Kwa nn Basata isiwe inatoa fursa ya Sisi raiaa kueza kumchaguaa msanii Bora TZ Kwa mujibu wa maono yetuu na kama ipo haitufikii Sisi wengine auu ni taasisi gani inahusikaa na Ayo Mambo na kama haipo taasisi inayoweza kufanya ivooo Kwa nn isiwepoo.. Just Kwa ajili ya kuona ni jinsi ganii tunaburudika na kupata elimu nzitoo ndani ya hizi filamu za madebe lidaii We are waiting for Continuation of ##MATUSI series.... #Madebe Lidai is the best artist and first choice for me....
Wewe mbona hayujakuona japo tu filam moja? Acha uzobazoba,award ni matokeo baada ya kaz/ una uwakika gan hatapata award? Award ni hizo zilizowah kupita tu?
You think little with a lot of pettiness, you mean mtu akiikosa award Kwako ni fake? Okay , mwanao amekuwa position 9 out of 50 shuleni with an average mark of 60% in all subjects does it mean he is a Coward?
Nakubali filam zako nying zinafundisha katika misemo kwa mtu mwelewa madebe lidai
Aiseee brother nakuelewa sana misemo yako mungu akulinde
Wa kwanza Leo jmni kwa anayemkubali madebe lidai aache like yake hapo chini jmni
Mimi ni mkenya na leo ni siku mashujaa. Shujaa wangu ni madebe lidai
Nakuelewa sana bora serikali ikupe kitengo cha kuwa unafundisha kiswahili
Namwelewa sana Madebe lidai sijuwi kwako maana ukiyafatilia maneno yake unakuwa wa tofauti katika haya maisha.
Napenda sana mtangazaji ana maswali ambayo nilokuw nao kabla, me nafalijik sn
Hongera sana kabisa
Mashallah kumbe chanuo ndio mke wake wamependeza
Bro unatisha I like mister
MashaAllah una lugha mzr ya kiswahili
Big up sana brooo hakika unaweza nakukubali kinyama, kwenye in shaa allah iliua sana mzeeee
U7
Kwa nn Basata isiwe inatoa fursa ya Sisi raiaa kueza kumchaguaa msanii Bora TZ Kwa mujibu wa maono yetuu na kama ipo haitufikii Sisi wengine auu ni taasisi gani inahusikaa na Ayo Mambo na kama haipo taasisi inayoweza kufanya ivooo Kwa nn isiwepoo..
Just Kwa ajili ya kuona ni jinsi ganii tunaburudika na kupata elimu nzitoo ndani ya hizi filamu za madebe lidaii
We are waiting for Continuation of ##MATUSI series....
#Madebe Lidai is the best artist and first choice for me....
And to me
💪💪🐘🦣🇧🇮🇧🇮huwa nazani nikopekeyangu ambao anae buludika na kuelewe🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nampenda huyu kaka anaigiza vnzr sana, Naenjoy balaaa nkiangalia anachoigiza yaan huchok
Nimeipenda
Ukosafiiiii
Nabii muswahili kweli tunakupenda sana
God yupo kanisani dahhh
Kumwaga ndani raha sana ila tatizo lipo kwenye kudeki🥵🥵🥵
Kumwaga ndani ni rahaa Sana kazi ipo kwenye kudeki
Huyu dada ndo kaniaribia hii interview maana mm mtu anaejifanya mwanaume wakat yy mwanamke hatuelewani, duh madebe big up
Natalie sana sana inshalllah
Safi sana Mr Lidai
Vizuri sana ndugu yangu madebe
Madebe michezo yako ni mizuri sana tunapenda kuitazama naona tumeshaimaliza lini tutaona mengine mipya.
Naomba kazi bro, napenda sana kuigiza ka wewe!
Ww hodari Mashallah
🥰🥰🥰👏👏👏
madebe yuko juu sana
Namkubali sana ila anamaneno makali ila yanamafunzo🤣🤣😍😍😘
😮
Uko vizuri sana
Kilicho mtambulisha na kumpa umaarufu Nabii Mswahili ni mtindo wake wa kuigiza maisha halisi ya Kitanzania.
Hali wez kudek linajua kumwaga tu lingekua chakula hakifai kuliwa
Madebe lidai original.
Brother, M/mungu akuongeze Zaid kaz nzuri Sana hii ni Tanzania yetu
Asante kaka
Namkubali sana huyu jamaa
Mwamba nakukubali
naomba kaz mm napenda kuigika kakangu
Haaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaa aiseee bwaaaanaaaa weeeee
Jux
Madebe we ni mkali na nizaidi ya wakali unaweza kaka
Nakuelewaga sana bwana lidai
Rugha kwanza, asante Lidaya.
Much appreciation for sure
Mbona kimya sana brooo
Kumwagia ndani raha lkn shida ni kudekiii
Nabii mswahili
Naisubil wal wang kwa hamu
Nakukubali sana madebe lidai
Nambie
@@yusuphjonas3809 mzima
Nitumie namba zako
@@bahinwamlumba1233 weka yako nitakucheki
😆😆😆ukiona maarage uameiva jua mkaa umeteketea😃😃😃
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI 👈👈👈👈*
Madebe msanii fake ,ahana hata award moja 😃😃😃 ume kwama wapi kaka
Wewe mbona hayujakuona japo tu filam moja? Acha uzobazoba,award ni matokeo baada ya kaz/ una uwakika gan hatapata award? Award ni hizo zilizowah kupita tu?
Ajuhi lolote huyo ,Mimi sio mcheza filama ,ila Mimi ni mchambuzi wa filamu
@@mmbondoglobalnews1958 🤤🤤🤤🤤
Mwenzio ajafuwata awad kaja kiuwalimu zaidi kumbka mtowa awad ni mwalimu
You think little with a lot of pettiness, you mean mtu akiikosa award Kwako ni fake?
Okay , mwanao amekuwa position 9 out of 50 shuleni with an average mark of 60% in all subjects does it mean he is a Coward?
Aiseee brother nakuelewa sana misemo yako mungu akulinde
Jux