EX WAKE MKE WANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 46

  • @AwadhiTwaja6401
    @AwadhiTwaja6401 Год назад +11

    Kaz nzur Sana kutoka kwa kaka Big Nakbal sna like zake wadau

  • @BOBTICALMATHAKA
    @BOBTICALMATHAKA Год назад

    Kazi nzuri wanawakeeeees

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Год назад +2

    Hongera Sana Mr big big kwa kazi nzuri

  • @IrakozeNasra
    @IrakozeNasra Год назад +2

    Aaaah ss ap njo iliish aje lakin😳😳jitahidin muw mnamaliz vzr jmn au kam vip muw mnafny epsde ila kazi nzur.❤

  • @sidegrenade2043
    @sidegrenade2043 Год назад

    Duuuh inakuwaje apo mzee ila kz nzuri

  • @marthajohn6532
    @marthajohn6532 Год назад +2

    Bigi kazi zako mbona hazielewek zinaishaje.zinaishia njian shida nin

  • @symochanji6896
    @symochanji6896 Год назад +4

    Mr big big on 🔥

  • @emanuelkyomo3772
    @emanuelkyomo3772 Год назад +2

    Nimeipenda.,

  • @mikaelmikaelamr
    @mikaelmikaelamr Год назад +2

    Good job big❤❤❤

  • @joyyjoyy5474
    @joyyjoyy5474 Год назад +1

    Kazi nzuri ila nakuomba mr big jaribu kumaliza movie zako poa ili tuelewe zaidi

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka ety hii Nini Ganda la pipi😂😂. Mr Big big ukiwa na Vero Mambo yanakuwa 🔥🔥🥰🥰. Nakubali Sana

  • @josephrutherford3292
    @josephrutherford3292 Год назад +5

    Good job Mr bigi bigi❤

  • @ebenezertv5107
    @ebenezertv5107 Год назад +2

    Kazi nzuri kaka🙌, lakini ungeeka tuone matokeo yake huko mwisho😂😂

  • @kettymaggie5202
    @kettymaggie5202 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ganda la pipi

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Год назад +2

    Kumekuchwaaa😃😃😃😃😃🙌🙌🙌🙌🔥🔥

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Год назад +3

    👍 good job

  • @francescafrancesca8901
    @francescafrancesca8901 Год назад +1

    Kaka Big Big,
    hao ndivyo walivyo.
    Ukitaka ujichane ao ujinyonge kwa ajili yao hawaridhiki.
    Wanacho kijuwa ni usaliti na unafki.

  • @inaciobernardo6491
    @inaciobernardo6491 Год назад +1

    Kali kaka100%

  • @iddymuya206
    @iddymuya206 Год назад

    Kuna stori nyingine unakuwa nazo Kali sana kama hii ila inakosa umaliziaji tu yan kama Kuna mwendelezo kumbe ndo mwisho hii siyo komedi weka hata dakika 25 tu tuwe tunaelewa

  • @zakariamasaki3920
    @zakariamasaki3920 Год назад +1

    Nakubali Sana big

  • @alisalehsaleh2564
    @alisalehsaleh2564 Год назад +2

    Alounda director amefeli nani maanaa mwanamke ameonesha slide ndefu mpka chini amevaaa😂

  • @SirajiAbas-uc7bw
    @SirajiAbas-uc7bw Год назад +1

    Big up

  • @rabbithare381
    @rabbithare381 Год назад +3

    Bro's we like your videos but hii ya leo mumetuwekeya muziki sana hadi hata hatuskii maneno munayo ongeya.. Always video zako huwa quality safi but hii ya leo audio haijakuwa sawa.. Othwrwise big up for the nice eye opening videos....

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy Год назад +1

    Chesco mjuaji mnooooo

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад

    Ushajiona kidagaa halafu unampitia papa mbele kakumeza sasa shafii

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +1

    Bigi unamoyo kumpisha jamaa chini ya uvungu atoke

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 Год назад

    Kazi nzuli tatizo azina part 2au kumaliza kabisa ila ni zuli sana

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 Год назад +1

    Ganda la pipi😂😂

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Год назад

    Wanajua sana hawa jamaa daah

  • @ibrahimsaid4263
    @ibrahimsaid4263 Год назад

    Part2 please

  • @enocknyangau8282
    @enocknyangau8282 Год назад

    Poa big bigi😮😮

  • @MariamuOboto-vc1sh
    @MariamuOboto-vc1sh Год назад

    Hivi umalaya unafaida gan jaman? Mbona wanadam wanahangaika sana?

  • @falidamwasenga6398
    @falidamwasenga6398 Год назад

    Mwendelezo

  • @faidhacute
    @faidhacute Год назад

    Sauti mnaibania sana na kuna makelele background how...

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Год назад +1

    Mmh mtihni huu

  • @djmossikahayodjmossikahayo8537

    Shafi yamemukuta 🤣🤣🤣

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Год назад

    Unajuwa

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554 Год назад

    Good job but finishing yake haiko poa

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад

    Wahuni siyo watu wazuri

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp Год назад +1

    Ganda la pipi ya kifua 😂😂😂😂😂😂

  • @Daboymohaa
    @Daboymohaa Год назад

    Hii mmepiga big

  • @AwadhiTwaja6401
    @AwadhiTwaja6401 Год назад +1

    Wakwanza Leo kama unakubl Big like zako

  • @davidashery2383
    @davidashery2383 Год назад

    Tumpe Maua yake Mr bigi

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Год назад

    😂😂😂

  • @shafiiathumani8173
    @shafiiathumani8173 Год назад

    😂😂😂