WATU WATATU WAFARIKI KIGOMA KWENYE VURUGU WANANCHI NA POLISI ZA KAMCHAPE"IMANI ZA KISHIRIKINA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 85

  • @rungobakari413
    @rungobakari413 11 месяцев назад +11

    🤣🤣🤣🤣anayekubali huyu jamaa n muongo gonga like

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 11 месяцев назад +5

    Mambo bado, vurugu ndio kwanza zimeanza

  • @josephpaullubinza1244
    @josephpaullubinza1244 11 месяцев назад +1

    Huondio ukweli kamanda upo vizuri hongera

  • @bakarially253
    @bakarially253 11 месяцев назад +3

    huyu mueshimiwa hajui anacho kiongea, maana kwenye taarifa zake anajichanganya, swali hao watu watatu waliuwawa na wakina nani, kwamaana wote watatu walipigwa rissasi, kamchapa wapo kazuramimba tangu mweyi wam7. kama wao serikali hicho kipindi chote walikuwa wapi, na kama waganga hawakuruhusiwa inakuwaje wanatapakaa mkoa mzima, maana kigoma wapo. kasulu wapo. kibondo wapi, wilaya ya uvinza wapi sasa kaka wapo wanafanya kinyume na sheria kwanini wamekuwa wanaendelea kufanya hiyo kazi kwa muda wote huu, mimi nafikilia amekuja kujitete baada ya kuona watu 3 wamepoteza maisha, sasa Millard Ayo kesho kuna kikao saa mbili asubi mkuu wa wilaya na wananchi wa kazuramimba tunakuomba uwe pale ili utuletee habari kamili.

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 11 месяцев назад

      Hujui lolote sisi ndio tunajua tunaoishi KAZURAMIMBA.

  • @najmamgallah8154
    @najmamgallah8154 11 месяцев назад +2

    Wanaoleta vifo n police, msiwe mnaingiria tatz vihelehele n Kun sk mtageuzwa mbuzi, Hy n kawaida wakilamba bila police amani inakuwepo, lkn police hampitwi n kit, msingeenda nyie mauwaji yasingetokea

  • @LucasNjozi
    @LucasNjozi 11 месяцев назад +4

    Kwa hili mnafeli police ukiona wananchi wanaamua ujue wamechoka

  • @allymadenge4603
    @allymadenge4603 11 месяцев назад +1

    Kamanda WA POLISI kiswahili ziro pole sana

  • @josejosia3024
    @josejosia3024 11 месяцев назад

    "Jamani pole kwa hao lakini naomba watanzania tumpokee YESU na kumkiri kwa vinywa vyetu yakwamba nibwana na mwokozi jinalake tu linanguvu saaanaaa ukilitaja2 bila mafuta wala chunvi wala vitambaa wala vitambaa nk vya upako yesu nimungu akunauchawi unakuweza ukimpokea yesu ukaokoka basi iba kutumia chochote utamshinda mchawi nguvu za mungu hazikai kwenye kitu zinakaa ndani yako

  • @Dulla4G
    @Dulla4G 11 месяцев назад +1

    Ujue tanzania imeajili mataila 😂ndo tatizo semeni kilichopo unawaza mali anza kusema walio uwawa

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 11 месяцев назад +2

    polis wetu weredi bado hawana
    wao hawatakiwi kuwapiga raia wala nn, wao n kulinda raia wao na mali zao wasidhuriwe wala kurudhutu wengne bas.
    Polis hamna hakki ya kuzuia kile wananchi wanafanya
    ninyi angalien aman tu,
    Hata ukimuona mchawi anaruka na ungo ww kama polis mlinde tuu aruke salama asiwaumize wala kuumizwa na wengne bas!
    Lkn polis Tz hawaju majukum laoo kabsaa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 11 месяцев назад +1

    Kwani police nyinyi mkisimamia amani watoe tu huo uchawi bila kuleta vurugu Kuna ubaya gani Sasa angalia watu wakifa wakizikwa na baadae kuonekana hamjawahi kujiuliza Huwa chanzo ni Nini??

