huyu mueshimiwa hajui anacho kiongea, maana kwenye taarifa zake anajichanganya, swali hao watu watatu waliuwawa na wakina nani, kwamaana wote watatu walipigwa rissasi, kamchapa wapo kazuramimba tangu mweyi wam7. kama wao serikali hicho kipindi chote walikuwa wapi, na kama waganga hawakuruhusiwa inakuwaje wanatapakaa mkoa mzima, maana kigoma wapo. kasulu wapo. kibondo wapi, wilaya ya uvinza wapi sasa kaka wapo wanafanya kinyume na sheria kwanini wamekuwa wanaendelea kufanya hiyo kazi kwa muda wote huu, mimi nafikilia amekuja kujitete baada ya kuona watu 3 wamepoteza maisha, sasa Millard Ayo kesho kuna kikao saa mbili asubi mkuu wa wilaya na wananchi wa kazuramimba tunakuomba uwe pale ili utuletee habari kamili.
Wanaoleta vifo n police, msiwe mnaingiria tatz vihelehele n Kun sk mtageuzwa mbuzi, Hy n kawaida wakilamba bila police amani inakuwepo, lkn police hampitwi n kit, msingeenda nyie mauwaji yasingetokea
"Jamani pole kwa hao lakini naomba watanzania tumpokee YESU na kumkiri kwa vinywa vyetu yakwamba nibwana na mwokozi jinalake tu linanguvu saaanaaa ukilitaja2 bila mafuta wala chunvi wala vitambaa wala vitambaa nk vya upako yesu nimungu akunauchawi unakuweza ukimpokea yesu ukaokoka basi iba kutumia chochote utamshinda mchawi nguvu za mungu hazikai kwenye kitu zinakaa ndani yako
polis wetu weredi bado hawana wao hawatakiwi kuwapiga raia wala nn, wao n kulinda raia wao na mali zao wasidhuriwe wala kurudhutu wengne bas. Polis hamna hakki ya kuzuia kile wananchi wanafanya ninyi angalien aman tu, Hata ukimuona mchawi anaruka na ungo ww kama polis mlinde tuu aruke salama asiwaumize wala kuumizwa na wengne bas! Lkn polis Tz hawaju majukum laoo kabsaa
Kwani police nyinyi mkisimamia amani watoe tu huo uchawi bila kuleta vurugu Kuna ubaya gani Sasa angalia watu wakifa wakizikwa na baadae kuonekana hamjawahi kujiuliza Huwa chanzo ni Nini??
AFANDE USIANGAIKE, HIZO MIRA POTOFU ZIMEISHATUCHOSHA WATANZANIA, KAMATA WOTE PELEKA MAHAKANI WAPIGWE MIAKA YA KUTOSHA, MAISHA YAENDELEE. WATANZANIA WOTE TUKO PAMOJA NA WEWE NA TUNASIKITIKA NA KULAANI VITENDO VYOVYOTE VYA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI MWETU!
Wachawi wamekuwa wakiwahonga polisi ili wanapochapwa poli waende kuwakingia kifua nahata hao watu watatu waliyo kufa polis ndo chanzo kwenda kutetea wachawi et wasichapwe maana kamchape kabla yahapo mbona walikuwa wanachapa nahakuna vurugu zilizo kuwa zinatokea?.
Huku kwetu bodaboda amepata ajali akafa hapohapo wakazika huwezi amini amekutwa nawakamchape kwenye chumba chaposi wake baada ya wiki mbili tiari alikuwa ameshamkata ulimi sasa mpaka hapo siyo uchawi? Jeshi lapolici fanyeni upelelezi kwanza pitene kila mtaa ili msikilize maoni yakila mwanainchi siyo kutumia nguvu.
Et wanazalilishwa ulitaka wachawi wapewe ishima kwakazi yakuroga nakuua watu ? Mungu mwenyewe alie muumba mchawi kamrani wewe nani ukamkingie kifua? Wanaroga watu wanatesa watu et unasema wanazalilishwa kwahiyo unapenda kazi ya wachawi? Kama kunamatapel ebu shilikiana nawanainchi kutafuta kamchape bira siyo wote matapeli bwana.
