Ume tisha sana bro uko nasauti nzuri halafu unatukumbusha kama kifo kiko na nilazima kila mtu kimupate thanks Sana from +254 am Christian lakini nimeipenda Sana hii nyimbo
Jitahidi kurud kwa Allah, ukumbusho mzr, Dunia ni mapito dd achana na mambo ya hii Dunia, kwan ina mambo mengi sn, Allah atupe mwishi mwema. Inshaallah
Wastara acha vituko ebu ekekea upande mmoja ueleweke lakn zaidi muelekee Mungu atakuongoza pamoja na cc ili tupate husnu lkhatim.Nakusihi achana na mambo ya kishetani kwani Mungu anasamehe madhambi yote hususani mwezi huu wa ramadhani.
mashallh wastara my sis allh akupe subra ana ujasir akupe furaha na familia yako inshaallh habbty dua tunakuombea swali na soMa suratul baqrah ni dua na kinga yetu sisi sote habbty
mwenyezimungu amemlaani mwanamke mwenye kuwacha kichwa chake wazi na kuunga nyele yote yako wastara tubia rahmani ni mwingi wa huruma atakusamehe na atusamehe sote madhambi yetu
Jmni tujuwe kma dunia ni kweli tunapits so be careful tunayoyafnya yanafaa kweny dini ytu... Allah atuongoe sote in sha Alla fine na awarehem walotangulia ameen
Allah atuongoze kwenye kheri sote yarabbi
Mashallah mungu awalaze mahali pema peponi amina
Allah atujaalie yaliyo ya kher atuweke mbal kwayale yaloyashar pia awaeke ndg zetu ktk filijanna inshaalah
Wallah wastara Allah akufanyie wepesi dd angu kipenzi qasweda nzr nyenye mafunzo Alhamdulillah
Wastara nakupenda ❤❤
Ewe mola wetu tujaalie mwisho mwema innshaallaah
😢😢😢 wallah naamin ni kweli mpka moyo wangu umeumia mola tupe mwisho mwema
Ume tisha sana bro uko nasauti nzuri halafu unatukumbusha kama kifo kiko na nilazima kila mtu kimupate thanks Sana from +254 am Christian lakini nimeipenda Sana hii nyimbo
mashaallah..yarab mungu atuongoze Waja wake. tuwe wenye kufanya mema inshaallah..hongera Dada wastara mungu akuzidishie
mashallah
Amin
mashallah wastara Allah akuzidishie subraa 😢😢😢😢😢😢😢
Mashallah, qaswida inatukumbusha kua dunia ni mapito
Mashaallah Allah akuzidishie Dada wastara
Jitahidi kurud kwa Allah, ukumbusho mzr, Dunia ni mapito dd achana na mambo ya hii Dunia, kwan ina mambo mengi sn, Allah atupe mwishi mwema. Inshaallah
Yarabb tujalie na mwema Ameen yarabb Ameen
Mungu akujalie maisha mema wastara
Inshallah ameen yarabb ameen
Wastara unahangaika. Sana mama Mara mzk, mara qaswida, Mara uchi, mara umejistiri, pole na Allah akuongoze
Ashuhuna Mohammed muombee kakangu
Mashallh yani ww dd mungu akupe uhai mlefu
Masha Allah shkurani kwaukumbusho BARAKA LLAH fiikh
Mashaallah
Wastara acha vituko ebu ekekea upande mmoja ueleweke lakn zaidi muelekee Mungu atakuongoza pamoja na cc ili tupate husnu lkhatim.Nakusihi achana na mambo ya kishetani kwani Mungu anasamehe madhambi yote hususani mwezi huu wa ramadhani.
Mash Allah daa Wastara mola akuzidishie
Masha Allah dada Astara nzuri sana imenitowa chozi namkumbuka mamaangu Mungu awalaze pema peponi amiin
Mamdo
Ma shaa llah tabbaraka llah....wallah daa wastara ingia kwa qaswida upo sawa sanaa
Nimemkumbuka mamaangu😭😭😭
Pole sana kikubwa mfanyie dua mama
Mashallah tujaalie mwisho mwema
mashallh wastara my sis allh akupe subra ana ujasir akupe furaha na familia yako inshaallh habbty dua tunakuombea swali na soMa suratul baqrah ni dua na kinga yetu sisi sote habbty
Manshaallah ila Ostadh mussa comet yako sikuipenda ww ilibid kuumbusha umma wa mtume (m s w) musiende uko mnapotea nenden uku sio kutuna si vizur
mashallaah qaswida mzur San wastara mungu akuongoz
Pongezi kwa wastara bora ulivgoamua hivyo
Hongeren sana kwa kazi nzr
Poa
Mashaallaah wastara jmn ALLAH akuongoze zaidi kaa huku huku pazuri
mwenyezimungu amemlaani mwanamke mwenye kuwacha kichwa chake wazi na kuunga nyele yote yako wastara tubia rahmani ni mwingi wa huruma atakusamehe na atusamehe sote madhambi yetu
Shekha Rashid the
haqika
Hongera sn dada wastara saut yko n nzur sn tunatarajia meng n mazur toka kwako pongezi snaaaaa👍
moudyy TV hongera Sana dada wastara
kumbe mnajuwa tunapita ya nn kukaa uchi uchi
Mashaallah qaswida nzr xana kikubwa nikuwaombea wenzetu waliyotangulia kwani hii nisafari yawote mbele yao nyuma yetu
Mashallah mungu akuzidishie I'll ikisha Ramadan ujistir km Iyo uvae km unavyovyaa.mungu unavyovyaa n kukaa kichwa wazi Malaik wanakulan.
