shes a good actor especially the way she cries and changes her facial expressions...watching from kenya.....yeye ni mwigizaji hodari natazama kutoka kenya
Mwanamke unafaa kupata funzo kama mwanaume wako anachepuka ama ameoa mke mwengine wivu upo kama kawaida lakini usihitaji kudadisi mengi kwa mwanaume hadi kuwaingiza kati marafiki zako na wake kama unapata heshima kwa mume wako kaa na amani endeleza ndoa yako mchepuko atabaki kuwa mchepuko na mke utabakia kuwa mke mara nyengine mwanaume anakuona kama kero na kuamua kufanya kitu kama hicho maana ulimpa go ahead wewe ama mchepuko lakini mkiachwa mnaanza vurugu jipya kwa yule alieolewa sasa kwahio kaa kwa kutulia mungu anakuona na atakulipia mume akipata hasara kwa mchepuko atajuwa kuwa ni laana lakini usiwe mzigo kwa mume kila siku wataka vita na kesi.
Estou adorano soque eu so intende portogez mais estou curtino muito pessoua lindas como vcseis adoro negaõ e negona oudoido velho eu falo da bahia brasil ate mais
Mbona hamtuonyeshi mwafaka niupi je kasamahewa au ikoje kiukweli mko vizuri sana mr bigg lakin tunataka kujua mwafaka inaweza kuwa mimi nikawa nauelew wa kujiongeza nikagundua kilicho endelea Lakini kunawatu hawawezi kujiongeza kama mimi kwahiyo tunaomba muwe mnaonyesha mpaka mwisho
Hapana hawajafeli alikuwa na namba ya rafikiyake mmoja tu sema amempigia kwa awamu tofauti mkewako kuwa na namba ya rafikiyako sio dhambi itakusaidia badae chukua hiyo
@@oceanlove6691 hapana amepigia marafiki wawili na pia makosa sana kuwa na namba za marafiki wa mume familia pekee ndio inafaa kuingilia kati ndoa tena ikiwa ni tatizo kubwa ila sio kitu kidogo watafuta marafiki kujuwa suluhisho
@@mohamedsheealom8745 mimi mwenyewe nina karibu zote za marafiki zake, wanawake huwa tuna namba za karibu za marafiki wa karibu wa mume, uliza popote...
ASANTENI SANA KWA KUENDELEA KUNISUPPORT MBARIKIWE SANA NAWAPENDA 🙏
Em basi nipe namba yako ya WATSAP
Asantepia kwakazi nzuri
Nitumie namba Yako kaka naitaji ulafiki zaidi
@@nduwarugiravanessa1314 namba zangu au
Tuko pamoja brooo
shes a good actor especially the way she cries and changes her facial expressions...watching from kenya.....yeye ni mwigizaji hodari natazama kutoka kenya
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥kwa Sasa unawawika chesko
Big uyo dem yupo serious sijaona aiseeeeh she is so funny
🔥🔥 from Mombasa Kenya 💪💪
Nawakubari kutoka Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼🔥🔥 nawomba like hapa 🌹🌹🌹❤️❤️❤️
ruclips.net/video/CoZquDHxBJk/видео.html
Karibu
Hehehehe noma mapenz haya
Yaani ni shidaaa
Mwanamke unafaa kupata funzo kama mwanaume wako anachepuka ama ameoa mke mwengine wivu upo kama kawaida lakini usihitaji kudadisi mengi kwa mwanaume hadi kuwaingiza kati marafiki zako na wake kama unapata heshima kwa mume wako kaa na amani endeleza ndoa yako mchepuko atabaki kuwa mchepuko na mke utabakia kuwa mke mara nyengine mwanaume anakuona kama kero na kuamua kufanya kitu kama hicho maana ulimpa go ahead wewe ama mchepuko lakini mkiachwa mnaanza vurugu jipya kwa yule alieolewa sasa kwahio kaa kwa kutulia mungu anakuona na atakulipia mume akipata hasara kwa mchepuko atajuwa kuwa ni laana lakini usiwe mzigo kwa mume kila siku wataka vita na kesi.
lakini ww unakosa kazi au unakosa akili kiiy
From Mombasa🇰🇪 haya mambo kweli yatokea....tuwe makini
Mr Big big kazi nzuri
Big Kama big hongera kazi nzuri
Duuuh mr big big mbn hyu dada kila siku mnampa script ka kupewa sumu atakuja kupewa kweli🤣🤣🤣😂
wnao wahi wa kwanza kukoment wpwte like nyie mbwaaaa in kicheche's voice
Big big up sanaa kaka ujumbe upo clear kabsaa
Hii Kali mchepuko kakuchizisha mpaka watakaaa kumuua mama watoto mmmmh iyo ya mwaka......
