UTAPENDA MAJIBU KONKI YA MADEBE LIDAI NABII MSWAHILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 72

  • @erinestmafie3530
    @erinestmafie3530 2 года назад

    Nakubali filam zako nying zinafundisha katika misemo kwa mtu mwelewa madebe lidai

  • @msafirijames4197
    @msafirijames4197 2 года назад

    Aiseee brother nakuelewa sana misemo yako mungu akulinde

  • @sarafinasimbeye7764
    @sarafinasimbeye7764 3 года назад +18

    Wa kwanza Leo jmni kwa anayemkubali madebe lidai aache like yake hapo chini jmni

    • @bensonmurithi625
      @bensonmurithi625 3 года назад

      Mimi ni mkenya na leo ni siku mashujaa. Shujaa wangu ni madebe lidai

  • @EliethPeter-er4lk
    @EliethPeter-er4lk Год назад

    Nakuelewa sana bora serikali ikupe kitengo cha kuwa unafundisha kiswahili

  • @jaccobojeremia9626
    @jaccobojeremia9626 2 года назад +1

    Namwelewa sana Madebe lidai sijuwi kwako maana ukiyafatilia maneno yake unakuwa wa tofauti katika haya maisha.

  • @namuterezamathias3426
    @namuterezamathias3426 3 года назад +1

    Napenda sana mtangazaji ana maswali ambayo nilokuw nao kabla, me nafalijik sn

  • @aristarquekambereofficial
    @aristarquekambereofficial Год назад

    Hongera sana kabisa

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 2 года назад

    Mashallah kumbe chanuo ndio mke wake wamependeza

  • @richardgirlbart3745
    @richardgirlbart3745 2 года назад

    Bro unatisha I like mister

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 3 года назад +2

    MashaAllah una lugha mzr ya kiswahili

  • @twalihamohamedi898
    @twalihamohamedi898 3 года назад +1

    Big up sana brooo hakika unaweza nakukubali kinyama, kwenye in shaa allah iliua sana mzeeee

  • @hasukombarok614
    @hasukombarok614 3 года назад +3

    Kwa nn Basata isiwe inatoa fursa ya Sisi raiaa kueza kumchaguaa msanii Bora TZ Kwa mujibu wa maono yetuu na kama ipo haitufikii Sisi wengine auu ni taasisi gani inahusikaa na Ayo Mambo na kama haipo taasisi inayoweza kufanya ivooo Kwa nn isiwepoo..
    Just Kwa ajili ya kuona ni jinsi ganii tunaburudika na kupata elimu nzitoo ndani ya hizi filamu za madebe lidaii
    We are waiting for Continuation of ##MATUSI series....
    #Madebe Lidai is the best artist and first choice for me....

    • @wakuwaumizatz7626
      @wakuwaumizatz7626 3 года назад +1

      And to me

    • @bigdaddy_faustinjumong4427
      @bigdaddy_faustinjumong4427 2 года назад

      💪💪🐘🦣🇧🇮🇧🇮huwa nazani nikopekeyangu ambao anae buludika na kuelewe🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @stellah3844
    @stellah3844 3 года назад +1

    Nampenda huyu kaka anaigiza vnzr sana, Naenjoy balaaa nkiangalia anachoigiza yaan huchok

  • @AureliaRichard-vm7oj
    @AureliaRichard-vm7oj Год назад

    Nimeipenda

  • @EdigaSikanyika-vz8rq
    @EdigaSikanyika-vz8rq Год назад

    Ukosafiiiii

  • @jacquesmuhubiri4499
    @jacquesmuhubiri4499 3 года назад

    Nabii muswahili kweli tunakupenda sana

  • @furthernelly7084
    @furthernelly7084 2 года назад

    God yupo kanisani dahhh

  • @samuelsingaru2746
    @samuelsingaru2746 2 года назад +1

    Kumwaga ndani raha sana ila tatizo lipo kwenye kudeki🥵🥵🥵

  • @amirimchuwa9074
    @amirimchuwa9074 3 года назад

    Kumwaga ndani ni rahaa Sana kazi ipo kwenye kudeki

  • @benjathekingofficialshows
    @benjathekingofficialshows 3 года назад +1

    Huyu dada ndo kaniaribia hii interview maana mm mtu anaejifanya mwanaume wakat yy mwanamke hatuelewani, duh madebe big up

  • @mzeahmwake1461
    @mzeahmwake1461 Год назад

    Natalie sana sana inshalllah

  • @nelsonpatricioestanislaus7144
    @nelsonpatricioestanislaus7144 3 года назад +1

    Safi sana Mr Lidai

  • @bahinwamlumba1233
    @bahinwamlumba1233 2 года назад

    Vizuri sana ndugu yangu madebe

  • @5awlamamari959
    @5awlamamari959 3 года назад +1

    Madebe michezo yako ni mizuri sana tunapenda kuitazama naona tumeshaimaliza lini tutaona mengine mipya.

