Nyasubi_sda_choir --Yatosha_ Jangwani (official video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 105

  • @imachachs5208
    @imachachs5208 3 месяца назад +8

    Mungu azid kuwabariki katika utendaji kazi wake! Karibuni tena Musoma mtaa wa Makoko

    • @elikanashadrack4678
      @elikanashadrack4678 3 месяца назад +1

      Tutakaribia maana huko pamekuwa nyumbani kwetu tumepamis

    • @imachachs5208
      @imachachs5208 3 месяца назад

      @@elikanashadrack4678 amina!!! Nitatuma mtu anaitwa Teriza afikishe salaam zangu kwa kwaya

  • @user-qb1uq1eo5t
    @user-qb1uq1eo5t 2 месяца назад +1

    Mbarikiwe sana na Mungu awatunze

  • @leahmagaiwa9099
    @leahmagaiwa9099 3 месяца назад

    Ngelela has Never Disappoint Us, Mungu Awabariki Nyasubi

  • @dayananicholas2085
    @dayananicholas2085 3 месяца назад

    Kwaya yangu pendwa.....Mungu awainue kwa ujumbe mzuri....Yatosha kukaa jangwani

  • @JosephTitus-wn8vj
    @JosephTitus-wn8vj 3 месяца назад

    Amina...Yesu tuvushe ng'ambo ya pili, yatosha sasa jangwani'

  • @azaliakinza90
    @azaliakinza90 Месяц назад

    Barikiweni sana Nyasubi kwaya KAZI yenu njema

  • @robertisaac456
    @robertisaac456 3 месяца назад

    Mbarikiwe sana nyasubi choir hakika mmegusa mioyo na Mungu ametukuzwa

  • @KinyasiniOrbit
    @KinyasiniOrbit 3 месяца назад

    Mungu wabariki Sana nyimbo nzuri

  • @joelkipkemoi3608
    @joelkipkemoi3608 3 месяца назад

    Ama kweli Yesu yu karibu kurudi ili haya yote tunayopitia kama wanaisraeli yatafika mwisho...

  • @Doctor_counselor_kids_lover
    @Doctor_counselor_kids_lover 3 месяца назад +5

    Hallelujah... Nyinyi sasa ndio tulikuwa tunawatafuta mkatubariki MAKAMBI 2024. hapo july. Amen.

  • @richiusfrancisco9244
    @richiusfrancisco9244 3 месяца назад +2

    Amina, Yatosha jangwani. Mungu awabariki

  • @ElizabethMathiassalu
    @ElizabethMathiassalu 3 месяца назад

    Nabalikiwa sana nahuu wimbo jaman Amina sana

  • @felixboimanda1724
    @felixboimanda1724 3 месяца назад +1

    Nawapenda mnooo nyasubi. Barikiweni mnooooo

  • @janetmbaheze4450
    @janetmbaheze4450 3 месяца назад

    Wanishangaza kijana , heko sana wananyasubi

  • @joshuambwambo4656
    @joshuambwambo4656 3 месяца назад

    Niwe Mkweli Mnanibariki sana Nyasubi.

  • @mwaluelisha5288
    @mwaluelisha5288 3 месяца назад

    Hongera nyasubi mubarikiwe.

  • @felisterveronica5452
    @felisterveronica5452 3 месяца назад +1

    Mungu awabariki sana watumishiii

  • @SamsonMgini
    @SamsonMgini 3 месяца назад

    Mungu awabariki sna watu wa mungu

  • @ndegethegreat5192
    @ndegethegreat5192 3 месяца назад +3

    Wimbo mzuri sana, mbarikiwe sana Nyasubi

  • @officialayubudaud5677
    @officialayubudaud5677 3 месяца назад +2

    Beautiful song,bravo to the song writer but glory is to our almighty God

  • @dikyoti6109
    @dikyoti6109 3 месяца назад +3

    Bwana Mungu awabariki sana chama.langu

  • @santielbarua5398
    @santielbarua5398 3 месяца назад

    Waoooo! Wimbo mzuri umenigusa sana MUNGU AWABARIKI NYASUBI🙏,GOD BLEES U NGELELA KEEP IT UP👊🙏

    • @elikanashadrack4678
      @elikanashadrack4678 3 месяца назад

      Amen, tubarikiwe sote... Wasalimie watumishi wote wa TRVF

    • @kurwijilamasatu2758
      @kurwijilamasatu2758 3 месяца назад

      Well composed and touching song. God bless you!