  • @yuzoboy1793
    @yuzoboy1793 11 месяцев назад +2

    Serikali hifanye kazi yake amna baya kwa hiro

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 11 месяцев назад +1

    AFANDE USIANGAIKE, HIZO MIRA POTOFU ZIMEISHATUCHOSHA WATANZANIA, KAMATA WOTE PELEKA MAHAKANI WAPIGWE MIAKA YA KUTOSHA, MAISHA YAENDELEE. WATANZANIA WOTE TUKO PAMOJA NA WEWE NA TUNASIKITIKA NA KULAANI VITENDO VYOVYOTE VYA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI MWETU!

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 11 месяцев назад

    Mshenze Sana wew asikari

  • @chussehussein3944
    @chussehussein3944 11 месяцев назад +3

    Hao polisi niwaongo Sana, Tena wanakula hongo Kutoka kwa Wachawi

    • @emanuelnjalakila4693
      @emanuelnjalakila4693 11 месяцев назад

      We ni lipumbavu sana sana

    • @nancolower_8032
      @nancolower_8032 11 месяцев назад

      ​@@emanuelnjalakila4693na wewe ni pu*** za nguruwe wachawi ni wachawi tu kama wanatoa hongo wasiseme 😢😢😢

  • @MussaMapolu
    @MussaMapolu 11 месяцев назад

    Naombasana swalahili lisiendelee lamakamchape

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 5 месяцев назад

    Wachawi wamekuwa wakiwahonga polisi ili wanapochapwa poli waende kuwakingia kifua nahata hao watu watatu waliyo kufa polis ndo chanzo kwenda kutetea wachawi et wasichapwe maana kamchape kabla yahapo mbona walikuwa wanachapa nahakuna vurugu zilizo kuwa zinatokea?.

  • @mropeamadeus54
    @mropeamadeus54 11 месяцев назад +1

    Yahana 3:16

    • @khaliliramadhani4385
      @khaliliramadhani4385 11 месяцев назад

      Yaani hao lamba lamba wanaleta shida sana watanzania zindukeni huku sumbawanga naye limetokea tatizo kama hilo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 11 месяцев назад

    Aisee polis waacheni aokamchape mtatoka moshi kichwani na kuvimba matumbo

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 5 месяцев назад

    Naukiona mtu anakomenti et uchawi hakuna huyo hayajamkuta kiukweli watu tunateseka usiku hatulali watoto wetu wanachanzhwa chale wanaliswha vitimba unamkimbiza hispital anakufa hata hajaumwa kisa uchawi naanae sema uchawi hakuna amini usiami asilimia miya huyo nimchawi tu wala usisumbuke nae eti kuchapa uchawi niuchonganishi kwahiyo kuroga nakuua watu siyo uchonganishi?.

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 5 месяцев назад

    Huku kwetu bodaboda amepata ajali akafa hapohapo wakazika huwezi amini amekutwa nawakamchape kwenye chumba chaposi wake baada ya wiki mbili tiari alikuwa ameshamkata ulimi sasa mpaka hapo siyo uchawi? Jeshi lapolici fanyeni upelelezi kwanza pitene kila mtaa ili msikilize maoni yakila mwanainchi siyo kutumia nguvu.

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 11 месяцев назад

    Kwali la kazuramimba polis mmehusika kuua hao laia hao raia wamekufa kwa Lisa's zenu wenyewe

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 11 месяцев назад

    Hiyo taarifa mbona km kaandika mchawi

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 11 месяцев назад

    Yaani huyu sijui kapataje huo ukamanda wa mkoa...!!!

