ya uongo 😂😂😂, duuh unajisikiaje kua nabii wa uongo ulotabiriwa miaka hiyo ilopita ni aibu na laana ya kujishtukia
Kwa jina la yesu hatawahi kufa akiwa kijana
Kutokana na maelezo yako nabii mkuu hata asipo kujibu ujue fika mafuta yaliyo juu yake hayata kuacha salama, wote na gudluck hampo salama, atakavokauka gudluck na wewe ndivo utavokauka,
Wakauke kwa sababu gani? Kwani huyo Geordavie ana mamlaka kwenye maisha ya mtu?
Ee mungu tufugue macho❤❤😂
Je nabii namba 7 umeacha kuwatuma watu wakaweke vitu kwa watu ili ukachimbue useme eti zimewekwa na waganga kumbe ni utapeli uwe makin maana mambo yako ni mengii watu watafunguka adi ukose pa kuweka macho kama wengine ni waungo wew sasa ndyo namba moja kwa uongo.
😂😂😂😂
😮😮😮dunia ina mambo
Kama wewe ni nabii mbona mnakurana kuhumana ahuwezi kumfikia nabii mkuu nyenyekea mungu ndo akuinuwe cyo hujiinuwe mwenyewe
Mwache Goodluck. Hujui hata unachosema. Kwani katika kitabu cha Matendo ya mitume vilichomwa vingapi vya mabilioni vilivyokuwa na misingi ya miungu migeni? Laana ya Gehazi ilitokana na nini? Si kwa sababu Elisha alimkataza kupokea zawadi toka kwa yule Jemadari toka Sidoni? Wasidoni walikuwa wanaabudu zaidi ya miungu elf 3. Na kila mali ya milki yao walikabidhi kwa miungu yao kabla ya chochote kile. Someni biblia jamani jamani. BIG UP GOOD LUCK. You remain a Hero. Malaika wanashangilia, Good luck achana na vipofu na viziwi. Songa mbele mwanangu. Safi sana. Natamani nivae bango kupongeza uamuzi wako.
Ange kuwa mtumishi wakweli kwamungu alie hai zawad hizo angekuwa anawapa wasio jiweza
Jmm umesikiliza interview ya Godl? Mbona unaongea tuuu 😢😢😢 naogopa sana
Alhamdulilllah Niko kwa neema am happy to be a muslim❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Kwani umeulizwa kuhusu lidini lako
😄 🤣 😂
Mhh nyinyi wakufuga majini na kuwapenda waganga na mauganga😮
Ushapotea wewe subir moto 😅
Wafuga majin nyiee
He did the right thing,what were you expecting,nothing is going to happen in Jesus name,you cannot talk that to someone.goodluck you will not die in Jesus name.
Dini ya kweli ni Islam tuu,kataa kubali dini islam.acheni usanii
Acha kupotosha kwanza amna dini ya kweli duniani zaidi ya imani zetu iyo dini nikikuuliza ukweli wake huwezi nijibu na ndio maana waafrica tunafeli kila kukicha kwasababu ya kuishi kwenye imani za watu waarabu walio tulisha imani zao nazani machafu yao na roho mbaya zao vipo wazi na wazungu walio tupa iman zao machafu yao pia yapo wazi na wao wanaishi kwenye iman zao ndio maana wanazidi kufanikiwa ila ss tumekimbia zetu tunazidi kufeli dini ni biashara za watu tusichukiane wala kutengana kwasababu za iman za watu
Ukirsto siyo dini kaka. Kumkiri Yesu kuwa Bwana na mokozi that's enough kuuona ufalme wa Mbinguni, dini itakupeleka kuzimu shtuka kaa kijanja.
