Habari nimecheza tatu mzuka namba za bahati niliweka 501 ila baada ya dakika 10 namba za ushindi zimetoka ni 051 ,naambiwa nimelinganisha namba 2 ,sijaelewa kabisa
Mm naomba namba ya tatu mzuka maana juzi nimecheza nimelinganisha namba tatu alafu mmeniandikia eti nimeshinda namba mbili nilishindwa cha kufanya coz nilikuwa cna namba zenu imeshakuwa mara mbili mna niibia
Inachezwa lini na lin
Kwel iyo gem la uwong kabisa yn
Habari nimecheza tatu mzuka namba za bahati niliweka 501 ila baada ya dakika 10 namba za ushindi zimetoka ni 051 ,naambiwa nimelinganisha namba 2 ,sijaelewa kabisa
jaman sasaiv tujitambue maisha yamekuw magumu sana unafikir kwa 500 au 1000 yako mtu hakup mamilion cyo kweli nyinyi waongo biko kdg
Mpaka ucheze miez mingap ndo ushinde maana ni nacheza sana
habari, kushinda ni bahati unaweza cheza siku moja na ukashinda usikate tamaa huenda ushindi wako ni leo
Nyi wajanja mnapata faida nyingi sana
Mbona mmenitumia sms nilinganishe namba moja na nimefanya hivyo lakini hamnipi chochote
Mimi nimecheza Jana asubuhi nikalinganisha na no 3,tikketi no 9vp3kb,drop no 226863 mpaka sasa hivi cjaiona
Namba tatu za bahati Kila unapocheza ni lazina ziwe Zilezile au Kila unapocheza unaweza kuchagua Namba tatu nyingine ?
hiii kwan inabidi kulinganisha no zote ndo ushinde
Helo by sadri tiketi ngapi ili kushinda......?
Asante
Naombamaelezo jinsiyakucheza nakushinda
0755656257 naombakujua jinsiya kucheza naushinde
safi kamba
Mm naomba namba ya tatu mzuka maana juzi nimecheza nimelinganisha namba tatu alafu mmeniandikia eti nimeshinda namba mbili nilishindwa cha kufanya coz nilikuwa cna namba zenu imeshakuwa mara mbili mna niibia
Wekeni namba za huduma kwa wateja
Nilicheza sana huu mchezo ila nilikua nashinda kwanzia 5000 mpaka 20000 sijawai kufika uko waliko fika wenzangu
Nielekeze jinsi ya kucheza