  • @faustinechegeni1454
    @faustinechegeni1454 3 месяца назад +1

    Ouyeah!!.... Hallellujah mubarikiwe sanaa wapendwe!!

  • @joharissa2020
    @joharissa2020 3 месяца назад

    Mbarikiwe sanaaa nyasubi kahama.

  • @SamsonMgini
    @SamsonMgini 3 месяца назад

    Mungu awabariki sana watu wa mungu

  • @MariamuMazoya-il7pb
    @MariamuMazoya-il7pb 3 месяца назад

    namuona msafili na ngelela salam ziwafkie jamn

  • @RashidRukansola
    @RashidRukansola 3 месяца назад

    Mbarikiwe sana wimbo mzuri sana

  • @NeemaKabila-gd3nu
    @NeemaKabila-gd3nu 2 месяца назад

    Amen San,mungu anawaona

  • @Joshuadeus
    @Joshuadeus 3 месяца назад +2

    Jangwani kunachosha mie huyo nakimbia zangu kwenda kaanani😊

  • @titusosano3946
    @titusosano3946 3 месяца назад +3

    MBARIKIWE SANA NYASUBI SDA CHOIR
    Wimbo unaujumbe unaogusa sana
    YATOSHA JANGWANI YESU TUVUSHE🙏

  • @user-ku5im7zb4g
    @user-ku5im7zb4g 3 месяца назад +2

    Hongerenii kwa wimbo mzurii mbarikiwe

  • @Mtaki-bx5do
    @Mtaki-bx5do 3 месяца назад

    Nikweli yatosha jangwani 🙏🙏🙏

  • @mginitabitha7814
    @mginitabitha7814 3 месяца назад

    Namuona baba yangu MUGUSIMungu akupe nguvu

  • @user-fo8oz2ew9t
    @user-fo8oz2ew9t 3 месяца назад +1

    Wimbo umeenza kunibariki kabra haujatolewa .jaman nabarikiwa Sana sana

  • @prochesyprojest-oj6hy
    @prochesyprojest-oj6hy 3 месяца назад +3

    Wimbo mzr sana mbarikiwe sna nyasubi choir

  • @moseshandstalker
    @moseshandstalker 3 месяца назад +1

    Mbarikiweeee sanaaaa🎉🎉🎉pr ngelela na kwaya kwa ujumla Bwana na awape upendeleoo kwa kila muhitajilo kama kwaya🙏🙏🙏

  • @FallesNestory-wc4yk
    @FallesNestory-wc4yk 3 месяца назад

    Nawapenda sana nyasubi sda

  • @hamenyayohanakasase5836
    @hamenyayohanakasase5836 3 месяца назад +3

    Kuna watu wamejaliwa kipaji cha kuandika nyimbo. Huu wimbo umeyabeba vizuri maudhui ya "Yatosha Jangwani". Mpangilio wake, instrumental ilivyopigwa, waimbaji walivyouimba, video setting yake, aaah vyote ni HALELUYA tu.

    • @elikanashadrack4678
      @elikanashadrack4678 3 месяца назад

      Barikiwa Sana mtumishi Kwa kututia moyo sifa na heshima zimrudie Mungu aliyewekeza karama hii takatifu

  • @HappynessAyubu
    @HappynessAyubu 2 месяца назад

    Mungu awabariki

  • @user-lz7ms2ij7q
    @user-lz7ms2ij7q 3 месяца назад +2

    Hongereni sana nyasubi kwa wimbo wenu mzuli sana sasa YATOSHA JANGWANI

  • @FallesNestory-wc4yk
    @FallesNestory-wc4yk 3 месяца назад +2

    Nmebalikiwa sana

    • @JohnMagudi
      @JohnMagudi 3 месяца назад

      Mbarikiwe sana nawapenda

  • @pillymaginga
    @pillymaginga 3 месяца назад

    Nawapenda watu baba, Mungu wa Mbinguni azidi kuwatumia.mmetisha kweli yatosha jangwani

  • @benardotuoma59
    @benardotuoma59 3 месяца назад

    Amina Nyasubi

  • @user-pc6jb1fr6f
    @user-pc6jb1fr6f 3 месяца назад

    Haleluya kwa Bwana ! Mungu na azidi kuwaangazia Nuru yake hakika mmetubaririki sana sana sana! Mwl hakika pamoja na wanakwaya wote mnatumika vyema shambani mwa Bwana!❤️

