D Voice Ft Lava Lava - Turudiane (Official Lyric Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 16 ноя 2023
- Get #SwahiliKid Album 👇🏼
dvoice.lnk.to/swahilikid
Swahili Kid is an album that encompasses various musical genres, including Singeli, Bongo Fleva, Amapiano, Afro Pop, Zouk, and it delves into social themes, love, pain, life's hardships, and more, showcasing D Voice's songwriting and singing talent. This album offers a fresh and captivating sound in the world of Swahili music and can appeal to music lovers of various genres.
Track 07. Turudiane feat Lava Lava:
-This song highlights the lives of young people and the challenges they face in their relationships, as well as how poverty can lead to feelings of humiliation.
/ @itsdvoice
For Bookings:
dvoice@wcbwasafi.com
Follow D Voice On:
Instagram: / dvoice_ginnii
Facebook: / dvoice_ginnii
Twitter: / dvoice_ginnii
TikTok: / dvoice_ginni
#DVoice #Music #Wasafi
Copyright ©2023 WCB Wasafi. All rights reserved. - Видеоклипы
Hii ngoma inafaa kua juu kwa hii album nzima.... sema Lavalava hajakuangusha kama hao wenginee..... kama unamkubali lavalava nipe likes tuu nitashkuruu❤❤❤❤❤
Naungana na wewe
Hao wengine hawajaimba vile tunavyowajua
Namimi pia
Me nampedraaaa bhna eeeh❤❤❤❤
@@bahatikatunzi3313 sana tuuu
Lava lava ameuwa umu ndani jamani naomba like za lava lava
Broooo lavalav sarut umetisha na hili goma lipo juuuu zaid%100
D VOICE ULIINGIA KWENYE MFUMO WA LAVALAVA MELODY IZI AKUACHI SALAMA UYO LOVE BITES SARUTI LIKE TWENDE SAWA
Lavalava ni artist ambaye ana uwezo wa kubadilika kubadilika,na hii ndiyo sifa mojawapo ya Wasanii wote wa WCB.Sikilizeni Muziki mzuri kutoka kisima cha Buradani hapa East Africa.
LAVALAVA yupo kwenye kila sekta anuja sana kwenye nyimbo ya mapenzi yuko vizur sana ila hiii kaua sana jmn sijui kwann hapandi chat kama mafala wengine 😂 lavalava ni fundi
Lava lava ndio kaandikaa ngoma hiii.... Duuuuuuh Mr love bite anajuaa xanaa🤜🤛🤜🤛
Lava lava izi ndo nyimbo zako sasa kwa style hii Kenya 🇰🇪 tuko nyuma yako👏
Aliyem heart break alifanya vzur jaman😅😅maana izi nyimbo za hivi lavalava anazijulia sanaa ata sitaki apendwe maana hatotuimbia hivi😂😂😂😊
❤❤❤❤always l treasure Mr love bite nakuthamin kaka❤❤❤
Oy ,,bigapu ,,xna blo lavalava ,,,umetixha kweny hii ngoma ,,,
Mimi nyimbo yangu hiii jamani...lavalava umeibeba hii nyimbo❤
Nime ona huuu kijana Ana enda Ku zima wengine wasani
Lava lava the king💥💥💥💥💥💥💥💥
Lava lava to the world he knows what his doing❤
I thought mbosso is fire I didn't know lavalava is more fire 🔥 🔥 lavalava ft dvoice on top
Katika album nzima mwamba hii ngoma umeua mwamba amini lavalava anajua ajakuangusha kabisa.
Best song Kwa ngoma zoteee....lavalava vocals zimeenda shule Yani utamu mtupu,,,I salute you brvh
NILISEMA BEFORE HUYU ANA ULAVALAVA MWINGI SANA
Lava² n muster wa maumivu ,kwenye nyimbo za maumivu hakoseagi😂
Lover bite lavalava,,Huu wimbo umezidi Zote🔥🔥🔥🔥🔥
lava lava wewe ni jinn we ni balaaa
These three young stars Mbosso,Lava Lava and the New guys will be the big thing for Tz
Mbosso 33 yrs and he is still a young😂😂😂
Lavalava kwenye melodi anazozipendelea..🔥🔥🔥
Uyu dogo ana imba kama mbosso kama usha sikiya ni like zangu
Mondi unabania lavalava ila najoua sana huyu boy
Lava lava upande huu unaweza Sana, weka juhudi kwenye hii aina ya muziki.
How i wish this could be number one it sounds different 👌❤️
Nipeni lik zangu Kwa huu mwamba sio poa ni Mimi hapa baraka commedy
Laizer anamjua sana lava2
We lava lava Unajua Sanaa eti nimezunguka kote buza na yombo dovya sijambulia chochote zaidi ya kuchovya chovya
Lavalava toka huku' twende katika ulimwengu wa Kiislam
Ila Lava Lava anajua sana jamani nyimbo nzuri sana ila me siwezi kurudiana na EX bora nile andazi
😂😂😂
Nimependa kila kitu kwenye hii ngoma 👍ila kurudiana na X 🤔🤔bdo kidog 🤣😅
HII NDO KALI KUSHINDA ZOTE🤤
Mondi unambannia huyu dogo ila anajua sauti ya madrassa❤
Nimesikiliza Album nzima Ila hii nyimbo imenivutia zaidi
Na ndo Ngoma nzuri 🙌🙌
hii ndiyo nyimbo nzuri sana 🔥🔥🔥
@@AloyceJuma-nc5vf kabisa🙌
Lava lava katishaa saan jaman Kama unamkubal naomba like yako 👊💪
Lavalava the best ever artist🔥🔥🔥🔥you made a hit collaboration again👏👏👏
LAVALAVA HAJAMUANGUSHA ❤❤
Lavalava never disappoint🇰🇪 🇰🇪
Nyimbo za kustikika achiwe lava lava na J moledy tu
Lava lava has the best songs. It relieves your stress. His message is direct to the ponit
imba hivi kila siku lavalava....kaka apa uliweza ...
