Dogo yuko vzur sana kiukweli but kwa wasiojua wanaweza sema mambo mengi vita so kitu so if I so nothing don't like to fight within someone who above to you ingawa sijui kingereza ila kuna mtu kama kanielewa vile naombeni mauwa yangu(like)
Mambo ya mkataba wa ki-gentleman inahitaji uvumilivu sana na kujiamini mwenyewe. Kwa mfano labda aliulizwa na Simba “ ok dogo, sasa tutafanyaje na ile investiment niliyoifanya? Kama mfano , mmh, gharama tulizotumia ni bilioni 3 tu na wewe uimeingiza mapato katika WCB yenye thamani ya billion 2, tutafanye hio moja eh?). Ndio hapo sasa ujue vya bure. Nadhani pia Ray alikuwa hana elimu ya biashara ya muziki ya kutosha. Hata hivyo napenda walivyo yamaliza japo mengine yapo chini ya carpet.
Ivyo mnatuona Watoto utawezaje kulipa billion moja nazaidi wakati ulikua auna mkataba acheni uwongo yang kilichofanyika apo ionekane lei katoa ela nyingi kuliko harmonaiz ili ionekane anadharau anamzadharau boss wake wazamani ila vanilla boi ionekane kalipa pesa nyingi naana kinyongo wakati sio kweri uwezo wakulipa iyo pesa Ana atuonyeshe lisiti
@TRA HIVI MNAZISIKIA HIZO BILIONI JE MULICHUKUA VAT SHINGAPI? KAMA HAMKUCHUKUA WATU WA DRD NA FAST MUNAFANYA KAZI GANI?😂😂😂NINA MENGI YA KUWAMBIA ILA NISHIE HAPA...
Kweli hapo ni vichekezo RAYVVANY ameongerea vitu vya vijinga eti anasema pale WCB alikuwa hana MKATABA wowote arafu wote hapo CLOUDS awana maswali wakati mtu alikuwa hana mkataba arafu amelipa bilioni 1+ kweli wajinga wapo wengi sana hata ktk hizo MEDIA ZOTE ambazo tunategemea zitufundishe kumbe wamejaa watu wenye njaa tu
Kwa sababu ametoka kwa uzuri acha kukariri unaweza kutoka bila ugomvi wasanii wanahisi watapotea kwa hiyo wanasema mabaya ili watu wawe na huruma kwao tujifunze kwa wenzetu MTU anatoka kwenye label lakini haiwi story kubwa
Safi sana Rayvny mbali na kuwa ni msanii mkw bwa sasa bat una hishma ya kipelee sanaaa chui🎉❤❤❤ nomaa sanaa ravnyn 🎉🎉🎉❤❤
Rayvanny is very wise❤very smart boy ❤️❤️❤️
Safi sana Ray. Mbali na kuwa ni msanii mkubwa sasa bt Una hishma ya kipeke sana haswa kwa Wakubwa Zako. Wcb 4life👊#❤🇹🇿 Chui!!!
Hongera sana, watu wanatamani mgombane, lakini wewe umebaki na msimamo wako, hakika utakuwa
Ivo ndo inaitajika kutoka ki halali ,asante bro kwa somo
Afadhali Rayvanny anajielewa🎉Wallahi Big up Vanny Boy
Dogo yupo so smart I like him anajua kula na kipofu..👏
Yes
Dogo muoga km kunguru
Napenda unapoitanguliza hekma mbele yenu most of the time naziona interview zako una kitu Ray keep it up I'm proud of you
Rayvanny is real ❤
Van boy kwa haraka ni mtu disminder
What do you mean by that 😂
Heeeh hii ni ipi can you please paraphrase coz there is no such word in English😂😂
Very smart rayvanny
Jamaa amekuwa
Maturity speaks by itself
Nice one
Wise words....! Smart boy 👦
Pow vanboy boss
Well said van b
Chui❤️❤️🔥
Dogo yuko vzur sana kiukweli but kwa wasiojua wanaweza sema mambo mengi vita so kitu so if I so nothing don't like to fight within someone who above to you ingawa sijui kingereza ila kuna mtu kama kanielewa vile naombeni mauwa yangu(like)
😂😂😂😂😂
Mamae 😂😂😂
Vanny boy Chuiiii 💪🔥
NIDHAMU YA UOGA PRO MAX 📌
Chui x 🦁
Chui 🔥🔥🔥🔥
V vanny boy💚💚💚💚
King chui global away
Chui 🐅🙏VANIBOY
Nakubaliiii
BodyGuards wanini studio sasa?😂😂😂
Unweza ukawa mjini, lakin ubush ukaendelea kua ndan yako
Vanny nimemsoma sanaaaa
Vann boy
Uko smart tofauti na yule mmakonde
Mabausa wote hao wanin hapo studio,kwan kuna vita!