Baba mungu akubariki
❤❤❤❤🎉😂😂mungu akulinde sana, nabii namba saba
Kwa nini munachoma uchawi ? Nayeye amechoma jeneza, wewe unaona gari, godlyck aatakufa, Mungu atamulinda
Ukiishapewa umepewa na aliyekupa hauwezi kikudai kwa kuwa alishakupa hata ukiuza au kugawa au kufanya chochote kiukweli ni yako
Bora umesema ukweli kumbe uwa munachunguria 😂😂😂😂
Acheni uhubili kiki uliojaa ujinga ndani yake ili kupotosha imani na kushambulia mtu bila ushaidi ili upate wafuasi upuuzi
Mjinga huyu na hana maisha marefu labda Mungu amrehemu tu vinginevo atakufa
Wewe ni mtumishi wa mungu acha kushabikia usichokijuwa huo ni huongo2
Shetani ako dunia zima kma ni kuchoma atachoma Sanaa paka Bank cos wanaweka vtu viao hko ni utoto wa kiroho..pia sheria ijakubari kuchoma mali angeitakasa then abariki mtu nayo 3yrs ijafa n utoto huo ama upungufu wa kiroho
Wewe mwenyewe walewale
Uongo uongo hajasema mambo ya nyota tulieni mle ugali issue hii ni Mungu na Gozbert mtulie
Wewe mwenywe ni shoti kati unawajuwaje wewe wacha mungu ahukuhu siyo wewe uhuku unahukumu kama nani mungu wewe ukihumu utahukumiwa wacha uongo wewe nabii gani wewe wote ni wale wale
🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwasauti akati ni usiku, eti "afanyaje sasa" 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂unataka sadaka ihalibu mambo atutak sadaka yako 😂😂😂
Uislamu si dini ya kweli acha uwongo.ingekuwa dini ya kweli majini ambayo ni mapepo yangesilimishwa na Mt Muhammad pia shetani naye kasilimishwa .majini yanasali misikitini na ubani unafukizwa.hebu fikiria waislamu,Allah na malaika Tau wanamuombea mtume Muhammad kwa nani?Allah naye anamuombea mtume kwa nani?wakati MUNGU WA mbinguni ni alfa na omega.
Mtu akitoa gari ni shida, mtu akifanya miujiza ni shida..watu wanapenda mchungaji awe maskini na afundishe neno tu na hapo utakua rafiki wa wote.
Kupenda vya bure ndo chanzo Cha Africa kua masikini. Kafara sio uchawi. Bibilia imejaa kafara
Sidhani kama Mungu WA kweli anahitaji kafara kuna kitu hapa.
Yeye aliumba kila kitu halafu tumzawadie kafara.
Unahitaji kujifunza zaidi biblia kuhusu kafara.
Wanapewa wana network za kichawi hao wasanii niwashirikina ujue
Hii kauli ya Usipende vya bure nchi yako yenyewe inapokea misaada kutoka kwa wazungu kwa hiyo nchi yako tayari imeshachukuliwa ndoto
Wewe si mshamba NI tiara WA injili. Acha wivu.
Kila mmoja anaishi kivyake msimpangie
Namba 7 we Mwenyewe tapeli, kwanini ulimwacha mkeo wa kwanza mnyaturu ukaoa mwingine mchaga?
Ww no.7 ujasoma habari ya Elisha,Naaman mwenyebukoma na mtumishi wa Elisha?
Kwa nn Elisha alikataa sadaka ya Naamani na mtumishi wake kwenda kuchukua sadaka kwa siri,nn kilimpata?Godluck yupo sahihi na hatakufa ataishi na huduma yake itaendelea na kustawi
Ameongea ukweli kabisa
Huyu anaropoka
Hayo ni majigambo tu no.7 hamna kitu ,kuna manabii akina Eliya Elisha,Jeremia nk hatukuwahi kusikia na majina kama mnavyojiita ninyi manabii mliyojiita
na kujipachika majina eti jenerali wa manabii mmmmh.watumishi ninyi?????
