Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mmetisha tunawaamini Sana maana mlisema kweli kuhusu meneja wa Simba na yametokea na ata ya mpanzu tunaamini 🙏🙏🙏🙏🙏👑👑👑👑👑
Sasa tumepata redio ya maana yenye watu makini watangaji wenye weledi mkubwa na ukweli mtupu hawana longo longo CROWN REDIO mungu awajalie
😅😅😅😅😅😅.😅😅😅😅😅😅😅😅................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 18:52 fa1
Muko vizuri nawafatilia nikia LUSAKA ZAMBIA 💚💛💛💚
Mng’oeni Mr mbwaduke aje ajoin na Chana la wana!! Man itakuwa mmetake over everywhere.Asante sana
Oyaaaa hii redio mlikua wap miaka yotee👏👏🤪🤪nimewapenda bureeee ila ntawachukia kama mnadanganya kuhusu mpanzu🇹🇿🥰♥️💯💯nikiwa💯mombasa kenya
Simba atali Sana mpanzu welocome Simba SC I love you
Mr mbwaduke 🎉🎉🎉 msogezeni hapo ili kamati ya ufundi itimie vilivyo safi sana crown fm ❤❤❤🎉🎉
Crown media hongera sana kwenu uwepo wenu tunainjoy sanaKule wasafi kipindi Cha michezo kinahalibiwa na baba levoAnaleta uchawa kwenye esue serious
Crown please endeleeni hivi hivi Ila kwenye usajili wenu mpya please mng’oeni Mr Ramadhani mbwaduke aseeee mtakuwa mmetisha sana!!
Mungu ijalie Simba yetu ifike nchi ya ahadi
Crown ..pamoja sana
Hakika nimekubali 👑✔️✅
Crown on top
Crown sport mmekuja kimkakati maana mnabalansi story leo endeleeni ivyo ndio maana leo hii mkoa trending no 13
Mbwanduke akija hapo ni balaa tupu,, Tanzania nzima hii ndo Media pendwa yenye ukweli na uhakika ,chukueni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
nasikia begi la mo bado limejaa dollar ni ubaya ubwela
Kwa kweli Crown wapo clear saana...unapata unachotaka...Wasafi ujinga ujinga ..EFM walianza vizuri ila Sasa unaweza sinzia
Tutatisha sana by king bushesha
Hatariiii sana
Jamani jamani watangazaji mnanipa Raha sana ,kwautangazaji wenu.❤I love my club simba.
mm naamini kabiza elia mpanzu ni mnyama
Siamini mpaka nione
Nawakubali sana
HANS unasema mchezaji mzuri haangaliwi kwa number zake. Sasa Niko Williams na kama Kibu tu msimu mzima ana goli moja. Ana kasi na nguvu.
Jaman embu tutoen wasiwasi kwer mpanzu atacheza unyamani?😮😮😢😢😢
Crown Fm number moja kwa sasa hongeren❤❤❤❤❤❤❤
On trending 13🎉🎉🎉
Tena kwa Mpigo zaidi 🔥🔥
Nimewakubali sana vp hii redio Arusha inasikika
Mpaka sasa mko sahihi ila mjitahidi kuepuka uwongo
Nimekuwa tayari mdau mkubwa wa crown sport one love
Crowntv sasa tunaka kuwaona kwenye kisimbuzi cha Azam mabando sio poa kabisa mwambie rais afanye maana tunajua anaweza ❤❤❤
Nawafuatilia live kutoka 🇱🇷Crown 🔥🔥🔥
Crown fm big redio nawakubali
Clown ni best yani wachambuzi wa maaana hawapendelei wako poa.big up
Crown tunaitakaa kwenyee kisimbuz cha azam
Sema crown mnatisha
Wachambuzii wa maaana kabsa
Mnapatikana kwenye kisimbuzi gan?