  • @EvaristMzinza
    @EvaristMzinza 3 месяца назад

    Mbarikiwe kwa wimbo mzr🎉

  • @Adevitutv
    @Adevitutv 3 месяца назад +3

    Good song

  • @user-nx5uz5qd1z
    @user-nx5uz5qd1z 2 месяца назад

    Quit amezimg

  • @musapaul2830
    @musapaul2830 3 месяца назад +1

    Jamani msiishie tu kukoment. Hebu twendeni tu like subscribe na kisha kushare wimbo wa maana kabisa huu.

  • @patriciaissa6598
    @patriciaissa6598 3 месяца назад

    Amina

  • @pol_apollo
    @pol_apollo 2 месяца назад

    Oooh waoooh

  • @salomejames1267
    @salomejames1267 3 месяца назад

    Wimbo mzuri sana hongerani Nyasubi mungu awabariki

  • @godfreymasondaabel1904
    @godfreymasondaabel1904 3 месяца назад

    Ameen sanaaa

  • @happymakeja8217
    @happymakeja8217 3 месяца назад +1

    Huu wimbo kwa mtazamo wa kibinadamu sijaona Kama Kuna kwaya imeimba vizuri wimbo wa Jangwani kama nyie

  • @MariamuMazoya-il7pb
    @MariamuMazoya-il7pb 3 месяца назад

    munanikumbusha mbali san jaman wapendwa

  • @joshuatuyisenge8143
    @joshuatuyisenge8143 3 месяца назад +1

    This is Powerful

  • @rehemaelias2009
    @rehemaelias2009 3 месяца назад +1

    Mbarikiwe sana kwaya yng pendwa nimewamis sana Mungu atuvushe salama jangwani

  • @user-jw8pw2pd9l
    @user-jw8pw2pd9l 3 месяца назад

    Mwaweza kumbuka tulikoanzia nawaombea Msonge mbele mwl wenu Yohana wanda mji vzr mbarkiwe tuko pamoja

    • @elikanashadrack4678
      @elikanashadrack4678 3 месяца назад

      Barikiwa Sana mwlm wetu karibu tuendelee kulisongesha gurumu la Bwana

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 3 месяца назад

    MUNGU awabariki

  • @sayibugali
    @sayibugali 3 месяца назад

    Wimbo mzuri na mmeimba vizur sana wanakwaya wote mbarakiwe🙏

  • @simonbundala6382
    @simonbundala6382 3 месяца назад

    Hakika jangwani kuna changamoto nyingi mno. Barikiweni sana waimbaji.

  • @paulbunyangaki
    @paulbunyangaki 3 месяца назад +1

    Yatosha jangwani mbarikiwe Sana

  • @user-rp3zw2cm5y
    @user-rp3zw2cm5y 3 месяца назад +1

    🎉 Tunasubiri Album ya mwaka huu

  • @mosesnjeru8949
    @mosesnjeru8949 3 месяца назад

    Amen.

  • @fizzy_music
    @fizzy_music 3 месяца назад

    🔥🔥🔥

  • @HimaGamala
    @HimaGamala 3 месяца назад

    Mungu awabariki sana kwa wimbo huo mzuri

  • @chrintoneoropheamhanga5780
    @chrintoneoropheamhanga5780 3 месяца назад

    yatosha jangwani

  • @mosessabena17
    @mosessabena17 3 месяца назад

    Kwaya yangu pendwa mbarikiwe Sana na Bwana 🔥🔥🔥

  • @mginitabitha7814
    @mginitabitha7814 3 месяца назад

    Mbrikiwe sana watumishe wa Mungu

  • @PaulinaHaule-jm5sy
    @PaulinaHaule-jm5sy 3 месяца назад

  • @LuhanyaMipawantobi-pj1iu
    @LuhanyaMipawantobi-pj1iu 3 месяца назад

    Safi Sana watu Wangu wanguvu,

  • @sarahmarco6622
    @sarahmarco6622 3 месяца назад

    Wimbo makini mbarikiwe sana

  • @McDicksonMakabara
    @McDicksonMakabara 3 месяца назад

    Ame amen

  • @MerrloveCherles-lu6mb
    @MerrloveCherles-lu6mb 3 месяца назад

    Nawapenda sana nyansubi