IKIMALIZIKA RAMADHANI NA SIKUKUU HAKUNA TENA KUKAA WALA KULALA, MPAKA IKULU
HTML-код
- Опубликовано: 9 мар 2024
- IKIMALIZIKA RAMADHANI NA SIKUKUU HAKUNA TENA KUKAA WALA KULALA, MPAKA IKUL" Makamu Mwenyekiti wa ACT Sazalendo Zanzibar, Ndugu @ismail.jussa ametuma salamu nzito kwa Watawala wa Zanzibar. @dunialeo_ #habari #subscribe #polisi #trending
INSHA ALLAHU TAALA
Awaapiii hamna kitu apo
Kama kweli vile tushazoeya mnatupumbaza kisiasa huku yenu yanakuendeeni
Zamani nilikua napenda CCM. Nilipofika ulaya nikaona haki za wananchi zinaheshimiwa nikaona mimi na CCM basi tena jamani. Tuiondoe CCM haraka jamani watanzania sio nyani kama tunavyochukuliwa na watoto wa CCM
Simjitoe halafu muone
Mjuwa
tunataka zanzibar yenye mamlaka kamili
Hata sisi tunaitaka Tanganyika huru, siyo hii ambayo wazazibar wanaweza kununua maeneo bara ila kwao hawataki, siyo Tanganyika ambayo mzanzibar anaweza kuomba kazi kwenye serikali ya Tanganyika ila wao hawataki vijana wetu
Hata sisi tunaitaka Tanganyika huru, siyo hii ambayo wazazibar wanaweza kununua maeneo bara ila kwao hawataki, siyo Tanganyika ambayo mzanzibar anaweza kuomba kazi kwenye serikali ya Tanganyika ila wao hawataki vijana wetu
KamaLinzani act nikafuilil mtaikimbiatena
KamaLinzani act nikafuilil mtaikimbiatena
Kiswahili chako hakifahamiki,jaribu tena
Kuandika hajui anapata wapi ujasiri wa kucoment 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@omarsultan4502 ilimrad tuh😅😅