MPANZU NA SIMBA NI BALAA/ MO DEWJI AFANYA UMAFIA / MENEJA WA MPANZU ATEMA CHECHE/ YUPO WAPI PACOME?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • MPANZU NA SIMBA NI BALAA/ MO DEWJI AFANYA UMAFIA / MENEJA WA MPANZU ATEMA CHECHE/ YUPO WAPI PACOME?

Комментарии • 107

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh 2 месяца назад +19

    Mmetisha tunawaamini Sana maana mlisema kweli kuhusu meneja wa Simba na yametokea na ata ya mpanzu tunaamini 🙏🙏🙏🙏🙏👑👑👑👑👑

  • @allyrembo6714
    @allyrembo6714 2 месяца назад +29

    Sasa tumepata redio ya maana yenye watu makini watangaji wenye weledi mkubwa na ukweli mtupu hawana longo longo CROWN REDIO mungu awajalie

    • @IsayaSamweli-iz9sr
      @IsayaSamweli-iz9sr 2 месяца назад

      😅😅😅😅😅😅.😅😅😅😅😅😅😅😅................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 18:52 fa1

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 2 месяца назад +4

    Muko vizuri nawafatilia nikia LUSAKA ZAMBIA 💚💛💛💚

  • @SaintLiquorstore
    @SaintLiquorstore 2 месяца назад +11

    Mng’oeni Mr mbwaduke aje ajoin na Chana la wana!! Man itakuwa mmetake over everywhere.Asante sana

  • @AlhajiJuma-s8j
    @AlhajiJuma-s8j 2 месяца назад +4

    Oyaaaa hii redio mlikua wap miaka yotee👏👏🤪🤪nimewapenda bureeee ila ntawachukia kama mnadanganya kuhusu mpanzu🇹🇿🥰♥️💯💯nikiwa💯mombasa kenya

  • @geradabely4662
    @geradabely4662 2 месяца назад +2

    Simba atali Sana mpanzu welocome Simba SC I love you

  • @KidomelaEdward
    @KidomelaEdward 2 месяца назад +7

    Mr mbwaduke 🎉🎉🎉 msogezeni hapo ili kamati ya ufundi itimie vilivyo safi sana crown fm ❤❤❤🎉🎉

  • @mycotv2020
    @mycotv2020 2 месяца назад +8

    Crown media hongera sana kwenu uwepo wenu tunainjoy sana
    Kule wasafi kipindi Cha michezo kinahalibiwa na baba levo
    Analeta uchawa kwenye esue serious

  • @SaintLiquorstore
    @SaintLiquorstore 2 месяца назад +9

    Crown please endeleeni hivi hivi Ila kwenye usajili wenu mpya please mng’oeni Mr Ramadhani mbwaduke aseeee mtakuwa mmetisha sana!!

  • @MariamuMkamba
    @MariamuMkamba 2 месяца назад +2

    Mungu ijalie Simba yetu ifike nchi ya ahadi

  • @OnesmoMwacha-wp4bo
    @OnesmoMwacha-wp4bo 2 месяца назад +8

    Crown ..pamoja sana

  • @ChambuaChambua
    @ChambuaChambua 2 месяца назад +2

    Hakika nimekubali 👑✔️✅

  • @JoseChameleon-i4d
    @JoseChameleon-i4d 2 месяца назад +7

    Crown on top

  • @jacksondamian4347
    @jacksondamian4347 2 месяца назад +3

    Crown sport mmekuja kimkakati maana mnabalansi story leo endeleeni ivyo ndio maana leo hii mkoa trending no 13

  • @abtway66
    @abtway66 2 месяца назад +4

    Mbwanduke akija hapo ni balaa tupu,, Tanzania nzima hii ndo Media pendwa yenye ukweli na uhakika ,chukueni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @neemamhanga8428
    @neemamhanga8428 2 месяца назад +6

    nasikia begi la mo bado limejaa dollar ni ubaya ubwela

  • @obedmwakalonge1372
    @obedmwakalonge1372 2 месяца назад +2

    Kwa kweli Crown wapo clear saana...unapata unachotaka...Wasafi ujinga ujinga ..EFM walianza vizuri ila Sasa unaweza sinzia

  • @GidionamosiBusasi
    @GidionamosiBusasi 2 месяца назад +1

    Tutatisha sana by king bushesha

  • @AthumaniSalimu-yw1gz
    @AthumaniSalimu-yw1gz 2 месяца назад +6

    Hatariiii sana

  • @KhalfanHabibu
    @KhalfanHabibu 2 месяца назад

    Jamani jamani watangazaji mnanipa Raha sana ,kwautangazaji wenu.❤I love my club simba.

  • @JuliusKiondo-h7l
    @JuliusKiondo-h7l 2 месяца назад +5

    mm naamini kabiza elia mpanzu ni mnyama

  • @DavidjrAlcado
    @DavidjrAlcado 2 месяца назад +7

    Nawakubali sana

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 2 месяца назад +3

    HANS unasema mchezaji mzuri haangaliwi kwa number zake. Sasa Niko Williams na kama Kibu tu msimu mzima ana goli moja. Ana kasi na nguvu.

