MTANZANIA AJA NA TEKNOLOJIA YA KUWASHA/KUZIMA GARI KWA SIMU YA MKONONI "WASHA HATA MAGARI MATATU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 мар 2022
  • Kijana Herbert Katua (26) Mbunifu na mwanzilishi wa Teknolojia ya kuzima na kuwasha gari kwa kutumia simu ya mkononi ikiwa ni teknolojia ya kwanza kuanza kutumika kwa hapa Tanzania hutumia Blutooth na sio Internet.

Комментарии • 129

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 года назад +10

    WATU WENGINE WANA UHASIDI MNO,.ETI HAKUNA JAMBO JIPYA ALILOFANYA!!
    ALBERT HONGERA SANA,WASIKUVUJE MOYO!! ONGEZA JUHUDI!!

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 2 года назад

      Jamaa amethubutu hongera kwake

  • @kijarmshilu7254
    @kijarmshilu7254 2 года назад +10

    Hongera sana kaka kwa kubuni ,, kaza utafanikiwa zaidi

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 года назад +22

    Tanzania Kuna vipaji vingi sana tatizo wakusimamia hivyo vipaji ndiyo hakuna.

    • @andrewaron7611
      @andrewaron7611 2 года назад +2

      Kweli kabisa

    • @emmanuelmchomvu2676
      @emmanuelmchomvu2676 2 года назад +1

      Tanzania unaweza kuwa mbunifu ila haiwez kukusaidia....

    • @mwanagwakyala3213
      @mwanagwakyala3213 2 года назад +1

      @@emmanuelmchomvu2676 Kuna wavivu wanamfikiria waanzie wap awe chanzo Cha mapato sio kumsamport afike mbali Zaid ya hapo alipo

    • @zainabmapezi5730
      @zainabmapezi5730 2 года назад

      Tanzania ndio inaingia leo. Huku Ulaya siku nyingi saan wanatumiaa. Uki na Iphone unawasha.

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 2 года назад +15

    Wow nice hii ndo tunataka kwa Africa yetu

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 2 года назад +6

    Ubunifu wa hali ya juu nice

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 2 года назад +8

    Hongera sana kwa ubunifu bro

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +1

    Mashallah, hongera sana kijana, ubunifu 🔥🔥🔥

  • @Chapesatv
    @Chapesatv 2 года назад +9

    Heshima kwako kwa kutumia muda wako vizuri kwa Google vitu sahihi sio umbea

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +4

    Hongera sana bro Mungu akuongoze zaidiii

  • @claudiakanyembo5949
    @claudiakanyembo5949 2 года назад

    That great move!!big up

  • @graceobed7966
    @graceobed7966 2 года назад

    Hongera sana Albert. Utafika mbali sana Mungu akujalie

  • @yassirjailan2720
    @yassirjailan2720 2 года назад +6

    Let's support him guys 🇹🇿💯

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 2 года назад +5

    Serikali changamka msaidie kijana kukuza kipaji chake nina imana he his more business idea's ... na ataajili wengine Tanzania songa mbele

  • @innocentprosper8378
    @innocentprosper8378 2 года назад

    Intelligent brother

  • @barakacharles4763
    @barakacharles4763 2 года назад +4

    I like thi

  • @ammyabeid9574
    @ammyabeid9574 2 года назад

    Big up brother.

  • @gilliangabriel7896
    @gilliangabriel7896 2 года назад

    Top notch 🔥🔥🔥

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 2 года назад +2

    Hongera

  • @christianbaba9971
    @christianbaba9971 2 года назад

    Safi sana Ndugu yangu.

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 2 года назад +1

    Nice bro

  • @lucaskasonde4558
    @lucaskasonde4558 2 года назад +3

    Nimekubari

  • @kipegeitv5014
    @kipegeitv5014 2 года назад +2

    Hatariiii xanaaa

  • @jwilliamngeleja6548
    @jwilliamngeleja6548 2 года назад +1

    Good

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 2 года назад

    safi.sana

  • @imanmartine811
    @imanmartine811 2 года назад

    💪💪💪💪 nice bro..