Hivi hao mabaunsa ni wa clouds au rayvany na niwanini ndani ya studio
Sasa ulitoaje bilioni moja na hauna mkataba...
Imagine 😐😂
Muongo hyoo kak anajizima data
Shukurani
Nice brø
jamaa anajua kuongea sana
Maturity
Mambo ya mkataba wa ki-gentleman inahitaji uvumilivu sana na kujiamini mwenyewe. Kwa mfano labda aliulizwa na Simba “ ok dogo, sasa tutafanyaje na ile investiment niliyoifanya? Kama mfano , mmh, gharama tulizotumia ni bilioni 3 tu na wewe uimeingiza mapato katika WCB yenye thamani ya billion 2, tutafanye hio moja eh?). Ndio hapo sasa ujue vya bure. Nadhani pia Ray alikuwa hana elimu ya biashara ya muziki ya kutosha. Hata hivyo napenda walivyo yamaliza japo mengine yapo chini ya carpet.
VANIBOY chui NLM 🐅🙏
bilion 1
Umeelew cjui ni nyingiii😂😂😂
Hahahaa huyu jamaa nimuogaa
Yule mbirikimu wa chitohor akuje hapa ajifunze😂😂
Umeelewa sijui 😅
Huyu hana nyota ya kuimba peke yake .
Hujatoka wcb wewe nyoo
Sudi ni mnafiki maswali ya kinafki kutafuta ugomvi tu bwege huyo
awez kusema mabaya ya boss wake kwan rayvan ana shingap hata angempa b 3 ni sawa tu tuache kuwachonganisha
Dogo bado yupo WCB tunazo sirizote😂
Kicwa cako akina akili kbs
@@hakizimanamoosa1157 Nina vichwa viwili unamanisha kipi😂 kwanini hampendi ukweli aundio mapenzi 😂😂😂
Dogo ondoka nyumban kwa mama yako kwann unagombania vipolo na wadogo zako ndio uje ukoment kwa utu uzma
@@paulntalima6998 😂😂😂 unge nijua ungefunga domolako Kodi yangu ya meza elfu50 kilasiku niku tumie location
@@issazalala4907 kichwa panzi kabsa ww,hio n hela ya kuzungumza mbele ya wanaume endelea kujitafta sana
Nakunya hapa Hadi marekani kama kalipa bilioni moja usanii mwingi Hawa waongo
wewe ni mavi kabisa billion ni Hera ndogo sana
Bilioni moja kwenye mziki ni ndogo mnoo,utakunya bure bwana mdogo
Kwa levo ya rayvanny alio fikia, hela hiyo haiwezi kumshinda, alitoa hacha wivu
Bilion ni pesa ndogo sana na wabongo kibao wanazo uku mtaani
Billion moja yakikuma au?
Smart
Acha uongo wewe hiyo billion Moja uitolee wapi we mwenyewe billion
👏👏👏👏👏👏
Mwenzako anapambana hauzi mwili kama ww ,kuipata hio bilion ww mpaka ulale na dunia nzma na bado hutapata
@@paulntalima6998 du
Mbona unamatus bro 🌚
@@paulntalima6998 mi nauza mwili sawa vipi wewe ulio rithi ushoga toka Kwa babako umeacha au Bado unaendelea kuuozesha huo mkundu
Kwa kuwa huna unaona nyingi wewe😂😂😂
Bado hajatoka wcb ni vipengele tu vya mkataba vimebadilishwa tu.
