Justin Kessy mimi ni mkenya na mchezaji nimecheza Tusker 1998 but nakukubali teach our Kenyan analysists you are I believe the best in the world. You know football bro. Niko Qatar saa hii shuguli za kikazi. I wish nikutilie petroli
Wewe bro ndio MCHAMBUZI sahihi Ila Sasa wameibuka WACHAMBUZI mapopo hawajulikani wanasimamia kichwa WAla miguu wapo wapo kwa uzushi na chuki. BIG UP BRO
Wewe bro ndio MCHAMBUZI sahihi Ila Sasa wameibuka WACHAMBUZI mapopo hawajulikani wanasimamia kichwa WAla miguu wapo wapo kwa uzushi na chuki. BIG UP BRO WEWE NDIO MCHAMBUZI BORA
Wewe huwa unachambua mpira na team husika kwa wakat husika na sio kama wale mapimbi wanao jitia wachambuzi kumbe ni mashabiki tena maandazi bg up sana kaka hao kenge maji wanao jiita sijui mbuyu sijui frij wakaendelee kugandisha maji hohoho
Ukwel yanga saiv hatupimwi kwa kucheza na Ken gold mwaka huu kuna shida project zimekwama kabisa sisi sio wa usajil kocha wa leseni isiyoweza kucheza kukaa bench muda wa mechi
Upo sawa tunapenda kazi yako
Justin Kessy mimi ni mkenya na mchezaji nimecheza Tusker 1998 but nakukubali teach our Kenyan analysists you are I believe the best in the world. You know football bro. Niko Qatar saa hii shuguli za kikazi. I wish nikutilie petroli
Wewe bro ndio MCHAMBUZI sahihi Ila Sasa wameibuka WACHAMBUZI mapopo hawajulikani wanasimamia kichwa WAla miguu wapo wapo kwa uzushi na chuki. BIG UP BRO
Justin kessy mchambuzi Bora kabisa, unachambua kwa vigezo sana hongera
Wewe ni fire 🔥
Wewe bro ndio MCHAMBUZI sahihi Ila Sasa wameibuka WACHAMBUZI mapopo hawajulikani wanasimamia kichwa WAla miguu wapo wapo kwa uzushi na chuki. BIG UP BRO WEWE NDIO MCHAMBUZI BORA
Upo sahihi broo 🎉🎉🎉
Upo vzr broo sema wachambuzi wa kibongo ushabiki mwingi
Alikokuwa alikuwa anafundisha Bila kuwa kacheza timu ambayo Mairi🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Uko vzuri broo
Wewe huwa unachambua mpira na team husika kwa wakat husika na sio kama wale mapimbi wanao jitia wachambuzi kumbe ni mashabiki tena maandazi bg up sana kaka hao kenge maji wanao jiita sijui mbuyu sijui frij wakaendelee kugandisha maji hohoho
Kabisaaaa
Justine bonge la mchambuzi, mkweli sana big up kaka...
SEMA ukweli usifiche
Ww ndo mchambuzi wangu bora kessy
Brother keep on analysing football matches
Uko vizuri kaka
Mkuu kessy unajua Bloo hakuna kukufikia kwenye uchambuzi na kuelimisha unadata saana
Jamayangu kinachokuweka kuwa juu yawengine niukweli wako safi sana
Huyu ndy mchambuzi Sasa, hachambi Wala kusimanga wtu
fungua tution kwa wachambuzi wawe wanajifua vizuri
Kwa kweli unatufungua vichwa unatuelimisha
Clabu bingwaaaaa????
Nipo south Africa lakini nakupata Justin kessy ogela sana mpila unaujua
Acha ujinga huo mpira wa ulaya hauwez kuufananish na Africa ndugu
👍🎉🎉
Hivi kuna haja ya kutafuta mchambuzi bora wa habari za michezo kama hii tuzo ipo?.
Kaka kessy naomba uwe mwalimu wa kisugu usomeshe uchambuzi mimi nitakuwa mzamini wake
😂😂😂kuna wa kufundisha sio kisungu😅😅
Hakuna lolote kwani Yanga na Kmc wanamausiano gani mboni Yanga walimchukua kocha wao?
Yanga wamepiga bomu muchuari😂
Hilo bomu na nyie mtakutana nalo
Kwan urahisi wa yanga kwa singida upoje? Huyu kocha singida si walishamfukuza?
Kwa nini wanaume wengi hufuga ukucha mmoja
UKWELI NDIO HUO ILA WASHABIKI WANAIONA YANGA NI MBOVU BASI WASUBIRI MWISHO WA LIGI WATAJUA YANGA HII NI YA AINA GANI.
Hiyo timu ina umaiti gani, acheni utoto nyie kasongo fc
Mkuu Mimi nakuelewa mno,wewe si mchambuzi maandazi aisee!!
Huyu ndio mchambuzi wangu wa muda wote ebu mwenye namba yake anipe
Huu ndio mchambuzi naye mpenda
Kaka kessy wewe unajuwa
Unaumwa kila kitu. Hana leseni? Huko alikokuwa alikuwa anafundisha bila kuwa na leseni stahiki? Madaraja ya leseni unayajua wewe?
Hivi hili zee kumbe nalo ni senge mtu kacheza na timu ambayo ni maiti
Waiting ya nani ? Musa ukwaju au Alex pengeza ??
Ukwel yanga saiv hatupimwi kwa kucheza na Ken gold mwaka huu kuna shida project zimekwama kabisa sisi sio wa usajil kocha wa leseni isiyoweza kucheza kukaa bench muda wa mechi
Tulia wewe hii timu hata wewe ukipewa ufundishe kwani wachezaji wake wote wanafundishika,kwa hiyo tulia acha munkar