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga3005 3 года назад +2

    Naomba kazi bro, napenda sana kuigiza ka wewe!

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 2 года назад

    Ww hodari Mashallah

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh 11 месяцев назад

    🥰🥰🥰👏👏👏

  • @kheryhamadi6215
    @kheryhamadi6215 3 года назад

    madebe yuko juu sana

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق 3 года назад +1

    Namkubali sana ila anamaneno makali ila yanamafunzo🤣🤣😍😍😘

  • @NicholasWambua-z5g
    @NicholasWambua-z5g 2 месяца назад

    😮

  • @estarevalista9271
    @estarevalista9271 3 года назад

    Uko vizuri sana

  • @edwardnamakonde7310
    @edwardnamakonde7310 3 года назад +3

    Kilicho mtambulisha na kumpa umaarufu Nabii Mswahili ni mtindo wake wa kuigiza maisha halisi ya Kitanzania.

  • @PeterMayunga-v8d
    @PeterMayunga-v8d 9 месяцев назад

    Hali wez kudek linajua kumwaga tu lingekua chakula hakifai kuliwa

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 3 года назад

    Madebe lidai original.

  • @gulyembehamka515
    @gulyembehamka515 3 года назад

    Brother, M/mungu akuongeze Zaid kaz nzuri Sana hii ni Tanzania yetu

  • @manirakizaambula8605
    @manirakizaambula8605 3 года назад

    Asante kaka

  • @madenisubi3956
    @madenisubi3956 3 года назад +1

    Namkubali sana huyu jamaa

  • @kassimumandeleko9704
    @kassimumandeleko9704 3 года назад

    Mwamba nakukubali

  • @natakanumberzampambaj8467
    @natakanumberzampambaj8467 3 года назад

    naomba kaz mm napenda kuigika kakangu

  • @eliudimwandosya5582
    @eliudimwandosya5582 3 года назад

    Haaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaa aiseee bwaaaanaaaa weeeee

  • @stevenjohn8269
    @stevenjohn8269 3 года назад

    Jux

  • @yusuphswai5089
    @yusuphswai5089 3 года назад

    Madebe we ni mkali na nizaidi ya wakali unaweza kaka

  • @mapundajackob5513
    @mapundajackob5513 3 года назад

    Nakuelewaga sana bwana lidai

  • @josephnyondo9424
    @josephnyondo9424 3 года назад

    Rugha kwanza, asante Lidaya.

  • @godknowsbetter.6352
    @godknowsbetter.6352 3 года назад +2

    Much appreciation for sure

  • @hekimawilliam4945
    @hekimawilliam4945 3 года назад

    Mbona kimya sana brooo

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 3 года назад

    Kumwagia ndani raha lkn shida ni kudekiii

  • @stunnaman5822
    @stunnaman5822 3 года назад

    Nabii mswahili

  • @mwanahawasaid1561
    @mwanahawasaid1561 3 года назад

    Naisubil wal wang kwa hamu

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 года назад

    Nakukubali sana madebe lidai

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 3 года назад

    😆😆😆ukiona maarage uameiva jua mkaa umeteketea😃😃😃

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb 3 года назад

    *NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI 👈👈👈👈*

  • @mmbondoglobalnews1958
    @mmbondoglobalnews1958 3 года назад

    Madebe msanii fake ,ahana hata award moja 😃😃😃 ume kwama wapi kaka

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 3 года назад

      Wewe mbona hayujakuona japo tu filam moja? Acha uzobazoba,award ni matokeo baada ya kaz/ una uwakika gan hatapata award? Award ni hizo zilizowah kupita tu?

    • @mmbondoglobalnews1958
      @mmbondoglobalnews1958 3 года назад

      Ajuhi lolote huyo ,Mimi sio mcheza filama ,ila Mimi ni mchambuzi wa filamu

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 3 года назад

      @@mmbondoglobalnews1958 🤤🤤🤤🤤

    • @georgeigogo9259
      @georgeigogo9259 3 года назад

      Mwenzio ajafuwata awad kaja kiuwalimu zaidi kumbka mtowa awad ni mwalimu

    • @agesag.m2476
      @agesag.m2476 3 года назад

      You think little with a lot of pettiness, you mean mtu akiikosa award Kwako ni fake?
      Okay , mwanao amekuwa position 9 out of 50 shuleni with an average mark of 60% in all subjects does it mean he is a Coward?

  • @msafirijames4197
    @msafirijames4197 2 года назад +1

    Aiseee brother nakuelewa sana misemo yako mungu akulinde

  • @stevenjohn8269
    @stevenjohn8269 3 года назад

    Jux