Nyinyi wavivu amfanyi kazi kwa bidii unapewa msaada unamlaumu mtu si ukatae Kwan ulilazimishwa fala unamaliza bando
Nigekuwa naweza kurecord voice ndefu sana
Wewe n8 zaidi ya tahira
Wewe MCHAWI Hakuna NABII
Christina shusho
Atamuua mwenye gali
Acha kuhukumu usije ukaukumiwa ata wewe ni nabii angalia yako yule ni meli
Generali wa upako my foot.
mlimani Kila siku ubarikiwe mtumishi
Acha Ushamba Wewe Ni Nabii Yupi Unabii Upiii ulishawahi Kutoa ikatimia acheni kiki Nyie
Hahahahaa kunasa wazo la MUNGU
Wewe Acha ujinga wa kuchambana mtandaoni fanya kazi uloitiwa achana na Jo dev hukumwita wewe kama ni mchawi Mungu atamwangamizaa wewe fanya yako mawe ya meru yalikushinda ukakimbia a
Shetani anaweza akukupa kitu ukazani ni Mungu baada ya miaka kupita ukweri utazihilika haacheni kutetea ujinga
Mtafute nabii mkuu utengeneze utakufa wewe, usicheze na mafuta yaliyojuu yake, utakufa, utakufa, utakufa, wewe siyo nabii coz huoni, unaona kwa kupapasa
Nyota ipi ilibiwa
Shindwa kabisa, wewe na wewe tapeli tu, nabii gani wewe mwizi
Hata hiyo gari ni uchawi tuu utatembeaje na gari ya kiuchawiiiii
Acha hizo, ndugu,bado wewe,ushidwe kujipanga usingizie Geo dev,
Unaongea nini wewe unayeuza maji na mafuta au siyo wewe uliyefungua kanisa Babati?! Maji nusu lita elf 20 mafuta kachupa kadogo elfu 40
Ila waikristu mnakazi hawa ndio manabii wenu? Mtihan
Na wewe nabii wa uongo hakuna wa kukuamin
Unajuwa nabii wa uwoongo wewe? Au unaropoka tu kwamba mama wa uswazi
WAPENDA VYA BUREE KIMEWALAMBA
Hiyo ndo shida ya maskini pesa yako peleka kwa wazeee ama maskini na mayatima mungu ndo ameamrisha wapelekea watu Wana weza jitafutia 😂😂😂😂😂
🤣🤣kweli watu mpo kwenye giza,wewe mwenyewe maneno yako ni giza tupu,kwahy huo moto unaowasha kwenye biblia imeandikwa wapi kwamba uwashe moto wa kuonekana kwa macho!!!
Mnafahamiana kwa tabia zenu mambo yenu na vitendo vyenu vitawaumbua.
Nyie wote wapumbabu tuuu mafala tuuu achen kiki hakuna kafala hapoooo
Kuna Vitu huvielewi mtumishi , hiyo haikuwa gari ni jini Hilo gari Gani inageuka kuwa JENEZA mara joka ?
Kama sport light macho yako ...janja janja nyingi kama ni kwenye mziki unatakiwa upige tumba....drums huwezi
Wewe ukichafuliwa unasemaje?
Huyu mchungaji hata sadaka anawekewa silva njaa yake ni KALI.. hivi huyu sio mmasai kweli ?
Ombea baba watu wapone
Na wewe nabii wa uongo hakuna atakumin
Anarudisha la nini naalipewa sinilakwake
Mwambie achome na milionisita
Ile gari ndo uchawi ndomana alichoma
😂😂😂
Hahha😂😂😂
Mashimo Yuko poa na Leo alikua hemani
Unamaanisha nini??
Nipe. Mimi hayo magari
Tuone ka nitafeli, washenzi nyie
😂😂😂😂😂😂
Hujielewi
Matapeli wote nyie
Hivyo gari nyuma niyanani
umeamuwa kupigia picha
We mshamba tuu huna lolote
Acha acromegaly siyakwake kashapewa