MTANZANIA AJA NA TEKNOLOJIA YA KUWASHA/KUZIMA GARI KWA SIMU YA MKONONI "WASHA HATA MAGARI MATATU"
HTML-код
- Опубликовано: 7 мар 2022
- Kijana Herbert Katua (26) Mbunifu na mwanzilishi wa Teknolojia ya kuzima na kuwasha gari kwa kutumia simu ya mkononi ikiwa ni teknolojia ya kwanza kuanza kutumika kwa hapa Tanzania hutumia Blutooth na sio Internet.
WATU WENGINE WANA UHASIDI MNO,.ETI HAKUNA JAMBO JIPYA ALILOFANYA!!
ALBERT HONGERA SANA,WASIKUVUJE MOYO!! ONGEZA JUHUDI!!
Jamaa amethubutu hongera kwake
Hongera sana kaka kwa kubuni ,, kaza utafanikiwa zaidi
Tanzania Kuna vipaji vingi sana tatizo wakusimamia hivyo vipaji ndiyo hakuna.
Kweli kabisa
Tanzania unaweza kuwa mbunifu ila haiwez kukusaidia....
@@emmanuelmchomvu2676 Kuna wavivu wanamfikiria waanzie wap awe chanzo Cha mapato sio kumsamport afike mbali Zaid ya hapo alipo
Tanzania ndio inaingia leo. Huku Ulaya siku nyingi saan wanatumiaa. Uki na Iphone unawasha.
Wow nice hii ndo tunataka kwa Africa yetu
Yyht
Ytikkk
Ikm pgpjjughyyhhhhg6yhhjhgggjhh
Gnhkhfhmhflf
Ubunifu wa hali ya juu nice
Hongera sana kwa ubunifu bro
Mashallah, hongera sana kijana, ubunifu 🔥🔥🔥
Heshima kwako kwa kutumia muda wako vizuri kwa Google vitu sahihi sio umbea
Hongera sana bro Mungu akuongoze zaidiii
That great move!!big up
Hongera sana Albert. Utafika mbali sana Mungu akujalie
Let's support him guys 🇹🇿💯
Hongera sana
Nah the shit is on app as long as you have smart phone you can Download and connect with your car
So it’s not his idea he just found it on internet
Serikali changamka msaidie kijana kukuza kipaji chake nina imana he his more business idea's ... na ataajili wengine Tanzania songa mbele
Intelligent brother
I like thi
Big up brother.
Top notch 🔥🔥🔥
Hongera
Safi sana Ndugu yangu.
Nice bro
Nimekubari
Hatariiii xanaaa
Good
safi.sana
💪💪💪💪 nice bro..
💪💪
😀😀😀. Braza. Wabongo watakuibia had simu
Tisha sana mzee
Hongera sana kaka
Hii hata Arduino unaweza itumia kutengeneza tracking ya kifaa chako kupitia cm
Yhjknuujhhuujmmnnnhbvnjhhgpg vk.
Mkk
Kitu kizuri sana but kwa wezi umewarahisisha kazi......
Anafanana na Ben Kinyaiya
Respect
Can I have his details please
Wow
Mbuna hii Kuna dogo anaitwa salumu na mulimfanyia interview na anafanya Kam hii
Duuh umeweza brow
Umesema divice inatumia Bluetooth unazimaje gari ikiwa mbali bro
Ndoh shida ya wabongo uwo mfumo nikitu unafunga alfu unakua Na app yake kwenye simu akuna chaajabu apo wanapiga promo Tu
Hongera sana mwanangu !!
Mama huyo mwanao kweli au unatuzingua tu 😂
Yaani waru hawasikilizi. Amesema inatumia password, pia unazuia mtu kuwasha kwa ufunguo, password pia kama haijui ataijuaje?. Na hapo unakuta huna gari uko hapa unambishia😂
Huyu kaka alichonifanya MUNGU amsamehe na najua nitalipwa na MUNGU TU🥺🥺🥺anajua nini alinifanya yeye na duka lake la pips by rae
Alkufanyaje?
@@cathycharmym28 nilinunua cm kwao mwaka 2020 mwez wa 12 iphone 11 pro max gb 256 na niliexchange na iphone 8+ gb 64 bhas mwaka 2021 mwez wa 10 ile cm ikakata net nikaituma aiseeee sikusaidika chchte mwisho wacku ananiambia anasafiri nilituma cm ikiwa na wifi imerudi hata wifi haina yaan imeharibiwa zaid na ckusaidiwa chchte mpk nikaamua kununua cm nyingine yaan hawa MUNGU tu awasamehe
@@irenekitomary7271 duuu
Tanzania nnch Tajiri sana ina kila kitu
Hongera sana wasikuvuje moyo mbona wao hawajaonesha toka mwanzo kama hakuna jipya
Umeona eee
Shangaa na mie nisiye hata na ndoto yakununua gari nimedownload hiyo App kama siyo umbea🙈🙈🤣🤣
tuwekee namba za simu
sio gari tu mimi home nafungua friji kwa kutumia simu 👏👏👏
mm nataka yakufunua chp ya dem yyt... unayo
@@lampadshigonko3006 ni.mfumo rahisi sana sana kuna kitu unaseti tu vitu vyote vyenye display hata tv
@@edgarnandonde48 kwa hiyo friji ina display
@@lampadshigonko3006 kazan utapata
Hongera sana kaka 👏👍
Ifike mahali serikali iwainue zaidi vijana wa namna hii, kupitia uyu wange create employment kwa vijana wengine na kukusanya kodi, uyu angekua america 🇺🇸 trust me angekua bilionea tayar.