crown fm
❤❤❤Crown forever and always
Nawakubali crown fm mna taalifa nzuri sana tena za kwer
Oya hansi noma sana ntakupa dadaa
Mbwaduke aje ajoin itakua uzuri kweli yan
Yaani sijawahi chukia ata mara moja tangu nijiunge kwenye hii familia ya Crown adi raha sana
🎉🎉🎉🎉
❤❤watu wa maana kabisa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Crown not clown.mko poaaaaa jemadariiii ndani
100k subs🎉
Kwa maelezo hayo Mpanzu anatua Simba,#UBAYA UBWELA##
Wachambuzi jaribuni kuheshimu muda wa kila mmoja wenu msiingiliane
Tukoo pamojaa
✅
Hansi uko vizuri
Dar kwa huo uchambuzi kaka mnaupinga mwingi hakika #UBAYA UBWELA2 Hans nakukubari kaka na wacham uzi wote mko good enough😊
🔥🔥🔥👑👑👑👑❤❤
Hongeren san crown radio
Kipa Bora matampi kiungo Bora feisali muchezaji Bora azizi k
nawapata vizuri nikiwa Malawi 🇲🇼
Gd
Nilichelewa wap kuwafuatilia crown jamn mnaoishi nawapa maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Vp pazuu
Simba itakuwa yamoto
Mutakazaji iyo atali simba dei au sikuyasimba ubay ubwer
KwakweriKwausajiriHuuYangàMjiandaeUbayaubwera
Mgwaduke crown noooo hatumtaki unapendeleaaa
Safi sana
❤❤❤
Tunahitaji kuwaona azam tv
Ebana eeeeh, Hans Rafael huyu chaliiii anajua kuchambua mpira mazee,akili kubwa sana ya mpira,wengine samahan nawaheshim
Trendinggggggggg❤
Kwakweli crown nyie hamna baya
Noma
Hapa ni nyumbani
Hans unazinguwa bn fredy kwel championship kwel daa😢😢
Kaka Hilo likopoa zoon14 limekaa unyama San kaka
Dickson ngonyani najuwa kuuchambuwa mpila
Crowwwn
❤❤❤🎉🎉🎉
Mkovizuri asee
Mtisha mwamba
we ally kamwe mligongwa but bàdo unajisikia over Germans
Mpanzu haji SIMBA AMINI NAWAAMBIA ANAENDA YANGA WAMEISHA MALIZANA NAE DILISHA DOGO AS VITA NA YANGA DAM DAM
Kibu ni mbuzi kama mbuzi wengine
Kuna huyo mwamba anayepandisha vdeo youtube,APEWE🎉🎉🎉🎉 MAUA YAKE
Mkichelewa wapi
Huyo coach kumkataa wamemsikia wapi? Au ndo kujitungia story na kuanza kuzichambua
Amemkataa ni ukweli sio uwongo
Ahise Mukibadirisha Mfumo Huo Au Utamu Huu Wakutangaza Michezo Mtakuwa Mmekosea San. Nawakubali San
Kipind kinakua kitam Sana asipokuepo jemedal😅 Bora aondoke tu
Ubaya ubwela
😂🎉🎉😅
Uchambuzi wa mpira unaanzaga saa ngapi?
Hans unajua kutujaza...usikute anachuuza wewe😂😂😂
HANS punguza kuponda kwa Azam.
Sasa dirisha silimefugwa la usajili au mimi ndosija elewa
Simba bado wanaruhusiwa
@@anastahiliutawala3879 Asante kwakunijuza
@@anastahiliutawala3879 Simba guvu mojaa
muongezeni mzee wa data mbwaduk crown mamb yawe mbam mbam
Mkubwa jeme yuwapi?
