VITA YA NDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 78

  • @mrbigibigi9829
    @mrbigibigi9829  Год назад +64

    ASANTENI SANA KWA KUENDELEA KUNISUPPORT MBARIKIWE SANA NAWAPENDA 🙏

  • @andyandre7814
    @andyandre7814 Год назад +3

    shes a good actor especially the way she cries and changes her facial expressions...watching from kenya.....yeye ni mwigizaji hodari natazama kutoka kenya

  • @adusonrwabufun3206
    @adusonrwabufun3206 Год назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥kwa Sasa unawawika chesko

  • @bakarbonka1063
    @bakarbonka1063 Год назад +5

    Big uyo dem yupo serious sijaona aiseeeeh she is so funny

  • @dosaathman2176
    @dosaathman2176 Год назад +11

    🔥🔥 from Mombasa Kenya 💪💪

  • @pawasacomedy
    @pawasacomedy Год назад +16

    Nawakubari kutoka Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼🔥🔥 nawomba like hapa 🌹🌹🌹❤️❤️❤️

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Год назад +9

    Hehehehe noma mapenz haya

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 Год назад +5

    Mwanamke unafaa kupata funzo kama mwanaume wako anachepuka ama ameoa mke mwengine wivu upo kama kawaida lakini usihitaji kudadisi mengi kwa mwanaume hadi kuwaingiza kati marafiki zako na wake kama unapata heshima kwa mume wako kaa na amani endeleza ndoa yako mchepuko atabaki kuwa mchepuko na mke utabakia kuwa mke mara nyengine mwanaume anakuona kama kero na kuamua kufanya kitu kama hicho maana ulimpa go ahead wewe ama mchepuko lakini mkiachwa mnaanza vurugu jipya kwa yule alieolewa sasa kwahio kaa kwa kutulia mungu anakuona na atakulipia mume akipata hasara kwa mchepuko atajuwa kuwa ni laana lakini usiwe mzigo kwa mume kila siku wataka vita na kesi.

    • @TawamoMzalendo
      @TawamoMzalendo Год назад

      lakini ww unakosa kazi au unakosa akili kiiy

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад +4

    From Mombasa🇰🇪 haya mambo kweli yatokea....tuwe makini

  • @noorucinemax6925
    @noorucinemax6925 Год назад +5

    Mr Big big kazi nzuri

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 Год назад +2

    Big Kama big hongera kazi nzuri

  • @mokhantv8490
    @mokhantv8490 Год назад +8

    Duuuh mr big big mbn hyu dada kila siku mnampa script ka kupewa sumu atakuja kupewa kweli🤣🤣🤣😂

  • @ahmedjuma303
    @ahmedjuma303 Год назад +2

    wnao wahi wa kwanza kukoment wpwte like nyie mbwaaaa in kicheche's voice

  • @mazikumange9130
    @mazikumange9130 Год назад +4

    Big big up sanaa kaka ujumbe upo clear kabsaa

  • @spencermwavita
    @spencermwavita Год назад +1

    Hii Kali mchepuko kakuchizisha mpaka watakaaa kumuua mama watoto mmmmh iyo ya mwaka......

  • @ramadhanabasi6369
    @ramadhanabasi6369 Год назад +37

    Wakwanza mm naomba like zang ata 10 tu please Kama mnakubal Hawa jamaa

  • @samsonbanyiyezako3985
    @samsonbanyiyezako3985 Год назад +1

    Kazi nzuli big big nakukubaki sana from Burundi

  • @mariaaparecidaoliveira6276
    @mariaaparecidaoliveira6276 Год назад +3

    Estou adorano soque eu so intende portogez mais estou curtino muito pessoua lindas como vcseis adoro negaõ e negona oudoido velho eu falo da bahia brasil ate mais

  • @mussamadua1079
    @mussamadua1079 Год назад +4

    Mtiipe huanakukubali sana

  • @julianayesayamwailolo8240
    @julianayesayamwailolo8240 Год назад +3

    Mdogo wangu umremboo haswaa lkn hayo mamichoro yamekuwa kama mauchafu

  • @isango_Online
    @isango_Online Год назад +1

    💯 💯 mzee big

  • @HadijaHusen-od2bw
    @HadijaHusen-od2bw Год назад +1

    Jamani mwezenu nampenda rahma mie uyu dada

  • @pamelapendo474
    @pamelapendo474 Год назад +3

    Ila wanaumme punguzeni uzembe

  • @rachelpaul460
    @rachelpaul460 Год назад +5

    Kama unamkubali V nipe like hapa

  • @headieljohn9183
    @headieljohn9183 Год назад +3

    Kila siku mtu wakwanza wakwanza kwann msitoe maoni na ushauri

  • @prosperremi8674
    @prosperremi8674 Год назад +3

    Tunapenda xana kaz zako ubarikiwe.