Ukitaka kujua kama hao kamchape ni matapeli sio waganga wa ukwel waambie au wakaguliwe kwenye yale magauni Yao wanayo vaa makubwa uone wanavyo kuwa wakali 😃😀🙌
Hawa polisi wangekusanya maoni kwa wananchi wao siwanajua kupeleza sasa wanashindwaje kupeleleza mbona kesi huwa wanasema upelelz unaendelea wafanye hivyo iliwabaini ukweli wasisumbue wananchi wao mbona wameua watachukuliwa hatua nanani ilimuamini tafuteni maoni ya watu mkoa mzima mtaona majibu yake siyo kukurupuka tu wakati raia wanakufa vifo vya ajabu vinginevyo acheni kamchape waendelee
Tanzania ya mavi kunuka uliyovaa suti inayonuka mavi ya mayai viza na makande na perfume ya ushuzi wa bibi tozo mna safari ndefu sana, karne hii mko kama wehu mambo ya upuuzi ya uchawi
Wewe mkuu wa polis KIGOMA hufai kuwa kamishina wa polis kabisa. ulifeli watu walianzaje mipango ya kutekeleza uhalifu kwa nini hamkuwa na taalfa ya kiitelejensia. Ona sasa watu wamekufa kwa uzembe wako
Serikali ninyi hamna dini sasa mnawakatazaje watu wano amini uchawi, serikali wambieni watuwenu waokoke wamjue yesu kristo, sio akili ndogo, wewe mwenyewe umesema waganga uliowakamata hawna taaruma kumbe wenye taaruma wapo na wanaluhusiwa kuchapa?
🤣🤣🤣🤣anayekubali huyu jamaa n muongo gonga like
Me naamini wewe nimjinga
Mambo bado, vurugu ndio kwanza zimeanza
Huondio ukweli kamanda upo vizuri hongera
huyu mueshimiwa hajui anacho kiongea, maana kwenye taarifa zake anajichanganya, swali hao watu watatu waliuwawa na wakina nani, kwamaana wote watatu walipigwa rissasi, kamchapa wapo kazuramimba tangu mweyi wam7. kama wao serikali hicho kipindi chote walikuwa wapi, na kama waganga hawakuruhusiwa inakuwaje wanatapakaa mkoa mzima, maana kigoma wapo. kasulu wapo. kibondo wapi, wilaya ya uvinza wapi sasa kaka wapo wanafanya kinyume na sheria kwanini wamekuwa wanaendelea kufanya hiyo kazi kwa muda wote huu, mimi nafikilia amekuja kujitete baada ya kuona watu 3 wamepoteza maisha, sasa Millard Ayo kesho kuna kikao saa mbili asubi mkuu wa wilaya na wananchi wa kazuramimba tunakuomba uwe pale ili utuletee habari kamili.
Hujui lolote sisi ndio tunajua tunaoishi KAZURAMIMBA.
Wanaoleta vifo n police, msiwe mnaingiria tatz vihelehele n Kun sk mtageuzwa mbuzi, Hy n kawaida wakilamba bila police amani inakuwepo, lkn police hampitwi n kit, msingeenda nyie mauwaji yasingetokea
Kwa hili mnafeli police ukiona wananchi wanaamua ujue wamechoka
Kamanda WA POLISI kiswahili ziro pole sana
Hahahaha 😀😀😀 jamani
"Jamani pole kwa hao lakini naomba watanzania tumpokee YESU na kumkiri kwa vinywa vyetu yakwamba nibwana na mwokozi jinalake tu linanguvu saaanaaa ukilitaja2 bila mafuta wala chunvi wala vitambaa wala vitambaa nk vya upako yesu nimungu akunauchawi unakuweza ukimpokea yesu ukaokoka basi iba kutumia chochote utamshinda mchawi nguvu za mungu hazikai kwenye kitu zinakaa ndani yako
Ujue tanzania imeajili mataila 😂ndo tatizo semeni kilichopo unawaza mali anza kusema walio uwawa
polis wetu weredi bado hawana
wao hawatakiwi kuwapiga raia wala nn, wao n kulinda raia wao na mali zao wasidhuriwe wala kurudhutu wengne bas.