Home boy yupo vizuri
Uzuri upi wakati ni muongo wa kiwango cha juu
Hapo ni usanii tu. Huna mkataba unalipaje bilioni? 😅
Billion moja ya kuchora au unayo mkononi ? Mbona maisha yenu yenu hayafanani na ubilion? Fanya mchezo nn na bi ww
B ya kijambio😃😃😃🤣🤣🤣
🤣🤣😂😂 washmba awa iv wanatuchkuliaje ss hatujuii kupima kw mtazmo 🤣🤣 et b famsiala nn
Mbona billion pesa ndogo sana na kuna wabongo kibao wanazo mtaani uku
@@hajjiomary2383 za kuchora ata mimi ninazo unazani b ni mkundu aty kila mtu ako nao? 😃😃😃
Kigumu kwako sio kwa wote...
Iyo bil1 umelipa vipi wakati hauna contract hahaha wasenge mbona waongo sana nyie wasanii wabongo hahahaha
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️.
Wafundishe wenzio namna ya kushukuru maana hata wao clouds wameshadadia walijua utajibu shit
Ivyo mnatuona Watoto utawezaje kulipa billion moja nazaidi wakati ulikua auna mkataba acheni uwongo yang kilichofanyika apo ionekane lei katoa ela nyingi kuliko harmonaiz ili ionekane anadharau anamzadharau boss wake wazamani ila vanilla boi ionekane kalipa pesa nyingi naana kinyongo wakati sio kweri uwezo wakulipa iyo pesa Ana atuonyeshe lisiti
Ni risiti siyo lisiti jifunze kuandika
@@Hauleshabby uzuri umenielewa nashuulu
@@Hauleshabby Haya alete hiyo Risiti
@@hamisikingakachu1259 nashuhulu ndo nin
Hapo kwenye kulipa billion 1 hapo tumepigwa bana hivi billion unaijua ww
The guy is talking nonsense how come ulipe more than 1 billion na huna mkataba? Ray we are big enough unaongopeya watu kaka
kwani na wewe unataka kudai, au umezulumiwa
Good question 💀😂
Bongo sarakasi sana maigizo kibao
Bhana ACHA uongo hata yangekukuta ww lazma ungeongea uchwara ww
mbna unaforce ugonvi aisee
@TRA HIVI MNAZISIKIA HIZO BILIONI JE MULICHUKUA VAT SHINGAPI? KAMA HAMKUCHUKUA WATU WA DRD NA FAST MUNAFANYA KAZI GANI?😂😂😂NINA MENGI YA KUWAMBIA ILA NISHIE HAPA...
Kweli hapo ni vichekezo RAYVVANY ameongerea vitu vya vijinga eti anasema pale WCB alikuwa hana MKATABA wowote arafu wote hapo CLOUDS awana maswali wakati mtu alikuwa hana mkataba arafu amelipa bilioni 1+ kweli wajinga wapo wengi sana hata ktk hizo MEDIA ZOTE ambazo tunategemea zitufundishe kumbe wamejaa watu wenye njaa tu
Unguza akili wewe upate madini.....tulia dogo acha pepere
Funika kombe
Point kaka sill people are there,
@@saimonifredi4653 ila nawewe bendera fwat upepo shida una comment kishabiki
@@samuellevy2564 tokaaa kulee we ndo huna umeelewa kwanza point unayotaka kuisapot haina mantik I think ushanipata kama kwel unaakili Timamu
MTU muongo utamuona anatafta maneno ya kuongea
Sasa mabouncer hata kma wako kazini, ndio wanalinda nini hapo na kuko salama everyday.
Heri wapatanishi wataitwa wana wa Mung yaani vanny kiongs mwenye akili
Mtoto uyu mpumbavu tu akijielewi kinachongea
Hyu bwana makoti anapenda sifa kwao ukute hata chumba cha bata hana billion unaijua lkn😂😂😂😂
Acha uongo dogo
chui
Wap uyu anaongeatu billion anaijua anaisikia
Ray is lying he is still under WCB 😂😂😂😂😂😂
Hata kama, kuna shida gani kwani 🤗
okay
Kwa sababu ametoka kwa uzuri acha kukariri unaweza kutoka bila ugomvi wasanii wanahisi watapotea kwa hiyo wanasema mabaya ili watu wawe na huruma kwao tujifunze kwa wenzetu MTU anatoka kwenye label lakini haiwi story kubwa
Hata harmomavi yupo chini ya jembe mbona husemi
Sawa Akuna shida 😂😂😂
ruclips.net/video/UxImPrIG_tk/видео.html
Ndugu yake Rayvanny toka kenya💜