Mutunze hayo maneno mpaka mwisho wa msimu ujao
Wew tulia umeaminishwa uneamin wajikuta umekuwa spen mnyam hana mpinzan kwanza tupo wengi sana
🎉🎉🎉🎉🎉😊
Simba nguvu moja by king bushesha
Mmetisha tunawaamini Sana maana mlisema kweli kuhusu meneja wa Simba na yametokea na ata ya mpanzu tunaamini 🙏🙏🙏🙏🙏👑👑👑👑👑
Sasa tumepata redio ya maana yenye watu makini watangaji wenye weledi mkubwa na ukweli mtupu hawana longo longo CROWN REDIO mungu awajalie
😅😅😅😅😅😅.😅😅😅😅😅😅😅😅................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 18:52 fa1
Muko vizuri nawafatilia nikia LUSAKA ZAMBIA 💚💛💛💚
Mng’oeni Mr mbwaduke aje ajoin na Chana la wana!! Man itakuwa mmetake over everywhere.Asante sana
Oyaaaa hii redio mlikua wap miaka yotee👏👏🤪🤪nimewapenda bureeee ila ntawachukia kama mnadanganya kuhusu mpanzu🇹🇿🥰♥️💯💯nikiwa💯mombasa kenya
Simba atali Sana mpanzu welocome Simba SC I love you
Mr mbwaduke 🎉🎉🎉 msogezeni hapo ili kamati ya ufundi itimie vilivyo safi sana crown fm ❤❤❤🎉🎉
Crown media hongera sana kwenu uwepo wenu tunainjoy sana
Kule wasafi kipindi Cha michezo kinahalibiwa na baba levo
Analeta uchawa kwenye esue serious
Crown please endeleeni hivi hivi Ila kwenye usajili wenu mpya please mng’oeni Mr Ramadhani mbwaduke aseeee mtakuwa mmetisha sana!!
Mungu ijalie Simba yetu ifike nchi ya ahadi
Crown ..pamoja sana
Hakika nimekubali 👑✔️✅
Crown on top
Crown sport mmekuja kimkakati maana mnabalansi story leo endeleeni ivyo ndio maana leo hii mkoa trending no 13
Mbwanduke akija hapo ni balaa tupu,, Tanzania nzima hii ndo Media pendwa yenye ukweli na uhakika ,chukueni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
nasikia begi la mo bado limejaa dollar ni ubaya ubwela
Kwa kweli Crown wapo clear saana...unapata unachotaka...Wasafi ujinga ujinga ..EFM walianza vizuri ila Sasa unaweza sinzia
Tutatisha sana by king bushesha
Hatariiii sana
Jamani jamani watangazaji mnanipa Raha sana ,kwautangazaji wenu.❤I love my club simba.
mm naamini kabiza elia mpanzu ni mnyama
Siamini mpaka nione
Nawakubali sana
HANS unasema mchezaji mzuri haangaliwi kwa number zake. Sasa Niko Williams na kama Kibu tu msimu mzima ana goli moja. Ana kasi na nguvu.
Jaman embu tutoen wasiwasi kwer mpanzu atacheza unyamani?😮😮😢😢😢
Crown Fm number moja kwa sasa hongeren❤❤❤❤❤❤❤
On trending 13🎉🎉🎉
Tena kwa Mpigo zaidi 🔥🔥
Nimewakubali sana vp hii redio Arusha inasikika
Mpaka sasa mko sahihi ila mjitahidi kuepuka uwongo
Nimekuwa tayari mdau mkubwa wa crown sport one love
Crowntv sasa tunaka kuwaona kwenye kisimbuzi cha Azam mabando sio poa kabisa mwambie rais afanye maana tunajua anaweza ❤❤❤
Nawafuatilia live kutoka 🇱🇷Crown 🔥🔥🔥
Crown fm big redio nawakubali
Clown ni best yani wachambuzi wa maaana hawapendelei wako poa.big up
Crown tunaitakaa kwenyee kisimbuz cha azam
Sema crown mnatisha
Wachambuzii wa maaana kabsa
Mnapatikana kwenye kisimbuzi gan?