Wakwanza mm naomba like zang ata 10 tu please Kama mnakubal Hawa jamaa
Kazi nzuli big big nakukubaki sana from Burundi
Estou adorano soque eu so intende portogez mais estou curtino muito pessoua lindas como vcseis adoro negaõ e negona oudoido velho eu falo da bahia brasil ate mais
Mtiipe huanakukubali sana
Mdogo wangu umremboo haswaa lkn hayo mamichoro yamekuwa kama mauchafu
💯 💯 mzee big
Jamani mwezenu nampenda rahma mie uyu dada
Ila wanaumme punguzeni uzembe
Kama unamkubali V nipe like hapa
Kila siku mtu wakwanza wakwanza kwann msitoe maoni na ushauri
Tunapenda xana kaz zako ubarikiwe.
mtipe ujatuangusha mwamba wetu umepita mule mule kama tulivyo kubariana ktk kikao chetu cha mwisho 🤣💪🇹🇿🇦🇪
Hongera kaz nzur
Kazi nzuri hongereni
Mbona hamtuonyeshi mwafaka niupi je kasamahewa au ikoje kiukweli mko vizuri sana mr bigg lakin tunataka kujua mwafaka inaweza kuwa mimi nikawa nauelew wa kujiongeza nikagundua kilicho endelea Lakini kunawatu hawawezi kujiongeza kama mimi kwahiyo tunaomba muwe mnaonyesha mpaka mwisho
😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😂😂😂😂nakubalii
Mr big wazingua sasa mtu amekupa week uchague Kati yake Au mchepuko ungefanya maamuzi tu 😂😂😂😂
Wewe unamshaurije hapo labda?
Wapiri
Dah
Rahma ❤❤❤❤
Uyo hakufaiiii achana nae abaki na mchempuko sasa akikutana na churi zaidi ya mchepuko atauwa weng
Dah😢
Big utapasuka
Shhhhhhhh! Amelala 🤣🤣🤣🤣🤣
Big umetisha😮😮
Rest in peace, we bring another new peace bt wrong namber😂😂 she is a life.nyumba ya marehemu haiuzwi tena kafufuka😂😂.
Nimeikubali
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😀😂
❤❤❤❤
Auna maji
Big una upiga mwingi kama mama samia.
Tamu
Nuruuuuu
KINGWENDU AMTAFTIA MCHUMBA MWANAE 👇🏼👇🏼
ruclips.net/video/7u8yZe3HXhQ/видео.html
In Africa comedy show from 🇹🇿
🤣🤣🤣🤣👏🏻👏🏻👏🏻
big mchepuko wako mzuli nipe no yake bas
Tatzo lako huwa hutoi hitimisho Yan baada ya hapo inaishia tu hivyoohivyo
Kwanza hapohapo nakugeuzia ubao uniambie namba zote hizo zamarafiki Zangu unazo wewe kwenye sim yako kivipi.
Asante bigi
Mwanamke mgani wewe kila namba ya rafiki unayo apo mumefeli video ya Leo
Hapana hawajafeli alikuwa na namba ya rafikiyake mmoja tu sema amempigia kwa awamu tofauti mkewako kuwa na namba ya rafikiyako sio dhambi itakusaidia badae chukua hiyo
@@oceanlove6691 hapana amepigia marafiki wawili na pia makosa sana kuwa na namba za marafiki wa mume familia pekee ndio inafaa kuingilia kati ndoa tena ikiwa ni tatizo kubwa ila sio kitu kidogo watafuta marafiki kujuwa suluhisho
@@mohamedsheealom8745 mimi mwenyewe nina karibu zote za marafiki zake, wanawake huwa tuna namba za karibu za marafiki wa karibu wa mume, uliza popote...
😂😂
Ueliiwjj3kje
Dah
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