Mbona hii technology ipo tz mimi naitumia technology hii mwaka wa nne sasa
Sasa unamwambia nan?
dah
Mngeweka Link ili tuidownload kwa Urahisi sana.
Woow nice bro hata mm ninachangamoto ya kusahau funguo ndani ya gari
Mbona hiyo ipo zamani tu
Mbona waizi wataiba sana magari sana sasa hatarii sana
Sanaaaa
ANGALIENI: MUUJIZA HUSIO WAKAWAIDA, NA MAAJABU YA MUNGU YA KUSHANGAZA KWA , MCHUNGAJI AMBAE HANA MIKONO WALA MIGUU, MAISHA YAKE KWA UJUMLA., NA. BADO ANAHUDUMIA WATU WA MUNGU KANISANI
Bonyeza Link hii Hapa chin kutazama, USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KUSAMBAZA LINK HII.👇👇👇
ruclips.net/video/Osn0s4840UA/видео.html
Ndoa product ya elimu na si kuwa na ma A's tu
No yako please
JE GARI KAMA IPO KWENYE GIA UTAWASHAJE PASIPO KUTOA GIA
Gharama zake zinagharimu kiasi gani?
Watto wa kishua.
Garama kiasi gani ya kufunga iyo program?
Nanamba zasm hamna
Ukibiwa simu au moto ukishiwa japanizi sio
Hii App Haina Security, Maana Inauwezo wa Kulink mpaka gari 4, Sasa Hapa Ubora wa App uko wapi? Maana tutaibiwa Magari bure.
Good ila weka mawasiliano
Huyu kaongea ukweli
Wizi umeingia watu wataibwa Mpaka tutakoma
Wazundu wana tufananisha na nyani,ngedele na wanyama wengeo sio kwamba awajuwi kuwa sisi ni watu Kama wao apana,ila tabia zetu chafu ndo tatizo.Atupendani,atuaminiani na wala atusapotiani ndoomana tunaitwa manyani na wazungu.Yeye kakopy wewe chakwako uricho kopy kipo wapi? Let's change our behavior, please.
Mbona Canada ni mambo ya kawaida na izo gari zinaibiwa saana uku ulaya
Wabongo bna sawa Canada kawaida lkn bongo bado sana kwanini usipe ongera kwani utakufa au wew ulikuwa unajua kufanya hvyo
Atawapata wenzie
Huyu jamaa ana historia kama yangu 😂
Uko wapi tuje tufanyie mahojiano
JAMANI SISI WATANZANIA TUKONYUMA MIYAKA 100 HII IMEPITWA NA WAKATI SEMA KWA TANZANIA NI MPYA SISI KAZIYETU KUSHIKA MKIYA WATU WATEREMKA KWEYE GAZI SISI NDIOTUNAFIKIRIYA KUPANDA
Wewe ulie mbele umefanya nini
Sasa hapo ndo wizi wa magari utakapozidi
Umeonaas
NDO MNAJUA LEO MBONA IPO MDA SANA HIYO KHA! NENDENI ULAYA MKAJIFUNZE SIO MNASHANGAA KHA! ETI KAGUNDUA HAHAHAHA
Tunasemea bongo ww acha majungu
Umena akili mingi sana bro
Watu wataibiana
Haya mambo yapo youtube mda sana hakuna jipya hapo kwamtu ana faha.u tech,tokea enzi za iph 5s
kwanin wew hukutengenez
Dar mujiandae kuibiwa magari 🤣😂🤣😂🤣
Jaman 🤣😂😂
@@faudhiaayubu2463 nakwambia maana simu moja inauwezo wakuunganisha magari zaidi ya 6 au 8 sikuibiwa apo sasa ila tz tunajikubali
Kwani hii app ipo Dar Tu?
Broo waskupange bhauna, tengeneza app ya tax mtandao kama akina uber nk apo utapiga pesa kuwashia gari kwenye cmu hiyo ni kama urembo.
sasa hamjataja gharama.
bure una pakua app tu na kuanza kutumia
Wapeni wavumbuzi heshima zao, hii hajagundua yeye. Yeye amenunua akafunga kwenye gari ikiwa tayarinkila kitu.
Hajakwambia amegundua yeye bali amesoma kweny Internet
Sio watu kam ww mnatumia internent vibaya ku-comment ujinga
Huo ni wivu na kijicho. TANGAZA UVUMBUZI WAKO TUKUONE.
Tumpongeze kwa uthubutu aliofanya
Vitu vya zamani sana
Haya hayana faida kwataifa Bali kwa watu wachache
Anapatikan wap
Makumbukumbusho karibu na jengo la tigo au mataa ya kuingia makumbusho ukiwa unatokea mwenge upande wa kulia
@@nawechi4818 mawasiliano please
Yupo makumbuso opposite na usalama wa taifa
Bonyeza link hii. Kisha share. Utaipenda
ruclips.net/video/4NJlyOmIlk4/видео.html