  • @abuuminya8746
    @abuuminya8746 2 года назад +3

    💪💪

  • @shapfan7415
    @shapfan7415 2 года назад

    😀😀😀. Braza. Wabongo watakuibia had simu

  • @bentez911
    @bentez911 2 года назад

    Tisha sana mzee

  • @andrewhaonga1647
    @andrewhaonga1647 2 года назад

    Hongera sana kaka

  • @eng8251
    @eng8251 2 года назад +6

    Hii hata Arduino unaweza itumia kutengeneza tracking ya kifaa chako kupitia cm

  • @pmbzkenya209
    @pmbzkenya209 2 года назад +2

    Kitu kizuri sana but kwa wezi umewarahisisha kazi......

  • @athumanijuma2428
    @athumanijuma2428 2 года назад +1

    Anafanana na Ben Kinyaiya

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 2 года назад

    Respect

  • @claudiakanyembo5949
    @claudiakanyembo5949 2 года назад +1

    Can I have his details please

  • @fadhilmtunha4070
    @fadhilmtunha4070 2 года назад

    Wow

  • @hamadimwinyi2146
    @hamadimwinyi2146 2 года назад +4

    Mbuna hii Kuna dogo anaitwa salumu na mulimfanyia interview na anafanya Kam hii

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 2 года назад

    Duuh umeweza brow

  • @frankmbawala3115
    @frankmbawala3115 2 года назад +1

    Umesema divice inatumia Bluetooth unazimaje gari ikiwa mbali bro

  • @officialmachupatv3637
    @officialmachupatv3637 2 года назад +1

    Ndoh shida ya wabongo uwo mfumo nikitu unafunga alfu unakua Na app yake kwenye simu akuna chaajabu apo wanapiga promo Tu

  • @christinamwanguku3291
    @christinamwanguku3291 2 года назад

    Hongera sana mwanangu !!

    • @deus8629
      @deus8629 2 года назад

      Mama huyo mwanao kweli au unatuzingua tu 😂

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 года назад +1

    Yaani waru hawasikilizi. Amesema inatumia password, pia unazuia mtu kuwasha kwa ufunguo, password pia kama haijui ataijuaje?. Na hapo unakuta huna gari uko hapa unambishia😂

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 2 года назад +3

    Huyu kaka alichonifanya MUNGU amsamehe na najua nitalipwa na MUNGU TU🥺🥺🥺anajua nini alinifanya yeye na duka lake la pips by rae

    • @cathycharmym28
      @cathycharmym28 2 года назад

      Alkufanyaje?

    • @irenekitomary7271
      @irenekitomary7271 2 года назад

      @@cathycharmym28 nilinunua cm kwao mwaka 2020 mwez wa 12 iphone 11 pro max gb 256 na niliexchange na iphone 8+ gb 64 bhas mwaka 2021 mwez wa 10 ile cm ikakata net nikaituma aiseeee sikusaidika chchte mwisho wacku ananiambia anasafiri nilituma cm ikiwa na wifi imerudi hata wifi haina yaan imeharibiwa zaid na ckusaidiwa chchte mpk nikaamua kununua cm nyingine yaan hawa MUNGU tu awasamehe

    • @fadhiliromwald
      @fadhiliromwald 2 года назад

      @@irenekitomary7271 duuu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 года назад

    Tanzania nnch Tajiri sana ina kila kitu

  • @faustinpesambili7085
    @faustinpesambili7085 2 года назад

    Hongera sana wasikuvuje moyo mbona wao hawajaonesha toka mwanzo kama hakuna jipya

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад +1

    Shangaa na mie nisiye hata na ndoto yakununua gari nimedownload hiyo App kama siyo umbea🙈🙈🤣🤣

  • @faustinejoachim2750
    @faustinejoachim2750 2 года назад +1

    tuwekee namba za simu

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 года назад +3

    sio gari tu mimi home nafungua friji kwa kutumia simu 👏👏👏

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 2 года назад

      mm nataka yakufunua chp ya dem yyt... unayo

    • @edgarnandonde48
      @edgarnandonde48 2 года назад

      @@lampadshigonko3006 ni.mfumo rahisi sana sana kuna kitu unaseti tu vitu vyote vyenye display hata tv

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 2 года назад

      @@edgarnandonde48 kwa hiyo friji ina display

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 2 года назад

      @@lampadshigonko3006 kazan utapata

  • @vero57
    @vero57 2 года назад

    Hongera sana kaka 👏👍

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 2 года назад

    Ifike mahali serikali iwainue zaidi vijana wa namna hii, kupitia uyu wange create employment kwa vijana wengine na kukusanya kodi, uyu angekua america 🇺🇸 trust me angekua bilionea tayar.