crown fm
❤❤❤Crown forever and always
Nawakubali crown fm mna taalifa nzuri sana tena za kwer
Oya hansi noma sana ntakupa dadaa
Mbwaduke aje ajoin itakua uzuri kweli yan
Yaani sijawahi chukia ata mara moja tangu nijiunge kwenye hii familia ya Crown adi raha sana
🎉🎉🎉🎉
❤❤watu wa maana kabisa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Crown not clown.mko poaaaaa jemadariiii ndani
100k subs🎉
Kwa maelezo hayo Mpanzu anatua Simba,#UBAYA UBWELA##
Wachambuzi jaribuni kuheshimu muda wa kila mmoja wenu msiingiliane
Tukoo pamojaa
✅
Hansi uko vizuri
Dar kwa huo uchambuzi kaka mnaupinga mwingi hakika #UBAYA UBWELA2 Hans nakukubari kaka na wacham uzi wote mko good enough😊
🔥🔥🔥👑👑👑👑❤❤
Hongeren san crown radio
Kipa Bora matampi kiungo Bora feisali muchezaji Bora azizi k
nawapata vizuri nikiwa Malawi 🇲🇼
Gd
Nilichelewa wap kuwafuatilia crown jamn mnaoishi nawapa maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Vp pazuu
Simba itakuwa yamoto
Mutakazaji iyo atali simba dei au sikuyasimba ubay ubwer
Kwakweri
Kwausajiri
Huu
Yangà
Mjiandae
Ubayaubwera
Mgwaduke crown noooo hatumtaki unapendeleaaa
Safi sana
❤❤❤
Tunahitaji kuwaona azam tv
Ebana eeeeh, Hans Rafael huyu chaliiii anajua kuchambua mpira mazee,akili kubwa sana ya mpira,wengine samahan nawaheshim
Trendinggggggggg❤
Kwakweli crown nyie hamna baya
Noma
Hapa ni nyumbani
Hans unazinguwa bn fredy kwel championship kwel daa😢😢
Kaka Hilo likopoa zoon14 limekaa unyama San kaka
Dickson ngonyani najuwa kuuchambuwa mpila
Crowwwn
❤❤❤🎉🎉🎉
Mkovizuri asee
Mtisha mwamba
we ally kamwe mligongwa but bàdo unajisikia over Germans
Mpanzu haji SIMBA
AMINI NAWAAMBIA
ANAENDA YANGA
WAMEISHA MALIZANA NAE
DILISHA DOGO
AS VITA NA YANGA DAM DAM
Kibu ni mbuzi kama mbuzi wengine
Kuna huyo mwamba anayepandisha vdeo youtube,APEWE🎉🎉🎉🎉 MAUA YAKE
Mkichelewa wapi
Huyo coach kumkataa wamemsikia wapi? Au ndo kujitungia story na kuanza kuzichambua
Amemkataa ni ukweli sio uwongo
Ahise Mukibadirisha Mfumo Huo Au Utamu Huu Wakutangaza Michezo Mtakuwa Mmekosea San. Nawakubali San
Kipind kinakua kitam Sana asipokuepo jemedal😅 Bora aondoke tu
Ubaya ubwela
😂🎉🎉😅
Uchambuzi wa mpira unaanzaga saa ngapi?
Hans unajua kutujaza...usikute anachuuza wewe😂😂😂
HANS punguza kuponda kwa Azam.
Sasa dirisha silimefugwa la usajili au mimi ndosija elewa
Simba bado wanaruhusiwa
@@anastahiliutawala3879 Asante kwakunijuza
@@anastahiliutawala3879 Simba guvu mojaa
muongezeni mzee wa data mbwaduk crown mamb yawe mbam mbam
Mkubwa jeme yuwapi?
Mutunze hayo maneno mpaka mwisho wa msimu ujao
Wew tulia umeaminishwa uneamin wajikuta umekuwa spen mnyam hana mpinzan kwanza tupo wengi sana
🎉🎉🎉🎉🎉😊
🎉🎉🎉🎉
Simba nguvu moja by king bushesha