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 11 месяцев назад

    UYU POLICE KAENDANA SWAAA NA UO MKOA MUONEKANO WAKE UYU POLIS NA. FANANIA KUWA MEKAAA SANA POLINI

  • @salumhemedi344
    @salumhemedi344 11 месяцев назад +1

    Kaz sisi tunapga endelea kupotosha Askari

  • @laurentwilson-db4ir
    @laurentwilson-db4ir 11 месяцев назад

    NC

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 11 месяцев назад

    Kamanda kigoma Kuna wachawi sana ww waache wamalizane wao kwa wao

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 5 месяцев назад

    Et wanazalilishwa ulitaka wachawi wapewe ishima kwakazi yakuroga nakuua watu ? Mungu mwenyewe alie muumba mchawi kamrani wewe nani ukamkingie kifua? Wanaroga watu wanatesa watu et unasema wanazalilishwa kwahiyo unapenda kazi ya wachawi? Kama kunamatapel ebu shilikiana nawanainchi kutafuta kamchape bira siyo wote matapeli bwana.

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 11 месяцев назад

    Ukitaka kujua kama hao kamchape ni matapeli sio waganga wa ukwel waambie au wakaguliwe kwenye yale magauni Yao wanayo vaa makubwa uone wanavyo kuwa wakali 😃😀🙌

  • @pascaleliasgoma2058
    @pascaleliasgoma2058 11 месяцев назад

    Siokweli

  • @mashaurivicent4028
    @mashaurivicent4028 11 месяцев назад

    Aisee RUSHWA ni Adui wa haki.....kweli lini wananchi wakawa tofauti na mtazamo chanya kwenye maamuzi yao??

  • @YonaBazilio-op6ex
    @YonaBazilio-op6ex 11 месяцев назад

    Mme weka mchezo kama nivurugu nautaperi wamesha hukumiwa wangap ili wengine wasiludie

  • @Dickson-mx2fx
    @Dickson-mx2fx 11 месяцев назад

    Jamani semeni ukweri hata vifo siosahihi nizaidi ya watatu mana nikohapa kazuramimba semeniukweri

  • @sostenesbawil5531
    @sostenesbawil5531 11 месяцев назад

    Sasa Mimi kinachonichanya hao Poli ce badala ya kukamata hao lambalamba Wao wanakamata raia mmh!!!

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 11 месяцев назад

    Hawa polisi wangekusanya maoni kwa wananchi wao siwanajua kupeleza sasa wanashindwaje kupeleleza mbona kesi huwa wanasema upelelz unaendelea wafanye hivyo iliwabaini ukweli wasisumbue wananchi wao mbona wameua watachukuliwa hatua nanani ilimuamini tafuteni maoni ya watu mkoa mzima mtaona majibu yake siyo kukurupuka tu wakati raia wanakufa vifo vya ajabu vinginevyo acheni kamchape waendelee

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 11 месяцев назад

    Mwambieni kamanda uchawi upo waangalie njia mahususi ya kuondosha janga ilo ila uchawi upo na wachawi binaadam

  • @yusuphyahayaissa4863
    @yusuphyahayaissa4863 11 месяцев назад

    Uongo mtupu watu wote waliokamatwa wamekutwa ukumbini wakiangalia mechi ya yanga na ihefu na wengine wamekutwa ndani kwao wakiwa wamelala

  • @RickshabyVlogs
    @RickshabyVlogs 11 месяцев назад

    Wakat watu wanauwana israel sisi ndo kwaaanza tunapambana kuzitungua ndege za wachawi

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 11 месяцев назад

    Tanzania ya mavi kunuka uliyovaa suti inayonuka mavi ya mayai viza na makande na perfume ya ushuzi wa bibi tozo mna safari ndefu sana, karne hii mko kama wehu mambo ya upuuzi ya uchawi

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 11 месяцев назад

    Ningekuwa mimi wote Kamchape ningewamiminia risasi.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 11 месяцев назад

    Waacheni kamchape watowe uchawi watu wamerongwa sana

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 11 месяцев назад

    Acheni uchawi utolewe,wa2 wanateseka sn.