  • @robbierobin3094
    @robbierobin3094 2 года назад +2

    Mbona hii technology ipo tz mimi naitumia technology hii mwaka wa nne sasa

  • @ashirafuissa9693
    @ashirafuissa9693 2 года назад +1

    dah

  • @swahiliinspirations7953
    @swahiliinspirations7953 2 года назад +1

    Mngeweka Link ili tuidownload kwa Urahisi sana.

    • @generalpol7817
      @generalpol7817 2 года назад

      Woow nice bro hata mm ninachangamoto ya kusahau funguo ndani ya gari

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 2 года назад

    Mbona hiyo ipo zamani tu

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 2 года назад +1

    Mbona waizi wataiba sana magari sana sasa hatarii sana

  • @nenotv9144
    @nenotv9144 2 года назад

    ANGALIENI: MUUJIZA HUSIO WAKAWAIDA, NA MAAJABU YA MUNGU YA KUSHANGAZA KWA , MCHUNGAJI AMBAE HANA MIKONO WALA MIGUU, MAISHA YAKE KWA UJUMLA., NA. BADO ANAHUDUMIA WATU WA MUNGU KANISANI
    Bonyeza Link hii Hapa chin kutazama, USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KUSAMBAZA LINK HII.👇👇👇
    ruclips.net/video/Osn0s4840UA/видео.html

  • @mwakyusa1513
    @mwakyusa1513 2 года назад

    Ndoa product ya elimu na si kuwa na ma A's tu

  • @nasmamambi9082
    @nasmamambi9082 2 года назад

    No yako please

  • @mochepa9191
    @mochepa9191 2 года назад +1

    JE GARI KAMA IPO KWENYE GIA UTAWASHAJE PASIPO KUTOA GIA

  • @farijimwangosi8202
    @farijimwangosi8202 2 года назад

    Gharama zake zinagharimu kiasi gani?

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 2 года назад

    Watto wa kishua.

  • @abubakariibrahim5375
    @abubakariibrahim5375 2 года назад

    Garama kiasi gani ya kufunga iyo program?

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад

    Ukibiwa simu au moto ukishiwa japanizi sio

  • @swahiliinspirations7953
    @swahiliinspirations7953 2 года назад +2

    Hii App Haina Security, Maana Inauwezo wa Kulink mpaka gari 4, Sasa Hapa Ubora wa App uko wapi? Maana tutaibiwa Magari bure.

  • @user-vb6rg4tk7z
    @user-vb6rg4tk7z 2 года назад

    Good ila weka mawasiliano

  • @mimidennice205
    @mimidennice205 2 года назад

    Huyu kaongea ukweli

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 года назад +2

    Wizi umeingia watu wataibwa Mpaka tutakoma

    • @abudoeugenio6903
      @abudoeugenio6903 2 года назад +2

      Wazundu wana tufananisha na nyani,ngedele na wanyama wengeo sio kwamba awajuwi kuwa sisi ni watu Kama wao apana,ila tabia zetu chafu ndo tatizo.Atupendani,atuaminiani na wala atusapotiani ndoomana tunaitwa manyani na wazungu.Yeye kakopy wewe chakwako uricho kopy kipo wapi? Let's change our behavior, please.