Polis hamna hakki ya kuzuia kile wananchi wanafanya
ninyi angalien aman tu,
Hata ukimuona mchawi anaruka na ungo ww kama polis mlinde tuu aruke salama asiwaumize wala kuumizwa na wengne bas!
Lkn polis Tz hawaju majukum laoo kabsaa
Kwani police nyinyi mkisimamia amani watoe tu huo uchawi bila kuleta vurugu Kuna ubaya gani Sasa angalia watu wakifa wakizikwa na baadae kuonekana hamjawahi kujiuliza Huwa chanzo ni Nini??
Serikali hifanye kazi yake amna baya kwa hiro
AFANDE USIANGAIKE, HIZO MIRA POTOFU ZIMEISHATUCHOSHA WATANZANIA, KAMATA WOTE PELEKA MAHAKANI WAPIGWE MIAKA YA KUTOSHA, MAISHA YAENDELEE. WATANZANIA WOTE TUKO PAMOJA NA WEWE NA TUNASIKITIKA NA KULAANI VITENDO VYOVYOTE VYA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI MWETU!
Mshenze Sana wew asikari
Hao polisi niwaongo Sana, Tena wanakula hongo Kutoka kwa Wachawi
We ni lipumbavu sana sana
@@emanuelnjalakila4693na wewe ni pu*** za nguruwe wachawi ni wachawi tu kama wanatoa hongo wasiseme 😢😢😢
Naombasana swalahili lisiendelee lamakamchape
Wachawi wamekuwa wakiwahonga polisi ili wanapochapwa poli waende kuwakingia kifua nahata hao watu watatu waliyo kufa polis ndo chanzo kwenda kutetea wachawi et wasichapwe maana kamchape kabla yahapo mbona walikuwa wanachapa nahakuna vurugu zilizo kuwa zinatokea?.
Yahana 3:16
Yaani hao lamba lamba wanaleta shida sana watanzania zindukeni huku sumbawanga naye limetokea tatizo kama hilo
Aisee polis waacheni aokamchape mtatoka moshi kichwani na kuvimba matumbo
Naukiona mtu anakomenti et uchawi hakuna huyo hayajamkuta kiukweli watu tunateseka usiku hatulali watoto wetu wanachanzhwa chale wanaliswha vitimba unamkimbiza hispital anakufa hata hajaumwa kisa uchawi naanae sema uchawi hakuna amini usiami asilimia miya huyo nimchawi tu wala usisumbuke nae eti kuchapa uchawi niuchonganishi kwahiyo kuroga nakuua watu siyo uchonganishi?.
Huku kwetu bodaboda amepata ajali akafa hapohapo wakazika huwezi amini amekutwa nawakamchape kwenye chumba chaposi wake baada ya wiki mbili tiari alikuwa ameshamkata ulimi sasa mpaka hapo siyo uchawi? Jeshi lapolici fanyeni upelelezi kwanza pitene kila mtaa ili msikilize maoni yakila mwanainchi siyo kutumia nguvu.
Kwali la kazuramimba polis mmehusika kuua hao laia hao raia wamekufa kwa Lisa's zenu wenyewe
Hiyo taarifa mbona km kaandika mchawi
Yaani huyu sijui kapataje huo ukamanda wa mkoa...!!!
UYU POLICE KAENDANA SWAAA NA UO MKOA MUONEKANO WAKE UYU POLIS NA. FANANIA KUWA MEKAAA SANA POLINI
Kaz sisi tunapga endelea kupotosha Askari
NC
Kamanda kigoma Kuna wachawi sana ww waache wamalizane wao kwa wao
Et wanazalilishwa ulitaka wachawi wapewe ishima kwakazi yakuroga nakuua watu ? Mungu mwenyewe alie muumba mchawi kamrani wewe nani ukamkingie kifua? Wanaroga watu wanatesa watu et unasema wanazalilishwa kwahiyo unapenda kazi ya wachawi? Kama kunamatapel ebu shilikiana nawanainchi kutafuta kamchape bira siyo wote matapeli bwana.
Ukitaka kujua kama hao kamchape ni matapeli sio waganga wa ukwel waambie au wakaguliwe kwenye yale magauni Yao wanayo vaa makubwa uone wanavyo kuwa wakali 😃😀🙌
Siokweli
Aisee RUSHWA ni Adui wa haki.....kweli lini wananchi wakawa tofauti na mtazamo chanya kwenye maamuzi yao??