  • @MGENICHARLES
    @MGENICHARLES 2 месяца назад +1

    Jaman embu tutoen wasiwasi kwer mpanzu atacheza unyamani?😮😮😢😢😢

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 2 месяца назад +1

    Crown Fm number moja kwa sasa hongeren❤❤❤❤❤❤❤

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 2 месяца назад +2

    On trending 13🎉🎉🎉

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 2 месяца назад +3

    Tena kwa Mpigo zaidi 🔥🔥

  • @BarakaPeter-b2l
    @BarakaPeter-b2l 2 месяца назад +1

    Nimewakubali sana vp hii redio Arusha inasikika

  • @theophilyedward2448
    @theophilyedward2448 2 месяца назад +1

    Mpaka sasa mko sahihi ila mjitahidi kuepuka uwongo

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 2 месяца назад +1

    Nimekuwa tayari mdau mkubwa wa crown sport one love

  • @hajimwenchumu3398
    @hajimwenchumu3398 2 месяца назад +2

    Crowntv sasa tunaka kuwaona kwenye kisimbuzi cha Azam mabando sio poa kabisa mwambie rais afanye maana tunajua anaweza ❤❤❤

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 2 месяца назад

    Nawafuatilia live kutoka 🇱🇷Crown 🔥🔥🔥

  • @hassanially1773
    @hassanially1773 2 месяца назад

    Crown fm big redio nawakubali

  • @mwajumatubajike1743
    @mwajumatubajike1743 2 месяца назад

    Clown ni best yani wachambuzi wa maaana hawapendelei wako poa.big up

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 2 месяца назад +3

    Crown tunaitakaa kwenyee kisimbuz cha azam

  • @DaudiTwaibu
    @DaudiTwaibu 2 месяца назад +8

    Sema crown mnatisha

  • @JamesNashon-l8w
    @JamesNashon-l8w 2 месяца назад +5

    Wachambuzii wa maaana kabsa

  • @ATHUMANIMAJENGO-e3f
    @ATHUMANIMAJENGO-e3f 2 месяца назад +5

    Mnapatikana kwenye kisimbuzi gan?

  • @ProsperajemFelix
    @ProsperajemFelix 2 месяца назад +5

    crown fm

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 2 месяца назад +1

    ❤❤❤Crown forever and always

  • @NikolasiJohn-f4j
    @NikolasiJohn-f4j 2 месяца назад

    Nawakubali crown fm mna taalifa nzuri sana tena za kwer

  • @hamzaselemani209
    @hamzaselemani209 2 месяца назад

    Oya hansi noma sana ntakupa dadaa

  • @ZulphaMsangi-s9g
    @ZulphaMsangi-s9g 2 месяца назад +2

    Mbwaduke aje ajoin itakua uzuri kweli yan

  • @loreashazo5696
    @loreashazo5696 2 месяца назад +1

    Yaani sijawahi chukia ata mara moja tangu nijiunge kwenye hii familia ya Crown adi raha sana

  • @aminakimangano776
    @aminakimangano776 2 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @righitkileo
    @righitkileo 2 месяца назад

    ❤❤watu wa maana kabisa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwajumatubajike1743
    @mwajumatubajike1743 2 месяца назад

    Crown not clown.mko poaaaaa jemadariiii ndani

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 2 месяца назад +5

    100k subs🎉

  • @EmmanuelMhando
    @EmmanuelMhando 2 месяца назад

    Kwa maelezo hayo Mpanzu anatua Simba,#UBAYA UBWELA##

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 2 месяца назад +2

    Wachambuzi jaribuni kuheshimu muda wa kila mmoja wenu msiingiliane

  • @HamisiMwazikeni
    @HamisiMwazikeni 2 месяца назад +1

    Tukoo pamojaa

  • @williammdachi9902
    @williammdachi9902 2 месяца назад

  • @ZaharaniAlfani
    @ZaharaniAlfani 2 месяца назад

    Hansi uko vizuri

  • @Zabroni-x8o
    @Zabroni-x8o 2 месяца назад

    Dar kwa huo uchambuzi kaka mnaupinga mwingi hakika #UBAYA UBWELA2 Hans nakukubari kaka na wacham uzi wote mko good enough😊

  • @jamesjoseph2421
    @jamesjoseph2421 2 месяца назад +1

    🔥🔥🔥👑👑👑👑❤❤

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine 2 месяца назад

    Hongeren san crown radio

  • @FabianiFaustini26
    @FabianiFaustini26 2 месяца назад

    Kipa Bora matampi kiungo Bora feisali muchezaji Bora azizi k

  • @johnndiga
    @johnndiga 2 месяца назад

    nawapata vizuri nikiwa Malawi 🇲🇼

  • @Agustinongaloka
    @Agustinongaloka 2 месяца назад +5

    Gd

    • @ImaniMoga-c4j
      @ImaniMoga-c4j 2 месяца назад

      Nilichelewa wap kuwafuatilia crown jamn mnaoishi nawapa maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @IukiusLongino
    @IukiusLongino 2 месяца назад