  • @mbanguluzito5496
    @mbanguluzito5496 2 года назад

    Mbona Canada ni mambo ya kawaida na izo gari zinaibiwa saana uku ulaya

    • @fatumakassim64
      @fatumakassim64 2 года назад

      Wabongo bna sawa Canada kawaida lkn bongo bado sana kwanini usipe ongera kwani utakufa au wew ulikuwa unajua kufanya hvyo

  • @lovely-mq4rg
    @lovely-mq4rg 2 года назад

    Atawapata wenzie

  • @yusuphrashid3516
    @yusuphrashid3516 2 года назад

    Huyu jamaa ana historia kama yangu 😂

    • @deus8629
      @deus8629 2 года назад

      Uko wapi tuje tufanyie mahojiano

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 2 года назад

    JAMANI SISI WATANZANIA TUKONYUMA MIYAKA 100 HII IMEPITWA NA WAKATI SEMA KWA TANZANIA NI MPYA SISI KAZIYETU KUSHIKA MKIYA WATU WATEREMKA KWEYE GAZI SISI NDIOTUNAFIKIRIYA KUPANDA

  • @reneepaul3102
    @reneepaul3102 2 года назад

    Sasa hapo ndo wizi wa magari utakapozidi

  • @isacknyaga104
    @isacknyaga104 2 года назад

    NDO MNAJUA LEO MBONA IPO MDA SANA HIYO KHA! NENDENI ULAYA MKAJIFUNZE SIO MNASHANGAA KHA! ETI KAGUNDUA HAHAHAHA

  • @ibrahimaman3762
    @ibrahimaman3762 2 года назад

    Umena akili mingi sana bro

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад

    Watu wataibiana

  • @kamilagwajuma8384
    @kamilagwajuma8384 2 года назад +4

    Haya mambo yapo youtube mda sana hakuna jipya hapo kwamtu ana faha.u tech,tokea enzi za iph 5s

  • @bwalyaalex5990
    @bwalyaalex5990 2 года назад +2

    Dar mujiandae kuibiwa magari 🤣😂🤣😂🤣

    • @faudhiaayubu2463
      @faudhiaayubu2463 2 года назад +1

      Jaman 🤣😂😂

    • @bwalyaalex5990
      @bwalyaalex5990 2 года назад

      @@faudhiaayubu2463 nakwambia maana simu moja inauwezo wakuunganisha magari zaidi ya 6 au 8 sikuibiwa apo sasa ila tz tunajikubali

    • @mcback4384
      @mcback4384 2 года назад

      Kwani hii app ipo Dar Tu?

  • @christopherdimagaaaikopouw916
    @christopherdimagaaaikopouw916 2 года назад

    Broo waskupange bhauna, tengeneza app ya tax mtandao kama akina uber nk apo utapiga pesa kuwashia gari kwenye cmu hiyo ni kama urembo.

  • @AbdulKarim-iz3db
    @AbdulKarim-iz3db 2 года назад

    sasa hamjataja gharama.

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 2 года назад

      bure una pakua app tu na kuanza kutumia

  • @piusmicky6300
    @piusmicky6300 2 года назад +2

    Wapeni wavumbuzi heshima zao, hii hajagundua yeye. Yeye amenunua akafunga kwenye gari ikiwa tayarinkila kitu.

    • @firsat1pharmacy272
      @firsat1pharmacy272 2 года назад +1

      Hajakwambia amegundua yeye bali amesoma kweny Internet
      Sio watu kam ww mnatumia internent vibaya ku-comment ujinga

    • @hashimmabruk8953
      @hashimmabruk8953 2 года назад

      Huo ni wivu na kijicho. TANGAZA UVUMBUZI WAKO TUKUONE.

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 2 года назад

      Tumpongeze kwa uthubutu aliofanya

  • @titonemos8929
    @titonemos8929 2 года назад +1

    Vitu vya zamani sana

  • @patrickbilago5513
    @patrickbilago5513 2 года назад +1

    Haya hayana faida kwataifa Bali kwa watu wachache

  • @chandeshabani4174
    @chandeshabani4174 2 года назад +1

    Anapatikan wap

    • @nawechi4818
      @nawechi4818 2 года назад

      Makumbukumbusho karibu na jengo la tigo au mataa ya kuingia makumbusho ukiwa unatokea mwenge upande wa kulia

    • @mymbaralitv2968
      @mymbaralitv2968 2 года назад

      @@nawechi4818 mawasiliano please

    • @libenmmary8040
      @libenmmary8040 2 года назад

      Yupo makumbuso opposite na usalama wa taifa

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 2 года назад +2

    Bonyeza link hii. Kisha share. Utaipenda
    ruclips.net/video/4NJlyOmIlk4/видео.html