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Год назад +2

    mtipe ujatuangusha mwamba wetu umepita mule mule kama tulivyo kubariana ktk kikao chetu cha mwisho 🤣💪🇹🇿🇦🇪

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Год назад +1

    Hongera kaz nzur

  • @mengisumira1865
    @mengisumira1865 Год назад +2

    Kazi nzuri hongereni

  • @oceanlove6691
    @oceanlove6691 Год назад +2

    Mbona hamtuonyeshi mwafaka niupi je kasamahewa au ikoje kiukweli mko vizuri sana mr bigg lakin tunataka kujua mwafaka inaweza kuwa mimi nikawa nauelew wa kujiongeza nikagundua kilicho endelea Lakini kunawatu hawawezi kujiongeza kama mimi kwahiyo tunaomba muwe mnaonyesha mpaka mwisho

  • @rahimadam5706
    @rahimadam5706 Год назад

    😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😂😂😂😂nakubalii

  • @jaffarymwaduga5983
    @jaffarymwaduga5983 Год назад +3

    Mr big wazingua sasa mtu amekupa week uchague Kati yake Au mchepuko ungefanya maamuzi tu 😂😂😂😂

  • @kingbiggy870
    @kingbiggy870 Год назад +4

    Wapiri

  • @saidali-hx4bk
    @saidali-hx4bk Год назад +1

    Dah

  • @user-vk7ec4xg8m
    @user-vk7ec4xg8m Год назад

    Rahma ❤❤❤❤

  • @magrethephlaim-xr1px
    @magrethephlaim-xr1px Год назад

    Uyo hakufaiiii achana nae abaki na mchempuko sasa akikutana na churi zaidi ya mchepuko atauwa weng

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 Год назад +1

    Dah😢

  • @nafsa7200
    @nafsa7200 Год назад +1

    Big utapasuka

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 Год назад +1

    Shhhhhhhh! Amelala 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 Год назад

    Big umetisha😮😮

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 4 месяца назад

    Rest in peace, we bring another new peace bt wrong namber😂😂 she is a life.nyumba ya marehemu haiuzwi tena kafufuka😂😂.

  • @absonmdenye
    @absonmdenye Год назад

    Nimeikubali

  • @harumukizaemelyne1455
    @harumukizaemelyne1455 Год назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @عبادالبلوشي-ي7غ
    @عبادالبلوشي-ي7غ Год назад +3

    😀😀😀😂

  • @SaidaAli-kr3bi
    @SaidaAli-kr3bi 2 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @ntihabosereverien3570
    @ntihabosereverien3570 Год назад

    Auna maji

  • @wakatv3704
    @wakatv3704 Год назад +2

    Big una upiga mwingi kama mama samia.

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Год назад

    Tamu

  • @frankmwaikambo-on7tg
    @frankmwaikambo-on7tg Год назад +1

    Nuruuuuu

  • @VEVOTV-d1z
    @VEVOTV-d1z Год назад +2

    KINGWENDU AMTAFTIA MCHUMBA MWANAE 👇🏼👇🏼
    ruclips.net/video/7u8yZe3HXhQ/видео.html
    In Africa comedy show from 🇹🇿

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣👏🏻👏🏻👏🏻

  • @shukurulymo9882
    @shukurulymo9882 Год назад +1

    big mchepuko wako mzuli nipe no yake bas

  • @nadiasamwel8709
    @nadiasamwel8709 Год назад

    Tatzo lako huwa hutoi hitimisho Yan baada ya hapo inaishia tu hivyoohivyo

  • @misigarobusehe9543
    @misigarobusehe9543 Год назад

    Kwanza hapohapo nakugeuzia ubao uniambie namba zote hizo zamarafiki Zangu unazo wewe kwenye sim yako kivipi.

  • @emanuelthomas-zp4oj
    @emanuelthomas-zp4oj Год назад +1

    Asante bigi

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Год назад +4

    Mwanamke mgani wewe kila namba ya rafiki unayo apo mumefeli video ya Leo

    • @oceanlove6691
      @oceanlove6691 Год назад +3

      Hapana hawajafeli alikuwa na namba ya rafikiyake mmoja tu sema amempigia kwa awamu tofauti mkewako kuwa na namba ya rafikiyako sio dhambi itakusaidia badae chukua hiyo

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 Год назад

      @@oceanlove6691 hapana amepigia marafiki wawili na pia makosa sana kuwa na namba za marafiki wa mume familia pekee ndio inafaa kuingilia kati ndoa tena ikiwa ni tatizo kubwa ila sio kitu kidogo watafuta marafiki kujuwa suluhisho

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад

      @@mohamedsheealom8745 mimi mwenyewe nina karibu zote za marafiki zake, wanawake huwa tuna namba za karibu za marafiki wa karibu wa mume, uliza popote...

  • @abdulkarimbasekana5783
    @abdulkarimbasekana5783 Год назад

    😂😂

  • @MaryamQoyyan-hr7vz
    @MaryamQoyyan-hr7vz Год назад

    Ueliiwjj3kje

  • @saidali-hx4bk
    @saidali-hx4bk Год назад

    Dah

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Год назад +1

    😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