    Vp pazuu

  • @ZaharaniAlfani
    @ZaharaniAlfani 2 месяца назад

    Simba itakuwa yamoto

  • @AyubuMbawala
    @AyubuMbawala 2 месяца назад

    Mutakazaji iyo atali simba dei au sikuyasimba ubay ubwer

  • @PhilipoFaustin
    @PhilipoFaustin 2 месяца назад

    Kwakweri
    Kwausajiri
    Huu
    Yangà
    Mjiandae
    Ubayaubwera

  • @mwajumatubajike1743
    @mwajumatubajike1743 2 месяца назад

    Mgwaduke crown noooo hatumtaki unapendeleaaa

  • @RevoJuma
    @RevoJuma 2 месяца назад

    Safi sana

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 2 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @elmonfunago2267
    @elmonfunago2267 2 месяца назад +1

    Tunahitaji kuwaona azam tv

  • @AyubuMungii
    @AyubuMungii 2 месяца назад

    Ebana eeeeh, Hans Rafael huyu chaliiii anajua kuchambua mpira mazee,akili kubwa sana ya mpira,wengine samahan nawaheshim

  • @FelinucMalilwa
    @FelinucMalilwa 2 месяца назад

    Trendinggggggggg❤

  • @AzaniaMohamed
    @AzaniaMohamed 2 месяца назад +2

    Kwakweli crown nyie hamna baya

  • @GiftTarimo
    @GiftTarimo 2 месяца назад

    Noma

  • @SolomonHenry-y7h
    @SolomonHenry-y7h 2 месяца назад +1

    Hapa ni nyumbani

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 2 месяца назад

    Hans unazinguwa bn fredy kwel championship kwel daa😢😢

  • @AthumanAthumanmusser
    @AthumanAthumanmusser 2 месяца назад +1

    Kaka Hilo likopoa zoon14 limekaa unyama San kaka

  • @erastomtega2009
    @erastomtega2009 2 месяца назад

    Dickson ngonyani najuwa kuuchambuwa mpila

  • @SaliNabu
    @SaliNabu 2 месяца назад +3

    Crowwwn

  • @DoctorBaddest
    @DoctorBaddest 2 месяца назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ChambuaChambua
    @ChambuaChambua 2 месяца назад

    Mkovizuri asee

  • @HappyBabyKittens-wx2mb
    @HappyBabyKittens-wx2mb 2 месяца назад

    Mtisha mwamba

  • @drallan6879
    @drallan6879 2 месяца назад

    we ally kamwe mligongwa but bàdo unajisikia over Germans

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 2 месяца назад

    Mpanzu haji SIMBA
    AMINI NAWAAMBIA
    ANAENDA YANGA
    WAMEISHA MALIZANA NAE
    DILISHA DOGO
    AS VITA NA YANGA DAM DAM

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 месяца назад +1

    Kibu ni mbuzi kama mbuzi wengine

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 месяца назад

    Kuna huyo mwamba anayepandisha vdeo youtube,APEWE🎉🎉🎉🎉 MAUA YAKE

  • @DoctorBaddest
    @DoctorBaddest 2 месяца назад

    Mkichelewa wapi

  • @kabazitv4293
    @kabazitv4293 2 месяца назад +1

    Huyo coach kumkataa wamemsikia wapi? Au ndo kujitungia story na kuanza kuzichambua

  • @EpidordMahovu
    @EpidordMahovu 2 месяца назад

    Ahise Mukibadirisha Mfumo Huo Au Utamu Huu Wakutangaza Michezo Mtakuwa Mmekosea San. Nawakubali San

  • @bernadking3835
    @bernadking3835 2 месяца назад

    Kipind kinakua kitam Sana asipokuepo jemedal😅 Bora aondoke tu

  • @LovelyCoastalBeach-sn5uc
    @LovelyCoastalBeach-sn5uc 2 месяца назад

    Ubaya ubwela

  • @Agustinongaloka
    @Agustinongaloka 2 месяца назад +3

    😂🎉🎉😅

  • @eneadanielmkufyaeneadaniel
    @eneadanielmkufyaeneadaniel 2 месяца назад

    Uchambuzi wa mpira unaanzaga saa ngapi?

  • @mohdothman5888
    @mohdothman5888 2 месяца назад

    Hans unajua kutujaza...usikute anachuuza wewe😂😂😂

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 2 месяца назад

    HANS punguza kuponda kwa Azam.

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 2 месяца назад +1

    Sasa dirisha silimefugwa la usajili au mimi ndosija elewa

  • @AmbonisyeMwakabona
    @AmbonisyeMwakabona 2 месяца назад

    muongezeni mzee wa data mbwaduk crown mamb yawe mbam mbam

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 месяца назад

    Mkubwa jeme yuwapi?

  • @makambamohamed3632
    @makambamohamed3632 2 месяца назад

    Mutunze hayo maneno mpaka mwisho wa msimu ujao

    • @rashidgogo5558
      @rashidgogo5558 2 месяца назад

      Wew tulia umeaminishwa uneamin wajikuta umekuwa spen mnyam hana mpinzan kwanza tupo wengi sana

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 2 месяца назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉😊

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 2 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