Mashaallh mungu atupe mwisho mwema
Nimeipenda kweli kwan ujumbe wenye ukweli m2pu pia mmejictiri vzr hadi rahaaaaa
Mashaallah wastara Allah azindi kkuongoza kwa njia za khery Amin
mashallah dada wastara....Inshallah mungu atuongoze njia ilio nyooka Inshallah
Mashaalaa
Hongera wasthara imba qaswida
Jmni tujuwe kma dunia ni kweli tunapits so be careful tunayoyafnya yanafaa kweny dini ytu... Allah atuongoe sote in sha Alla fine na awarehem walotangulia ameen
Asha Suleiman amina inshaalah
MashaAllah Allah akupe nguvu na afia ya kutoa zaidi ya hii...Much luv to u daaa wastara
Mashallah kwa ukumbusho
Mashallaah mwenyz mung tujalie yalio mem n utup mwish mwem
Mashallaah
mashallah! dada wastara nakupenda kwa moyo wangu wote!
Very true.. May Allah fills our heart with faith
Atum yahilwin
Safi sanaaa mko vizr
Ujumbe mzuri masha allah Ila muziki ndio mumekosea jirekebisheni
Nakukubali wastara mungu akutirie wepesi kwenye kazi zako
Maashaallh bora ukawa hiv wastara thnx kwa ujumbe mzur
MashaAllah ukumbusho mzuri Allahumma ghfirlii jameel islam
Maasha Allah!kazi njena 2 kwa Dada wastara...
Yaaaaah naiomba hiyo Qaswida jamani please jaman nilikuwaganayo ila memory yangu nikaisahau home please jaman
Nice mama unaweza kufany movie zenye maadili na ukamtumikia mung good
Ma nshallah wastara allah IPO siku atafuta macozi yako unaria kirasiku
manshaAllah nimependa maamuz uliyo fanya kumulundia Allah
Mashaa Allah wastara nakupenda sana wastara juma
maashallah jazaaaqumllaah khayllah nzuri sana kaswaida
bora ufanye ivo wastara allah akuongezeye
Nimeipenda sana
Ma sha Allah
Rezeeky Omar
ما شاء الله!
aziza khamis mashallah dada wastara mungu akuzidishie
Masha Allah kwa qaswida nzuri dada
masha allah dada wastara kaswida nzuri sana toa nyingine dada
Maryam Singano Maryam Singano hii ameshirikishwa siyo yake
MashaAllah😘😘💖
Tunajua km tunapita hali hyo je tungekua tunakaa maisha
Masha Allah yarabimola tuongozewajawako
ungebak kweny kaswida coz naon iman ipo dada wastara
Mashallah
Masha. Allah
Mashaa llaah tabaraka llaah Qaswidaimetulia
MashaALLAH kweli tukumbushane mauti yaja
kaka ongeza juhudi Mungu yupo nawewe
MasharAllah😘😘😘😘
mashallah
Dunia mapito
Kumbe mnajuwa kama kifo kipo lakin mnajipumbaza kakaaa uchi
kaswida nzuri
Nzuri sana Dada wangu mugu ni tala ya moyo wetu lakini masha Allah
mashaallah ":amana amina.."
Nimependa hamjajipamba kuna wanawake wa nasoma qaswida uso wangara make up navinguo vinaonesha mwili ulivopita
unaweza dida
manshaallah mungu akuponye
Kawaida
Ma sha Allah nzuli
mashaallah
mashaallah dada angu
Wow ina pendza xn
Mashaallah Allah atuaaf
Mashaalha Heluuu qaswida
kasida ni sawa na music tu hakuna tofauti laanatullahi wote waimbao nyimbo ni nyimbo tu
pole sana wastara
mashallah.nzurii
mashallah...!!
MashAllah
husna Al Husna 4th
Nice song
Mashallah
ningekusifia kama ungeacha mziki ukabaki huku tu. lakini kama unachanganya sina haja ya kukusifia
mashllah nce wastara
masha allah Dada wastara
Mashaallah Wastara
"Mashaa-ALLAH "
I guess Im kinda randomly asking but does anyone know a good website to stream new movies online?
@Vicente Kason lately I have been using Flixzone. Just search on google for it =)
@Daxton Lukas Yea, been using FlixZone for months myself =)
@Daxton Lukas thank you, I went there and it seems like they got a lot of movies there :D I really appreciate it !!
@Daxton Lukas Thanks, I signed up and it seems like a nice service :) Appreciate it!
Mashaa Allah...
Ameen yarabb ameen
Masha allah