Mh lavalava ndo mwenye nyimbo au 😂
Jamaaan au shida n nini!!!!! Mbn uliopaswaa uwe juu ndy upo chn jaman... Au ndy ya DULLAH MAKABILA YANATIMIA.... ata lavalava aimbe vp aonekani
From Malawi 🇲🇼 but Tanzania 🇹🇿 that's where my heart ❤️ belongs ♥️
Nani kama mr love bite😍
kama umeskia vocal ya diamond na mbosso weka like apa
Lava lava,Mbosso na Dvoice wako Sawa love these young stars
Hii nzuri mnoooo, lava lava kwenye nyimbo za kuumizwa wallah huzitendea haki Daaah!
huyu wajina wangu sijui ana gundu gani maana anajua sana Lavalava lakini sio gumzo
@@abduljembe6608 Kwa kweli
Lavalava all time the best mganga ana sauti yani uyu ndogoo pia Ngoma zake zinaeleweka mtaarabu sana .pia wewe d voice kaza kamba safari ndo unaanza .maana ujue tupo mashabiki tunaimani uta fifia Kama Yule ndogooMac voice insha'Allah utakwenda far
Ex wangu ataka turudiane . She dedicated this song ♥️♥️ I will take her back . 🇿🇲🇿🇲♥️
Lava lava gave you 💯 percent connection ya sauti ,,,,just learn from him na utasonga juu kimziki
Hi lava lava kaua kuliko kina diamond 😂
Lavalava humu kamfunika d voice kinoma
Lavalava 😂😂😂 kwenye nyimbo za kuachwa una balaa🎉🎉🎉🎉🎉 Anyway mababu wameipitisha hii imeenda kwa album yote😢😢😢😢
Umu umeuwa sana lava boy unatixha
❤❤katika zote hii ndo Kali jomon
Ila mimi sijapenda nilivyomuona anabweka kama mbwa baada ya kutunzwaa 10M na Diamond katika mitandao ya kijamii anabweka tuuuuuu❤ jau kijana mama ndi kila kitu simebweka kwa niaba ya mama pia😂😂😂😂
Sasa huyu ndo lava lava ninaye mjua 🎉
Hii ngoma ni fire lava lava anajua tena yani .
Lavalava is always underrated😏
I always think lavalava is best in this group l don't why he is always silent plz lava we love you bring up songs as we pray for you
I had missed this version of lavalava....love bite hizi ndio zako
Lava lava umeweza❤❤❤❤❤🎉
Lav lava🔥🔥 kaja maeneo y lovebity hatoboi lava lv kwa mawimbi kaa mbl
Hili Ngoma Lava Kalifanyiya Haki Kbs 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii katika zote imebamba i miss the old lavalava
Hii ndo nyimbo kali tuuu zingine holaa
Masterpiece ✍️. Mozambique🇲🇿 appreciate ✊
Lava first time alisema mi naona bora tuwachane leo analia ati turudiane
The Lava I new before 👏👏 big up For this one 🔥🔥🔥🔥
Good music indeed lavalava never disappoints
lavalava the mistari master
Lava lava 🔥 ♥
❤❤lala lala❤❤❤
Lava lava ❤Ni Bongo fleva
Fanya hii nyimbo video ikiwa ya kwanza upate soko poa ya muziki kwanza kaka❤
Lavalava anaandika jamani
Lavalava alisema bora tuachane ila leo ameomba turudiane 😂
hii nomaa kuliko zote
This song deserve 100M views hii ndo ngoma Kali kwny album
love ❤ from mozambique 🇲🇿🇲🇿 WCB together we can
THE PERSON THAT HEARTBREAK LAVALAVA GOD IS WATCHING ❤❤❤❤😂
This one deserves the first video
LavaLava remains my favorite artist from TZ.
Lavalava uko juu jamani ❤❤❤
Lavalava did me proud on this alafu this new guy is something else ❤
Lava lava balaaaaa unajua kaka d voice fundiiiiiii
Hii ngoma ya mOtO sana
Moto sana
Festoz nitatoka lini na Mimi daah@
❤iko vizur sn ngoma hiii
Another one for the lovers❤❤
Yaani ninavyompenda lavalava
Wcb hajawi tuangusha sisi mashabiki wake 💪🙏
methinks this kid does magic with love byte tone. no doubt, wasafi invest in talent and not jokes. next mleteni founder tz.
Minawapa pongezi kwahii song kweli mmeweza sana mpa nahisi nimimi nnaeimba
Yan lava lava sema ana baniwa na diamond kwa ndumba anazo tafta pengine hamshilikishi lakin we mwamb hatakama hutumiii ndumba we d voice mwamba wee mwanangu daah lakin upo sehemu salama ujuwe
We mbuzi lava unajua sana wewe💪🏽😎
Now this is one hell of a song😊❤
Fot real😊
Iyingoma ifike mbalisana kama TAJIRI kwanza ipite tajiri bila kumsau D VOICE