  • @issackathman850
    @issackathman850 11 месяцев назад

    mhhhh kweli kazula mimba

  • @yusuphyahayaissa4863
    @yusuphyahayaissa4863 11 месяцев назад

    Askali ndio kaua watu 8 leo unasema watatu na bado maiti hazionekani acha kupotosha uma

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge 11 месяцев назад

    😂😂😂afande haujui tu,uchawi jinsi unavyoudhi

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад

    Yesu ni jibu la mambo yote mkikubali kuokoka mtaish

    • @thentuzumusic
      @thentuzumusic 11 месяцев назад

      Wewe kamuchape ni wezi Tu achakudaganywa ww hawana dawa hao

  • @salumhemedi344
    @salumhemedi344 11 месяцев назад +1

    Kama unaona niwaongo sisi ndio tunajua tunayo yaptia mtaanii kaa kweny kikti chako yamtaan yaache mtaan Kama niwez tumelidhika na wizi wao

  • @baddysaleh5811
    @baddysaleh5811 11 месяцев назад

    serikal inasubiri nin kuchukua hatua kwa watu hao walio tend kitendo hicho

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 11 месяцев назад

    poor teknik poliz

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 11 месяцев назад

    Acheni kupotosha jeshi letu andikeni maelezo sahihi

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 11 месяцев назад

    Wewe mkuu wa polis KIGOMA hufai kuwa kamishina wa polis kabisa. ulifeli watu walianzaje mipango ya kutekeleza uhalifu kwa nini hamkuwa na taalfa ya kiitelejensia. Ona sasa watu wamekufa kwa uzembe wako

  • @mauldabdalah2168
    @mauldabdalah2168 11 месяцев назад

    Mkuu wa mkoa na kamanda wa polisi mkoa wajiuzuru wameshindwa kutekeleza majukumu yao

  • @Dulla4G
    @Dulla4G 11 месяцев назад

    Mnawaza mali aliyefiwa na mtoto wake naye

  • @issackathman850
    @issackathman850 11 месяцев назад

    polisi nao

  • @alexanderjey257
    @alexanderjey257 11 месяцев назад

    police wanajipendekeza walienda kufanya nini

  • @Jackylmariam-qy6qe
    @Jackylmariam-qy6qe 11 месяцев назад

    Uchawi upo na wachawi wanakera Yani Tena wanakera haswa waueni kabisa

  • @user-qx1fw4zu8s
    @user-qx1fw4zu8s 11 месяцев назад

    Police ndo mnaleta vulugu nyie mnaenda kufanya nini

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 11 месяцев назад

    Polisi zakamchape ndio nini

  • @DottoMussa-jb7ei
    @DottoMussa-jb7ei 11 месяцев назад

    Police mnafel pakubwa San uchaw upo

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 11 месяцев назад

    Ndio maana kuna wachawi kijiji kinaitwa mimba

  • @DanielWamungu-ub3wf
    @DanielWamungu-ub3wf 3 месяца назад

    🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅

  • @samoramussa5336
    @samoramussa5336 11 месяцев назад

    Serikali ninyi hamna dini sasa mnawakatazaje watu wano amini uchawi, serikali wambieni watuwenu waokoke wamjue yesu kristo, sio akili ndogo, wewe mwenyewe umesema waganga uliowakamata hawna taaruma kumbe wenye taaruma wapo na wanaluhusiwa kuchapa?

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 11 месяцев назад

    Muongo bwana sema hujarogwa

  • @henrygwalema1860
    @henrygwalema1860 11 месяцев назад

    Your body language tells a tremendous deceitful speach

  • @DanielWamungu-ub3wf
    @DanielWamungu-ub3wf 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 11 месяцев назад

    Kwa mashujaa uko chezea kigoma wewe

  • @chussehussein3944
    @chussehussein3944 11 месяцев назад

    Haiwezekani wananchi wawatake wafanye kazi, Nyie police mkatae