Kuna stori nyingine unakuwa nazo Kali sana kama hii ila inakosa umaliziaji tu yan kama Kuna mwendelezo kumbe ndo mwisho hii siyo komedi weka hata dakika 25 tu tuwe tunaelewa
Bro's we like your videos but hii ya leo mumetuwekeya muziki sana hadi hata hatuskii maneno munayo ongeya.. Always video zako huwa quality safi but hii ya leo audio haijakuwa sawa.. Othwrwise big up for the nice eye opening videos....
Kaz nzur Sana kutoka kwa kaka Big Nakbal sna like zake wadau
Kazi nzuri wanawakeeeees
Hongera Sana Mr big big kwa kazi nzuri
Aaaah ss ap njo iliish aje lakin😳😳jitahidin muw mnamaliz vzr jmn au kam vip muw mnafny epsde ila kazi nzur.❤
Duuuh inakuwaje apo mzee ila kz nzuri
Bigi kazi zako mbona hazielewek zinaishaje.zinaishia njian shida nin
Mr big big on 🔥
Nimeipenda.,
Good job big❤❤❤
Kazi nzuri ila nakuomba mr big jaribu kumaliza movie zako poa ili tuelewe zaidi
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka ety hii Nini Ganda la pipi😂😂. Mr Big big ukiwa na Vero Mambo yanakuwa 🔥🔥🥰🥰. Nakubali Sana
Good job Mr bigi bigi❤
Kazi nzuri kaka🙌, lakini ungeeka tuone matokeo yake huko mwisho😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ganda la pipi
Kumekuchwaaa😃😃😃😃😃🙌🙌🙌🙌🔥🔥
👍 good job
Kaka Big Big,
hao ndivyo walivyo.
Ukitaka ujichane ao ujinyonge kwa ajili yao hawaridhiki.
Wanacho kijuwa ni usaliti na unafki.
Kali kaka100%
Kuna stori nyingine unakuwa nazo Kali sana kama hii ila inakosa umaliziaji tu yan kama Kuna mwendelezo kumbe ndo mwisho hii siyo komedi weka hata dakika 25 tu tuwe tunaelewa
Nakubali Sana big
Alounda director amefeli nani maanaa mwanamke ameonesha slide ndefu mpka chini amevaaa😂
Big up
Bro's we like your videos but hii ya leo mumetuwekeya muziki sana hadi hata hatuskii maneno munayo ongeya.. Always video zako huwa quality safi but hii ya leo audio haijakuwa sawa.. Othwrwise big up for the nice eye opening videos....
Chesco mjuaji mnooooo
Ushajiona kidagaa halafu unampitia papa mbele kakumeza sasa shafii
Bigi unamoyo kumpisha jamaa chini ya uvungu atoke
Kazi nzuli tatizo azina part 2au kumaliza kabisa ila ni zuli sana
Ganda la pipi😂😂
Wanajua sana hawa jamaa daah
Part2 please
Poa big bigi😮😮
Hivi umalaya unafaida gan jaman? Mbona wanadam wanahangaika sana?
Mwendelezo
Sauti mnaibania sana na kuna makelele background how...
😂😂😂😂😂
Mmh mtihni huu
Shafi yamemukuta 🤣🤣🤣
Unajuwa
Good job but finishing yake haiko poa
Wahuni siyo watu wazuri
Ganda la pipi ya kifua 😂😂😂😂😂😂
Hii mmepiga big
Wakwanza Leo kama unakubl Big like zako
Tumpe Maua yake Mr bigi
😂😂😂
😂😂😂