TATU MZUKA JACKPOT SHOW, DRAW YA 54...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 20

  • @ceciliamsigala9731
    @ceciliamsigala9731 Год назад

    Inachezwa lini na lin

  • @emmanuelmartin528
    @emmanuelmartin528 Год назад

    Kwel iyo gem la uwong kabisa yn

  • @juliuskapela608
    @juliuskapela608 5 лет назад +1

    Habari nimecheza tatu mzuka namba za bahati niliweka 501 ila baada ya dakika 10 namba za ushindi zimetoka ni 051 ,naambiwa nimelinganisha namba 2 ,sijaelewa kabisa

  • @shadyashaban4129
    @shadyashaban4129 5 лет назад +1

    jaman sasaiv tujitambue maisha yamekuw magumu sana unafikir kwa 500 au 1000 yako mtu hakup mamilion cyo kweli nyinyi waongo biko kdg

  • @nyahingapeter8835
    @nyahingapeter8835 5 лет назад +1

    Mpaka ucheze miez mingap ndo ushinde maana ni nacheza sana

    • @tatumzuka7328
      @tatumzuka7328  5 лет назад +1

      habari, kushinda ni bahati unaweza cheza siku moja na ukashinda usikate tamaa huenda ushindi wako ni leo

  • @evasaimon6764
    @evasaimon6764 3 года назад

    Nyi wajanja mnapata faida nyingi sana

  • @martinipetro9338
    @martinipetro9338 Год назад

    Mbona mmenitumia sms nilinganishe namba moja na nimefanya hivyo lakini hamnipi chochote

  • @halimakilua8969
    @halimakilua8969 4 года назад

    Mimi nimecheza Jana asubuhi nikalinganisha na no 3,tikketi no 9vp3kb,drop no 226863 mpaka sasa hivi cjaiona

  • @hashimmagoma6929
    @hashimmagoma6929 2 года назад

    Namba tatu za bahati Kila unapocheza ni lazina ziwe Zilezile au Kila unapocheza unaweza kuchagua Namba tatu nyingine ?

  • @fettylad5951
    @fettylad5951 5 лет назад

    hiii kwan inabidi kulinganisha no zote ndo ushinde

  • @djboys5919
    @djboys5919 6 лет назад

    Helo by sadri tiketi ngapi ili kushinda......?

  • @nyahingapeter8835
    @nyahingapeter8835 5 лет назад +1

    Asante

  • @omaryjuma7847
    @omaryjuma7847 6 лет назад

    safi kamba

    • @feristaalsen6420
      @feristaalsen6420 6 лет назад +1

      Mm naomba namba ya tatu mzuka maana juzi nimecheza nimelinganisha namba tatu alafu mmeniandikia eti nimeshinda namba mbili nilishindwa cha kufanya coz nilikuwa cna namba zenu imeshakuwa mara mbili mna niibia

  • @juliuskapela608
    @juliuskapela608 5 лет назад

    Wekeni namba za huduma kwa wateja

  • @annaallen5713
    @annaallen5713 5 лет назад

    Nilicheza sana huu mchezo ila nilikua nashinda kwanzia 5000 mpaka 20000 sijawai kufika uko waliko fika wenzangu