Mme weka mchezo kama nivurugu nautaperi wamesha hukumiwa wangap ili wengine wasiludie
Jamani semeni ukweri hata vifo siosahihi nizaidi ya watatu mana nikohapa kazuramimba semeniukweri
Sasa Mimi kinachonichanya hao Poli ce badala ya kukamata hao lambalamba Wao wanakamata raia mmh!!!
Hawa polisi wangekusanya maoni kwa wananchi wao siwanajua kupeleza sasa wanashindwaje kupeleleza mbona kesi huwa wanasema upelelz unaendelea wafanye hivyo iliwabaini ukweli wasisumbue wananchi wao mbona wameua watachukuliwa hatua nanani ilimuamini tafuteni maoni ya watu mkoa mzima mtaona majibu yake siyo kukurupuka tu wakati raia wanakufa vifo vya ajabu vinginevyo acheni kamchape waendelee
Mwambieni kamanda uchawi upo waangalie njia mahususi ya kuondosha janga ilo ila uchawi upo na wachawi binaadam
Uongo mtupu watu wote waliokamatwa wamekutwa ukumbini wakiangalia mechi ya yanga na ihefu na wengine wamekutwa ndani kwao wakiwa wamelala
Wakat watu wanauwana israel sisi ndo kwaaanza tunapambana kuzitungua ndege za wachawi
Tanzania ya mavi kunuka uliyovaa suti inayonuka mavi ya mayai viza na makande na perfume ya ushuzi wa bibi tozo mna safari ndefu sana, karne hii mko kama wehu mambo ya upuuzi ya uchawi
Ningekuwa mimi wote Kamchape ningewamiminia risasi.
Kichwa maji wewee
Waacheni kamchape watowe uchawi watu wamerongwa sana
Acheni uchawi utolewe,wa2 wanateseka sn.
mhhhh kweli kazula mimba
Askali ndio kaua watu 8 leo unasema watatu na bado maiti hazionekani acha kupotosha uma
😂😂😂afande haujui tu,uchawi jinsi unavyoudhi
Wew uchawi una ujua??
Yesu ni jibu la mambo yote mkikubali kuokoka mtaish
Wewe kamuchape ni wezi Tu achakudaganywa ww hawana dawa hao
Kama unaona niwaongo sisi ndio tunajua tunayo yaptia mtaanii kaa kweny kikti chako yamtaan yaache mtaan Kama niwez tumelidhika na wizi wao
serikal inasubiri nin kuchukua hatua kwa watu hao walio tend kitendo hicho
poor teknik poliz
Acheni kupotosha jeshi letu andikeni maelezo sahihi
Wewe mkuu wa polis KIGOMA hufai kuwa kamishina wa polis kabisa. ulifeli watu walianzaje mipango ya kutekeleza uhalifu kwa nini hamkuwa na taalfa ya kiitelejensia. Ona sasa watu wamekufa kwa uzembe wako
Mkuu wa mkoa na kamanda wa polisi mkoa wajiuzuru wameshindwa kutekeleza majukumu yao
Mnawaza mali aliyefiwa na mtoto wake naye
polisi nao
police wanajipendekeza walienda kufanya nini
Uchawi upo na wachawi wanakera Yani Tena wanakera haswa waueni kabisa
Police ndo mnaleta vulugu nyie mnaenda kufanya nini
Polisi zakamchape ndio nini
Police mnafel pakubwa San uchaw upo
Ndio maana kuna wachawi kijiji kinaitwa mimba
Kafilwe ww
🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅🙅
Serikali ninyi hamna dini sasa mnawakatazaje watu wano amini uchawi, serikali wambieni watuwenu waokoke wamjue yesu kristo, sio akili ndogo, wewe mwenyewe umesema waganga uliowakamata hawna taaruma kumbe wenye taaruma wapo na wanaluhusiwa kuchapa?
Muongo bwana sema hujarogwa
Your body language tells a tremendous deceitful speach
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa mashujaa uko chezea kigoma wewe
Haiwezekani wananchi wawatake wafanye kazi, Nyie police mkatae